KWANINI NYANYA YANGU INAPUPUTISHA MAUA?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • Zipo sababu kadhawakadha zinazopelekea nyanya kupuputisha au kudondosha maua KUPITIA video hii tumechambua sababu KUU sita.

Комментарии • 13

  • @GM-qc3ns
    @GM-qc3ns 7 месяцев назад +2

    safi

  • @dannyjrancelotti1429
    @dannyjrancelotti1429 2 месяца назад

    Nimejifunza mengi

  • @MashakaabduahmadMashakaabduahm
    @MashakaabduahmadMashakaabduahm 4 месяца назад +1

    Nitapataje bicho kitabu

    • @emanuelminja2023
      @emanuelminja2023  4 месяца назад

      Unatumiwa kwa Whatsapp baada ya kulipia 5000 kwenda 0784013400 Emanuel Minja. Karibu

  • @hafsamtipula1534
    @hafsamtipula1534 3 месяца назад +1

    Asante kwa Dar mnapatikana wp?

  • @Nuru-m1c
    @Nuru-m1c Месяц назад

    Nataka ushauri ninachangamoto ya mnyauko

  • @HaruniyusufuMfinanga
    @HaruniyusufuMfinanga 5 месяцев назад

    Niaina Gani nzuri kwa maeneo ya Kibaha

  • @ezebiuskoni8321
    @ezebiuskoni8321 7 месяцев назад +1

    Step by step👍
    #Mrizbreezy*

  • @GM-qc3ns
    @GM-qc3ns 7 месяцев назад +1

    mtaalamu naomba msaada namna ya kupambana na panzi wanaokata nyanya

    • @emanuelminja2023
      @emanuelminja2023  7 месяцев назад +1

      Pole sana ndugu kwa changamoto ya panzi. Hapo tafuta sumu yoyote yenye profenofosi au cypermethrin mfano profecron, mupafosi, snowcron,wilcron,banofos na zingine nyingi

  • @HaruniyusufuMfinanga
    @HaruniyusufuMfinanga 5 месяцев назад

    6:15 nahitaji mbegu ya Nyanya kwa eneo la Kibaha