Nyanya ni zao ambalo linahitaji umakini sana katika Kila hatua yake ya ukuaji, endapo utafanya uzembe wa aina yoyote Ile basi utajikuta unapata hasara kubwa.
Karibu unaweza kupata maarifa zaidi KUPITIA kitabu chetu cha MATUMIZI SAHIHI YA MBOLEA KWA MMEA ambacho kitakupa muongozo dhahiri jinsi ya kutunza mazao Yako. Ili kupata kitabu hicho changia 7000 kwenye lipa namba 22211100 minja kilimo Kisha tutumie sms ya muamala Whatsapp 0784013400 Kisha unatumiwa kitabu kwa NJIA ya Whatsapp
Unaweza kufanya pruning lakini kwa uzoefu wangu sishauri kutokana na aina ya soko wateja wengi wanataka nyanya za size ya kati Sasa ukipruni unatoa nyanya grade one zote yaani zinakua ni ndonga zitakusumbua sokoni. Huo tuu ndo ubaya wa kupruni lakini kivinginevyo kama soko lako halisumbui unawe ukafanya
Mbolea ya kinyesi cha nguruwe ni moja kati ya mbolea Bora saana kwenye nyanya na mazao mengine ya mbogamboga hii ni kutokana na aina ya vyakula vinavyoliwa na nguruwe(concentrate) kwahiyo hutoa virutubishi vingi sana na kwa wakati
Ahsantr kwa elimu yako muhimu.
Ubarikiwe
Mwamba uko vizuri sana
💪🙏
asante mwalimu wangu
Asante sana boss. We are requesting you mute that irritating back ground noise. It's spoiling the video.
🙏
Asante sana kwa some zuri Nahitaji hiyo nakala ya kitabu cha matu
Asante pia kwa kulielewa. Kitabu unakipata kwa NJIA ya whatsapp au email baada ya kufanya malipo ya 5000 kwenda 0784013400 Emanuel Minja.. karibu
Asante mwalimu.
Una content nzuri na voice nzuri Huna haja ya kuweka hiyo bacground sound sir
@@paulringo13 🙏🙏
Asante mwalimu by Mwanaume wa Shoka
Nimekubali
Good keep it up bro
Thanks dear 🙏
Naomba namb nipate kitabu kilimo ch nyanya vitunguu maharag
Tuna kitabu cha mwongozo kwa mkulima cha MATUMIZI SAHIHI YA MBOLEA KWA MMEA
0784013400
Sometimes hiyo sauti uliweka inasumbua kaka iko juu ya storie
Tutalifanyia kazi Hilo
❤❤❤nashukuru kwa darasa nzur minja nakufatilia sn brooo❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nashukuru sana hamadi 🙏
Habali ya kazi je naomba msahada wa kupata namba za simu jinsi wa kuwapata ili nipate kitabu Cha kilimo sahihi Cha nyanya
Karibu unaweza kupata maarifa zaidi KUPITIA kitabu chetu cha MATUMIZI SAHIHI YA MBOLEA KWA MMEA ambacho kitakupa muongozo dhahiri jinsi ya kutunza mazao Yako.
Ili kupata kitabu hicho changia 7000 kwenye lipa namba 22211100 minja kilimo Kisha tutumie sms ya muamala Whatsapp 0784013400 Kisha unatumiwa kitabu kwa NJIA ya Whatsapp
Asante kaka, je nyanya za f1 unatakiwa ufanyie prunning au haitakiwi
Unaweza kufanya pruning lakini kwa uzoefu wangu sishauri kutokana na aina ya soko wateja wengi wanataka nyanya za size ya kati Sasa ukipruni unatoa nyanya grade one zote yaani zinakua ni ndonga zitakusumbua sokoni.
Huo tuu ndo ubaya wa kupruni lakini kivinginevyo kama soko lako halisumbui unawe ukafanya
@@emanuelminja2023 asante
29:20 @@emanuelminja2023
Mwalimu hiyo sauti inatufanya tusikusikie vizuri isiwepo tu
Sawa
Nilikuw nafeli kweny matumoz ya mbolea kwani narumia DAP had maua yanaanza.
Sasa rekebisha ufanye vizuri
Naomba namba nipate kitabu na nitapata je
Unakipata KUPITIA Whatsapp au email baada ya kuchangia 5000 kwenye namba 0784013400 Emanuel Minja. Karibu
Ivi jaman mbolea ya kinyesi Cha nguluwe kinafaa kwenye zao LA nyanya??
Mbolea ya kinyesi cha nguruwe ni moja kati ya mbolea Bora saana kwenye nyanya na mazao mengine ya mbogamboga hii ni kutokana na aina ya vyakula vinavyoliwa na nguruwe(concentrate) kwahiyo hutoa virutubishi vingi sana na kwa wakati
Kama mnavitabu ninapataj
Unakipata KUPITIA Whatsapp au email baada ya kufanya malipo ya Tsh 5000 kwenye namba 0784013400 Emanuel minja karibu