JE! NYANYA ILIYO HATUA YA MAUA NA MATUNDA INAHITAJI MBOLEA GANI?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • Katika HATUA ya maua na matunda nyanya INAHITAJI zaidi mbolea zenye ulinganifu wa virutubishi vikuu vya awali

Комментарии • 36

  • @StephanoShangalawe
    @StephanoShangalawe 2 месяца назад

    Nakuelewa sana mwalimu

  • @mbisostationery5838
    @mbisostationery5838 6 месяцев назад +1

    Naingia practice, logical lesson.

    • @emanuelminja2023
      @emanuelminja2023  6 месяцев назад

      Waooow good idear fanya hivyo utashuhudia MATOKEO makubwa ambayo hujawahi kuexperience

  • @Ndondeye
    @Ndondeye 4 месяца назад

    Nashukuru nimeipata je can inafaa kwenye maziwa na matunda

  • @hamadimziraymziray-ry4vi
    @hamadimziraymziray-ry4vi 4 месяца назад +1

    Darasa zuri sn❤❤❤❤minja ❤❤❤

  • @abdallahmgaya7521
    @abdallahmgaya7521 5 месяцев назад +1

    Asante mtaalamu, tunakuelewa vizuri sana

  • @Ndondeye
    @Ndondeye 4 месяца назад +1

    Naweza kutumia can kwenye mauwa na matunda

    • @emanuelminja2023
      @emanuelminja2023  4 месяца назад

      Can peke yake haitoshi kiungo kikuu NPK na ni vyema zaidi ukatumia NITRABOR maana Ina kiwango kikubwa cha calcium ukilinganisha na can

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 6 месяцев назад

    Asante kaka

  • @ezebiuskoni8321
    @ezebiuskoni8321 7 месяцев назад +1

    I like it. Good work senior

    • @emanuelminja2023
      @emanuelminja2023  7 месяцев назад

      Your welcome stay tuned more interesting topic is coming

  • @ZubedaAbdallah-s5p
    @ZubedaAbdallah-s5p 6 месяцев назад +1

    Nami nahitaji kitabu ni sh ngapi nakipataje

    • @emanuelminja2023
      @emanuelminja2023  6 месяцев назад

      Kitabu ni 5000, unalipia kwa 0784013400 Emanuel Minja Kisha unanitumia sms Whatsapp kwa namba hiyohiyo alafu unatumiwa either kwa Whatsapp au email karibu

  • @user-bm8ws1ls5g
    @user-bm8ws1ls5g 7 месяцев назад +1

    Aisee Yani hicho kitu nilikuwa najiuliza Leo je nilazima kuweka mbolea wakati navuna tayar

    • @emanuelminja2023
      @emanuelminja2023  7 месяцев назад

      Hongera ujumbe umekufikia wakati muafaka... Inakupasa uweke ili kuruhusu matunda yote kufika vizuri

  • @BatholomeoLukasi
    @BatholomeoLukasi 3 месяца назад +1

    Nina changamoto ya kitako nitaitibuje nisaidie

    • @emanuelminja2023
      @emanuelminja2023  3 месяца назад

      Pole sana wakati mwingine kitako kinachangiwa sana na aina ya mbegu kwahiyo kiiishaingia ni ngumu kutibu lakini kwa tahadhari ili nyanya mpya zisikumbwe na hiyo shida tumia zaidi mbolea zenye calcium mfano Yara nitrabor

  • @clarakimaro7290
    @clarakimaro7290 7 месяцев назад +1

    Nyanya zinaoza matunda yanarojeka yanakuwa kahawia ni ugonjwa gani huu?

    • @emanuelminja2023
      @emanuelminja2023  7 месяцев назад

      Pole sana kwa changamoto hiyo bila shaka ni late blight ni ugonjwa wa ukungu uliokithiri sana kwa msaada zaidi nini kifanyike naomba nitumie picha whatsapp

  • @adammaziku6521
    @adammaziku6521 7 месяцев назад +1

    Nahitaji kitabu gharama shs ngapi utaratibu ukoje wa kupata kitabu hicho

    • @emanuelminja2023
      @emanuelminja2023  7 месяцев назад

      Gharama ya kitabu ni 5000 unakipata KUPITIA Whatsapp au email.
      Ukiwa tayari fanya muamala kwenda 0784013400 Emanuel Minja Kisha nitumie sms ya muamala Whatsapp.
      Karibu sana

  • @PauloBENJAMIN-lj1hp
    @PauloBENJAMIN-lj1hp 2 месяца назад

    Kaka nyanya yanguimedua nifanyaje ili iwe poa

  • @Ndondeye
    @Ndondeye 4 месяца назад

    Naomba namba yako

  • @hamadmkopi5136
    @hamadmkopi5136 7 месяцев назад +1

    Toa number na bei ya kitabu

  • @BarakaedamesNdemeye
    @BarakaedamesNdemeye День назад

    niko mpanda katavi kitabu nakipataje?????

    • @emanuelminja2023
      @emanuelminja2023  День назад

      kitabu unatumiwa kwa njia ya whatsapp baada ya kuchangia 7000 kwenye lipa namba ya tigo 22211100 minja kilimo. karibu

    • @emanuelminja2023
      @emanuelminja2023  День назад

      au unaweza tutafuta kwa namba 0784013400

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 6 месяцев назад +1

    Asante kaka