DAWA YA MNYAUKO KWA NYANYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 22

  • @MuhibuAbdalla
    @MuhibuAbdalla 3 месяца назад

    Tunafurahi kwa elimu inayotolewa allah atujalie katika kazi njema, Inshallah.

  • @Mwanaumewashoka
    @Mwanaumewashoka 7 месяцев назад

    Sawa mwalimu wangu

  • @NasibuShabani-w8p
    @NasibuShabani-w8p 6 месяцев назад +1

    Asante

  • @KakasekoSamweli
    @KakasekoSamweli 7 месяцев назад +1

    Kweli nimepata elimu nzuri

    • @emanuelminja2023
      @emanuelminja2023  7 месяцев назад

      Tunashukuru kugusa maisha yako karibu sana

  • @AliFakiMati-m7n
    @AliFakiMati-m7n 7 месяцев назад +2

    Mtaalamu hapo umesema kweli kuhusu huyo mdudu mdudu huyo hupenda kuishi ktk ardhi yenye rutba na hata ktk magogo yaliyooza na wala haathiri mazao ni sawasawa na wale wadudu kwa kwetu zanzibar tunawaita nyungunyungu ( earth warm).

  • @AndrewWoiso
    @AndrewWoiso 7 месяцев назад +1

    Asante kwa elimu

  • @LightUrioh
    @LightUrioh 6 месяцев назад +1

    Huyo mdudu anakula miziz mm shamban kwangu nimekuta mimea miwili imenyauka nikangoa nikatazama kwa chin nikamkuta na miche yote haikuwa na miziz imeliwa lakin ukimtoa na ukafukia mche unaweza toa miziz mingine ukaendelea kukua

  • @FrancesFranck
    @FrancesFranck 2 месяца назад

    Ahsante sana elim zuri ... mbegu gani nipande kipindi cha masika ?

  • @MwamtetaBani
    @MwamtetaBani 3 месяца назад

    Je file nyanya zilikuwa tayari zinalika

  • @neemammassy2467
    @neemammassy2467 6 месяцев назад +1

    Nimeanza robo heka,mwezi wa saba nataka kuchukua heka 2, najifunza mengi sana through minja kilimo

    • @emanuelminja2023
      @emanuelminja2023  6 месяцев назад +1

      Hongera sana kwa hatua hiyo na nafurahi kuona unajifunza mengi kutoka minja kilimo plan Yako ya kuingia shambani July Iko poa sana kama umechek video yetu ya ni MIEZI IPI nyanya inakua na bei kubwa sokoni? Utagundua umechagua mwezi sahihi wa kuingia shambani

  • @ZubedaAbdallah-s5p
    @ZubedaAbdallah-s5p 3 месяца назад

    Asante hiyo nyanya ni aina gani?

  • @ZubedaAbdallah-s5p
    @ZubedaAbdallah-s5p 6 месяцев назад +1

    Nyanya hiyo ni aina gani?

  • @MwamtetaBani
    @MwamtetaBani 3 месяца назад

    Hiyo lotation je unaweza panda papai badala ya nyanya