Mtaalamu hapo umesema kweli kuhusu huyo mdudu mdudu huyo hupenda kuishi ktk ardhi yenye rutba na hata ktk magogo yaliyooza na wala haathiri mazao ni sawasawa na wale wadudu kwa kwetu zanzibar tunawaita nyungunyungu ( earth warm).
Huyo mdudu anakula miziz mm shamban kwangu nimekuta mimea miwili imenyauka nikangoa nikatazama kwa chin nikamkuta na miche yote haikuwa na miziz imeliwa lakin ukimtoa na ukafukia mche unaweza toa miziz mingine ukaendelea kukua
Hongera sana kwa hatua hiyo na nafurahi kuona unajifunza mengi kutoka minja kilimo plan Yako ya kuingia shambani July Iko poa sana kama umechek video yetu ya ni MIEZI IPI nyanya inakua na bei kubwa sokoni? Utagundua umechagua mwezi sahihi wa kuingia shambani
Tunafurahi kwa elimu inayotolewa allah atujalie katika kazi njema, Inshallah.
Sawa mwalimu wangu
Asante
Kweli nimepata elimu nzuri
Tunashukuru kugusa maisha yako karibu sana
Mtaalamu hapo umesema kweli kuhusu huyo mdudu mdudu huyo hupenda kuishi ktk ardhi yenye rutba na hata ktk magogo yaliyooza na wala haathiri mazao ni sawasawa na wale wadudu kwa kwetu zanzibar tunawaita nyungunyungu ( earth warm).
Sahihi kabisa
Asante kwa elimu
Karibu sana @Andrewwoiso
Asante mkuu
Huyo mdudu anakula miziz mm shamban kwangu nimekuta mimea miwili imenyauka nikangoa nikatazama kwa chin nikamkuta na miche yote haikuwa na miziz imeliwa lakin ukimtoa na ukafukia mche unaweza toa miziz mingine ukaendelea kukua
Ahsante sana elim zuri ... mbegu gani nipande kipindi cha masika ?
Assila f1
Je file nyanya zilikuwa tayari zinalika
Nimeanza robo heka,mwezi wa saba nataka kuchukua heka 2, najifunza mengi sana through minja kilimo
Hongera sana kwa hatua hiyo na nafurahi kuona unajifunza mengi kutoka minja kilimo plan Yako ya kuingia shambani July Iko poa sana kama umechek video yetu ya ni MIEZI IPI nyanya inakua na bei kubwa sokoni? Utagundua umechagua mwezi sahihi wa kuingia shambani
Asante hiyo nyanya ni aina gani?
Assila
Nyanya hiyo ni aina gani?
Assila
Hiyo lotation je unaweza panda papai badala ya nyanya
Unaweza