DULLY SYKES: "ALIKIBA Alikataa Kushiriki Wimbo Wangu Kisa DIAMOND!" / HARMONIZE Ananisimamia!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 окт 2024

Комментарии • 251

  • @solanuskomba82
    @solanuskomba82 5 лет назад +27

    dully sykes we umenena kitu cha akili sana...usimchukie mtu kisa jamaa flan anamchukia jamaa.##big up dully👍👍

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin941 5 лет назад +11

    Dully ni mtu powa sana kama ujamjua unaweza isi jamaa ana dharau ila ukiwa karibu nae jamaa mtu peac sana kiukweli dully ana roho nnzuri sana nimewahi kutana nae siku moja jamaa akawa friend siku iyo iyo kariakoo

  • @ezradaniel4613
    @ezradaniel4613 5 лет назад +8

    Dully sykes the hit maker of Salome,Julieta,Historia ya kweli,Nyambizi,Hajisadi,Rafiki,nk so many hits he made,🙏

  • @cbhsmith3149
    @cbhsmith3149 5 лет назад +13

    Big up Sana dully tunakupenda tang nyambiz mung yupo

  • @chullydangote5637
    @chullydangote5637 5 лет назад +26

    Jamaaa anajitambua sana sioTID mnyama wa unga tu dully nenda ukamsshike mkono kama unaniunga mkono gonga like

  • @chescomwakipese3422
    @chescomwakipese3422 5 лет назад +21

    Wewe ndo kaka etu apa tz ongela sana

  • @karimhemed9261
    @karimhemed9261 5 лет назад +12

    Baby Dee Anton 🔥🎤 LIVING LEGEND

  • @ramakizito4934
    @ramakizito4934 5 лет назад +23

    Ali Kiba Ft Dully Sykes-Kuteseka Nimechoka. Hapa ndio utajua fadhila za Punda ni Mateke.

  • @faustinemashoko5931
    @faustinemashoko5931 5 лет назад +11

    hongera dully skyes unatofauti. na konki master

  • @fredymbawala3483
    @fredymbawala3483 5 лет назад +3

    Hapongezwe sana Mr misifa kwa njia ambazo anapita maana dully kasaidia wasanii wengi sana ,

  • @mikemillz2992
    @mikemillz2992 5 лет назад +20

    Dully mzeee kavaa ereni cheni kubwaaa eti kazeeka 😂😂😂😂

  • @ramaamuggah2203
    @ramaamuggah2203 5 лет назад +12

    Nakubar Mzee DULY🙌🙌🙌

  • @solanuskomba82
    @solanuskomba82 5 лет назад +16

    dully sykes ni nouma. azeeki yaani jamaa nguvu zle zle swaga pia kama kawa...upo kama jay z wa U.S.A .forever young😀😀😀

  • @mohdmbarouk846
    @mohdmbarouk846 5 лет назад +3

    Prince Dully Skys wewe ndio msanii wngu wa muda wote tokea ulipoanza mwaka 99 hadi leo 2019 na nitaendelea kupenda mziki wako coz hujawahi kuchuja Broo

  • @hashimuismail5587
    @hashimuismail5587 5 лет назад +10

    Mfalme hapendi unafiki ndio maana alikukazia

  • @anjunurdin2763
    @anjunurdin2763 5 лет назад +1

    Hongera sana kaka .inshaalah .utafanikiwa maana huna wivu na wasanii waliokukuta ikiwa ww ni msanii mkubwa..wenzako hawalikubali hilo...unajibu vizuri sana sana mpaka napenda kukusikiliza.

  • @sefumbembe439
    @sefumbembe439 5 лет назад +2

    Huyu sio mwanamuziki tu anauwezo wakuigiza pekeyake jukwaani hata filamu anaweza bila wasi wasi namjua vizuri sana pia nimtu mwenye kipaji chaajabu sana Dully

  • @jothamumatumla988
    @jothamumatumla988 5 лет назад +9

    Aaa dully unazingua bhana ww kama mkubwa wa familia utakiwi kubez upande mmoja coz upande mwengine wataboleka mtazamo 2

  • @godlovephilemon5626
    @godlovephilemon5626 5 лет назад +20

    Dully Sykes hazeeki kabisa na ni yule yule

  • @sylvestermatinde7527
    @sylvestermatinde7527 5 лет назад +11

    Ahhh dully, King na simba wapi na wapi,kwangu mm kiba hana makosa

  • @naibumzitto5982
    @naibumzitto5982 5 лет назад +2

    Nimemkubali sana huyu jamaa.

  • @jensennashon6147
    @jensennashon6147 5 лет назад +8

    Dully kaza piga kazi...hili game linahtaji love sio chuki.

  • @ndunguyealex2771
    @ndunguyealex2771 5 лет назад +12

    Dully simbaaaaa 🙏🙏

  • @ahadimastonesinkwembe6907
    @ahadimastonesinkwembe6907 5 лет назад +3

    Upo sawa dully

  • @charlesmbori88
    @charlesmbori88 5 лет назад +1

    Kenya twakukubali kakayetu SYKES 💪

  • @mussarazio4368
    @mussarazio4368 5 лет назад

    Viva

  • @abdulstiles3147
    @abdulstiles3147 5 лет назад

    dah!! bro dully nmekuelewa kaka umezungumza kwa busara sana

  • @cbhsmith3149
    @cbhsmith3149 5 лет назад +33

    Kwel nimeamin ubinadam Kaz leo hii Alikiba anambania dully ila tunafaham dully ndie aliemsaidia Alikiba ...nimechoka kuteseka nenda RUclips uone

    • @hamadeddy8089
      @hamadeddy8089 5 лет назад +1

      TUPE USHAHID DULLY KAMSAIDIA ALLY KIBA NINI ACHA UNAFKI WAKO NDUGU ALLY KIBA HUSTLE ZAKE KAFANYA NA BABA YAKE BOB JUNIOR GLOVE ACHA KUKURUPUKA AISEE MJINI UMEVAMIA

    • @mtadejuniorbaiano8599
      @mtadejuniorbaiano8599 5 лет назад +2

      kamsaidia kitu gani? yey alitok kivyake n kiba kivyake

    • @daudinelson14
      @daudinelson14 5 лет назад +2

      bora hata ungemtaja abby skills na mr blue huyu katoka wapi?heeeee...

    • @samaissa5389
      @samaissa5389 5 лет назад

      @@seminemmusic7858 hunapoint Kuma TU naww unakurupuka mxiiuu kasafishe pumbu mbwa WW wa kibongo

    • @samaissa5389
      @samaissa5389 5 лет назад

      @@seminemmusic7858 kanyeeee

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 5 лет назад +6

    DULLY HE,S FOREVER YOUNG

  • @majumbatv1116
    @majumbatv1116 5 лет назад +6

    dully brother uko saw unaongea kwa busara Sana

  • @issaramadhani3064
    @issaramadhani3064 5 лет назад

    big up bro dully

  • @richmelody984
    @richmelody984 5 лет назад +4

    Nakufatiliaga sana we mtangazaj nlichogundua kutoka kwako unauliza aswal kwakutojiamin

    • @RamazaniMulongeca
      @RamazaniMulongeca 5 лет назад +1

      Rich Melody
      Kiufupi anamapungufu mengi sana.. Swalizake zinakaa kiuchochez sana sio kwa kujenga... ahachane na #ManenoYaKuambiwa, yakuskia.. afanye research sio anakurupuka tu.

    • @richmelody984
      @richmelody984 5 лет назад +1

      @@RamazaniMulongeca Kumbe umeona eeeh yan maswal yake hayana ukwel hata kuna moja alikaua anamuhoj lil omy kuhusu jonijo ni maswal anauliza Ambayo hana uhakika Nayo kabisa...Chuo chale alichosomea sijui ni kip anabug sana jamaa

  • @cheatahdimnyamatv6305
    @cheatahdimnyamatv6305 5 лет назад +3

    dully we ni kaka etu sanaa tunakupnda mnoo

  • @lodirickshoo6404
    @lodirickshoo6404 5 лет назад +15

    duli BG ap mzeee ukovizuri

  • @dogobyalimasilubunga5110
    @dogobyalimasilubunga5110 5 лет назад +6

    Tatizo Kiba ana mabifu na simbaaaaa Kaha ujuwe so type yako Tena broo

  • @benjaminfataki6898
    @benjaminfataki6898 5 лет назад +10

    dully anavifuraha moyoni kama katwanga tatu mzuka wasikuroge mzee mwaka ujao prado mlangoni.

  • @jaydon3361
    @jaydon3361 5 лет назад +7

    Anafanana na Aish Manula

  • @Gibsin_2
    @Gibsin_2 5 лет назад

    kali sanaaa hiii
    pita kwangu pia kunakitu nimekiachia konk

  • @nasrihassani5132
    @nasrihassani5132 5 лет назад +2

    Nice

  • @josephmbamba9773
    @josephmbamba9773 5 лет назад +7

    Ivi kiba na diamond ndo wasanii peke yao hapa bongo mana kila interview ya msanii yeyote lazima swali kuhusu alikiba au diamond liuzwe fikirieni maswali mengine bhna watangazaji

    • @RamazaniMulongeca
      @RamazaniMulongeca 5 лет назад

      Joseph Alexander
      Watangazaji wamekariri hilo iliwapate views wengi...😂😂😂😂

    • @jasminiomary7774
      @jasminiomary7774 5 лет назад

      Wajingaa 2 watangazajii

  • @dinoboyarnold661
    @dinoboyarnold661 5 лет назад +13

    Alikiba anafanya mziki kutegemea mgongo wa simba yani nyota yake imefifia mnoo sasa anataka beaf liendelee ili awe anazungumziwa na yeye

    • @husseinhamza2054
      @husseinhamza2054 5 лет назад +1

      We mshamba hujui kaa kimiya Ali kiba ndio WA kwanza huyo domo kama sio Ali na Bob junior angefika hapo

    • @dinoboyarnold661
      @dinoboyarnold661 5 лет назад

      Kwaiyo ndo awe anamchukia mtu kisa kamsaidia afu kamzidi mafanikio wewe ndo mshamba afu Diamond hata bila ya huyo alikiba angefanikiwa tu mungu akipanga jambo lake huwezi kupinga bro na juhudi anazo kwenye kazi

    • @iktharsalum4797
      @iktharsalum4797 5 лет назад +2

      Dino boy Arnold tatizo mmezoeya kukariri wa tz kwa kuona maisha ya inste kuna maisha nyuma ya mitandao huko ndokwenye maisha

    • @khadijakhadija-ve7tv
      @khadijakhadija-ve7tv 5 лет назад

      @@iktharsalum4797 Nakupend bure kwa jibu lako

  • @ashaswaleh3281
    @ashaswaleh3281 5 лет назад +2

    Napenda alivyomsema kweli yani hafichi kitu he's really

  • @ashaabdallah1718
    @ashaabdallah1718 5 лет назад +6

    Wooow 40 soon ila bado km 20z

  • @hassanmaganga1544
    @hassanmaganga1544 5 лет назад +13

    Uko vzr sana unajielewa achana na hao madogo na mabifu yao ya kisenge nakukubali sana

  • @hashimabdalah3161
    @hashimabdalah3161 5 лет назад

    Namkubali sana brother ajui kujisikia

  • @deogratiusgibson853
    @deogratiusgibson853 5 лет назад +1

    Huyu jamaa baby face saaana

  • @madinafuraha3435
    @madinafuraha3435 5 лет назад +12

    Yaani wew unaendaga kweny watakulipia kila kitu😁😁🤣🤣🤣

    • @victorburser1717
      @victorburser1717 5 лет назад

      alizipeleka wapi pesa alizochuma leo hii alipiwe kila kitu yeye sasa wakina Malioo ndio wafanyiwe nini?

  • @DiCulture
    @DiCulture 5 лет назад

    Dully anaandikiwa ira awapatie shavu tu hao madogo,anaweza mwenyew kufanya kila kitu,kwanzia kuandika,kuproduce,Ku shoot na marketing pia,salute mzee dully

    • @bongotrending6219
      @bongotrending6219 5 лет назад

      😂😂😂😂 Nmecheka kwa sauti,, ina maana wew unamjua sana dully kuliko yeye mwenyewe😁😁😁😊

  • @ramamanyama2944
    @ramamanyama2944 5 лет назад +6

    ali kiba hajui k2 unataka kuimba nae yann we fanya kaz na harmonize tu utatoa hits song bro niamin mimi uyo kiba amna k2 apo

    • @mishibomba9634
      @mishibomba9634 5 лет назад +1

      Watakucheka watuu..et ally hajui hahaahhhhhhhhhhhhhhh!!!

  • @jumambeyunge979
    @jumambeyunge979 5 лет назад

    Duuh. Aisee kaka unajitambua sana

  • @sultanhassan7928
    @sultanhassan7928 5 лет назад +11

    Baba Alikiba anafanyaga mziki ya kiheshima na kueleweka sio kuzungumzia bunduki Tu daily....hawezi Fanya type ya Ngoma zako jikubali umezeeka upate heshima wewe!

    • @sultanhassan7928
      @sultanhassan7928 5 лет назад

      @@justinpatson840 Ningekupa jibu lakini acha tu

    • @saidibakari230
      @saidibakari230 5 лет назад

      Sultan Hassan WEWE NDIO FALA KWELI MZIKI WA HESHIMA NI KWAYA NA KASIDA KWA HIYO UNATHIBITISHA ALIKIBA NI MWIMBA KWAYA MZIKI HAJUI

    • @sultanhassan7928
      @sultanhassan7928 5 лет назад

      @@saidibakari230 katika mathna za Kiswahili ukisema wewe ndo Fala maana Mimi nimesema mtu flani Fala sa unaashiria yule si fala....lakini hakuna mahali nimetaja sa ww utakuwa mpumbavu

    • @sultanhassan7928
      @sultanhassan7928 5 лет назад

      @@saidibakari230 Kisha nikuulize Ngoma gani waeza angalia na mamako mbio ya alikiba ama inde ya harmonise? Pumbavu!

    • @saidibakari230
      @saidibakari230 5 лет назад

      Sultan Hassan unajua kama wewe ni mpumbavu huwezi kukubali utajitahidi kukataa hata chizi huwa akubali ukitaka kujua kama Nina haki ya kukuita hivyo hebu rudia kuisoma koment yako IPO sahihi?

  • @macanilusiji3423
    @macanilusiji3423 5 лет назад +23

    Duh hadi warioba ni mdogo kwako kumbe dully ni kikongwe🤣🤣🤣🤣

  • @shabanlehani5410
    @shabanlehani5410 5 лет назад +2

    Dully.nikukubari.sana.tangu.enzi.zasharifa.julieta.histori.yakweli.nyambizi.

  • @anjunurdin2763
    @anjunurdin2763 5 лет назад

    Hongera sana Dully kwakusema ukweli. kiba kimuziki yupo. chini sana anapitwa na Mboso.Hamoniz Rayvan.Lilly po .Barnaba .Ben po..ila tu wanampa heshima lkn..hampati kabisa mond...hata mwenyewe anajua.ndioaana kaamua kurudi kwenye mpita kaona huku tena kumesha mshinda

    • @hidayaking3383
      @hidayaking3383 5 лет назад

      Wewe inabidi ukapimwe akili boosso ni uchafu ngani sasa ally kama nyuko chini kiziki mbona anamlilia

  • @zulekhajumanne664
    @zulekhajumanne664 5 лет назад +4

    Mbn mnateseka sana juu ya kiba, kila m2 apambane NA hali yake

    • @ezekielwilliam1710
      @ezekielwilliam1710 5 лет назад

      Hakuna anaeteseka ww ila kiba ndio anaeteseka kila atakae muunga mkono diamond tu au kukubali ni mkali kiba anamchukia kiba alipitia hapo kwa mzee baba lakini sababu dully anaiunga mkono wcb kiba kakataa hata kolabo na dully

    • @zulekhajumanne664
      @zulekhajumanne664 5 лет назад

      @@ezekielwilliam1710najua!! ila ww huwez jua kilichopo ndani mwao

  • @samgenster3787
    @samgenster3787 5 лет назад +4

    Ally nae kumbe ana mambo ya kishamba kwahyo kisa diamond ndio amekataa kutia vessel haaaaaah

    • @husseinhamza2054
      @husseinhamza2054 5 лет назад +2

      Acha ujinga alichokifanya daimond kwa king Ni kizuri alinshirikisha katika nyimbo akamfuta Leo mnamuona king mbaya achen unafik

  • @nimubonashabani2827
    @nimubonashabani2827 5 лет назад +4

    DULLY ANA FANANA NA MCHEZAJI WA BURUNDI NTIBAZONKIZA. NANI AMEONA HIVO ANIPE LIKE.

  • @martinassenga2505
    @martinassenga2505 5 лет назад +3

    Uwezi jilinganisha na kiba Broo wala usijipe moyo unabebwa kaka au unapakatwa

  • @deusmauka9626
    @deusmauka9626 5 лет назад

    Ali Kiba anakiburi sana, mwanaume kuwa na kiburi ni tabia za kike hizo.

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 5 лет назад

    Ally kiba mbona sikuiz amesha kuwa mwana Nchi wakawaida
    Ana mpya yoyote Bwana

  • @mgeyo6464
    @mgeyo6464 5 лет назад +1

    TUNAISHI KWA HISTORIA😀😀😀SAFI SANA THE REALLY MEANING OF BONGOFLAVA

  • @jensennashon6147
    @jensennashon6147 5 лет назад +8

    music ukiwa chuki chuki na watu hutoboi unabakia na li jina tu

  • @isiakaisaack8013
    @isiakaisaack8013 5 лет назад

    Nakubal sana

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 5 лет назад +2

    Tangu duly nimjue wakati wa Nyambizi bado sura ni zile zile hazibadiliki

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 5 лет назад +4

    Mlevi na mlevi mwenziwe,

  • @sulesalimajim8469
    @sulesalimajim8469 5 лет назад

    Namkubali dully sanaaa

  • @feadycode2436
    @feadycode2436 5 лет назад

    Duh

  • @ahmadiakili261
    @ahmadiakili261 5 лет назад +13

    Alikiba ana umama mwingi sana

    • @salmaothuman9762
      @salmaothuman9762 5 лет назад +3

      KAMA wa kwako mxueeeeeeee

    • @ahmadiakili261
      @ahmadiakili261 5 лет назад +1

      @@salmaothuman9762 Utofauti wako na Alikiba ni kwamba ww una kuma yeye hana, lakn wote muda tabia za kike za kuzira na kujishauwa hadi mubembelezwe kwa kuingizwa vidole mkunduni

    • @ahmadiakili261
      @ahmadiakili261 5 лет назад +1

      @@salmaothuman9762 Hakuna mwanaume anakuwa na kinyongo cha kichoko kama chake hata kama ulikosewa mwanaume anasamehe fasta na maisha yanakuwa peace

    • @ahmadiakili261
      @ahmadiakili261 5 лет назад

      @@salmaothuman9762 Huko mbele itabidi tu aache muziki maana kila msanii mwenzie atakuwa hafanyi nae kazi kwasababu wanafanya kazi na Diamond, Alikiba saiv hata Harmonize, Rayvanny, Lavalava hawapati kwa kujaza kwenye shoo, viewers na subscribers kwenye RUclips channel. Hata kumpromote mdogo wake awe msanii mkubwa kashindwa......Baraka nae kamkimbia

    • @salmaothuman9762
      @salmaothuman9762 5 лет назад +1

      @@ahmadiakili261 kwani kakwambia anakinyongo au shobo 😂😂😂😂😂😂hovyooo huna hata mxueeeeeeei

  • @comrademlewaisavile336
    @comrademlewaisavile336 5 лет назад

    Big up dullsykes

  • @alfavahaye4102
    @alfavahaye4102 5 лет назад +1

    Mi nataka uandike mwenyewe najua unaweza kitambo sana mkuu

  • @mohamediiddi3541
    @mohamediiddi3541 5 лет назад +4

    duly ww mnafki una lolote acha mambo ayo alikiba anakuishimu sana ila ww umelewa sifa wcb wanavyo kufunga viatu unaamini wanakupenda# ww nimkongwe jieshimu

    • @muhidiningamba2572
      @muhidiningamba2572 5 лет назад

      Wachawi utawajua2

    • @abisaimtedzi6160
      @abisaimtedzi6160 5 лет назад +1

      fact nchi hii bila kumtaja kiba hawaendi na yeye hana muda na nikipenzi cha watu

    • @nurdinnswebe1905
      @nurdinnswebe1905 5 лет назад

      Kuma lamama ako wewe mohamedi mkundu

    • @mohamediiddi3541
      @mohamediiddi3541 5 лет назад +1

      njo tukufile ss tuna taka wasenge wasenge kama nyinyi mukiwa kwenye show munakata viuno vya ki choko choko

  • @mwinyimwimbe8842
    @mwinyimwimbe8842 5 лет назад +1

    Hapo kwny kuoa km mm kabisa bro,ninaempenda kwa dhati haniamini cjui tunakwma wapi

  • @nadhifanassor4467
    @nadhifanassor4467 5 лет назад

    ❤❤❤❤Dully big up Sam

  • @hassanramadhan7378
    @hassanramadhan7378 5 лет назад +5

    This is crazy bruh. I thought Alikiba was smarter than since I have watched this video. My love to u as ur fan is going down. How can u not do ur work cuz of diamond might be doing job with dully Sykes for something u aren’t sure.

  • @jovintosssi3287
    @jovintosssi3287 5 лет назад +11

    Nimeangalia hii kwasab nmeona jina la king kiba

  • @barikiarastus8770
    @barikiarastus8770 5 лет назад +2

    Kila siku unasema hauna kipato lini utakua nacho?? Oa mke kipato chako kitakua acha kutia aibu! Angalia legend wa bongo wote wameoa na maisha yao yamekua mazuri. Watoto wa uswazi uwa mnakwama wapi?

    • @nickalreadyknows
      @nickalreadyknows 5 лет назад

      Bariki Arastus si hela zote katombea now anasema mimi ni kaka, kaka huna hela 🤣🤣😂

  • @laziloskeystone9272
    @laziloskeystone9272 5 лет назад +12

    Ally ni mtu wa roho mbaya sana, hata nadhani hapendezwi akiona wengine wanafanikiwa. Simchukia but naona the way he acts against orhers.

  • @khadijakhadija-ve7tv
    @khadijakhadija-ve7tv 5 лет назад

    Dully hatutak shobo sawa

  • @princegabytv7251
    @princegabytv7251 5 лет назад +2

    #Dullysykes hatofautiani na #enriqueiglesias hawa watu hawazeeki toka enzi hizo wananza kuimba mpaka leo.

  • @sofiaasukuku8238
    @sofiaasukuku8238 5 лет назад +5

    Kinacho msimbuwa alikiba Ni kutokuwa na mafanikiyo

    • @mbarakhassan9820
      @mbarakhassan9820 5 лет назад

      Hivi wee unaakili timamu kweli hivi unaweza kusimama mbele za watu akasema kingkiba hajafanikiwa.acha ushabiki was kishamba.

  • @joharjohn5095
    @joharjohn5095 5 лет назад +3

    Dully msalimie ono

  • @foxstreet8458
    @foxstreet8458 5 лет назад +1

    Sam Misago umerudi kwa nguvu sana pamoja sana kk

  • @cheatahdimnyamatv6305
    @cheatahdimnyamatv6305 5 лет назад

    imekaaaaaa hyooo kk anguu

  • @mishibomba9634
    @mishibomba9634 5 лет назад +2

    Team kiba hatutaki unafkii....akacheze anakochezaga

  • @Everything-series.
    @Everything-series. 5 лет назад +3

    My legend

  • @fadhilisaidy2444
    @fadhilisaidy2444 5 лет назад +2

    Kwaiyo sa iv dully apenda vya bureeeeee!!!

  • @yonajulius7896
    @yonajulius7896 5 лет назад

    Kumbe Ally Kiba alimuogopa Diamond? 😂😂😂

  • @doreenchiragwile3424
    @doreenchiragwile3424 5 лет назад

    Khaaaaa azeeki jamaa yaani toka namfahamu nikiwa MDOGO Yan najiona mm ndo nazeeka

  • @cyubahiroclement191
    @cyubahiroclement191 5 лет назад

    Dully ongela kwani nyimbo za wasafi zina uzito wa kufika mbali sana kwahio kufanya nao kazi jina lako linadumu toka kipindi kile mpaka leo !

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 5 лет назад +3

    Dully ulimi unafanyajee

  • @othmanbomboma6883
    @othmanbomboma6883 5 лет назад

    Kiba ni mtu wa kukunja sana, sa kama kashindwa kumtoa mdogo wake atawezaje kuwapenda wengine, ataimba mpaka atamaliza maneno yote, lakin Simba atabaki kuwa simba tu

  • @shadracktito6293
    @shadracktito6293 5 лет назад +3

    watangazaji wa sikuiz bwana yan maswali yake yakichanishichonganishi muhoji mtu kimantiki yani unamuona kabisa mtangazaji hana maswali kabisa yeye ni WCB ALL DAY LONG bullshit

  • @justinkibonge8426
    @justinkibonge8426 5 лет назад

    Hawa jama wakifanya interview ili wauze lazima wamtaje alikiba

  • @zenababdullah3093
    @zenababdullah3093 5 лет назад +4

    Aili kiba arombaya sana

  • @ifozatv2513
    @ifozatv2513 5 лет назад

    We unazan dully akiwashrkisha mond na kiba nani anayebenefit hapo km c yy kalinda brand yake

  • @stevemwakisimba5986
    @stevemwakisimba5986 5 лет назад

    Dogo umeongea kwa hisia sana!unajitambua sana

    • @fredyrichard5097
      @fredyrichard5097 5 лет назад

      Unamwita dogo mtu ashasema ana age zaidi ya 40 we ndio dg

  • @cheatahdimnyamatv6305
    @cheatahdimnyamatv6305 5 лет назад +2

    alikiba hufanyi poa kk angu kiukweli

  • @dizobrownclassic8950
    @dizobrownclassic8950 5 лет назад

    Bigap sana saluti umeongea pwenti kubwa sana wapevidonge vyao

  • @mbarakhassan9820
    @mbarakhassan9820 5 лет назад

    We duli umejifanya team domondi kwa iyo uclalamike wao ndio watakutoa,

  • @ramosfally2318
    @ramosfally2318 5 лет назад

    uyu jama anajeelewa tumana anakubalika sna