Dully ni mtu powa sana kama ujamjua unaweza isi jamaa ana dharau ila ukiwa karibu nae jamaa mtu peac sana kiukweli dully ana roho nnzuri sana nimewahi kutana nae siku moja jamaa akawa friend siku iyo iyo kariakoo
Prince Dully Skys wewe ndio msanii wngu wa muda wote tokea ulipoanza mwaka 99 hadi leo 2019 na nitaendelea kupenda mziki wako coz hujawahi kuchuja Broo
Hongera sana kaka .inshaalah .utafanikiwa maana huna wivu na wasanii waliokukuta ikiwa ww ni msanii mkubwa..wenzako hawalikubali hilo...unajibu vizuri sana sana mpaka napenda kukusikiliza.
Huyu sio mwanamuziki tu anauwezo wakuigiza pekeyake jukwaani hata filamu anaweza bila wasi wasi namjua vizuri sana pia nimtu mwenye kipaji chaajabu sana Dully
TUPE USHAHID DULLY KAMSAIDIA ALLY KIBA NINI ACHA UNAFKI WAKO NDUGU ALLY KIBA HUSTLE ZAKE KAFANYA NA BABA YAKE BOB JUNIOR GLOVE ACHA KUKURUPUKA AISEE MJINI UMEVAMIA
Rich Melody Kiufupi anamapungufu mengi sana.. Swalizake zinakaa kiuchochez sana sio kwa kujenga... ahachane na #ManenoYaKuambiwa, yakuskia.. afanye research sio anakurupuka tu.
@@RamazaniMulongeca Kumbe umeona eeeh yan maswal yake hayana ukwel hata kuna moja alikaua anamuhoj lil omy kuhusu jonijo ni maswal anauliza Ambayo hana uhakika Nayo kabisa...Chuo chale alichosomea sijui ni kip anabug sana jamaa
Ivi kiba na diamond ndo wasanii peke yao hapa bongo mana kila interview ya msanii yeyote lazima swali kuhusu alikiba au diamond liuzwe fikirieni maswali mengine bhna watangazaji
Kwaiyo ndo awe anamchukia mtu kisa kamsaidia afu kamzidi mafanikio wewe ndo mshamba afu Diamond hata bila ya huyo alikiba angefanikiwa tu mungu akipanga jambo lake huwezi kupinga bro na juhudi anazo kwenye kazi
Dully anaandikiwa ira awapatie shavu tu hao madogo,anaweza mwenyew kufanya kila kitu,kwanzia kuandika,kuproduce,Ku shoot na marketing pia,salute mzee dully
Baba Alikiba anafanyaga mziki ya kiheshima na kueleweka sio kuzungumzia bunduki Tu daily....hawezi Fanya type ya Ngoma zako jikubali umezeeka upate heshima wewe!
@@saidibakari230 katika mathna za Kiswahili ukisema wewe ndo Fala maana Mimi nimesema mtu flani Fala sa unaashiria yule si fala....lakini hakuna mahali nimetaja sa ww utakuwa mpumbavu
Sultan Hassan unajua kama wewe ni mpumbavu huwezi kukubali utajitahidi kukataa hata chizi huwa akubali ukitaka kujua kama Nina haki ya kukuita hivyo hebu rudia kuisoma koment yako IPO sahihi?
Hongera sana Dully kwakusema ukweli. kiba kimuziki yupo. chini sana anapitwa na Mboso.Hamoniz Rayvan.Lilly po .Barnaba .Ben po..ila tu wanampa heshima lkn..hampati kabisa mond...hata mwenyewe anajua.ndioaana kaamua kurudi kwenye mpita kaona huku tena kumesha mshinda
Hakuna anaeteseka ww ila kiba ndio anaeteseka kila atakae muunga mkono diamond tu au kukubali ni mkali kiba anamchukia kiba alipitia hapo kwa mzee baba lakini sababu dully anaiunga mkono wcb kiba kakataa hata kolabo na dully
@@salmaothuman9762 Utofauti wako na Alikiba ni kwamba ww una kuma yeye hana, lakn wote muda tabia za kike za kuzira na kujishauwa hadi mubembelezwe kwa kuingizwa vidole mkunduni
@@salmaothuman9762 Huko mbele itabidi tu aache muziki maana kila msanii mwenzie atakuwa hafanyi nae kazi kwasababu wanafanya kazi na Diamond, Alikiba saiv hata Harmonize, Rayvanny, Lavalava hawapati kwa kujaza kwenye shoo, viewers na subscribers kwenye RUclips channel. Hata kumpromote mdogo wake awe msanii mkubwa kashindwa......Baraka nae kamkimbia
This is crazy bruh. I thought Alikiba was smarter than since I have watched this video. My love to u as ur fan is going down. How can u not do ur work cuz of diamond might be doing job with dully Sykes for something u aren’t sure.
Kila siku unasema hauna kipato lini utakua nacho?? Oa mke kipato chako kitakua acha kutia aibu! Angalia legend wa bongo wote wameoa na maisha yao yamekua mazuri. Watoto wa uswazi uwa mnakwama wapi?
Kiba ni mtu wa kukunja sana, sa kama kashindwa kumtoa mdogo wake atawezaje kuwapenda wengine, ataimba mpaka atamaliza maneno yote, lakin Simba atabaki kuwa simba tu
watangazaji wa sikuiz bwana yan maswali yake yakichanishichonganishi muhoji mtu kimantiki yani unamuona kabisa mtangazaji hana maswali kabisa yeye ni WCB ALL DAY LONG bullshit
dully sykes we umenena kitu cha akili sana...usimchukie mtu kisa jamaa flan anamchukia jamaa.##big up dully👍👍
Dully ni mtu powa sana kama ujamjua unaweza isi jamaa ana dharau ila ukiwa karibu nae jamaa mtu peac sana kiukweli dully ana roho nnzuri sana nimewahi kutana nae siku moja jamaa akawa friend siku iyo iyo kariakoo
Dully sykes the hit maker of Salome,Julieta,Historia ya kweli,Nyambizi,Hajisadi,Rafiki,nk so many hits he made,🙏
Big up Sana dully tunakupenda tang nyambiz mung yupo
Jamaaa anajitambua sana sioTID mnyama wa unga tu dully nenda ukamsshike mkono kama unaniunga mkono gonga like
Sasa tid anAkujaje ww kichwa maji
@@frankmiraco9844 Tena punguani mkubwa sana huyu
Wewe ndo kaka etu apa tz ongela sana
Baby Dee Anton 🔥🎤 LIVING LEGEND
Ali Kiba Ft Dully Sykes-Kuteseka Nimechoka. Hapa ndio utajua fadhila za Punda ni Mateke.
hongera dully skyes unatofauti. na konki master
Hapongezwe sana Mr misifa kwa njia ambazo anapita maana dully kasaidia wasanii wengi sana ,
Dully mzeee kavaa ereni cheni kubwaaa eti kazeeka 😂😂😂😂
Nakubar Mzee DULY🙌🙌🙌
dully sykes ni nouma. azeeki yaani jamaa nguvu zle zle swaga pia kama kawa...upo kama jay z wa U.S.A .forever young😀😀😀
SOLANUS KOMBA duuuh, kwel mzee
Prince Dully Skys wewe ndio msanii wngu wa muda wote tokea ulipoanza mwaka 99 hadi leo 2019 na nitaendelea kupenda mziki wako coz hujawahi kuchuja Broo
Mfalme hapendi unafiki ndio maana alikukazia
Hongera sana kaka .inshaalah .utafanikiwa maana huna wivu na wasanii waliokukuta ikiwa ww ni msanii mkubwa..wenzako hawalikubali hilo...unajibu vizuri sana sana mpaka napenda kukusikiliza.
Huyu sio mwanamuziki tu anauwezo wakuigiza pekeyake jukwaani hata filamu anaweza bila wasi wasi namjua vizuri sana pia nimtu mwenye kipaji chaajabu sana Dully
Aaa dully unazingua bhana ww kama mkubwa wa familia utakiwi kubez upande mmoja coz upande mwengine wataboleka mtazamo 2
Sahihi
Unaona dully bado yupo vzuri hatumii kemiko yoyote badokijana
Dully Sykes hazeeki kabisa na ni yule yule
Ahhh dully, King na simba wapi na wapi,kwangu mm kiba hana makosa
kiba snichi 2.
Nimemkubali sana huyu jamaa.
Dully kaza piga kazi...hili game linahtaji love sio chuki.
Dully simbaaaaa 🙏🙏
Upo sawa dully
Kenya twakukubali kakayetu SYKES 💪
Charles Mbori my
Viva
dah!! bro dully nmekuelewa kaka umezungumza kwa busara sana
Kwel nimeamin ubinadam Kaz leo hii Alikiba anambania dully ila tunafaham dully ndie aliemsaidia Alikiba ...nimechoka kuteseka nenda RUclips uone
TUPE USHAHID DULLY KAMSAIDIA ALLY KIBA NINI ACHA UNAFKI WAKO NDUGU ALLY KIBA HUSTLE ZAKE KAFANYA NA BABA YAKE BOB JUNIOR GLOVE ACHA KUKURUPUKA AISEE MJINI UMEVAMIA
kamsaidia kitu gani? yey alitok kivyake n kiba kivyake
bora hata ungemtaja abby skills na mr blue huyu katoka wapi?heeeee...
@@seminemmusic7858 hunapoint Kuma TU naww unakurupuka mxiiuu kasafishe pumbu mbwa WW wa kibongo
@@seminemmusic7858 kanyeeee
DULLY HE,S FOREVER YOUNG
dully brother uko saw unaongea kwa busara Sana
big up bro dully
Nakufatiliaga sana we mtangazaj nlichogundua kutoka kwako unauliza aswal kwakutojiamin
Rich Melody
Kiufupi anamapungufu mengi sana.. Swalizake zinakaa kiuchochez sana sio kwa kujenga... ahachane na #ManenoYaKuambiwa, yakuskia.. afanye research sio anakurupuka tu.
@@RamazaniMulongeca Kumbe umeona eeeh yan maswal yake hayana ukwel hata kuna moja alikaua anamuhoj lil omy kuhusu jonijo ni maswal anauliza Ambayo hana uhakika Nayo kabisa...Chuo chale alichosomea sijui ni kip anabug sana jamaa
dully we ni kaka etu sanaa tunakupnda mnoo
duli BG ap mzeee ukovizuri
Tatizo Kiba ana mabifu na simbaaaaa Kaha ujuwe so type yako Tena broo
dully anavifuraha moyoni kama katwanga tatu mzuka wasikuroge mzee mwaka ujao prado mlangoni.
Anafanana na Aish Manula
kali sanaaa hiii
pita kwangu pia kunakitu nimekiachia konk
Nice
Ivi kiba na diamond ndo wasanii peke yao hapa bongo mana kila interview ya msanii yeyote lazima swali kuhusu alikiba au diamond liuzwe fikirieni maswali mengine bhna watangazaji
Joseph Alexander
Watangazaji wamekariri hilo iliwapate views wengi...😂😂😂😂
Wajingaa 2 watangazajii
Alikiba anafanya mziki kutegemea mgongo wa simba yani nyota yake imefifia mnoo sasa anataka beaf liendelee ili awe anazungumziwa na yeye
We mshamba hujui kaa kimiya Ali kiba ndio WA kwanza huyo domo kama sio Ali na Bob junior angefika hapo
Kwaiyo ndo awe anamchukia mtu kisa kamsaidia afu kamzidi mafanikio wewe ndo mshamba afu Diamond hata bila ya huyo alikiba angefanikiwa tu mungu akipanga jambo lake huwezi kupinga bro na juhudi anazo kwenye kazi
Dino boy Arnold tatizo mmezoeya kukariri wa tz kwa kuona maisha ya inste kuna maisha nyuma ya mitandao huko ndokwenye maisha
@@iktharsalum4797 Nakupend bure kwa jibu lako
Napenda alivyomsema kweli yani hafichi kitu he's really
Wooow 40 soon ila bado km 20z
Uko vzr sana unajielewa achana na hao madogo na mabifu yao ya kisenge nakukubali sana
Hassan Maganga
B
Namkubali sana brother ajui kujisikia
Huyu jamaa baby face saaana
Yaani wew unaendaga kweny watakulipia kila kitu😁😁🤣🤣🤣
alizipeleka wapi pesa alizochuma leo hii alipiwe kila kitu yeye sasa wakina Malioo ndio wafanyiwe nini?
Dully anaandikiwa ira awapatie shavu tu hao madogo,anaweza mwenyew kufanya kila kitu,kwanzia kuandika,kuproduce,Ku shoot na marketing pia,salute mzee dully
😂😂😂😂 Nmecheka kwa sauti,, ina maana wew unamjua sana dully kuliko yeye mwenyewe😁😁😁😊
ali kiba hajui k2 unataka kuimba nae yann we fanya kaz na harmonize tu utatoa hits song bro niamin mimi uyo kiba amna k2 apo
Watakucheka watuu..et ally hajui hahaahhhhhhhhhhhhhhh!!!
Duuh. Aisee kaka unajitambua sana
Baba Alikiba anafanyaga mziki ya kiheshima na kueleweka sio kuzungumzia bunduki Tu daily....hawezi Fanya type ya Ngoma zako jikubali umezeeka upate heshima wewe!
@@justinpatson840 Ningekupa jibu lakini acha tu
Sultan Hassan WEWE NDIO FALA KWELI MZIKI WA HESHIMA NI KWAYA NA KASIDA KWA HIYO UNATHIBITISHA ALIKIBA NI MWIMBA KWAYA MZIKI HAJUI
@@saidibakari230 katika mathna za Kiswahili ukisema wewe ndo Fala maana Mimi nimesema mtu flani Fala sa unaashiria yule si fala....lakini hakuna mahali nimetaja sa ww utakuwa mpumbavu
@@saidibakari230 Kisha nikuulize Ngoma gani waeza angalia na mamako mbio ya alikiba ama inde ya harmonise? Pumbavu!
Sultan Hassan unajua kama wewe ni mpumbavu huwezi kukubali utajitahidi kukataa hata chizi huwa akubali ukitaka kujua kama Nina haki ya kukuita hivyo hebu rudia kuisoma koment yako IPO sahihi?
Duh hadi warioba ni mdogo kwako kumbe dully ni kikongwe🤣🤣🤣🤣
Ana mwili mzuri Sana hazeeki
Dully.nikukubari.sana.tangu.enzi.zasharifa.julieta.histori.yakweli.nyambizi.
Hongera sana Dully kwakusema ukweli. kiba kimuziki yupo. chini sana anapitwa na Mboso.Hamoniz Rayvan.Lilly po .Barnaba .Ben po..ila tu wanampa heshima lkn..hampati kabisa mond...hata mwenyewe anajua.ndioaana kaamua kurudi kwenye mpita kaona huku tena kumesha mshinda
Wewe inabidi ukapimwe akili boosso ni uchafu ngani sasa ally kama nyuko chini kiziki mbona anamlilia
Mbn mnateseka sana juu ya kiba, kila m2 apambane NA hali yake
Hakuna anaeteseka ww ila kiba ndio anaeteseka kila atakae muunga mkono diamond tu au kukubali ni mkali kiba anamchukia kiba alipitia hapo kwa mzee baba lakini sababu dully anaiunga mkono wcb kiba kakataa hata kolabo na dully
@@ezekielwilliam1710najua!! ila ww huwez jua kilichopo ndani mwao
Ally nae kumbe ana mambo ya kishamba kwahyo kisa diamond ndio amekataa kutia vessel haaaaaah
Acha ujinga alichokifanya daimond kwa king Ni kizuri alinshirikisha katika nyimbo akamfuta Leo mnamuona king mbaya achen unafik
DULLY ANA FANANA NA MCHEZAJI WA BURUNDI NTIBAZONKIZA. NANI AMEONA HIVO ANIPE LIKE.
Uwezi jilinganisha na kiba Broo wala usijipe moyo unabebwa kaka au unapakatwa
Ali Kiba anakiburi sana, mwanaume kuwa na kiburi ni tabia za kike hizo.
Ally kiba mbona sikuiz amesha kuwa mwana Nchi wakawaida
Ana mpya yoyote Bwana
TUNAISHI KWA HISTORIA😀😀😀SAFI SANA THE REALLY MEANING OF BONGOFLAVA
music ukiwa chuki chuki na watu hutoboi unabakia na li jina tu
Nakubal sana
Tangu duly nimjue wakati wa Nyambizi bado sura ni zile zile hazibadiliki
Mlevi na mlevi mwenziwe,
Namkubali dully sanaaa
Duh
Alikiba ana umama mwingi sana
KAMA wa kwako mxueeeeeeee
@@salmaothuman9762 Utofauti wako na Alikiba ni kwamba ww una kuma yeye hana, lakn wote muda tabia za kike za kuzira na kujishauwa hadi mubembelezwe kwa kuingizwa vidole mkunduni
@@salmaothuman9762 Hakuna mwanaume anakuwa na kinyongo cha kichoko kama chake hata kama ulikosewa mwanaume anasamehe fasta na maisha yanakuwa peace
@@salmaothuman9762 Huko mbele itabidi tu aache muziki maana kila msanii mwenzie atakuwa hafanyi nae kazi kwasababu wanafanya kazi na Diamond, Alikiba saiv hata Harmonize, Rayvanny, Lavalava hawapati kwa kujaza kwenye shoo, viewers na subscribers kwenye RUclips channel. Hata kumpromote mdogo wake awe msanii mkubwa kashindwa......Baraka nae kamkimbia
@@ahmadiakili261 kwani kakwambia anakinyongo au shobo 😂😂😂😂😂😂hovyooo huna hata mxueeeeeeei
Big up dullsykes
Mi nataka uandike mwenyewe najua unaweza kitambo sana mkuu
duly ww mnafki una lolote acha mambo ayo alikiba anakuishimu sana ila ww umelewa sifa wcb wanavyo kufunga viatu unaamini wanakupenda# ww nimkongwe jieshimu
Wachawi utawajua2
fact nchi hii bila kumtaja kiba hawaendi na yeye hana muda na nikipenzi cha watu
Kuma lamama ako wewe mohamedi mkundu
njo tukufile ss tuna taka wasenge wasenge kama nyinyi mukiwa kwenye show munakata viuno vya ki choko choko
Hapo kwny kuoa km mm kabisa bro,ninaempenda kwa dhati haniamini cjui tunakwma wapi
❤❤❤❤Dully big up Sam
This is crazy bruh. I thought Alikiba was smarter than since I have watched this video. My love to u as ur fan is going down. How can u not do ur work cuz of diamond might be doing job with dully Sykes for something u aren’t sure.
Alikiba ana umama sana
Nimeangalia hii kwasab nmeona jina la king kiba
Me pia
Ww kiba nani ww uyo fala2
hata mimi kwajili ya kiba sio hawa wavaa elen
@@SyntheticMusic211 unauza hali umemtaja
@@abisaimtedzi6160 ndg yng andika vzr usomeke
Kila siku unasema hauna kipato lini utakua nacho?? Oa mke kipato chako kitakua acha kutia aibu! Angalia legend wa bongo wote wameoa na maisha yao yamekua mazuri. Watoto wa uswazi uwa mnakwama wapi?
Bariki Arastus si hela zote katombea now anasema mimi ni kaka, kaka huna hela 🤣🤣😂
Ally ni mtu wa roho mbaya sana, hata nadhani hapendezwi akiona wengine wanafanikiwa. Simchukia but naona the way he acts against orhers.
acha umama wewe kwahiyo ye ndio mungu
Lazilos Keystone fuck u
Pamban mwenyewe kak
We we unajua Ali kafanyiwa nn muwe mnafatilia msiwe wanafiki
Kabisa
Dully hatutak shobo sawa
#Dullysykes hatofautiani na #enriqueiglesias hawa watu hawazeeki toka enzi hizo wananza kuimba mpaka leo.
Kinacho msimbuwa alikiba Ni kutokuwa na mafanikiyo
Hivi wee unaakili timamu kweli hivi unaweza kusimama mbele za watu akasema kingkiba hajafanikiwa.acha ushabiki was kishamba.
Dully msalimie ono
Sam Misago umerudi kwa nguvu sana pamoja sana kk
imekaaaaaa hyooo kk anguu
Team kiba hatutaki unafkii....akacheze anakochezaga
My legend
Kwaiyo sa iv dully apenda vya bureeeeee!!!
Kumbe Ally Kiba alimuogopa Diamond? 😂😂😂
Khaaaaa azeeki jamaa yaani toka namfahamu nikiwa MDOGO Yan najiona mm ndo nazeeka
famb ww
Dully ongela kwani nyimbo za wasafi zina uzito wa kufika mbali sana kwahio kufanya nao kazi jina lako linadumu toka kipindi kile mpaka leo !
Dully ulimi unafanyajee
Kiba ni mtu wa kukunja sana, sa kama kashindwa kumtoa mdogo wake atawezaje kuwapenda wengine, ataimba mpaka atamaliza maneno yote, lakin Simba atabaki kuwa simba tu
watangazaji wa sikuiz bwana yan maswali yake yakichanishichonganishi muhoji mtu kimantiki yani unamuona kabisa mtangazaji hana maswali kabisa yeye ni WCB ALL DAY LONG bullshit
Hawa jama wakifanya interview ili wauze lazima wamtaje alikiba
Aili kiba arombaya sana
We unazan dully akiwashrkisha mond na kiba nani anayebenefit hapo km c yy kalinda brand yake
Dogo umeongea kwa hisia sana!unajitambua sana
Unamwita dogo mtu ashasema ana age zaidi ya 40 we ndio dg
alikiba hufanyi poa kk angu kiukweli
Bigap sana saluti umeongea pwenti kubwa sana wapevidonge vyao
We duli umejifanya team domondi kwa iyo uclalamike wao ndio watakutoa,
uyu jama anajeelewa tumana anakubalika sna