DHAMBI AMBAYO WENGI HAWA ISEMI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 май 2020

Комментарии • 112

  • @alexkabeho5609
    @alexkabeho5609 4 года назад +7

    Amen pastor, nakupenda sana sio kwa kujua Bible tu, lakini wewe upo very intelligent yani mchungaji wa nyakati za Leo kweli, unagusa kila maisha 🙏

  • @carenmbogo9615
    @carenmbogo9615 4 года назад +4

    Nimejifunza sana Ahsante Baba mchungaji somo zuri Ee mungu nisaidie niondolee kiburi nijaze roho ya unyenyekevu AMINA.

  • @zephaniakisumo4133
    @zephaniakisumo4133 3 года назад

    Amina. Barikiwa sana mchungaji Mungu na azidi kukutumia hakika somo limenigusa sana.

  • @francisamunze6664
    @francisamunze6664 3 года назад +1

    Mchungaji asante nipo kenya jimbo la Uasin Gishu Eldret nmebarikiwa tena nmeelimika

  • @stellamariki6852
    @stellamariki6852 3 года назад

    ROHO MTAKATIFU naomba nipatie Moyo wa UNYENYEKEVU ,Naomba NISAMEHE SNA pale kiburi kilipojiinua na KUKUSONONESHA ,naomba haya ktkt JINA LA YESU AMEEN.

  • @toshamulendalalune393
    @toshamulendalalune393 11 месяцев назад

    Asante Mungu kwakunitumia ujumbe huu. Hunaniusu lkn kwa jina la Yesu Kristo ninakemea

  • @ndayishimiyeriziki8696
    @ndayishimiyeriziki8696 4 года назад +1

    Namushukuru Mungu kwa kunibadilisha maisha yangu kupitiya neno lake .Mungu akubariki mshungaji.

  • @rosemutinda3076
    @rosemutinda3076 4 года назад +6

    Mungu nisaidie roho ya kiburi isiniingie 🙏🙏

  • @isaiahluomba9865
    @isaiahluomba9865 4 года назад +1

    Somo nzuri sana

  • @amimumufaumekikwasa5921
    @amimumufaumekikwasa5921 Год назад

    Amen ubarikiwe mtumishi wa Bwana.

  • @elpidiusezekiel2729
    @elpidiusezekiel2729 4 года назад +3

    Kiburi kinaleta mashindano, dharau, kumbe kiburi hakikai kwa walio wenye unyenyekevu.Mungu unijarie unyenyekevu ili nishaurike kwa rika zote, Amen.

  • @davidimmael1300
    @davidimmael1300 4 года назад +6

    Daaah Amina pr somo limenichoma sana, Mungu aniondolee kiburi anijalie unyenyekevu

  • @doricambughi2833
    @doricambughi2833 Год назад

    Nisaidie Mungu wangu nishinde dhambi ya kiburi🙏

  • @isaiahstadius2383
    @isaiahstadius2383 4 года назад +3

    Mungu nifungue macho nione ili kama kuna kiburi ndani yangu kiondoke.

  • @issackmzena4906
    @issackmzena4906 4 года назад +1

    Barikiwa sana mtumishi kwa somo zuri sana,hakika limenibadikisha

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 4 года назад +2

    Amen 🙏 Mungu niondolea kiburi dani yangu nitumia Kama thahabu ilio hai God

  • @careenkuzilwa5467
    @careenkuzilwa5467 4 года назад

    Ameen baba barikiwa sana somo zuri

  • @veronicaenock7292
    @veronicaenock7292 4 года назад +3

    Amen Amen@pastor mmbaga asante kwa somo,Mungu nakuomba unipe unyenyekevu🙏🏻🙏🏻

  • @frank.j.egwaga3154
    @frank.j.egwaga3154 4 года назад +7

    Amen, Barikiwa Mchungaji.Mungu niumbie moyo wa unyenyekevu maana hii ni tabia yako.

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial6083 4 года назад +2

    Amen asante sana Mahubiri haya yamenigusa sana kwa kikubwa naomba Roho mtakatifu anisaidie sana aniondolee kiburi

  • @olvermbwambo4305
    @olvermbwambo4305 4 года назад +1

    Amen pastor naelewa sana masomo yako Mungu akupe afya njema uzidi kutuelewesha

  • @reganpaul8542
    @reganpaul8542 4 года назад +1

    Asante mchungaji kwa Maana Mungu amekutumia nami katika somo LA imani nimepokea uponyagi sifa na utukufu ni kwa Mungu aliyeziumba Mbingu na nchi

  • @Priscakihiyo4352
    @Priscakihiyo4352 4 года назад +2

    Ameeeeeeen mtumishi wa Mungu asanteee kwa neno nzuri Mungu akubariki sanaaaaaaa 🙏🙏🙏🙏

  • @anjelinafute1385
    @anjelinafute1385 4 года назад

    Ubarikiwe mtumishi wa mungu

  • @freetravelsagents3768
    @freetravelsagents3768 4 года назад +1

    Kitendo cha kukataa kuamini neno la Mungu hicho ni kiburi

  • @natihaikamjema6130
    @natihaikamjema6130 4 года назад

    Mungu anisaidie niache kiburi.

  • @mbarikiwambarikiwa3988
    @mbarikiwambarikiwa3988 4 года назад +1

    Tunyenyekee miguuni pa YEHOVA ,barikiwa sn pasta.

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 4 года назад +3

    Napenda mafundisho yako God bless you Amen 🇰🇪

  • @judithcherono4141
    @judithcherono4141 4 года назад +1

    Amen Asanti Pastor Kiburi nnayo Msamaha Baba🙏🙏

  • @wanjirualowa5520
    @wanjirualowa5520 4 года назад +1

    Mungu akubariki Pastor kwa somo LA nguvu.Amen Amen

  • @natihaikamjema6130
    @natihaikamjema6130 4 года назад

    Mungu atusaidie tuache kiburu.

  • @alicesidi9601
    @alicesidi9601 Год назад

    Amen be blessed Pastor Mmbaga 🙏🙌

  • @noreenjulius3593
    @noreenjulius3593 4 года назад

    Asante San PR. kwa somo zuri huwa napenda sana kufatilia mahubiri na mafundisho yako kwa ujumla nabarikiw San, BWANA akubariki sana uwendelee kutufundisha tusio ya juwa

  • @ireneorina3560
    @ireneorina3560 3 года назад +1

    Thanks pastor, May God bless you

  • @damarsd4599
    @damarsd4599 4 года назад +1

    Waa Mungu anisamehe sikukuwa nimejua ,,Mungu akubariki sana kwa neno lenye kiroho na akutie nguvu sana

  • @watwegopnina6480
    @watwegopnina6480 4 года назад +2

    Asante mchungaji wangu, somo zito sana kwa wengi, asante kutuamsha, Bwana Mungu atuhurumie. Amen

  • @mauricembago9850
    @mauricembago9850 4 года назад +2

    Asante mchungaji kwa mafundisho yako yaliyojaa hekima. Ubarikiwe

  • @kisizikitindi2054
    @kisizikitindi2054 4 года назад +1

    Habari mchungaji ubarikiwe sana kwa mafundisho haya.

  • @saimonmgeta5239
    @saimonmgeta5239 4 года назад +3

    Eee Mungu nisamehe maana nina kiburi tena kile cha uzima huenda kuliko watu wote duniani

  • @denismabubu291
    @denismabubu291 4 года назад

    Asante sana mtumishi umenigusa sana

  • @teddyalex4592
    @teddyalex4592 4 года назад

    Amina.....Mungu atusaidie

  • @estermunis29
    @estermunis29 4 года назад

    Mungu atusaidie

  • @paulmtweve109
    @paulmtweve109 4 года назад

    Barikiwa

  • @verdianajohn7634
    @verdianajohn7634 4 года назад +2

    Asante pr. Kwa somo zuri Bwana atusaidie sana kutambua jinsi tulivyo na atuondelee khouri. Amina.

  • @sammywanje2686
    @sammywanje2686 4 года назад +5

    Asante sana mchungaji MUNGU atuajalie na atufunulie tuone makosa yetu,,, malindi Kenya

    • @ezramwijarubiKesheni
      @ezramwijarubiKesheni 4 года назад

      Ahsante mchungaji jambo hili huwaangusha maskini na matajiri. Wasomi na wasio wasomi

  • @raheemamkambha6013
    @raheemamkambha6013 4 года назад +1

    Asante kwa somo mtumishi

  • @stevenharison4549
    @stevenharison4549 4 года назад

    Kiburi kibri kiburi x2 ni changamoto sana ni sehemu ya maisha yetu Mungu atunusuru na hili

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda4154 4 года назад

    Nashukuru kupata chakula kutoka kwa Bwana.Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana.

  • @benedictoshadrack2573
    @benedictoshadrack2573 4 года назад

    Mungu akubariki sana pastor kwa somo mhimu na lenye maana sana kwa kwa binadamu tunaoishi nyati za mwisho

  • @lovenessngomoi9487
    @lovenessngomoi9487 4 года назад +2

    Barikiwa Sana kwa huduma yako, somo Zuri, Amina

  • @jonathanimdegela1005
    @jonathanimdegela1005 4 года назад +3

    Amina last top pasta wengine siwaelewag kabisa

  • @Benchmarklt01
    @Benchmarklt01 4 года назад

    pastor niukwel hili somo nimeliangalia mar mbili tofaut nasinzia usingzi mzito ila nimelilidia mara nyingi zaid mpk nimeelewa ni kwel mm nina kiburi n som hili limeenda kunisaidia niombee san ila pia ubalikiwe san pastor unatubaliki san🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @estermasija2405
    @estermasija2405 4 года назад

    Mungu akubariki PR maana ninabarikiwa na mahubiri yako.

  • @sammywanje2686
    @sammywanje2686 4 года назад +2

    Asante pr. Kwa somo la leo, kweli MUNGU atusaidie na atuondolee viburi na uongo,,, BWANA atusaidie,,, Asante mchungaji kwa neno zuri la leo, bwana asifiwe

  • @judithcherono2595
    @judithcherono2595 4 года назад +3

    Amen be blessed

  • @eutropiangido9684
    @eutropiangido9684 4 года назад +4

    Somo muhimu sana. Mungu asante sana ni kwa vile unanipenda ndio maana umenipa fursa ya kusikia somo hili.
    Nipe neema kuacha dhambi hii.
    Barikiwa Pastor wangu

  • @damarsd4599
    @damarsd4599 4 года назад +2

    Kwa kweli nimekumbali ni ukweli kabisaa,, Mungu anisamehe sana

  • @sabastianraymond8781
    @sabastianraymond8781 4 года назад

    PIA AKASEMA OLE WENU MAFARISAYO WANAFIKI KWAKUWA MNAZUNGUKA-ZUNGUKA MJINI KUTAFUTA MTU NA AIKISHAONGOKA MNAMFANYA KUWA MWANA WA JEHANAMU MARA MBILI.

  • @lamidalonghee7012
    @lamidalonghee7012 4 года назад +1

    Amina mtumishi wa mungu.Naomba tu chat.

  • @amonTVgusu
    @amonTVgusu 4 года назад +1

    Mungu naomba uniongoze ni siwe na kiburi

  • @moniquenimbabazi4528
    @moniquenimbabazi4528 4 года назад +1

    Mbarikiwe sana kubadirika nilamaana

  • @jesuslivesmysaviorlives1431
    @jesuslivesmysaviorlives1431 4 года назад

    Somo nzuri Sana ubarikewe Pastor

  • @Vel42
    @Vel42 4 года назад +1

    Pastor uniombee MUNGU aniondolee uchafu wote rohoni.

  • @joelronoh8437
    @joelronoh8437 4 года назад +1

    Asante mchungaji kwa fudisho hili

  • @lilianikerubo7909
    @lilianikerubo7909 4 года назад +1

    Ee mungu wangu nisaidie nikuwe mnyenyekevu

  • @morineinziani1080
    @morineinziani1080 4 года назад +1

    Amen ubarikiwe

  • @roseamos2812
    @roseamos2812 4 года назад +1

    Asante kwa somo zuri limenibariki

  • @paulmtweve109
    @paulmtweve109 4 года назад

    Asante MUNGU kwa kunijulisha na uniondolee roho ya kiburi

  • @anethjackson2428
    @anethjackson2428 2 года назад

    Ninafuraha kuwafatilia natamanikusambaza mahubiri haya lkn sijui nifanyeje kwa kupitia simu yangu kwa watu wangu jinsi ninavyo sikia ni mm tu ndo nasikia nielekezeni

  • @nannan288
    @nannan288 4 года назад

    Eeeeh mungu wangu niondolee roho ya kiburi katika maisha

  • @jaredmayaka2993
    @jaredmayaka2993 2 года назад

    Amen 🙏🙏🙏

  • @Vel42
    @Vel42 4 года назад +1

    Mm pastor naomba uniombee sababu nilirudi nyuma kiimani.

    • @severinatyphone6122
      @severinatyphone6122 4 года назад

      Mungu akutie nguvu katika nyakati zote, omba naye Mungu atakuitikia.

  • @sabastianraymond8781
    @sabastianraymond8781 4 года назад

    DAVID MBAGA.
    KRISTO YESU,ATAWAMBIA SIKU ILE SIKUWAJUA NINYI KAMWE,ONDOKENI KWANGU NINYI MTENDAO MAOVU.

  • @annabar6603
    @annabar6603 4 года назад +2

    Asante sanna God bless you man of God

  • @asooraaasooraa4816
    @asooraaasooraa4816 4 года назад +3

    🙆‍♂️🙆‍♂️🙏🙏💞santee sana sana pastor somo zuri

  • @puritychogoro
    @puritychogoro 4 года назад +1

    Be blessed Mtumishi

  • @rcevangelistgeorge
    @rcevangelistgeorge 4 года назад +1

    AMINA MTUMISHI WA BABA KWA UJUMBE MZURI...
    MAOMBI YANA NGUVU TUUNGANE KATIKA KUOMBA.

  • @dortheadaniel2382
    @dortheadaniel2382 4 года назад

    Ubarikiwe mtumishi.

  • @janetfrancis7180
    @janetfrancis7180 4 года назад

    Mungu akubariki sana

  • @timonwilson6679
    @timonwilson6679 4 года назад

    Somo zuri Mchungaji ubarikiwe

  • @mrkiatu4394
    @mrkiatu4394 4 года назад +1

    Pastor Je Wewe Una Acount Teregrama kama Ipo nisaidie Link Niwe mwana family

  • @peninahpeter5284
    @peninahpeter5284 4 года назад

    Ubarikiwe sana kwa kuturekebisha

  • @dennismsele6692
    @dennismsele6692 4 года назад +1

    Pastor naomba namba zako

  • @saphinacuthbet1343
    @saphinacuthbet1343 4 года назад

    Amina.Barikiwa Mchungaji

  • @naomimugisha694
    @naomimugisha694 4 года назад

    Amen nashukuru kwa neno.

  • @sabastianraymond8781
    @sabastianraymond8781 4 года назад

    Ndugu,msipende kuwa waalimu wengi hali mkijua,yakuwa mtapata hukumu iliyokubwa zaidi.

  • @mosesagrey3590
    @mosesagrey3590 4 года назад

    Amina

  • @msafirimhehe
    @msafirimhehe 4 года назад

    Amina..

  • @witneskilinda5034
    @witneskilinda5034 4 года назад +1

    kwenye makanisa hii dhambi imeshika kasi

  • @papaahansmo1129
    @papaahansmo1129 4 года назад

    Uzinzi

  • @masinihenry9221
    @masinihenry9221 4 года назад

    Amen

  • @adelinaneema619
    @adelinaneema619 4 года назад

    Pastor nimebarikiwa na soma naomba namba zako

  • @melodyanne3249
    @melodyanne3249 4 года назад +1

    nifungue macho yangu nione kama kuna kiburi ndani yangu

  • @drmpemba5528
    @drmpemba5528 4 года назад

    Amina, Barikiwa sana pastor.
    Naomba kupata link ya Telegram

  • @happysinka1027
    @happysinka1027 4 года назад

    Jaman naomba mwenye namba ya spar mbaga anisaidie plz

  • @sabastianraymond8781
    @sabastianraymond8781 4 года назад

    MBAGA ZINGATIA NENO HILI
    YOHANA 3:3-7.
    LITAKUSAIDIA SANA.
    ILA UANZE KWANZA WEWE MWENYEWE KUZALIWA MARA YA PILI.JIFANYE MJINGA UPONE KAMA NIKODEMO.

  • @michaelmagungu3524
    @michaelmagungu3524 4 года назад

    Unyenyekevu ndio tunda la Roho

  • @esthermrambamramba1570
    @esthermrambamramba1570 4 года назад +2

    MUNGU nisaidie uniondoshee kiburi

  • @sabastianraymond8781
    @sabastianraymond8781 4 года назад

    NIKODEMO HABARI ZAKE NI KATIKA YOHANA 3:1-3.
    Yeye naye alikuwa kama wewe alikuwa mwalimu kama wewe.
    Lakini hajazaliwa mara ya pili.
    MUNGU AKUSAIDIE.

  • @zuhuramike1399
    @zuhuramike1399 4 года назад +1

    Amena

    • @mamapendo7290
      @mamapendo7290 4 года назад

      Kweli mchungaji kiburi kimetuthir Mungu atupe Neema yakuondokana nacho.Ila kuna mtu mnyenyekevu lkn ana kiburi.Hapa inakuaje Baba mchungaji.

    • @emmanuelshilinde5622
      @emmanuelshilinde5622 4 года назад

      Barikiwa kwa fundisho zuri, Pr

    • @catherinemhule9539
      @catherinemhule9539 4 года назад +1

      Aminaa Mungu atusaidie kuijua dhambi hii na kuitubia haswaa.