Yamoto Band -

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 мар 2017
  • Yamoto Band Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu kwenye Muziki, leo wameachia Track yao mpya inaitwa BASI mapema leo waliitambulisha kwa mara ya kwanza kupitia Clouds FM katika Kipindi cha Leo Tena na waliongozana na Mkurugenzi wa Kituo cha Mkubwa na Wanawe Saidi Fella ambaye alielezea ukimya wa vina hao pamoja na ule uvumi ulikuwa mtaani kuwa yamoto band wamekosa na Fella wengine walisema Aslay ametoka kundi, Msikilize Saidi Fella na Yamoto band.
    ___________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________
    Harakati za Bongo is an online magazine that specializes in educations stories and entertainment stories from Tanzania.
    Harakati za Bongo, Aloso abbreviated as HZB was started 2011 by John Sambila,who had a passion for wrinting and photography from the time he was young.
    Share, Support, Subscribe!!!
    Subscribe: UC-4fDfmsXy9hIcEmPKbARIQ
    RUclips: / hzbtv
    Twitter: / harakatizabongo
    Facebook: / harakatizabongo
    Instagram: / harakatizabongo
    Google Plus: plus.google.com/+harakatizabongo
    Website: harakatibongo.com/
    #Aslay #Mbosso #YamotoBand #Basi
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 273

  • @dickydickson4370
    @dickydickson4370 4 месяца назад +7

    Who is here in 2024?

  • @Geemuthoni99
    @Geemuthoni99 3 года назад +3

    Dec 2020 watching
    2024😂 still here

  • @msafitv8663
    @msafitv8663 3 года назад +4

    Tunao angalia 2020 Mbosso akiwa yupo Moto fire tujuaneeee

  • @ednakawira6137
    @ednakawira6137 6 лет назад +11

    Oooooooohh!!! Nilikua nime miss xn kuwaona pamoja big up am a Kenyan bt kwenu nadata

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 7 лет назад +6

    Masha Allah congratulations mkubwa fella na wanao.muendeleee na umoja ni nguvu.penda sana nyimbo zenu.

  • @reneewoods3066
    @reneewoods3066 5 лет назад +16

    Yamoto band jamani nawapenda Sana Hadi naumwa!.nawakubali Sana,napenda kazi zenu ,napenda nyimbo zenu sanaaa!...Big up guys!🙌👍👌❤️❤️

  • @kibibisaid4879
    @kibibisaid4879 7 лет назад +11

    ya moto band kweli mmetisha na sema baci😍

  • @mohammedmusa4923
    @mohammedmusa4923 4 года назад +3

    Yamoto band you are awesome and amazing we love you from Sudan Asanti sana

  • @fatumakilua9542
    @fatumakilua9542 5 лет назад +13

    Ila asley we nistar lakin huna makuu yani unavaa simpo2 minakupenda Bure mungu akujalie ufike mbali zaid

  • @blackjack4241
    @blackjack4241 4 года назад +5

    Fantastic song from young gifted african musicians......

  • @mgenimwasabu905
    @mgenimwasabu905 4 года назад +3

    Naipenda walai hii nyimbo tamu sana that's good guys

  • @abdallahhadaika2131
    @abdallahhadaika2131 7 лет назад +6

    nawakubali sana wakubwa na wanae ya moto band.

  • @vickyLove2002
    @vickyLove2002 5 лет назад +5

    Jameni tulikuwa tuwamiss 😢😢😢🤞🤞💪💪💪

  • @mercymunyiva311
    @mercymunyiva311 3 года назад +2

    Naipenda basii😍😍

  • @gabrieljoseph4409
    @gabrieljoseph4409 7 лет назад +6

    yap yap...we ar waiting for this...umbea wa gwajima basi basii...nw ni burudan tuu

  • @neymollel5574
    @neymollel5574 3 года назад +1

    Waooooo nawapenda sana nikiwaona pamoja nawapenda sanaaa

  • @omarymkapanda2518
    @omarymkapanda2518 4 года назад +4

    14 november 2019 still watching🙌🏻🙌🏻

  • @Dr_Litungu_Music
    @Dr_Litungu_Music 7 лет назад +26

    Kusema ukweli nawapenda hawa vijana saaana. Nilikuwa nimewamissssssss sana. Msinyamaze hivyo tena jameni mwatuumiza roho. Mimi Mkenya, na hiki ndicho kikundi nikipendacho zaidi ya vikundi vyote. Wimbo mzuri saaan

  • @rizikipindila1845
    @rizikipindila1845 5 лет назад +4

    Mkubwa una Akili yaku tengeneza Pesa Mungu akubariki. Wana Yamoto hicho kikundi kikopoa Umoja ndo nguvu zahidi.

  • @emmanuelmsigala1374
    @emmanuelmsigala1374 7 лет назад +6

    GEA UMEBARIKIWA SANAA MAMAA,ANAEKUTIA HONGERA ZAKE..

  • @hassanmakacha3942
    @hassanmakacha3942 5 лет назад +4

    Msiachane tena bana mnapendeza sana na alaf mnajua sana

  • @ntawurusigajaphet813
    @ntawurusigajaphet813 4 года назад +7

    2020 watching from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @naomimuthoni1950
    @naomimuthoni1950 5 лет назад +3

    Bigup yamoto your music is so creative more so aslay congratulation . from kenya

  • @realremih
    @realremih 4 года назад +12

    2019 still watching their last song

  • @abdallarashid4795
    @abdallarashid4795 7 лет назад +24

    Enock Bella amependa hiyo nyimbo Sanaaa.ona anavyofurahia

  • @carlossimiyu5512
    @carlossimiyu5512 7 лет назад +9

    penda sana yamoto.effort bro,much love from Nairobi kenya

  • @erickhaule8680
    @erickhaule8680 3 года назад +1

    Tunawakumbuka jamani daah 25/09/2020

  • @rachealmwanje7012
    @rachealmwanje7012 5 лет назад +4

    love this song💋❤👍👌👏👏

  • @vennesasimpson243
    @vennesasimpson243 5 лет назад +3

    Enock killed it free style !Mbosso baba yao

  • @felixmoseti2570
    @felixmoseti2570 Год назад +1

    Am here in 2022.. these boys should give us one more hit.. mob love from 254🇰🇪🇰🇪

  • @hajiomaromar3036
    @hajiomaromar3036 5 лет назад +4

    I mis yamoto bańd i wilľ be soo hapy tp see u back

  • @zarinabegandani32
    @zarinabegandani32 7 лет назад +7

    salute sana yamoto namewamiss sana

  • @mariamsalim2191
    @mariamsalim2191 7 лет назад +2

    duuuh ipo vizur sanaaa, big up to yamoto band

  • @johanmbegu4472
    @johanmbegu4472 7 лет назад +6

    Nice song tisha sana nyie wa tmk

  • @dainesszuberyguii6040
    @dainesszuberyguii6040 7 лет назад +1

    mhuuu!!nyie wakaliiiii had rahaaaaaaa😀😀😀😇😇😇😇

  • @halimaamini8015
    @halimaamini8015 7 лет назад +13

    basi Acha nifurahi yamoto wamerudi😜😜😜basi ninomaa napenda sana yamoto band

  • @hadidjadinamadjaliwa5913
    @hadidjadinamadjaliwa5913 5 лет назад

    Nice song ya moto band mim ni mu burundi na wapenda sana awa wakiyana i love u so much guys and big _up

  • @pancrasskazimoto4094
    @pancrasskazimoto4094 5 лет назад +4

    wouuuu safi nawakubali hatarii

  • @umbeaeastafrica7943
    @umbeaeastafrica7943 4 года назад +1

    Ile nyingine kwishatolewa RUclips na mimi kahamia hapa ili niliendelee kupata uhondo. Wale tumeitafuta hii video na audio yake ile clear tukaikosa RUclips tokea jana gongeni likes hapa.

  • @rasheeda2544
    @rasheeda2544 4 года назад +4

    greatest band ever

  • @peterkascratchofficial
    @peterkascratchofficial 4 года назад +1

    Mlitokesea sana kaka zetu 254

  • @zulfaabdallah4352
    @zulfaabdallah4352 7 лет назад +4

    mashallah wimbo mzr

  • @mercyfaith8126
    @mercyfaith8126 5 лет назад +2

    Basi murudi pamoja Yamato band.

  • @loyceemacy9185
    @loyceemacy9185 5 лет назад +1

    Ingekuwa inawezekana kwa Sasa hiv mngekubaliana2 mrudi muwe pamoja sema bas2 tunawamis😭

  • @isharaclarahbeckam3731
    @isharaclarahbeckam3731 7 лет назад +4

    😍😍😍nice song jamaaan

  • @fathilaali4656
    @fathilaali4656 7 лет назад +2

    mm niko omani nimependa sana ✌💞💝

  • @paulojosephy6338
    @paulojosephy6338 7 лет назад +4

    ipo vzr naona wamelejea baada ya ukimya

  • @hancyberthlumambo4592
    @hancyberthlumambo4592 2 года назад

    Mbosso Mbosso Kumamamake Shikamoooooh

  • @zainabumtubwi263
    @zainabumtubwi263 5 лет назад +1

    Aslyei hapo anaonakana ndio alikua mwali anafatia mwanangu mbossa.uyu mwengine wa nyekundu.kisha eneck sauti bessi ya kiume .watoto saidieni mfike msitegane kabisa .mungu atawasaidia

  • @karimvicent7425
    @karimvicent7425 7 лет назад +11

    kuna kitu nakiona rayvanny anajua sana band music embu tengezeni collabo nahc itakua bonge LA hit

  • @allykassim9826
    @allykassim9826 5 лет назад +7

    Laizer classic ndo producer hapo.big up to u bro.

  • @hawawezidianakukushusha756
    @hawawezidianakukushusha756 7 лет назад +2

    mnajua sana nyie ni noma

  • @yvonnepaul8053
    @yvonnepaul8053 7 лет назад +2

    come back to kenya this year i luv u

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 7 лет назад +4

    mko vizuri vijana kazeni buti

  • @aishaaminaamina38
    @aishaaminaamina38 7 лет назад +3

    safi sana Yamoto band

  • @user-yl3ox6si4q
    @user-yl3ox6si4q 2 месяца назад

    Watoto walikua wanajua sana hawa

  • @johnesther5388
    @johnesther5388 5 лет назад +9

    You guys you are amazing when you work together

  • @omankhadra5286
    @omankhadra5286 5 лет назад

    Yamotooooooooo mpooooo kaz zur mola awabarikiiiiiii enock bezii hiloooo

  • @sheilanambala4380
    @sheilanambala4380 5 лет назад

    Woow i like the way kumeback together ..nice work ...aslay nakupenda buree...#254.

  • @moonmoon8723
    @moonmoon8723 7 лет назад +2

    yamoto band mwanitoa roho nice song

  • @paulbruno5349
    @paulbruno5349 5 лет назад +7

    Imagin Leo mngekuwa mpo pamoja mngekuwa mbali sana sijui kama hata Wcb ingekuwepo maana nyie ni shida

  • @ashatadei5639
    @ashatadei5639 7 лет назад +2

    ngoma kari sana niliwamisi kinoma kazeni buti

  • @elizabethmwongeli6164
    @elizabethmwongeli6164 3 года назад

    Weuweeeeeeeeee,,,, you killed it💯💯💯💕💕💕💕💕

  • @safarinickas2179
    @safarinickas2179 7 лет назад +2

    yamoto big up sana!

  • @emmanuelkhisa8453
    @emmanuelkhisa8453 2 года назад

    254:::😂 ndo ome ila mbona mkutoa hiiy ngoma bna😁,n noma kinyama.

  • @saphinamaneno5097
    @saphinamaneno5097 7 лет назад +1

    nice song yaniiii niliwqmic atry yamoto band

  • @muhireinnocent7280
    @muhireinnocent7280 7 лет назад +3

    huu wimbo ningependaelea uwe wa mwaka for real kill it duu!!!

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 года назад

    Yaani nawapenda sana nyie watoto.

  • @sweetmama3242
    @sweetmama3242 7 лет назад +3

    Woooooooow.....!

  • @mauajuma7267
    @mauajuma7267 4 года назад

    Eheee nakupenda sana mbosso luv yah

  • @user-nf1fe9ru3o
    @user-nf1fe9ru3o Год назад

    2023 NASEMA YAMOTO MULITUKOSEA SANA KUTUACHA

  • @jackiephyll1250
    @jackiephyll1250 3 года назад

    Still watching 2021

  • @alextina2713
    @alextina2713 3 года назад

    Dah nimefrah sana kurud kwenu mkiwa pamoja

  • @mosessizya3565
    @mosessizya3565 7 лет назад +5

    bonge la ngoma yani

  • @sarahmwaluko2480
    @sarahmwaluko2480 7 лет назад +1

    Good job nawapendaga sana wadogo zangu

  • @priva2clyombo906
    @priva2clyombo906 7 лет назад

    mmewaziba mdomo walokuwa wamesema mshapotea....all the best to you guys......

  • @davycm9750
    @davycm9750 7 лет назад +1

    kaz kaz appriciate sana

  • @ElizabethNjoki-xr2we
    @ElizabethNjoki-xr2we Год назад

    Wow.enock.napeda.❤wimbo.wako.sana.❤.wow.keep.up❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @bettyblessed436
    @bettyblessed436 5 лет назад

    I love you guys mwapendeza sana

  • @halimajuma3432
    @halimajuma3432 7 лет назад +1

    Nzuri kweli basi.....

  • @latifahalitsi7986
    @latifahalitsi7986 3 года назад +4

    Powerful voices, powerful song.I wish they could be together.

  • @rauhiyamwinyi3132
    @rauhiyamwinyi3132 7 лет назад +1

    yaaan khater hii nyimb yamoto band nyie aaa mnaukosh moyo wng

  • @manathenangumwe1381
    @manathenangumwe1381 3 года назад

    Aisee... Ya moto ya moto...Bella masauti

  • @mohamedmwenyekombo1885
    @mohamedmwenyekombo1885 2 года назад

    World best song from ya moto

  • @OmanCom-ky8tn
    @OmanCom-ky8tn 4 года назад

    Nawapenda sna wote pamoja na mkubwa fella ila naomba mkubwa fella mm nije kujifunza kucheza tu je inawezekana

  • @rosemunyali912
    @rosemunyali912 5 лет назад

    hongera sana twawapenda sana mimi mkenya

  • @HassanMohamed-ft6hr
    @HassanMohamed-ft6hr 7 лет назад +1

    safi san song ...nzuri

  • @deborakamsi
    @deborakamsi 7 лет назад +1

    amazing amazing song

  • @PriscaRocky
    @PriscaRocky 9 дней назад

    Aslay shuu

  • @henrymateso5002
    @henrymateso5002 7 лет назад +2

    Niec yamoto

  • @ntawurusigajaphet813
    @ntawurusigajaphet813 4 года назад

    Watu wenye hela mpo wapi?wanyeni hawa vijana warudi Pamoja, kwanini watengane?!Mungu hapendi watu watengane

  • @beniciopitatapuleta6342
    @beniciopitatapuleta6342 7 месяцев назад

    I love this band

  • @johnmurshiwa3657
    @johnmurshiwa3657 7 лет назад +17

    MAromboso fundi kiukweli

  • @aslayshivan2816
    @aslayshivan2816 5 лет назад

    Nawapenda sana yamoto

  • @dharesfadhil2236
    @dharesfadhil2236 5 лет назад

    Nawakubali kwazi zao bora warudiane safisana hio nyimbo

  • @malug2126
    @malug2126 7 лет назад +1

    ngoma kali san

  • @abdalalugo5851
    @abdalalugo5851 Год назад

    Enock napenda sauti kwel

  • @timotheosanga6119
    @timotheosanga6119 5 лет назад

    Heeeee tena!!!

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 3 года назад

    Hao wawili wanafanana kweli

  • @princewazegede7168
    @princewazegede7168 2 года назад

    Irudi tena yamoto band