Yamoto Band -
HTML-код
- Опубликовано: 30 мар 2017
- Yamoto Band Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu kwenye Muziki, leo wameachia Track yao mpya inaitwa BASI mapema leo waliitambulisha kwa mara ya kwanza kupitia Clouds FM katika Kipindi cha Leo Tena na waliongozana na Mkurugenzi wa Kituo cha Mkubwa na Wanawe Saidi Fella ambaye alielezea ukimya wa vina hao pamoja na ule uvumi ulikuwa mtaani kuwa yamoto band wamekosa na Fella wengine walisema Aslay ametoka kundi, Msikilize Saidi Fella na Yamoto band.
___________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________
Harakati za Bongo is an online magazine that specializes in educations stories and entertainment stories from Tanzania.
Harakati za Bongo, Aloso abbreviated as HZB was started 2011 by John Sambila,who had a passion for wrinting and photography from the time he was young.
Share, Support, Subscribe!!!
Subscribe: UC-4fDfmsXy9hIcEmPKbARIQ
RUclips: / hzbtv
Twitter: / harakatizabongo
Facebook: / harakatizabongo
Instagram: / harakatizabongo
Google Plus: plus.google.com/+harakatizabongo
Website: harakatibongo.com/
#Aslay #Mbosso #YamotoBand #Basi Развлечения
Who is here in 2024?
Dec 2020 watching
2024😂 still here
Tunao angalia 2020 Mbosso akiwa yupo Moto fire tujuaneeee
Oooooooohh!!! Nilikua nime miss xn kuwaona pamoja big up am a Kenyan bt kwenu nadata
Masha Allah congratulations mkubwa fella na wanao.muendeleee na umoja ni nguvu.penda sana nyimbo zenu.
Yamoto band jamani nawapenda Sana Hadi naumwa!.nawakubali Sana,napenda kazi zenu ,napenda nyimbo zenu sanaaa!...Big up guys!🙌👍👌❤️❤️
ya moto band kweli mmetisha na sema baci😍
Yamoto band you are awesome and amazing we love you from Sudan Asanti sana
Ila asley we nistar lakin huna makuu yani unavaa simpo2 minakupenda Bure mungu akujalie ufike mbali zaid
Fantastic song from young gifted african musicians......
Naipenda walai hii nyimbo tamu sana that's good guys
nawakubali sana wakubwa na wanae ya moto band.
Jameni tulikuwa tuwamiss 😢😢😢🤞🤞💪💪💪
Naipenda basii😍😍
yap yap...we ar waiting for this...umbea wa gwajima basi basii...nw ni burudan tuu
Waooooo nawapenda sana nikiwaona pamoja nawapenda sanaaa
14 november 2019 still watching🙌🏻🙌🏻
Kusema ukweli nawapenda hawa vijana saaana. Nilikuwa nimewamissssssss sana. Msinyamaze hivyo tena jameni mwatuumiza roho. Mimi Mkenya, na hiki ndicho kikundi nikipendacho zaidi ya vikundi vyote. Wimbo mzuri saaan
I like it
pow nakwako pia
Mkubwa una Akili yaku tengeneza Pesa Mungu akubariki. Wana Yamoto hicho kikundi kikopoa Umoja ndo nguvu zahidi.
Riziki Pindila beka noma
GEA UMEBARIKIWA SANAA MAMAA,ANAEKUTIA HONGERA ZAKE..
Msiachane tena bana mnapendeza sana na alaf mnajua sana
2020 watching from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
😘😘😘😘
Bigup yamoto your music is so creative more so aslay congratulation . from kenya
2019 still watching their last song
And 2020 too
Enock Bella amependa hiyo nyimbo Sanaaa.ona anavyofurahia
Katunga yeye
penda sana yamoto.effort bro,much love from Nairobi kenya
Tunawakumbuka jamani daah 25/09/2020
love this song💋❤👍👌👏👏
Enock killed it free style !Mbosso baba yao
Am here in 2022.. these boys should give us one more hit.. mob love from 254🇰🇪🇰🇪
I mis yamoto bańd i wilľ be soo hapy tp see u back
salute sana yamoto namewamiss sana
duuuh ipo vizur sanaaa, big up to yamoto band
Nice song tisha sana nyie wa tmk
mhuuu!!nyie wakaliiiii had rahaaaaaaa😀😀😀😇😇😇😇
basi Acha nifurahi yamoto wamerudi😜😜😜basi ninomaa napenda sana yamoto band
Halima Amini
Silvia Tegeja
SIJA AMINI KAMA WAMERUDIAN I LOVE YA MOTO BAD
Nice song ya moto band mim ni mu burundi na wapenda sana awa wakiyana i love u so much guys and big _up
wouuuu safi nawakubali hatarii
Ile nyingine kwishatolewa RUclips na mimi kahamia hapa ili niliendelee kupata uhondo. Wale tumeitafuta hii video na audio yake ile clear tukaikosa RUclips tokea jana gongeni likes hapa.
greatest band ever
Mlitokesea sana kaka zetu 254
mashallah wimbo mzr
Basi murudi pamoja Yamato band.
Ingekuwa inawezekana kwa Sasa hiv mngekubaliana2 mrudi muwe pamoja sema bas2 tunawamis😭
😍😍😍nice song jamaaan
mm niko omani nimependa sana ✌💞💝
ipo vzr naona wamelejea baada ya ukimya
Mbosso Mbosso Kumamamake Shikamoooooh
Aslyei hapo anaonakana ndio alikua mwali anafatia mwanangu mbossa.uyu mwengine wa nyekundu.kisha eneck sauti bessi ya kiume .watoto saidieni mfike msitegane kabisa .mungu atawasaidia
kuna kitu nakiona rayvanny anajua sana band music embu tengezeni collabo nahc itakua bonge LA hit
Laizer classic ndo producer hapo.big up to u bro.
mnajua sana nyie ni noma
come back to kenya this year i luv u
mko vizuri vijana kazeni buti
safi sana Yamoto band
Watoto walikua wanajua sana hawa
You guys you are amazing when you work together
Yamotooooooooo mpooooo kaz zur mola awabarikiiiiiii enock bezii hiloooo
Woow i like the way kumeback together ..nice work ...aslay nakupenda buree...#254.
yamoto band mwanitoa roho nice song
Imagin Leo mngekuwa mpo pamoja mngekuwa mbali sana sijui kama hata Wcb ingekuwepo maana nyie ni shida
iyo wcb ndo imewachangua hawa kwa uchaw wao
ngoma kari sana niliwamisi kinoma kazeni buti
Weuweeeeeeeeee,,,, you killed it💯💯💯💕💕💕💕💕
yamoto big up sana!
254:::😂 ndo ome ila mbona mkutoa hiiy ngoma bna😁,n noma kinyama.
nice song yaniiii niliwqmic atry yamoto band
huu wimbo ningependaelea uwe wa mwaka for real kill it duu!!!
nawapenda.sana
muhire innocent
abuu.jux
Yaani nawapenda sana nyie watoto.
Woooooooow.....!
Eheee nakupenda sana mbosso luv yah
2023 NASEMA YAMOTO MULITUKOSEA SANA KUTUACHA
Still watching 2021
Dah nimefrah sana kurud kwenu mkiwa pamoja
bonge la ngoma yani
Vp
Good job nawapendaga sana wadogo zangu
mmewaziba mdomo walokuwa wamesema mshapotea....all the best to you guys......
Mmmmh, noma sana
kaz kaz appriciate sana
Wow.enock.napeda.❤wimbo.wako.sana.❤.wow.keep.up❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
I love you guys mwapendeza sana
Nzuri kweli basi.....
Powerful voices, powerful song.I wish they could be together.
yaaan khater hii nyimb yamoto band nyie aaa mnaukosh moyo wng
Aisee... Ya moto ya moto...Bella masauti
World best song from ya moto
Nawapenda sna wote pamoja na mkubwa fella ila naomba mkubwa fella mm nije kujifunza kucheza tu je inawezekana
hongera sana twawapenda sana mimi mkenya
safi san song ...nzuri
amazing amazing song
Aslay shuu
Niec yamoto
Watu wenye hela mpo wapi?wanyeni hawa vijana warudi Pamoja, kwanini watengane?!Mungu hapendi watu watengane
I love this band
MAromboso fundi kiukweli
Nawapenda sana yamoto
Nawakubali kwazi zao bora warudiane safisana hio nyimbo
ngoma kali san
Enock napenda sauti kwel
Heeeee tena!!!
Hao wawili wanafanana kweli
Irudi tena yamoto band