Canon Au Nikon, Jinsi ya kutumia camera yako kwa mara ya kwanza/how to use your canon/nikon
HTML-код
- Опубликовано: 20 окт 2024
- Umenunua #camera yako #nikon au #canonkwa mara ya kwanza hujui jinsi ya kuutumia, Fuatilia tutorial hii itakuelekeza kila kitu hatua ya kwanza hadi ya mwisho
#TimizaNdotoYakoPhotographyVideography
Vitu vya msingi kuwanavyo ukihitaji kuwa photographer/videographer Bora👇👇
• Vitu vya msingi kuwa n...
Tutorial hii imedhaminiwa na bba_camera_store na mackenzie_photo_equipments👇👇
/ bba_camera_store
Wasiliana nao kwa simu namba 0756321653 kwa mahitaji ya vifaa vya production
Uko vizuri kaka
Asante sana
Mungu akubariki sana kwajitowa ili kutusaidiya
Asante San kaka tumifurahishwa na Somo tumilipenda tupo pamoja Kila hatua ila brother iyo camera Ina cost shingp na duka gn naweza pata
Go-ahead
Shukran sana kwa somo Lako kaka🙏Zidi kutuelimisha sisi photographer wachanga
Shukran ndugu karibu
Bro umenikosha sana Photography na Videography ni maisha yangu na ndoto yang japo sijafikia hatua ya kumiliki Camera ndoto yangu kubwa ni kua Biggest Videograher naomba utupe VFX effects
Kila kitu kitatimia tuu ukisimamia ndoto yako
Kaka mm nayo kama iyo iv IPO pwa Kwa pcha
Asante saaana
Asante sana kk nimepata funzo kubwa sana
Karibu tena
Barikiwa sana kaka anguu sio kilamtu unaweza kufanya ulicho kifanya huu ni msaada mkubwa kwangu🙏🙏🙏🙏
Ni nzuri nimejifunza mengi
Asante Sana, ila camera yang ni ndogo Sana, nitashindwa kujua
Jitahid upate camer kubwa
Nimeipenda sana
Nakubali sana❤❤🎉🎉
Kazi nzuri nimepata kitu gud bro
Karibu tena katika channel yetu kwa mengi mazurii
BBA Online asante sana
Kaka mfano unanunua kwa mtu utaangalia vitu gani ili ujue kamera haina tatzo
Jaribu kupiga picha kwa autofocus na manual focus uangalie kama zinafanya kazi, jaribu kuweka sehem ya vdeo mode fanya hvo pia, itumie kwa dakika ata 20 hapo hapo uone kama haichemki, ikifanya yote vizuri kuna asilimia kubwa ikawa fresh
Nimeelewa
Ahsant sana
Niandikie no ya tsapp
Thnx
Big up,kazi nzuri 💥💣
Shukran mkuu
0
Tupo mzazi
Shukran saaana mkuu, viewer namba 1
Safiii🔝🔝🔝
Shukran mkuu
Me napenda hii kaz
Pamoja xana bro
Hiyo inauzwaje kaka iyo kaz naipenda sana
laki 7 na 50
Appreciate bro
Shukran sana
pamoja bro
Mawasiliano mzee
Kazi nzuri bro
Shukran boss 0756321653
BBA Online Wasap mkuu +255682210404
Nichek namba yangu hiyo boss pia 0756321653
@@BBAonlineTV safi
🔥🔥🔥
Bei gani zinauzwa hizo
Nakubal genius
Pamoja mkuu
uko vizur sana kaka, big up
Ahsante saana
@@BBAonlineTV inauzwa bei gan
700,000/= call 0756321653
🔥🔥
Sf na hongel
BBA camera store mnauza camare kwa bei gani na mnapatikana wapi?
camera bei zake zinaanzia 650,000 tunapatikana dar es salaam simu 0756321653
Good ☺️
💪👏
Namb muhimu kaka
0756321653
Zina Bei an mkuu
Whatsapp 0756321653
Camera yako inaiwaje D ngapi
Bro Mimi naitaji camera nitapataje
0756321653 namba yangu hiyo tuwasiliane
Nahitaji camer naomb contact
0756321653
tuonyeshe jinsi unavyo tengeneza video zako naku paka ragi
Sawa nitawaonyesha
AHSANTE SAANA
P1
Hii no iliyoweka n y wapi yani mbn haina code no
+255756321653
tanzania
Thank
Unaweza kunisaidia namba
0756321653 au 0656232556
@@BBAonlineTV kaka nimependa somo lako
Ahsante sana
Big up bro, weka title vizuri
Shukran boss tayar nimelifanyia kazi hilo
@@BBAonlineTV 🤝🤝
Camera za lak5 vp ni nzur?
Used unapata nzuri tuu
@@BBAonlineTV mpo sehem gan
Kariakoo dar es salaam piga simu 0756321653
Hapo umetumia canon aina gani kushoot kipande hicho
Canon 5D
Nilitaka kuona ubora wa canon 1100d video
Angalia review youtube search canon 1100D
Inauzwa shingap kaka
Watafute BBA camera store 0756321653 camera zao ni gharama nafuu sana
Hasante kwa darasa zuli
Brother nahitaji camera Canon naipataj
0756321653
Tuwasiliane apo uje ofisin
Office yenu iko wp
Mwananyamala komakoma nimekupa namba za simu nitafute
@@BBAonlineTV uzo camera unaweza record ama kujirekord na kuwa na channel RUclips? Vp nikununua napewa na enga?
Share #mody final
Pamoja boss tushare zaidi
#mody_final
Pomona boss tushare zaidi tuu
@@BBAonlineTV sawa bro
Bro mm nahitaji namba yako
0756321653
@@BBAonlineTV ok
Mnapatikan wp
Dar es salaam
bro naomb namba ako
0756321653
Niaje bro asant kwadaras ilanaomb unitumie namba yak kamauto jal namba yang 0656152814
0756321653
Naomba ntumie namba yako ya whatsapp
Camera yako inaiwaje D ngapi