USIKUBALI KUTAPELIWA, HIZI NDIO ALAMA ZA USALAMA ZA KUTAMBUA FEDHA HALALI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2024
  • Benki kuu ya Tanzania imeshiriki maonesho ya 5 ya kiteknolojia ya madini Tanzania 2022, na kutoa elimu kwa umma juu ya alama za Usalama katika noti zetu za Tanzania na namna sahihi ya utunzaji wa noti, Pia imetoa Elimu juu ya Masoko ya Fedha, Bodi ya bima ya Amani na Dawati la malalamiko ya wateja wa huduma za kibenki.

Комментарии • 1