Ndalini Media Solution Limited
Ndalini Media Solution Limited
  • Видео 518
  • Просмотров 102 821
PROF. HOZEN MAYAYA AFURAHISHWA NA KAULIMBIU YA NANENANE 2024
Mkuu wa Chuo cha Mipango na Maendeleo Vijijini, Prof. Hozen Mayaya, amefurahishwa na Kaulimbiu ya Maonesho ya Kitaifa ya Nanenane 2024 yanayofanyika Jijini Dodoma katika Viwanja vya Nzuguni. Kaulimbiu ya mwaka huu ni Chagua Viongozi Bora wa Serikali za Mitaa kwa Maendeleo Endelevu ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi. Chuo cha Mipango na Maendeleo Vijijini ni chuo kinachotoa kozi mbalimbali ikiwapo kozi ya uongozi, hivyo kaulimbiu hii inaeendana kabisa na falsafa ya chuo hiko.
Просмотров: 89

Видео

PPPC - WAKULIMA NJOONI MJIPATIE FURSA ZA KILIMO
Просмотров 28Месяц назад
PPPC - WAKULIMA NJOONI MJIPATIE FURSA ZA KILIMO
TUULINDE NA KUUTUNZA MUUNGANO WETU
Просмотров 66Месяц назад
Watanzania wametakiwa kuulinda Muungano wetu, kwani ndio Tunu ya Taifa kwa Kizazi chetu na Kizazi cha baadae.
TUMIENI NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Просмотров 45Месяц назад
Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Mhandisi Hassan Saidy, amewataka watanzania kutumia Nishati Safi ya Kupikia na kuacha dhana potofu kuwa, chakula kinachopikwa kwa Kuni na Mkaa ni bora kuliko kinachopikwa kwa Gesi au Umeme.
PASS LEASING YAENDELEA KUTOA FURSA KWA WAKULIMA
Просмотров 65Месяц назад
Kampuni ya PASS Leasing Company Ltd, imeendelea kuwashika mkono Wakulima, kwa kuwakopesha Nyenzo mbalimbali za Kilimo hasahasa Matrekta. Ugawaji wa Nyenzo hizo umefanyika katika kilele cha wiki ya Maonesho ya Nanenane 2024, Kitaifa Jijini Dodoma.
TUNAJIVUNIA UCHUMI WA BULUU
Просмотров 89Месяц назад
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mheshimiwa Ashatu Kijaji (Mb), amedadavua ni kwa namna gani Tanzania inajivunia juhudi za Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuhakikisha Nchi inakuwa kiuchumi hususani Uchumi wa Buluu.
WAKULIMA WAFURAHIA MBEGU ZA MAZAO YA BUSTANI EAST-WEST SEED
Просмотров 84Месяц назад
Wananchi wanaotembelea Maonesho ya Nanenane, katika viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma, wamefurahishwa na Kampuni ya East-West Seed Tanzania, kwakuwaletea mbegu mkombozi za Mazao ya Bustani.
KARIBUNI MJIUNGE NA CHAMA CHA WATAFITI
Просмотров 56Месяц назад
Chama cha Watafiti Tanzania (ATARE) kimewataka Watafiti wote Nchini, kujiunga na chama hiko ili kuboresha utendaji wao wa kitafiti. Hayo yamemwa leo na Rais wa Chama hicho Profesa Joseph Ndunguru, katika Kilele cha Maonesho ya Nanenane 2024, Viwanja vya Nzuguni Dodoma.
BOT - TUNA FURSA NYINGI ZA KILIMO
Просмотров 31Месяц назад
Benki Kuu ya Tanania (BOT) imewataka Wakulima Nchini, kuchangamkia fursa za mikopo ya Kilimo katika Taasisi mbalimbali za fedha ili kulima Kiteknolojia na Kisasa zaidi. Hayo yamejiri leo katika Maonesho ya Kitaifa ya Kilimo (Nanenane) 2024, katika Viwanja vya Nzuguni, Jijini Dodoma.
GCLA - TUNA MAABARA ZA KISASA ZA KUCHUNGUZA KEMIKALI ZA AINA ZOTE
Просмотров 10Месяц назад
Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) , leo Tarehe 7/ 8/ 2024, katika Maonesho ya Kitaifa ya Kilimo (Nanenane) 2024, imetabanaisha yakwamba, wapo makini katika kudhibiti kemikali zinazoingia Nchini, kwani wana Maabara za kisasa za kufanya uchunguzi wa kina na kitaalam. Hayo yamesmwa na Dkt. Shimo Peter, Kaimu Mkurugenzi wa Uchunguzi wa Bidhaa na Mazingira.
GAVANA WA BOT ATEMBELEA MAONESHO YA NANENANE 2024 JIJINI DDOMA
Просмотров 23Месяц назад
Leo Tarehe 7/ 8/ 2024, Gavana wa Benki Kuuu ya Tanzania (BOT) Emmanuel Tutuba, ametembelea Maonesho ya Kilimo Tanzania (Nanenane) katika Viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma, huku akisema ni kwa namna gani Uchumi wa Tanzania ulivyo imara.
WAKAZI WA DODOMA WAZIDI KUMIMINIKA BANDA LA WIZARA YA FEDHA NANENANE 2023
Просмотров 94Месяц назад
Wakazi wa Jiji la Dodoma na maeneo ya jirani, wameendelea kutembelea Maonesho ya Nanenane hususani kwenye Banda la Wizara ya Fedha kwaajili ya kujipata Elimu ya Fedha pamoja na fursa zipatikanazo katika Kilimo. Maonesho haya yanafanyika Kitaifa Jijini Dodoma katika Viwanja vya Nzuguni.
WADAU WA WIZARA YA FEDHA WATOA ELIMU KWA UMMA NANENANE 2024
Просмотров 202Месяц назад
Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Fedha Nchini, zimetoa Elimu kwa Wakulima wanaotembelea Maonesho ya Kiliimo (Nnanenane) Kitaifa Jijini Dodoma 2024, katika Viwanja vya Nzuguni. Moja ya Elimu iliyotolewa kwa Wakulima ni fursa ya mikopo kwa Wakulima Nchini
TALIRI YAJA NA TEKNOLOJIA YA MIFUGO
Просмотров 2,2 тыс.Месяц назад
Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI) imekuja na Teknolojia ya Mifugo ili kuhakikisha Wafugaji Nchini, wanafuga Kisasa na kuongeza thamani ya Mifugo yao. Hayo yemesmwa leo Tarehe 6/ 7/ 2024 katika Wiki ya Maonesho ya Kilimo Nchini (Nanenane) yanayofanyika Kitaifa Katika Viwanja vya Nzuguni JIjini Dodoma.
PPRA YATOA ELIMU KWA UMMA
Просмотров 26Месяц назад
Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma PPRA, imeendelea kutoa Elimu kwa Wakazi wa Jiji la Dodoma Katika Maonesho ya Kilimo (Nanenane) 2024, yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni Dodoma.
JE WAJUA WAPI UTAPATA ELIMU YA UCHINJAJI WANYAMA?
Просмотров 337Месяц назад
JE WAJUA WAPI UTAPATA ELIMU YA UCHINJAJI WANYAMA?
WAKULIMA WAPATA KIMBILIO
Просмотров 395Месяц назад
WAKULIMA WAPATA KIMBILIO
TPHPA MKOMBOZI WA WAKULIMA
Просмотров 479Месяц назад
TPHPA MKOMBOZI WA WAKULIMA
VETA YAJA NA TEKNOLOJIA YA UDONGO KWAAJILI YA BUSTANI
Просмотров 229Месяц назад
VETA YAJA NA TEKNOLOJIA YA UDONGO KWAAJILI YA BUSTANI
WIZARA YA FEDHA YAENDELEA KUTOA FURSA ZA KILIMO KWA WAKULIMA
Просмотров 183Месяц назад
WIZARA YA FEDHA YAENDELEA KUTOA FURSA ZA KILIMO KWA WAKULIMA
UTT AMIS YAWAKARIBISHA WAKULIMA KATIKA BANDA LAO LA NANENANE 2024
Просмотров 36Месяц назад
UTT AMIS YAWAKARIBISHA WAKULIMA KATIKA BANDA LAO LA NANENANE 2024
PATA KUTAMBUA MBEGU ZA NYANYA ZINAZOZAA MARADUFU
Просмотров 200Месяц назад
PATA KUTAMBUA MBEGU ZA NYANYA ZINAZOZAA MARADUFU
EWURA CCC WAENDELEA KUSHAURI HUDUMA ZA NISHATI NA MAJI
Просмотров 22Месяц назад
EWURA CCC WAENDELEA KUSHAURI HUDUMA ZA NISHATI NA MAJI
KUWENI MAKINI NA MATAPELI
Просмотров 107Месяц назад
KUWENI MAKINI NA MATAPELI
TUPO MAKINI KUFUATILIA VIMIMINIKA VYENYE KEMIKALI ZISIZOFAA.
Просмотров 22Месяц назад
TUPO MAKINI KUFUATILIA VIMIMINIKA VYENYE KEMIKALI ZISIZOFAA.
MBEGU ZETU ZINAZAA MARADUFU.
Просмотров 95Месяц назад
MBEGU ZETU ZINAZAA MARADUFU.
WAKULIMA KARIBUNI NANENANE MPATE ELIMU YA FURSA ZA KIUCHUMI KUTOKA WIZARA YA FEDHA
Просмотров 72Месяц назад
WAKULIMA KARIBUNI NANENANE MPATE ELIMU YA FURSA ZA KIUCHUMI KUTOKA WIZARA YA FEDHA
DAVID SILINDE AGAWA MATREKTA YA PASS LEASING KWA WAKULIMA KATIKA MAONESHO YA NANENANE DODOMA 2024.
Просмотров 109Месяц назад
DAVID SILINDE AGAWA MATREKTA YA PASS LEASING KWA WAKULIMA KATIKA MAONESHO YA NANENANE DODOMA 2024.
WASTAAFU WAYATENDEA HAKI MAONESHO YA SABASABA 2024.
Просмотров 692 месяца назад
WASTAAFU WAYATENDEA HAKI MAONESHO YA SABASABA 2024.
TUMETOA ELIMU KWA WATU WENGI KULIKO MATARAJIO
Просмотров 732 месяца назад
TUMETOA ELIMU KWA WATU WENGI KULIKO MATARAJIO

Комментарии

  • @SheyoZumba
    @SheyoZumba 6 дней назад

    Mbeya mpo wapi

  • @selemanisalimu8377
    @selemanisalimu8377 25 дней назад

    Mm nimevutiwa na hayo majani yanayo zuiya wadudu waharibifu

  • @Adamu-p1o
    @Adamu-p1o 27 дней назад

    Nipo singida tanzania nitaipataje pia ni bei gan pia mashart yakoje

    • @Adamu-p1o
      @Adamu-p1o 27 дней назад

      Naomba mnijibu niweze jua maana nahitaj sana

  • @HamisPaul-j2r
    @HamisPaul-j2r Месяц назад

    Nawapata sana , lakin mbona cpea au vipul vya iyo powe tella hujaweka waz upatikanaji wake

  • @HamisPaul-j2r
    @HamisPaul-j2r Месяц назад

    Kwan power tella n bei gani

  • @nassoromarelbajouny4462
    @nassoromarelbajouny4462 Месяц назад

    Hatuutaki Muungano Zanzibar, msilazimishe utamaduni wa Zanzibar ji tofauti sana na bara kila nchi iwe huru kivyake tuwe majirani wema km mlivyo na Kenya au Uganda itoshe hiyo tu

  • @nevermwambela3719
    @nevermwambela3719 Месяц назад

    Viruga Biocide ndo mkombozi wa wakulima Tanzania

  • @AbdulhamiduHamisi
    @AbdulhamiduHamisi Месяц назад

    tanzanite how much

  • @LindaUrassa
    @LindaUrassa 2 месяца назад

    Mbali na 77 mnapatikana wap duka lenu????cos wengne tuko mbali hatuwez fika hko

  • @zakayomtweve893
    @zakayomtweve893 2 месяца назад

    Nahitaji ila nipo mbali napataje

  • @salutarisliganga7314
    @salutarisliganga7314 2 месяца назад

    🔥🔥..

  • @Lizzydiana
    @Lizzydiana 2 месяца назад

    👌🏾

  • @MRKp-zk7xs
    @MRKp-zk7xs 2 месяца назад

    🤝

  • @MRKp-zk7xs
    @MRKp-zk7xs 2 месяца назад

    🤝

  • @Lizzydiana
    @Lizzydiana 2 месяца назад

    👌🏾

  • @aquilinemakoi2028
    @aquilinemakoi2028 2 месяца назад

    Mati ni pana

  • @MohammediAyubu
    @MohammediAyubu 2 месяца назад

    Je wanafunzi wapya wanaanz kijiung mwez w ngp

  • @Amani7160
    @Amani7160 3 месяца назад

    Napataje mkopo wa pawatila 16 hp naomba utatibu

  • @KassimSeifu
    @KassimSeifu 3 месяца назад

    Huwezi kusomea degree

  • @Waltergifty
    @Waltergifty 3 месяца назад

    Kama mtu hajafaulu mathematics

  • @Waltergifty
    @Waltergifty 3 месяца назад

    Ada shingapi

  • @Ahamadh-v1e
    @Ahamadh-v1e 4 месяца назад

    Mbn hamutaji bei zake munataja asilimia tu

  • @danieltelesphory
    @danieltelesphory 4 месяца назад

    Namba zenu please mbona hamtoi

  • @MsMollel-rw2tl
    @MsMollel-rw2tl 5 месяцев назад

    SASA TUNAPATAJE HIYO ELIMU YA MIGOMBA?

  • @danielmwakatumaakimu1050
    @danielmwakatumaakimu1050 6 месяцев назад

    Naomba mamba ya cimu ya Whatsapp.

  • @epnyagawa
    @epnyagawa 6 месяцев назад

    Je Njombe maeneo ya Makambako Migomba inastawi?

  • @evelinamwaikambo2506
    @evelinamwaikambo2506 7 месяцев назад

    Tari hoyeeee,

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 7 месяцев назад

    Namba mbon hazieleweki weka namba

  • @AthumaniMchenje
    @AthumaniMchenje 7 месяцев назад

    Naitwa juma napatikana tabola naitaji pawatina

  • @AthumaniMchenje
    @AthumaniMchenje 7 месяцев назад

    Nitaipaja pawatila Mimi Niko tabola

  • @Lizzydiana
    @Lizzydiana 7 месяцев назад

    👍🏽👍🏽👍🏽

  • @user-fd5zs1tu8g
    @user-fd5zs1tu8g 7 месяцев назад

  • @henrymwazembe4083
    @henrymwazembe4083 8 месяцев назад

    Niko musoma mara, nahitaji Mkopo wa powertiler

  • @aureliamyovela2655
    @aureliamyovela2655 8 месяцев назад

    Ada zake shingapi

  • @mek7236
    @mek7236 8 месяцев назад

    Naomba kuonana na mhe. Ilivin mugeta... jaji mfawidhi mahakama kituo jumuishi mirathi na ndoa temeke

  • @richardmagambo2357
    @richardmagambo2357 9 месяцев назад

    Hongera sana Doctor Charles Mwamwaja kwa kuendeleza program ya uelimishaji juu ya elimu ya fedha kwa Watanzania. Watanzania wengi hatuna elimu hii. Tunaamini hadi kufikia 2025 tutakuwa tumeelimika. Tunahitaji kusikia zaidi na zaidi juu ya elimu hii kwani ni hakika ni " Msingi wa Maendeleo ya Kiuchumi" hongereni sana!

  • @joycehenry8783
    @joycehenry8783 10 месяцев назад

    Hongereni Sana

  • @JacobErnest-vk7me
    @JacobErnest-vk7me 10 месяцев назад

    Wapi hiii inapatikana

  • @user-uz5cu7cr9h
    @user-uz5cu7cr9h 10 месяцев назад

    Nic

  • @UmmaryJermia
    @UmmaryJermia 10 месяцев назад

    Je Kuna mashine ya kupima madini kwenye duala ukajua Kuna mzigo kiasi Gani naomba msaada

  • @elinathanblasius9041
    @elinathanblasius9041 11 месяцев назад

    Naomba kujua namna ya kujiunga na chama hiki

  • @simoninmwangatwa5127
    @simoninmwangatwa5127 Год назад

    Kwa keshi na sh ngapi na kwa dar mpo wapi?

  • @josephkibiki8138
    @josephkibiki8138 Год назад

    Mbegu gan Ina stamili mkame images tofauti Na 306

  • @manyuhawilson4201
    @manyuhawilson4201 Год назад

    Safi thanaaa

  • @barakampelanyi2136
    @barakampelanyi2136 Год назад

    Je, unachanganya bolea kiasi ngani katika kalashimo la kupanda ndiz

  • @mwankemwaasege1313
    @mwankemwaasege1313 Год назад

    Udereva mnafundixha

  • @jacksonmashulano1348
    @jacksonmashulano1348 Год назад

    Hongera sana Tume ya Mahakama kwa usimamizi wa Maadili! Hakika mmeweka mfano bora

  • @babumollel1006
    @babumollel1006 Год назад

    Naomba kuuliza kwa makampuni ya microfinance je kwasasa je bdo wanapata leseni kutoka viwanda na biashara?

  • @NtanunuraWillsonBaru
    @NtanunuraWillsonBaru Год назад

    Miradi upande miti kutakuwa na jangwa

  • @heliudjulias7748
    @heliudjulias7748 Год назад

    Africa oyeeee Tanzania na Uganda wazo zuri sema mnakutana na vikwazo vya magharibi jikazeni mtafika