EXCLUSIVE: Utaratibu wa fedha ya TZ kutengenezwa ukoje? vipi kuhusu kuweka kiwanda
HTML-код
- Опубликовано: 29 июл 2017
- Kuna maswali mengi inawezekana umekuwa ukijiuliza kuhusu Utengenezaji wa fedha, utaratibu wake ukoje? usalama je? AyoTV imempata Afisa Mwandamizi Mkuu wa benki kuu ya Tanzania, Patrick Fata kwenye huu ufafanuzi
Kuna moja amesema yachapishwe mahela mengi ili vyuma vilegee, unafikiri kuwa na mahela mengi ndiyo uchumi? Ujue kuwa mahela yanavyozidi kuchapishwa mengi, na bidhaa nazo huzidi kupanda. Kukiwa na uwezekano wa kila mtu kuwa na milioni mojo mfukoni kirahisi basi ujue andazi moja litakuwa si chini ya laki nane au tisa. Sasa faida ya milioni ni nini? Cha msingi bidhaa ziongekeke kwa wingi sana hata watu wakinai kuziona. Mfano, kila mtu akiwa na gunia si chini ya tano za mahindi nyumbani mwake, basi unaweza kukuta gunia moja la mahindi linauzwa kwa shilingi elfu moja tu, kwa sababu hakuna anayehitaji; si kila mtu anayo?. Hiyo ndiyo hali ya thamani ya pesa, siyo kujaza tu mahela mengi wakati didhaa bado hazipatikani, bado utanunua kilo moja ya unga kwa shilingi milion moja, si una hela bwana, sasa faifa ya kuwa na hela yote hiyo iko wapi? Ninawaza tu.
Aliyeshinda kutengeneza Buku na ile Jero ya Noti..Khaaaaa sijui alikula maharage ya wapi..
Mungu atusaidie tuwe na tekinology ya kumiliki kiwanda chetu
safi sana
Noti azina ubora tengenezi ziwe naubora ukihiisahu hukaifuriatu inachanika lakini noti zanchi za nje zina ubora kweli
kwa supeed ya JPM au the Bulldozer lazima ipo siku tuta chapisha wenyewe go go Tanzania
dah kweli lazima tutoboe
huyo mjomba anachaji simu hapo analipa
hatarii
duuh..wanaotegenezaa hela wao wanalipwa nini ?...au unaweza waambia wachapishe 1000 then unachukua 500....jero nyingine unawalipa .....nipo nawaza tu..
Fredrick Kebero
Hata Mimi najiuliza sana wao wanalipwa nini?
Hi na hi na hi kwa sababu hi na hi hana kwa hiyo tangeneza hi na hi hahaha
hata mbuyu ulianza kama mchicha,One day yes na cc tutatengeneza 2
Duuuh nchi yetu lazima tujue kutengeneza pesa zetu
Tanzania inaharibika kwanini nnafanya hivyoooooo jamani uwii ii
mbona sijawahi waona hawa mahala popote
ongela milidalyo
Jamani kenya ipo juu afrika mashariki ubishi tueke kando
Chapisha mengi mtugawie TUMECHOKA umaskini
Renalda Kamugisha Zeramula Kemilembe hahahaaaaaa
asanteeeee
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Hii sector nikikaa yaani kwetu masikini atakuwa kama bakhresa. Cjui sasa tajiri itakuwa vp!!
Kumbe tungekuwa na mtaj wetu tungeishi kama ulaya
Na hawa mnao wp tenda Mna wapa nn?
Au nn mnachofanya juu ya malipo?
Natural resources & investment ndio tools za malipo kwa shughuli kama hizo.
Pumbavu afrika mpaka lini mutatengezewa
Acheni blaa blaa tengenezeni fedha acheni utani kushinda kushinda! Tafuteni jinsi ya kutengeneza fedha acheneni na hayo mambo ya mashindano na mambo ya kuwasifia sifia wageni lini mtajiamini?
kwanini mnatoa siri ya kutengeneza pesaa
Subra Mashs KN
ujinga tu... siye tutashindwaje kuchapisha pesa zetu....? twawaachia makampun ya nje yanatuundia manoti mabovuuu...! yakitumika siku chache yamechakaaa.....!
aliyeshinda tenda ya saivi n kilaza kabisa
coz zinachakaa haraka
Jozey The Boy TV denomination gan?!
Aisee acheni ujinga. Tengenezeni mapesa maguni kwa magunia wacheni UTOPOLO 🐸
Acheni upuuzi. Tumeshindwa kuchapisha pesa yetu.
Kwanini nyie hamshindi? Hamfikirii? Wengine tu ndio wanashinda tangu 1966.,duh! Fikirini namna ya kutengeneza mafwedha.
NAAMINI AWAMU HII YA KAMANDA WETU MAGUFULI ITAWEZEKANA TU KUWA NA KIWANDA CHA KUTENGENEZEA HELA HAPA HAPA TZ KWA KUWA CHUMA TUNACHO MADINI AINA MBALIMBALI YAPO UWEZEKANO UPO WA KUWA NA KIWANDA CHETU.
fredy mgaya fulexh
Si mchapishe zingne jaman huku mtaAn vyuma vimek---,hahaha,,malizia umwone mag--hahaha
manyangu mashala suala si kuchapisha tu, uchumi hauangalii hivyoo?
+Simon Sixbert hivi kwann hauwezi kuchapisha zingne,,nieleweshe kidogo mkuu
manyangu mashala maninuh
safi sana