Je, Mwambao Uliuzwa?! Makala ya Sabaa.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 окт 2024

Комментарии • 37

  • @abubakarrajab9566
    @abubakarrajab9566 Год назад +3

    Mola akuhifadhi,, Habib 🎉🎉🎉☺️👑

  • @juliuschidzo8925
    @juliuschidzo8925 Год назад

    Asante sana Kwa kunijuza mengi, Babu Na nyanyangu warabai, Babangu Na Mamangu Ni warabai, Mimi Ni mjukuu wa kirabai.👏🙏

  • @AllanMzee-v5g
    @AllanMzee-v5g Год назад +2

    Great historian

  • @abutchsaid8641
    @abutchsaid8641 Год назад +3

    Shukran sana mtafiti wa Pwani

  • @abdallahmasare3116
    @abdallahmasare3116 Год назад +3

    Shukran mzee wetu

  • @viva0015
    @viva0015 Год назад +2

    Nimefanya utafiti wangu na haujakosea kabisa 💯. Uko sawa sawa

  • @abdallahmasare3116
    @abdallahmasare3116 Год назад +3

    Alhamdulillah tuko pamoja nawe twakusikiza.

  • @suleymanislam4015
    @suleymanislam4015 Год назад +3

    Asalam alaykum shukran sana Habib
    Kwahisani yako tutajie majina ya kabila zote ambazo ni za waswahili

    • @stambuliwash.abdillahinass8123
      @stambuliwash.abdillahinass8123  Год назад

      Wa'alaykum salaam, wa RahmatuLlahi, wa Barakaatuh. Inshaa'Allah, nitafanya hivyo kwenye moja ya makala yajayo. Af'wan.

  • @BienvenuNDROUMOKATO
    @BienvenuNDROUMOKATO Год назад +2

    asante sana Mwalimu

  • @innocentman5954
    @innocentman5954 Год назад +4

    Shukran Sheikh wetu, Nina swali dogo tu: mpaka mwaka 1960 pwani ya kenya bado ilikua sehem ya zanzibar, ni upi mchango wa zanzibar kuhakikisha pwani inabak zanzibar?

    • @stambuliwash.abdillahinass8123
      @stambuliwash.abdillahinass8123  Год назад +3

      Kwa hakika, inshaa'Allah, katika baadhi ya makala nitakayofanya baadaye kuhusu iwapo Mwambao wa Pwani uliuzwa ama haukuuzwa, nitawafahamisha (kwa ushahidi wa nyaraka) kuhusu serikali ya Sultan wa Zanzibar walivyotuhujumu haki zetu kwenye Mwambao wa Pwani huu.

  • @abdallahabdallah3771
    @abdallahabdallah3771 Год назад

    Shukran bro

  • @AlphayoLugallah
    @AlphayoLugallah 5 месяцев назад

    Swadhak'ta

  • @SalimAbdallah-qe5tm
    @SalimAbdallah-qe5tm 10 месяцев назад

    Stambuli je ruto nimpwani atawamuliza amawtakamsada kwake

  • @mohammedabdulshakur8162
    @mohammedabdulshakur8162 Год назад +1

    Ahsant maulaya

  • @janetndago947
    @janetndago947 Год назад +1

    Tuzungumzie Msikiti Wa Kongo Diani

  • @abutchsaid8641
    @abutchsaid8641 Год назад +2

    Hatutaki kukupoteza

  • @DuuSaid
    @DuuSaid 4 месяца назад

    Mwambao haukuuzwa walikodishwa waengeraza kuurudisha ndio ikawa tatanishi na muda uliisha ilikua urudi kwenye dolaa ya zanzibar

  • @abdallahmasare3116
    @abdallahmasare3116 Год назад +1

    Masikitiko sana

  • @ahmedsharif2424
    @ahmedsharif2424 3 месяца назад

    Na jee waarabu na wahindi walikua wazuri kwa waswahili. Sidhani kama walikua na ubinaadamu na sisi

    • @stambuliwash.abdillahinass8123
      @stambuliwash.abdillahinass8123  3 месяца назад

      Kwa hakika, watu wengi (miongoni mwa jamii ya Waswahili) hata wameowana nao na kuzaa watoto kwa muda mrefu.

    • @ahmedsharif2424
      @ahmedsharif2424 3 месяца назад

      @@stambuliwash.abdillahinass8123 wao ndio wenye kutuoa na vijana wao hutengwa na kupigwa vita na jamii zao waarabu na wahindi. Na wao hawatuozeshi wanawake wao

    • @ahmedsharif2424
      @ahmedsharif2424 3 месяца назад

      @@stambuliwash.abdillahinass8123 tumeshafanya kazi kwa wahindi Ni manyanyaso tu, bidhaa zao Ni bei ghali, mpaka walipokuja wasomali na sisi ndio tukavaa nguo nzuri kwa bei nafuu

    • @ahmedsharif2424
      @ahmedsharif2424 3 месяца назад

      @@stambuliwash.abdillahinass8123 kwa waswahili tumenyanyaswa sana

    • @ahmedsharif2424
      @ahmedsharif2424 3 месяца назад

      @@stambuliwash.abdillahinass8123 tumeshafanya kazi kwa wahindi Ni manyanyaso tu bidhaa zao Ni bei ghali mpaka walipokuja wasomali na sisi ndio tukavaa nguo nzuri kwa bei nafuu

  • @omarkatana9209
    @omarkatana9209 Год назад

    Babako ni mmoja wa hao waliouza mwambao wa pwani.Leo hii unajifanya kuwa mwena kusafisha jina la babako

    • @stambuliwash.abdillahinass8123
      @stambuliwash.abdillahinass8123  Год назад

      @omarkatana9209, kwa hakika, hayo maneno usemayo nimshawasikia wengi wakisema isipokuwa hakuna ambaye ametowa ushahidi wa kuthibitisha kuwa marehemu Babangu ndiye aliyeuza Mwambao wa Pwani! Lakini, wacha mimi nikuoneshe watu kutoka kwenu waliohusika na kuusoza Mwambao wa Pwani ili na wengine wasiojuwa/wasioelewa ukweli wa mambo haya wayajuwe.

    • @abdusalamabdi7048
      @abdusalamabdi7048 10 месяцев назад

      Babake sheikh Stanbuli hakuuza mwambao. Mimi ni mbajuni wa Fuma(Kismayo Somalia) na mamangu ni wa Tchundwa (lamu Kenya).
      Historia ya visiwani vya lamu Hadi Somalia twaijuwa wenyewe.
      Ama historia ya bara na ufuo WA bara ndio waliochangia hadi sasa watu wa visiwani twataabika.
      Sheikh Stanbuli anatupa elimu na historia ya kwetu.
      Alhamdulillah al-habib Mola akuveke na akupe umri.

    • @anwarambar6141
      @anwarambar6141 9 месяцев назад

      Stambuli anasema kama una ushahidi.babake.ndio alouza pwani basi toa ushahidi hadharani, watu wajue, acha kashfa, urongo, hasad, yazisaidi bro,

  • @DuuSaid
    @DuuSaid 4 месяца назад

    Mwambao haukuuzwa walikodishwa waengeraza kuurudisha ndio ikawa tatanishi na muda uliisha ilikua urudi kwenye dolaa ya zanzibar