Shukran Sheikh wetu, Nina swali dogo tu: mpaka mwaka 1960 pwani ya kenya bado ilikua sehem ya zanzibar, ni upi mchango wa zanzibar kuhakikisha pwani inabak zanzibar?
Kwa hakika, inshaa'Allah, katika baadhi ya makala nitakayofanya baadaye kuhusu iwapo Mwambao wa Pwani uliuzwa ama haukuuzwa, nitawafahamisha (kwa ushahidi wa nyaraka) kuhusu serikali ya Sultan wa Zanzibar walivyotuhujumu haki zetu kwenye Mwambao wa Pwani huu.
@@stambuliwash.abdillahinass8123 wao ndio wenye kutuoa na vijana wao hutengwa na kupigwa vita na jamii zao waarabu na wahindi. Na wao hawatuozeshi wanawake wao
@@stambuliwash.abdillahinass8123 tumeshafanya kazi kwa wahindi Ni manyanyaso tu, bidhaa zao Ni bei ghali, mpaka walipokuja wasomali na sisi ndio tukavaa nguo nzuri kwa bei nafuu
@@stambuliwash.abdillahinass8123 tumeshafanya kazi kwa wahindi Ni manyanyaso tu bidhaa zao Ni bei ghali mpaka walipokuja wasomali na sisi ndio tukavaa nguo nzuri kwa bei nafuu
@omarkatana9209, kwa hakika, hayo maneno usemayo nimshawasikia wengi wakisema isipokuwa hakuna ambaye ametowa ushahidi wa kuthibitisha kuwa marehemu Babangu ndiye aliyeuza Mwambao wa Pwani! Lakini, wacha mimi nikuoneshe watu kutoka kwenu waliohusika na kuusoza Mwambao wa Pwani ili na wengine wasiojuwa/wasioelewa ukweli wa mambo haya wayajuwe.
Babake sheikh Stanbuli hakuuza mwambao. Mimi ni mbajuni wa Fuma(Kismayo Somalia) na mamangu ni wa Tchundwa (lamu Kenya). Historia ya visiwani vya lamu Hadi Somalia twaijuwa wenyewe. Ama historia ya bara na ufuo WA bara ndio waliochangia hadi sasa watu wa visiwani twataabika. Sheikh Stanbuli anatupa elimu na historia ya kwetu. Alhamdulillah al-habib Mola akuveke na akupe umri.
Mola akuhifadhi,, Habib 🎉🎉🎉☺️👑
Asante sana Kwa kunijuza mengi, Babu Na nyanyangu warabai, Babangu Na Mamangu Ni warabai, Mimi Ni mjukuu wa kirabai.👏🙏
Great historian
Shukran sana mtafiti wa Pwani
Shukran mzee wetu
Nimefanya utafiti wangu na haujakosea kabisa 💯. Uko sawa sawa
Shukran, na tuombeane Mngu.
Alhamdulillah tuko pamoja nawe twakusikiza.
Shukran, na tuombeane Mngu.
Asalam alaykum shukran sana Habib
Kwahisani yako tutajie majina ya kabila zote ambazo ni za waswahili
Wa'alaykum salaam, wa RahmatuLlahi, wa Barakaatuh. Inshaa'Allah, nitafanya hivyo kwenye moja ya makala yajayo. Af'wan.
asante sana Mwalimu
Ni wajibu.
Karibu sana ndugu yangu.
Shukran Sheikh wetu, Nina swali dogo tu: mpaka mwaka 1960 pwani ya kenya bado ilikua sehem ya zanzibar, ni upi mchango wa zanzibar kuhakikisha pwani inabak zanzibar?
Kwa hakika, inshaa'Allah, katika baadhi ya makala nitakayofanya baadaye kuhusu iwapo Mwambao wa Pwani uliuzwa ama haukuuzwa, nitawafahamisha (kwa ushahidi wa nyaraka) kuhusu serikali ya Sultan wa Zanzibar walivyotuhujumu haki zetu kwenye Mwambao wa Pwani huu.
Shukran bro
Swadhak'ta
Stambuli je ruto nimpwani atawamuliza amawtakamsada kwake
Ahsant maulaya
Tuzungumzie Msikiti Wa Kongo Diani
Hatutaki kukupoteza
Inshaa'Allah, tuombeane Mngu.
Mwambao haukuuzwa walikodishwa waengeraza kuurudisha ndio ikawa tatanishi na muda uliisha ilikua urudi kwenye dolaa ya zanzibar
Masikitiko sana
Wallah
Na jee waarabu na wahindi walikua wazuri kwa waswahili. Sidhani kama walikua na ubinaadamu na sisi
Kwa hakika, watu wengi (miongoni mwa jamii ya Waswahili) hata wameowana nao na kuzaa watoto kwa muda mrefu.
@@stambuliwash.abdillahinass8123 wao ndio wenye kutuoa na vijana wao hutengwa na kupigwa vita na jamii zao waarabu na wahindi. Na wao hawatuozeshi wanawake wao
@@stambuliwash.abdillahinass8123 tumeshafanya kazi kwa wahindi Ni manyanyaso tu, bidhaa zao Ni bei ghali, mpaka walipokuja wasomali na sisi ndio tukavaa nguo nzuri kwa bei nafuu
@@stambuliwash.abdillahinass8123 kwa waswahili tumenyanyaswa sana
@@stambuliwash.abdillahinass8123 tumeshafanya kazi kwa wahindi Ni manyanyaso tu bidhaa zao Ni bei ghali mpaka walipokuja wasomali na sisi ndio tukavaa nguo nzuri kwa bei nafuu
Babako ni mmoja wa hao waliouza mwambao wa pwani.Leo hii unajifanya kuwa mwena kusafisha jina la babako
@omarkatana9209, kwa hakika, hayo maneno usemayo nimshawasikia wengi wakisema isipokuwa hakuna ambaye ametowa ushahidi wa kuthibitisha kuwa marehemu Babangu ndiye aliyeuza Mwambao wa Pwani! Lakini, wacha mimi nikuoneshe watu kutoka kwenu waliohusika na kuusoza Mwambao wa Pwani ili na wengine wasiojuwa/wasioelewa ukweli wa mambo haya wayajuwe.
Babake sheikh Stanbuli hakuuza mwambao. Mimi ni mbajuni wa Fuma(Kismayo Somalia) na mamangu ni wa Tchundwa (lamu Kenya).
Historia ya visiwani vya lamu Hadi Somalia twaijuwa wenyewe.
Ama historia ya bara na ufuo WA bara ndio waliochangia hadi sasa watu wa visiwani twataabika.
Sheikh Stanbuli anatupa elimu na historia ya kwetu.
Alhamdulillah al-habib Mola akuveke na akupe umri.
Stambuli anasema kama una ushahidi.babake.ndio alouza pwani basi toa ushahidi hadharani, watu wajue, acha kashfa, urongo, hasad, yazisaidi bro,
Mwambao haukuuzwa walikodishwa waengeraza kuurudisha ndio ikawa tatanishi na muda uliisha ilikua urudi kwenye dolaa ya zanzibar