UKWELI BEI YA CADILLAC ESCALADE DIAMOND PLATNUMZ ANAYOMILIKI, ULAJI MAFUTA, KUWA UBER MAREKANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • Huyu hapa ni dealer maarufu wa magari Tanzania Magari Mtaani hapa anatuelezea sifa za magari aina ya Cadillac Escalade.

Комментарии • 924

  • @descartesdivindushime2201
    @descartesdivindushime2201 3 года назад +7

    Oooooh damn this guy is highly genius.... Anaogeya na akili with facts explanation.

  • @shstell
    @shstell 3 года назад +10

    This man has a brain and a half, big up!

    • @fridageorge2809
      @fridageorge2809 3 года назад

      Sasa nyie mnaosema kilaza,mweupe,hajuikitu embu tuambieni kwa undani mambo haya yanakuaje!! Sio unapinga kwa maneno matano!!😏😏

    • @ayoubthompson7057
      @ayoubthompson7057 3 года назад

      Amekosea kwenye kusema tu it's the best suv in the world that's a lie maana duniani the best is still the range rover by far na ndio maana rolls royce,bently, lambo nao wameleta suv zao kucompete

  • @designskeymediaagency7169
    @designskeymediaagency7169 3 года назад +3

    Best SUVs
    1.Nissan Rogue.
    2.Chevrolet Equinox.
    3.Jeep Compass.
    4.Jeep Grand Cherokee.
    5.Ford Escape.
    ACCORDING TO GOOGLE.....TOP 5

  • @seifkiswamba933
    @seifkiswamba933 3 года назад +10

    ile Cadillac escalade suv ni best luxury lakini sio hardcore in terrain uwezi fananisha na mercede benz 4x4 square

  • @roylot7300
    @roylot7300 3 года назад +14

    Huyu jamaa katupa chai ya baridi😅
    1, 🙄 iyo gari sio ya 2021 ni ya 2015
    Search apo uone 2021 inafananaje
    2, 🥴kuinunua iyo gari mpaka ushuru ya 2015
    Ni 140m minimum, ukitaka long wheel base price inapanda kidogo ila sio sana which it's also not a cheap car
    3,😑 iyo sio the best suv ever, search apo uone kama inaingia ata top 5 ya best suv ever made
    4, 😁mzee wa upako wa pale ubungo anayo ya 2016 yeusi aliyonunua way before
    5, 🤨kama kuna gari inaweza kuwa the worst offroading SUVs kibongo bongo ni Escalade na range rovers, izo kazi ni za landcruiser,jeep, na land rover na kila mtu anajua
    6, 😀mwisho Escalade is still not a cheap car
    Maintenance zake sio ndogo pia

  • @christophermsekena616
    @christophermsekena616 3 года назад +25

    Hata jirani yangu Mzee wa Upako anayo Escalade, gari zinatisha sana hizi kwenye msafara

    • @mimimtanzania9738
      @mimimtanzania9738 3 года назад

      Ya kwaka gani Ya mzee wa upako.Ya mondi ni 2021

    • @mimimtanzania9738
      @mimimtanzania9738 3 года назад

      Asante sana kaka kwa kusema kweli coz wabongo wana wivu sana.

    • @georgelusana2346
      @georgelusana2346 3 года назад

      @@mimimtanzania9738 hio ya mondi moja ilikuwa ya saidi lugumi magu na mpk sasa haipo

  • @deusdedithmanugulilo1980
    @deusdedithmanugulilo1980 3 года назад +3

    Sio the best is one of the best. Mwambieni huyo jamaa akajifunze kuhusu Lincoln Navigator, Mercedes Benz G Class na BMW X7

    • @brianmayunga1010
      @brianmayunga1010 3 года назад

      Nadhani huyu jamaa hafuatilii magari anafanya ushabiki na tantalila lincoln Navigator ndio the best SUV mnaweza angalia youtube sasa hivi

    • @noelmgulusi6707
      @noelmgulusi6707 3 года назад

      Tunaongeoea SUV sio sedan

    • @deusdedithmanugulilo1980
      @deusdedithmanugulilo1980 3 года назад

      @@noelmgulusi6707 na kuna Sedan gani nimetaja hapo?? Au na wewe hauzijui gari?

  • @vitusprotus8877
    @vitusprotus8877 3 года назад +1

    Na uko vizuri haswaaa! Na magari yapo damuni hakuna anaweza kukudanganya kitu, hongera kwa ufafanuzi mzr kwa hamnazo.☺

  • @andrewkaswagula3367
    @andrewkaswagula3367 3 года назад +7

    Nimecheka sana.. yaani huyu anatufanya sisi hatuyajui magari... Escalade iwe the best SUV.. unaiacha wapi Lincoln Navigator au Bentley Bentayga Mulliner, au Range Rover SAVautobiography Dynamic.

    • @simonwenceslaus9860
      @simonwenceslaus9860 3 года назад

      We x ungeomba interview we unaumia nn akiongea ivo yani hutaki tu mondi aonekane abamiliki gari hilo

    • @Noble_Digital_Solutions
      @Noble_Digital_Solutions 3 года назад +2

      Kuna Karl man king na Razvani Tank sijui kama anayajua hayo

  • @tynegeemajor
    @tynegeemajor 3 года назад +3

    Daah Best SUV in the world hahaaa!!! Escaladeeeeee, Bro kumbe we kweli ni bingwa wa magari bongo tuuu umeletewa kitu nje ya uwezo wako umeingiza wenge na kuropoka tuu.
    sasa hzi ndo best SUV in all aspects: Rolls-Royce Cullinan, Range Rover LWB, Mercedes-Maybach GLS600, Lamborghini Urus. Usituambie sisi hivoo tenaa bro

  • @malopemaliyamungu5243
    @malopemaliyamungu5243 3 года назад +4

    Ukitaka kuumiza kichwa wasikilize watz hautafika popote.. Unakuta mtu hana hata mia au swift but kelele nyiingi.. Na kwa Mara ya Kwanza mjadala umeanza kuhusu "Escalade" Wenzangu wa "Escudo" tutulie.

  • @marcogodfreymboya7349
    @marcogodfreymboya7349 3 года назад +2

    Sifa yake kuu ni "the best".....the best.....the best!!!!!

  • @ericklyatuu1301
    @ericklyatuu1301 3 года назад +44

    Ile cadillac ya kwanza ya Diamond ndo Ina gharama sana maana imeboreshwa na LEXAN MOTORS

  • @alexmwashibili3616
    @alexmwashibili3616 3 года назад +2

    Aaaaaah brother nimekuelewa kweli👍👍👍

  • @shebe2573
    @shebe2573 3 года назад +17

    Umeongeya vizuri 👍

  • @mjsteven3297
    @mjsteven3297 3 года назад +2

    Hiyo migari imejaa hapa mtaani Nairobi.
    Huyu jama bwege kweli.

    • @rooneyleonidas7824
      @rooneyleonidas7824 3 года назад

      Achauongowemkenya kwenu amunawasanii

    • @rooneyleonidas7824
      @rooneyleonidas7824 3 года назад

      Afukingine kwenu akina msanii wakununua galikamaiyo

    • @mjsteven3297
      @mjsteven3297 3 года назад

      Dogo mi mtanzania, Ila kusema yakenya, haimanishi mi mkenye.
      Hafu ujue huku Kenya kuna wenye maendeleo Yao na hawasemi.
      Mr jagwa anamiliki ndege na hajigambi.

  • @eliudmwakilembe8592
    @eliudmwakilembe8592 3 года назад +5

    Nakumbuka msafara wa bush in tz 2008,,,alikuja na msafara,wa Escalade saba

  • @wollytdiller8067
    @wollytdiller8067 3 года назад +1

    You are crazy!!those cars for Diamond is from 2018 go check nice

  • @festusmwagha6409
    @festusmwagha6409 3 года назад +9

    Alafu we dealer usizoe wakenya kabisa... kenya tunarekodi ya kuagiza magari mpaka billion 5tsh

    • @princebuganzilut2047
      @princebuganzilut2047 3 года назад

      Kenya ni a decade ahead in east africa. Bongo huwa ni mdogomdogo. Mwendo wa kobe

    • @yagalbyyaayuni7247
      @yagalbyyaayuni7247 3 года назад

      Hahahaha sure

    • @edgarnandonde48
      @edgarnandonde48 3 года назад

      Kenya nakubali kuna madoni wengi wana magari ya kifahari alafu wanamiliki watoto tu hila hapa kwetu ushamba mwingi sana

  • @dando7819
    @dando7819 3 года назад +2

    Hivi hiyo Escallade na ile Emialade ipi ni best maana nashindwa kujua mimi!

  • @thedeo472
    @thedeo472 3 года назад +3

    Best SUV in the world is not Escalade. One website rated Mercedes Benz GLE as the Best Overall SUV while Escalade was the 4th SUV in ranking only because of its cargo space.

  • @jogechi2105
    @jogechi2105 3 года назад +2

    Kenya 2021 Zishaingia bro. Mike Sonko ako na mbili White na Black

    • @nilansaid2927
      @nilansaid2927 3 года назад

      Hana huo ubavu
      Ana za 1990

    • @jogechi2105
      @jogechi2105 3 года назад

      @@nilansaid2927 Chunguza vizuri ujue Mike Sonko ni nani kwanza

    • @nilansaid2927
      @nilansaid2927 3 года назад

      @@jogechi2105 hana cardillac ya 2021 mpaka dunia iishe

  • @khalidsalmin7682
    @khalidsalmin7682 3 года назад +4

    Escalade hiyo ya diamond na land cruiser 2022 bora uchukue cruser kwa uono wangu lakini...

  • @najmuddinkarama7360
    @najmuddinkarama7360 3 года назад +1

    bentley bentayga...Rolls-Royce Cullinan ...Mercedes-Maybach GLS.....G wagon...etc huyu chizi akajipange kwanza...

  • @youngbreezy6615
    @youngbreezy6615 3 года назад +14

    ila jamn mujue kuwa izo Cadillac mnozungumzia zote ya diamond ndo ina gharama zaid maana chuma kutoka Lexan motors ambayo ukichanganya na maushuru kitu kinagonga bilion 1.3 Tsh

    • @dericknotderek
      @dericknotderek 3 года назад +1

      Nyokoo unajua billion ww si angenunua rolls Royce basi😂achen upuuuz kafwatilieni bei zake hata custom made Amna ya billion

    • @daxyability9354
      @daxyability9354 3 года назад

      Ww hata hujielewi...unaongea pumba tu

    • @isackmagaya7088
      @isackmagaya7088 3 года назад +1

      Huna hakili timamu wewe billion unaijua wewe

    • @francesisc
      @francesisc 3 года назад

      kiazi huyu

    • @prisiusfelcian5271
      @prisiusfelcian5271 3 года назад

      We kweli chula wa kujitegemea

  • @ssalimsalim3864
    @ssalimsalim3864 3 года назад

    You're very right bro.

  • @KenyaNewsChannel
    @KenyaNewsChannel 3 года назад +7

    Wakenya wangapi hapa wameona Escalade kadhaa Nairobi?

    • @andrewkithii7521
      @andrewkithii7521 3 года назад +1

      Boss ata sonko team ako na kadhaa. Kenya ata 2005 zilikuweko

    • @staredgeinternetservices5854
      @staredgeinternetservices5854 3 года назад

      Mombasa bamburi kama nne napisha nazo

    • @magangajames4644
      @magangajames4644 3 года назад +1

      Kwani Tanzania hakuna?wapo wengi wenye nazo sema aliyenunua ni famous.kuna watu wana hela kuliko huyo hapa Tz

  • @sporttz15
    @sporttz15 3 года назад +2

    Lincon navigator

  • @thegreat.9869
    @thegreat.9869 3 года назад +6

    Hakuna si kweli... best suv siyo escalade.. huyu dealer yupo shallow sana mpaka hapo.. ukizifuata GLS 600 Maybach... hahahaaa.

    • @princebuganzilut2047
      @princebuganzilut2047 3 года назад

      Huyu muuza magari ni mdiamond

    • @andrewkithii7521
      @andrewkithii7521 3 года назад

      @@princebuganzilut2047 hajui tena kuna Bentley bentayga na rolls Royce suv. Tena anasema 2021, 2021 model inakaa tofauti sana hii inakaa 2019. Dealer hana habari

  • @erickavelyne6552
    @erickavelyne6552 3 года назад +2

    Huyu jamaa anaongea point sana

  • @philimoneliah3319
    @philimoneliah3319 3 года назад +7

    Katika hii dunia muogope mungu na technologia alijua hatutaingia kwenye mtandao

    • @lexq-sm6lq
      @lexq-sm6lq 3 года назад

      Nani alijua?

    • @fadhilmfamao5111
      @fadhilmfamao5111 3 года назад +1

      Kwan mond aliwaambia amenunua sh.ngap?, watz wanajitekenya wenyew hlf wanachek wenyewe!!!

  • @johanespoppa9613
    @johanespoppa9613 3 года назад

    Well explained ,excellent.

  • @ommy_king
    @ommy_king 3 года назад +7

    Huyo alosema Escalade ni uber marekani halaf G wagon ndo za matajiri... Hajui kama Dubai G wagon tunahangaika nazo kwenye vumbi😂😂😂 Ferarri huku ni Taxi kabsa

    • @cynthiamukami9426
      @cynthiamukami9426 3 года назад

      😂😂😂😂😂Nauza magari bt kisungu wahala 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @mbwanakiting7180
      @mbwanakiting7180 3 года назад

      Ni dubai

    • @sizaulomi1478
      @sizaulomi1478 3 года назад

      Nimekubali mzee kunamkuda mmoja hivi mange utafikiri yeye analo

    • @rithadonatus8110
      @rithadonatus8110 3 года назад

      😂😂😂😂😂 tujuwe wapi siye washamba

    • @lulually5209
      @lulually5209 3 года назад

      Zileteni huku

  • @bejos845
    @bejos845 3 года назад +1

    Watanzania nawapendea hicho, yani kitu cha kawaida wao wanachukulia issue kubwa, inchi zingine watu awaongelei swala za gari kama hiyo.
    Ama niule msemwa wa mwenyejicho moja mdo mjanja kwenye kundi la vipofu.
    Escalade nigari kawaida sana. Ila inakula nguzo mana wenye mikokoteni ndowengi hata kuliko wenye baiskeli

  • @alhamudesser758
    @alhamudesser758 3 года назад +5

    Hata akiunua ndege bado ni uba marekani

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele 3 года назад

    On the list of the best SUV Escalade on number 19

  • @abdul-bz1cy
    @abdul-bz1cy 3 года назад +46

    hivi unaifahamu Lamborghini urus 2021 ?

    • @happyjohn5882
      @happyjohn5882 3 года назад +10

      Hahaaaaaaaa huyu anachez na akili za wtuu,kuna Porches ambayo ni moto pia,Kuna Lincoln SV ambayo ni hatrii kuliko hii Escal,kuna GMC ya marekana pia hatarii Sana'a Sana'a......

    • @MikiGermany210
      @MikiGermany210 3 года назад +7

      Ni Gari nzuri ila kwa Tanzania ni Sawa na kupoteza pesa, utaipitisha wapi ndugu yangu

    • @emariusrush3285
      @emariusrush3285 3 года назад +5

      Unaambiwa Cadillac Escalade tougher and luxurious car,sasa Lamborghini ni luxurious tu

    • @Hanskapella
      @Hanskapella 3 года назад +7

      Unayajua magari lakini au unaiongelea tu kisa unaionaga kwenye picha.

    • @avitusmichael5
      @avitusmichael5 3 года назад +3

      @@happyjohn5882 unakaribia kusema GSM

  • @Exavery
    @Exavery 3 месяца назад

    aise iyo ni good ❤

  • @leahally4618
    @leahally4618 3 года назад +14

    Munateseka mukiwa wapi jaman 😂 😂😂 mbona nyie iyo gar hamuna?muachen mond wawatu jaman fanyen maendeleo yenu maana ata haitakusaidia kitu na hata ukimsema vibaya maisha yake hayafanani na yako achen umasikin fanyen yamaendeleo dah Yan mapovu yanawatoka jaman😂😂😂

  • @isaacs3904
    @isaacs3904 3 года назад

    Technically.....hakuna uhusiano wa cc 6200 na consumption ya 6.2/100 kms

  • @AhmedHaji72
    @AhmedHaji72 3 года назад +7

    highest rated Suv sio escalade embu tupishege huko kwahio lincoln navigator ya ngapi gari kama boxi bhana 😂😂 na hio sio 2021 kajambe kulee

  • @jacksonmichael6729
    @jacksonmichael6729 3 года назад +2

    Nakubali sana alichokifanya mondi Sasa Bado ndege

    • @thegreat.9869
      @thegreat.9869 3 года назад

      Still hakuna comparison yoyote na ndege... jet ni kitu ingine escalade may be 50 hv. Hahahahaaaa

  • @nicksonhelman294
    @nicksonhelman294 3 года назад +6

    Kunagali inaitwa bebe, mbona kali sana

  • @honorekiza8762
    @honorekiza8762 3 года назад +1

    Bro Gari zote za V8 Engines zinakula mafuta mbona ninayo DODGE CHARGER SRT 2020 Na yenyewe inakula mafuta tena kuzidi iyo Escalade 6.2 L V8 yangu ni 6.4L V8. kununua kitu kama gari hata kama inakula mafuta sana ukiipenda utachukua kama uwezo unao aijalishi ndo pesa sana au Umaskini sana.

  • @saidihamadi8263
    @saidihamadi8263 3 года назад +14

    Heeee nyinyi munaoponda angalau muwe ata I ST bc

  • @mwayembejr.1805
    @mwayembejr.1805 3 года назад +1

    Tatizo watanzania wanaushamba Sana Yani hizo Escalade zinavyochezewa na watoto hapa Kenya ata haziongelewi ila tz imekuwa habari wiki mbili duuuh! Kweli tz baadhi yenu ni madwanzi sanaa

  • @festusmwagha6409
    @festusmwagha6409 3 года назад +3

    Me niulize kaka unaifamu range rover vizuri

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 3 года назад +1

    Kwangu mimi. The Best SUV Ni Kalmani King sio Escalade

    • @Noble_Digital_Solutions
      @Noble_Digital_Solutions 3 года назад

      Tuko pamoja, alafu kila mtu ako na best SUV kutokana na vigezo vya vyake. So Escalade ni gari kali lakini ni the best kwake

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele 3 года назад +4

    $76195 the price of that Escalade new one, and used one is far way less than that

    • @khamisjuma5046
      @khamisjuma5046 3 года назад

      Fifty five thousand dollars

    • @lexq-sm6lq
      @lexq-sm6lq 3 года назад +1

      76195 dollars ni kama upo nje.
      Ku isafirisha mpaka iingie bongo ndio gharama zinapo ongezeka.
      Tuseme ametumia kama 250 - 300k kwa gari zote mbili. (That's not cheap at all, hiyo ni karibu milioni 700)

    • @godfreymbwambo4460
      @godfreymbwambo4460 3 года назад +1

      THE PRICE YOU ARE TALKING IS SUBJECT TO CUSTOMIZATION. THE PRICE COULD HIGHER IF CUSTOMIZED.

    • @lexq-sm6lq
      @lexq-sm6lq 3 года назад +1

      Uki zingatia kuna gari ya tatu rolls Royce phantom ka agiza,
      Na kwa video ambazo Zime anza KUSAMBAA tayari mtandaoni, ina ONEKANA isha fika bongo.(Sijui kama ushaiona hiyo video, rolls Royce phantom iko na cadillac)
      Ukipiga hesabu za gari tatu hizo ni kama bilioni 2 na ushee. NOT CHEAP

    • @edesiuskuyasiwa6352
      @edesiuskuyasiwa6352 3 года назад

      @@lexq-sm6lq Bado sana, kibongo bongo jamaa anapesa.. Lakin Sio kujidai kwa Africa, davido tu hamkuti.

  • @godblesskessy5516
    @godblesskessy5516 3 года назад +2

    wabongo bwana mnapoteza mda kumjadili diamond na magari yake badala ya kujadili vitu vya msingi Kama kuondokana na umasikini tulionao? kujadili magari ni ushamba .kwani tunakwama wapi sie wabongo?

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 3 года назад

      Huu sio ujinga bali ni ni upumbavu kabisa njaa wengine zinawauwa wanahangaika na mtu ambae akiwakuta hapo barabarani hata hawezi kuwatazama foolish.

    • @nilansaid2927
      @nilansaid2927 3 года назад

      Usitupangie maisha sisi sio mifugo yako

  • @PrinceLeon1
    @PrinceLeon1 3 года назад +5

    Iyo ya Diamond sio 2021

  • @moodyramadhan336
    @moodyramadhan336 3 года назад +1

    Ahsante unajua elezea

  • @kassimdinno
    @kassimdinno 3 года назад +5

    Sio the best sema “one of the best”

  • @brayanphilipo1851
    @brayanphilipo1851 3 года назад

    Sio the Best

  • @mediotanzania2165
    @mediotanzania2165 3 года назад +4

    Ila pia tukubali tu diamond Platnumz ndio mtu wa kwanza kuieleta ya 2021 Tanzania hakuna kama mondi

  • @denisimaliyaweni9183
    @denisimaliyaweni9183 3 года назад +1

    Huku kwetu somaria Escalade ni kama fyati au au masey huwa tunapeka shambani kwa ajili ya kusaidia vilimo na mifugo huwa tunabebea mbolea,na mbegu na kubebea mavi ya mifugo kupeleka dample.

  • @adambakari9276
    @adambakari9276 3 года назад +7

    Na ww AYO km huna habari sema tukuuzie habar kenge we umeniharibia MB znh

  • @johnmasanja1762
    @johnmasanja1762 3 года назад +2

    Mondi changanya kenge Hawa, ulete na fisi mzee baba, ili watoe povu kwa sana, mond safiiiiiiiiii

  • @Eric482
    @Eric482 3 года назад +3

    😄😄😄 anadanganya wazi wazi

  • @danieldaudi1283
    @danieldaudi1283 3 года назад

    Nice review! but Escalade ina depreciate sana kuliko ata Toyota Land Cruiser alafu pia siuo SUV ndumu in teams of durability Escalade siyo gari gumu kama SUV nyingine kwenye category iyo ya full size SUV'S

  • @jaqeezmosurprise4499
    @jaqeezmosurprise4499 3 года назад +11

    Unasema diamond hana pesa acha wivu za kwako ziko wp demu wako aki omba pesa ya kusuka 2 una kimbia

  • @GibiGene
    @GibiGene 3 года назад

    U said well

  • @frankchilumba5953
    @frankchilumba5953 3 года назад +12

    Bora umeongea kiukweli kabisa alafu kisomi

  • @dizzobostuwa2489
    @dizzobostuwa2489 3 года назад +1

    Good

  • @Life_of_collin
    @Life_of_collin 3 года назад +3

    Kenya zipo nyingi bro ...

    • @zaidramadhan5845
      @zaidramadhan5845 3 года назад

      2021 elewa co Escalade tu ni Escalade 2021 zipo?

  • @badrumbarouk3377
    @badrumbarouk3377 3 года назад

    Unaijuwa bugett divo mjomba billion 18 za kitanzani na pesa za juu dunian kuna gar Kali zaid na zaid

  • @Asionyi
    @Asionyi 3 года назад +6

    uongo eti kenya hakuna..wewe uko kenya? njoo nairobi tukuonyeshe magari ndugu angu.We are the OG

  • @allymdoka8634
    @allymdoka8634 3 года назад

    Point

  • @mosessanga7534
    @mosessanga7534 3 года назад +21

    Inapita zuu zuu zuu ndio Cadillac inalia ivyo

  • @nicksonkombe91
    @nicksonkombe91 3 года назад +2

    Bentley Bentyga 2020 w12 na Lincoln Navigator 2020. hizi ndio world class SUVs.
    Achana na escallades, yamebaki kua majina tu.

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 3 года назад +12

    Huyu ni mtaalam wa magari used ya Japan huyu

    • @lexq-sm6lq
      @lexq-sm6lq 3 года назад +1

      Kwanini?

    • @abdillahialiy9511
      @abdillahialiy9511 3 года назад

      😂😂

    • @rimbagona6497
      @rimbagona6497 3 года назад

      Bro hapo umeongea ukwel its a used car

    • @lexq-sm6lq
      @lexq-sm6lq 3 года назад +1

      @@rimbagona6497 😂😂😂😂akili sio za kila mtu.
      Gari imefunguliwa Mpya kutoka kwenye contena.😂😂😂

    • @bitobitondola7921
      @bitobitondola7921 3 года назад

      @@lexq-sm6lq nigga hata wewe unaweza agiza gari from anywhere in the world ukalipia liwe delivered kwenye container. Kitu kuwa kwenye container sio kwamba ndio brand new. Tuanzie na hapo

  • @pubgyesssir7973
    @pubgyesssir7973 3 года назад

    Hakuna hio sio number 1

  • @Special4uTV
    @Special4uTV 3 года назад +3

    Jamani hii ni Escalade 2021

  • @_7medo_
    @_7medo_ 3 года назад +1

    Huyo dealer wenu anaujuwa ukwaju kama hajuwi bc karopoka ukwaju hiyo gar haikuti hata v8 XXL kwa ubora eti v8 ni ya kufanya uba yeye kwao hata pikipiki hawana atuondole bangi zake ndo wanao chafuwa majina ya kampun za magari acha tunyamaze tusitoe kasoro za hiyo gari

  • @erickmweta8215
    @erickmweta8215 3 года назад +4

    Huyu dalali anachekesha sana 🤣🤣🤣🤣five star mpaka kusema East Africa haipo
    Leo amejishusha sana

    • @hermanjoshua6224
      @hermanjoshua6224 3 года назад +1

      Ya 2021 nazan ndvyo alivyomaanisha

    • @frankdanford8245
      @frankdanford8245 3 года назад +1

      Yaani ni muongo sana huyu jamaa kuna garage moja pale buguruni ipo cadillac escalade hiyo imekufa yakitambo namba B tena

    • @hermanjoshua6224
      @hermanjoshua6224 3 года назад +1

      @@frankdanford8245 mnachoshindwa kumuelewa huyu jamaa, hajasema hakuna cadillac , ila amesema new model ya 2021 hakuna hyo inaweza kuwa ya kwanza, hzo za zaman zipo nyingi tu
      Muwe mnasikiliza mnaelewa sio kukimbilia kwenye coments tu huku hamjasikiliza

    • @erickmweta8215
      @erickmweta8215 3 года назад

      Vehicle detailing skills yake imeonyesha hana data za uhakika juu ya Escalade. Msanii wa kwanza kuwa na Cadillac kwa EA anaweza kuwa Jose chameleon hapa Tz pia kuna mtoto wa tajir anazo 2

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 3 года назад

    WAPENDWA CHA MSINGI TUMTAFUTE SANA MUNGU HAYA MAGAR TUNAYAACHA JAMAN. TUOKOKE WAPENDWA. YESU ANATUPENDA NA KUTUHITAJI SANA.

  • @mandlasakhile9109
    @mandlasakhile9109 3 года назад +8

    Hii interview naiomba jamani

  • @hekimaisaya8255
    @hekimaisaya8255 3 года назад +1

    6200 cc 🙌🙌

  • @mirajimussa828
    @mirajimussa828 3 года назад +4

    Anaziacha wapi Lincoln Navigator, Mercedes G 63 AMG

    • @kyaro5945
      @kyaro5945 3 года назад

      Mercedes G63ni almost $500k ni za Watoto wa kifalme huko uarabuni. Range rover 2021 ni 200$k

    • @princebuganzilut2047
      @princebuganzilut2047 3 года назад +1

      U diamond umetawala

    • @ignatusrogerslema8650
      @ignatusrogerslema8650 3 года назад

      Hajui magari huyu dalali anasahau Lincoln Navigator kweli

    • @shedrackamos4021
      @shedrackamos4021 3 года назад

      Kagoogle acha ushamba wewe

  • @faidabundulu6995
    @faidabundulu6995 3 года назад

    Nakubali milad Ayoo wengine wanaturushia taarifa za uongo

  • @bosskubwa2727
    @bosskubwa2727 3 года назад +4

    Ila huku Kenya ziko nyingi Tu na watu hawapigi Kelele, huyu kijana wa tandale alete Ferrari

  • @mosesmahinya9654
    @mosesmahinya9654 3 года назад +1

    True

  • @emmanuelkisamo2808
    @emmanuelkisamo2808 3 года назад +5

    Huyu pumbavu kweli. Escalade inaingia kwa Aston Martin,Bentley,Cadilac Cullinan? Muwe mnahoji watu wenye akili.

    • @salehalzakwani3283
      @salehalzakwani3283 3 года назад

      Cullinan 1.5m dolla

    • @ndegejr4218
      @ndegejr4218 3 года назад

      @@salehalzakwani3283 Cullinam ni dollar 318k Toleo la mwaka 2021

    • @bone102
      @bone102 3 года назад

      Mzee hivi hzo gari ulizotaja unaweza uka zitengeneza interior zikawa kama hyo gari anayo zungumzia anasemea gari kubwa hzo zote ulizotaja body zake ni ndogo tofaut na escalade usikurupuke

    • @chrispinimkanda7127
      @chrispinimkanda7127 3 года назад

      Sasa mbona povu mzee baba vip inauma inauma ee !!?

    • @abuuatwiyyahssalafiy9919
      @abuuatwiyyahssalafiy9919 3 года назад

      @@ndegejr4218 a6

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 3 года назад +1

    Eti ni kitu cha kujivunia. Sisi tujivunie kwa sababu inatusaidia nini . Pelekeni ushamba mbele.

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha1687 3 года назад +21

    Hahahah eti east africa hakuna. 🙌🤣🤣🤣🤣😂 ivi huyu anaona MOND tu ndo tajiri eastafrica

    • @salummbunga4167
      @salummbunga4167 3 года назад +3

      USIKUTE PENGINE YEYE NDIO DALALI UJUE 🙈🙈😂🏃🏃

    • @diodoruskyomya9328
      @diodoruskyomya9328 3 года назад

      Were yupi unamjua anayo 2021 in east Africa?

    • @marcellysumaye2859
      @marcellysumaye2859 3 года назад +4

      Kwan nani anayo hiyo gari hapa east africa zaid ya mondi

    • @nshonabdll9363
      @nshonabdll9363 3 года назад +2

      Usikilize na umuelewe Alf timu pny ndo ugonjwa wenu ubishi hmtki ukweli

    • @nshonabdll9363
      @nshonabdll9363 3 года назад +2

      @@marcellysumaye2859 washamba Hao achana nao

  • @rukundoibrahim807
    @rukundoibrahim807 3 года назад +1

    mtaalam iko vizuri.

  • @pamatech7954
    @pamatech7954 3 года назад +3

    Ayo huyu mkungwa umemuokota wap ?huyo muuza noha bob, kama vp mremove anavuruga media tu.

  • @sameeraidd2109
    @sameeraidd2109 3 года назад +2

    Gari la mwisho jeneza

  • @faudhiaabdallah9155
    @faudhiaabdallah9155 3 года назад +3

    Kumbe 300million dah bei chee

    • @thehunter5920
      @thehunter5920 3 года назад

      Milion 300,bei ya land cruiser GXR hiyo v8 hiyo

  • @masakivlogs
    @masakivlogs 3 года назад

    Jamaa ana inspire sana hongera kwake.

  • @madiwahoza4720
    @madiwahoza4720 3 года назад +5

    Muongo huyu jamaa aisee 🤣🤣🤣

  • @lawrencerichline4671
    @lawrencerichline4671 3 года назад

    Mwanangu sana bandari ya magari mtaani

  • @chokambaya468
    @chokambaya468 3 года назад +3

    Huyu inaonekaya Tim mondi wazi mana kuna G wagon v12 anaijua au Lamborghini urusi huyu tim tu

  • @bensonswai7575
    @bensonswai7575 3 года назад +6

    Watanzania tunashida snh mnasem mond hel na nyie nunue tuone Co kuongea tu

    • @siyamanda7073
      @siyamanda7073 3 года назад

      Huyu jamaa anajielewa na muelewa sana yani ameelezea inavyotakiwa.
      Yule kimambi radhi ya baba ake inamsumbua

  • @dsstanzania
    @dsstanzania 3 года назад

    Safi sana mkuu nimekuelewa

  • @la_raib953
    @la_raib953 3 года назад +3

    na Volvo jee

  • @biggestnasritv2601
    @biggestnasritv2601 3 года назад

    THE BIGGEST BOSS NASRI

  • @directordeemer4810
    @directordeemer4810 3 года назад +3

    cjamuelewa kabisa naona anaongea mavi mavi

  • @najmuddinkarama7360
    @najmuddinkarama7360 3 года назад

    Mzee kama kweli unauza Magari basi zitakua combi maana huna unachiojua ....

  • @sammiebudodi
    @sammiebudodi 3 года назад +3

    sio ya mwaka 2021 ni ya 2019

    • @husseniamiri2159
      @husseniamiri2159 3 года назад

      Acha uongo ni ya 2020

    • @Mchiziwaalikiba
      @Mchiziwaalikiba 3 года назад

      @@husseniamiri2159 acha uongo ni 1943

    • @husseniamiri2159
      @husseniamiri2159 3 года назад

      @@Mchiziwaalikiba 1943 cjakuelewa.
      Diamond gari aliyonunua ni ya mwaka 2020

    • @Mchiziwaalikiba
      @Mchiziwaalikiba 3 года назад

      @@husseniamiri2159 just kidding bro