Amekosea kwenye kusema tu it's the best suv in the world that's a lie maana duniani the best is still the range rover by far na ndio maana rolls royce,bently, lambo nao wameleta suv zao kucompete
Huyu jamaa katupa chai ya baridi😅 1, 🙄 iyo gari sio ya 2021 ni ya 2015 Search apo uone 2021 inafananaje 2, 🥴kuinunua iyo gari mpaka ushuru ya 2015 Ni 140m minimum, ukitaka long wheel base price inapanda kidogo ila sio sana which it's also not a cheap car 3,😑 iyo sio the best suv ever, search apo uone kama inaingia ata top 5 ya best suv ever made 4, 😁mzee wa upako wa pale ubungo anayo ya 2016 yeusi aliyonunua way before 5, 🤨kama kuna gari inaweza kuwa the worst offroading SUVs kibongo bongo ni Escalade na range rovers, izo kazi ni za landcruiser,jeep, na land rover na kila mtu anajua 6, 😀mwisho Escalade is still not a cheap car Maintenance zake sio ndogo pia
Nimecheka sana.. yaani huyu anatufanya sisi hatuyajui magari... Escalade iwe the best SUV.. unaiacha wapi Lincoln Navigator au Bentley Bentayga Mulliner, au Range Rover SAVautobiography Dynamic.
Daah Best SUV in the world hahaaa!!! Escaladeeeeee, Bro kumbe we kweli ni bingwa wa magari bongo tuuu umeletewa kitu nje ya uwezo wako umeingiza wenge na kuropoka tuu. sasa hzi ndo best SUV in all aspects: Rolls-Royce Cullinan, Range Rover LWB, Mercedes-Maybach GLS600, Lamborghini Urus. Usituambie sisi hivoo tenaa bro
Ukitaka kuumiza kichwa wasikilize watz hautafika popote.. Unakuta mtu hana hata mia au swift but kelele nyiingi.. Na kwa Mara ya Kwanza mjadala umeanza kuhusu "Escalade" Wenzangu wa "Escudo" tutulie.
Dogo mi mtanzania, Ila kusema yakenya, haimanishi mi mkenye. Hafu ujue huku Kenya kuna wenye maendeleo Yao na hawasemi. Mr jagwa anamiliki ndege na hajigambi.
Best SUV in the world is not Escalade. One website rated Mercedes Benz GLE as the Best Overall SUV while Escalade was the 4th SUV in ranking only because of its cargo space.
ila jamn mujue kuwa izo Cadillac mnozungumzia zote ya diamond ndo ina gharama zaid maana chuma kutoka Lexan motors ambayo ukichanganya na maushuru kitu kinagonga bilion 1.3 Tsh
@@princebuganzilut2047 hajui tena kuna Bentley bentayga na rolls Royce suv. Tena anasema 2021, 2021 model inakaa tofauti sana hii inakaa 2019. Dealer hana habari
Huyo alosema Escalade ni uber marekani halaf G wagon ndo za matajiri... Hajui kama Dubai G wagon tunahangaika nazo kwenye vumbi😂😂😂 Ferarri huku ni Taxi kabsa
Watanzania nawapendea hicho, yani kitu cha kawaida wao wanachukulia issue kubwa, inchi zingine watu awaongelei swala za gari kama hiyo. Ama niule msemwa wa mwenyejicho moja mdo mjanja kwenye kundi la vipofu. Escalade nigari kawaida sana. Ila inakula nguzo mana wenye mikokoteni ndowengi hata kuliko wenye baiskeli
Hahaaaaaaaa huyu anachez na akili za wtuu,kuna Porches ambayo ni moto pia,Kuna Lincoln SV ambayo ni hatrii kuliko hii Escal,kuna GMC ya marekana pia hatarii Sana'a Sana'a......
Munateseka mukiwa wapi jaman 😂 😂😂 mbona nyie iyo gar hamuna?muachen mond wawatu jaman fanyen maendeleo yenu maana ata haitakusaidia kitu na hata ukimsema vibaya maisha yake hayafanani na yako achen umasikin fanyen yamaendeleo dah Yan mapovu yanawatoka jaman😂😂😂
Bro Gari zote za V8 Engines zinakula mafuta mbona ninayo DODGE CHARGER SRT 2020 Na yenyewe inakula mafuta tena kuzidi iyo Escalade 6.2 L V8 yangu ni 6.4L V8. kununua kitu kama gari hata kama inakula mafuta sana ukiipenda utachukua kama uwezo unao aijalishi ndo pesa sana au Umaskini sana.
Tatizo watanzania wanaushamba Sana Yani hizo Escalade zinavyochezewa na watoto hapa Kenya ata haziongelewi ila tz imekuwa habari wiki mbili duuuh! Kweli tz baadhi yenu ni madwanzi sanaa
76195 dollars ni kama upo nje. Ku isafirisha mpaka iingie bongo ndio gharama zinapo ongezeka. Tuseme ametumia kama 250 - 300k kwa gari zote mbili. (That's not cheap at all, hiyo ni karibu milioni 700)
Uki zingatia kuna gari ya tatu rolls Royce phantom ka agiza, Na kwa video ambazo Zime anza KUSAMBAA tayari mtandaoni, ina ONEKANA isha fika bongo.(Sijui kama ushaiona hiyo video, rolls Royce phantom iko na cadillac) Ukipiga hesabu za gari tatu hizo ni kama bilioni 2 na ushee. NOT CHEAP
wabongo bwana mnapoteza mda kumjadili diamond na magari yake badala ya kujadili vitu vya msingi Kama kuondokana na umasikini tulionao? kujadili magari ni ushamba .kwani tunakwama wapi sie wabongo?
Huku kwetu somaria Escalade ni kama fyati au au masey huwa tunapeka shambani kwa ajili ya kusaidia vilimo na mifugo huwa tunabebea mbolea,na mbegu na kubebea mavi ya mifugo kupeleka dample.
Nice review! but Escalade ina depreciate sana kuliko ata Toyota Land Cruiser alafu pia siuo SUV ndumu in teams of durability Escalade siyo gari gumu kama SUV nyingine kwenye category iyo ya full size SUV'S
@@lexq-sm6lq nigga hata wewe unaweza agiza gari from anywhere in the world ukalipia liwe delivered kwenye container. Kitu kuwa kwenye container sio kwamba ndio brand new. Tuanzie na hapo
Huyo dealer wenu anaujuwa ukwaju kama hajuwi bc karopoka ukwaju hiyo gar haikuti hata v8 XXL kwa ubora eti v8 ni ya kufanya uba yeye kwao hata pikipiki hawana atuondole bangi zake ndo wanao chafuwa majina ya kampun za magari acha tunyamaze tusitoe kasoro za hiyo gari
@@frankdanford8245 mnachoshindwa kumuelewa huyu jamaa, hajasema hakuna cadillac , ila amesema new model ya 2021 hakuna hyo inaweza kuwa ya kwanza, hzo za zaman zipo nyingi tu Muwe mnasikiliza mnaelewa sio kukimbilia kwenye coments tu huku hamjasikiliza
Vehicle detailing skills yake imeonyesha hana data za uhakika juu ya Escalade. Msanii wa kwanza kuwa na Cadillac kwa EA anaweza kuwa Jose chameleon hapa Tz pia kuna mtoto wa tajir anazo 2
Mzee hivi hzo gari ulizotaja unaweza uka zitengeneza interior zikawa kama hyo gari anayo zungumzia anasemea gari kubwa hzo zote ulizotaja body zake ni ndogo tofaut na escalade usikurupuke
Oooooh damn this guy is highly genius.... Anaogeya na akili with facts explanation.
This man has a brain and a half, big up!
Sasa nyie mnaosema kilaza,mweupe,hajuikitu embu tuambieni kwa undani mambo haya yanakuaje!! Sio unapinga kwa maneno matano!!😏😏
Amekosea kwenye kusema tu it's the best suv in the world that's a lie maana duniani the best is still the range rover by far na ndio maana rolls royce,bently, lambo nao wameleta suv zao kucompete
Best SUVs
1.Nissan Rogue.
2.Chevrolet Equinox.
3.Jeep Compass.
4.Jeep Grand Cherokee.
5.Ford Escape.
ACCORDING TO GOOGLE.....TOP 5
ile Cadillac escalade suv ni best luxury lakini sio hardcore in terrain uwezi fananisha na mercede benz 4x4 square
Yap G wagon
Huyu jamaa katupa chai ya baridi😅
1, 🙄 iyo gari sio ya 2021 ni ya 2015
Search apo uone 2021 inafananaje
2, 🥴kuinunua iyo gari mpaka ushuru ya 2015
Ni 140m minimum, ukitaka long wheel base price inapanda kidogo ila sio sana which it's also not a cheap car
3,😑 iyo sio the best suv ever, search apo uone kama inaingia ata top 5 ya best suv ever made
4, 😁mzee wa upako wa pale ubungo anayo ya 2016 yeusi aliyonunua way before
5, 🤨kama kuna gari inaweza kuwa the worst offroading SUVs kibongo bongo ni Escalade na range rovers, izo kazi ni za landcruiser,jeep, na land rover na kila mtu anajua
6, 😀mwisho Escalade is still not a cheap car
Maintenance zake sio ndogo pia
Very true
Nunua na ww
Mtu kama wewe ushafanya research tayari sasa huyu mwamba anaongeaaa
@@rukinishadamiano5217 hahahaha
Hata jirani yangu Mzee wa Upako anayo Escalade, gari zinatisha sana hizi kwenye msafara
Ya kwaka gani Ya mzee wa upako.Ya mondi ni 2021
Asante sana kaka kwa kusema kweli coz wabongo wana wivu sana.
@@mimimtanzania9738 hio ya mondi moja ilikuwa ya saidi lugumi magu na mpk sasa haipo
Sio the best is one of the best. Mwambieni huyo jamaa akajifunze kuhusu Lincoln Navigator, Mercedes Benz G Class na BMW X7
Nadhani huyu jamaa hafuatilii magari anafanya ushabiki na tantalila lincoln Navigator ndio the best SUV mnaweza angalia youtube sasa hivi
Tunaongeoea SUV sio sedan
@@noelmgulusi6707 na kuna Sedan gani nimetaja hapo?? Au na wewe hauzijui gari?
Na uko vizuri haswaaa! Na magari yapo damuni hakuna anaweza kukudanganya kitu, hongera kwa ufafanuzi mzr kwa hamnazo.☺
Nimecheka sana.. yaani huyu anatufanya sisi hatuyajui magari... Escalade iwe the best SUV.. unaiacha wapi Lincoln Navigator au Bentley Bentayga Mulliner, au Range Rover SAVautobiography Dynamic.
We x ungeomba interview we unaumia nn akiongea ivo yani hutaki tu mondi aonekane abamiliki gari hilo
Kuna Karl man king na Razvani Tank sijui kama anayajua hayo
Daah Best SUV in the world hahaaa!!! Escaladeeeeee, Bro kumbe we kweli ni bingwa wa magari bongo tuuu umeletewa kitu nje ya uwezo wako umeingiza wenge na kuropoka tuu.
sasa hzi ndo best SUV in all aspects: Rolls-Royce Cullinan, Range Rover LWB, Mercedes-Maybach GLS600, Lamborghini Urus. Usituambie sisi hivoo tenaa bro
Ukitaka kuumiza kichwa wasikilize watz hautafika popote.. Unakuta mtu hana hata mia au swift but kelele nyiingi.. Na kwa Mara ya Kwanza mjadala umeanza kuhusu "Escalade" Wenzangu wa "Escudo" tutulie.
Sifa yake kuu ni "the best".....the best.....the best!!!!!
Ile cadillac ya kwanza ya Diamond ndo Ina gharama sana maana imeboreshwa na LEXAN MOTORS
Hawaelew wanachukulia pouw
yeah you're right!
Ya pili ni ya kawaida?
Absolutely wajina
mange kimavi anapaswa kujifunza kwa mtu kama huyu, acjione kukaa america ndo kujua kila kitu
Aaaaaah brother nimekuelewa kweli👍👍👍
Umeongeya vizuri 👍
Hiyo migari imejaa hapa mtaani Nairobi.
Huyu jama bwege kweli.
Achauongowemkenya kwenu amunawasanii
Afukingine kwenu akina msanii wakununua galikamaiyo
Dogo mi mtanzania, Ila kusema yakenya, haimanishi mi mkenye.
Hafu ujue huku Kenya kuna wenye maendeleo Yao na hawasemi.
Mr jagwa anamiliki ndege na hajigambi.
Nakumbuka msafara wa bush in tz 2008,,,alikuja na msafara,wa Escalade saba
You are crazy!!those cars for Diamond is from 2018 go check nice
Alafu we dealer usizoe wakenya kabisa... kenya tunarekodi ya kuagiza magari mpaka billion 5tsh
Kenya ni a decade ahead in east africa. Bongo huwa ni mdogomdogo. Mwendo wa kobe
Hahahaha sure
Kenya nakubali kuna madoni wengi wana magari ya kifahari alafu wanamiliki watoto tu hila hapa kwetu ushamba mwingi sana
Hivi hiyo Escallade na ile Emialade ipi ni best maana nashindwa kujua mimi!
Ata me yananichanganya😂😂
Emialade itakua karisana tena kunanyingine inaitwa Kobe nikari sana
Hujui magar wew
Best SUV in the world is not Escalade. One website rated Mercedes Benz GLE as the Best Overall SUV while Escalade was the 4th SUV in ranking only because of its cargo space.
Kenya 2021 Zishaingia bro. Mike Sonko ako na mbili White na Black
Hana huo ubavu
Ana za 1990
@@nilansaid2927 Chunguza vizuri ujue Mike Sonko ni nani kwanza
@@jogechi2105 hana cardillac ya 2021 mpaka dunia iishe
Escalade hiyo ya diamond na land cruiser 2022 bora uchukue cruser kwa uono wangu lakini...
bentley bentayga...Rolls-Royce Cullinan ...Mercedes-Maybach GLS.....G wagon...etc huyu chizi akajipange kwanza...
Uko sahihi mkuu. jamaaa anadanganya
ila jamn mujue kuwa izo Cadillac mnozungumzia zote ya diamond ndo ina gharama zaid maana chuma kutoka Lexan motors ambayo ukichanganya na maushuru kitu kinagonga bilion 1.3 Tsh
Nyokoo unajua billion ww si angenunua rolls Royce basi😂achen upuuuz kafwatilieni bei zake hata custom made Amna ya billion
Ww hata hujielewi...unaongea pumba tu
Huna hakili timamu wewe billion unaijua wewe
kiazi huyu
We kweli chula wa kujitegemea
You're very right bro.
Wakenya wangapi hapa wameona Escalade kadhaa Nairobi?
Boss ata sonko team ako na kadhaa. Kenya ata 2005 zilikuweko
Mombasa bamburi kama nne napisha nazo
Kwani Tanzania hakuna?wapo wengi wenye nazo sema aliyenunua ni famous.kuna watu wana hela kuliko huyo hapa Tz
Lincon navigator
Hakuna si kweli... best suv siyo escalade.. huyu dealer yupo shallow sana mpaka hapo.. ukizifuata GLS 600 Maybach... hahahaaa.
Huyu muuza magari ni mdiamond
@@princebuganzilut2047 hajui tena kuna Bentley bentayga na rolls Royce suv. Tena anasema 2021, 2021 model inakaa tofauti sana hii inakaa 2019. Dealer hana habari
Huyu jamaa anaongea point sana
Katika hii dunia muogope mungu na technologia alijua hatutaingia kwenye mtandao
Nani alijua?
Kwan mond aliwaambia amenunua sh.ngap?, watz wanajitekenya wenyew hlf wanachek wenyewe!!!
Well explained ,excellent.
Huyo alosema Escalade ni uber marekani halaf G wagon ndo za matajiri... Hajui kama Dubai G wagon tunahangaika nazo kwenye vumbi😂😂😂 Ferarri huku ni Taxi kabsa
😂😂😂😂😂Nauza magari bt kisungu wahala 🤣🤣🤣🤣🤣
Ni dubai
Nimekubali mzee kunamkuda mmoja hivi mange utafikiri yeye analo
😂😂😂😂😂 tujuwe wapi siye washamba
Zileteni huku
Watanzania nawapendea hicho, yani kitu cha kawaida wao wanachukulia issue kubwa, inchi zingine watu awaongelei swala za gari kama hiyo.
Ama niule msemwa wa mwenyejicho moja mdo mjanja kwenye kundi la vipofu.
Escalade nigari kawaida sana. Ila inakula nguzo mana wenye mikokoteni ndowengi hata kuliko wenye baiskeli
Hata akiunua ndege bado ni uba marekani
😁😂😁😁😁😁😀😀
😁😁😁
On the list of the best SUV Escalade on number 19
hivi unaifahamu Lamborghini urus 2021 ?
Hahaaaaaaaa huyu anachez na akili za wtuu,kuna Porches ambayo ni moto pia,Kuna Lincoln SV ambayo ni hatrii kuliko hii Escal,kuna GMC ya marekana pia hatarii Sana'a Sana'a......
Ni Gari nzuri ila kwa Tanzania ni Sawa na kupoteza pesa, utaipitisha wapi ndugu yangu
Unaambiwa Cadillac Escalade tougher and luxurious car,sasa Lamborghini ni luxurious tu
Unayajua magari lakini au unaiongelea tu kisa unaionaga kwenye picha.
@@happyjohn5882 unakaribia kusema GSM
aise iyo ni good ❤
Munateseka mukiwa wapi jaman 😂 😂😂 mbona nyie iyo gar hamuna?muachen mond wawatu jaman fanyen maendeleo yenu maana ata haitakusaidia kitu na hata ukimsema vibaya maisha yake hayafanani na yako achen umasikin fanyen yamaendeleo dah Yan mapovu yanawatoka jaman😂😂😂
🤣😃😃😃🏃♀️
Technically.....hakuna uhusiano wa cc 6200 na consumption ya 6.2/100 kms
highest rated Suv sio escalade embu tupishege huko kwahio lincoln navigator ya ngapi gari kama boxi bhana 😂😂 na hio sio 2021 kajambe kulee
Hater
Nakubali sana alichokifanya mondi Sasa Bado ndege
Still hakuna comparison yoyote na ndege... jet ni kitu ingine escalade may be 50 hv. Hahahahaaaa
Kunagali inaitwa bebe, mbona kali sana
🤣🤣
Bro Gari zote za V8 Engines zinakula mafuta mbona ninayo DODGE CHARGER SRT 2020 Na yenyewe inakula mafuta tena kuzidi iyo Escalade 6.2 L V8 yangu ni 6.4L V8. kununua kitu kama gari hata kama inakula mafuta sana ukiipenda utachukua kama uwezo unao aijalishi ndo pesa sana au Umaskini sana.
Heeee nyinyi munaoponda angalau muwe ata I ST bc
Tatizo watanzania wanaushamba Sana Yani hizo Escalade zinavyochezewa na watoto hapa Kenya ata haziongelewi ila tz imekuwa habari wiki mbili duuuh! Kweli tz baadhi yenu ni madwanzi sanaa
😃😀😃😀😃😀😃😀
Me niulize kaka unaifamu range rover vizuri
Niliwaza kama wewe, yaani tusiende mbali sana!
Kwangu mimi. The Best SUV Ni Kalmani King sio Escalade
Tuko pamoja, alafu kila mtu ako na best SUV kutokana na vigezo vya vyake. So Escalade ni gari kali lakini ni the best kwake
$76195 the price of that Escalade new one, and used one is far way less than that
Fifty five thousand dollars
76195 dollars ni kama upo nje.
Ku isafirisha mpaka iingie bongo ndio gharama zinapo ongezeka.
Tuseme ametumia kama 250 - 300k kwa gari zote mbili. (That's not cheap at all, hiyo ni karibu milioni 700)
THE PRICE YOU ARE TALKING IS SUBJECT TO CUSTOMIZATION. THE PRICE COULD HIGHER IF CUSTOMIZED.
Uki zingatia kuna gari ya tatu rolls Royce phantom ka agiza,
Na kwa video ambazo Zime anza KUSAMBAA tayari mtandaoni, ina ONEKANA isha fika bongo.(Sijui kama ushaiona hiyo video, rolls Royce phantom iko na cadillac)
Ukipiga hesabu za gari tatu hizo ni kama bilioni 2 na ushee. NOT CHEAP
@@lexq-sm6lq Bado sana, kibongo bongo jamaa anapesa.. Lakin Sio kujidai kwa Africa, davido tu hamkuti.
wabongo bwana mnapoteza mda kumjadili diamond na magari yake badala ya kujadili vitu vya msingi Kama kuondokana na umasikini tulionao? kujadili magari ni ushamba .kwani tunakwama wapi sie wabongo?
Huu sio ujinga bali ni ni upumbavu kabisa njaa wengine zinawauwa wanahangaika na mtu ambae akiwakuta hapo barabarani hata hawezi kuwatazama foolish.
Usitupangie maisha sisi sio mifugo yako
Iyo ya Diamond sio 2021
Ya Kwanza ni 2015 na yapili ni 2021
Ahsante unajua elezea
Sio the best sema “one of the best”
Hapo saaafi
Sure thing
yess
Sio the Best
Ila pia tukubali tu diamond Platnumz ndio mtu wa kwanza kuieleta ya 2021 Tanzania hakuna kama mondi
Eeeh bb mond noma hyo ni ya 2025
Kabisa
Duuu we utakua unaishi mkoa si mjini....
Huku kwetu somaria Escalade ni kama fyati au au masey huwa tunapeka shambani kwa ajili ya kusaidia vilimo na mifugo huwa tunabebea mbolea,na mbegu na kubebea mavi ya mifugo kupeleka dample.
Somalia mko mob
Na ww AYO km huna habari sema tukuuzie habar kenge we umeniharibia MB znh
Mondi changanya kenge Hawa, ulete na fisi mzee baba, ili watoe povu kwa sana, mond safiiiiiiiiii
Afuge simba kama jina lake tu ni hatar
Ishashuka rolroys uko ujona
😄😄😄 anadanganya wazi wazi
Nice review! but Escalade ina depreciate sana kuliko ata Toyota Land Cruiser alafu pia siuo SUV ndumu in teams of durability Escalade siyo gari gumu kama SUV nyingine kwenye category iyo ya full size SUV'S
Unasema diamond hana pesa acha wivu za kwako ziko wp demu wako aki omba pesa ya kusuka 2 una kimbia
U said well
Bora umeongea kiukweli kabisa alafu kisomi
Good
Kenya zipo nyingi bro ...
2021 elewa co Escalade tu ni Escalade 2021 zipo?
Unaijuwa bugett divo mjomba billion 18 za kitanzani na pesa za juu dunian kuna gar Kali zaid na zaid
uongo eti kenya hakuna..wewe uko kenya? njoo nairobi tukuonyeshe magari ndugu angu.We are the OG
Point
Inapita zuu zuu zuu ndio Cadillac inalia ivyo
🤣🤣🤣
😅😅
Zuchu zuchu😂😂
😂😂😂😂eti zuchu nimechekaje
Atal
Bentley Bentyga 2020 w12 na Lincoln Navigator 2020. hizi ndio world class SUVs.
Achana na escallades, yamebaki kua majina tu.
Huyu ni mtaalam wa magari used ya Japan huyu
Kwanini?
😂😂
Bro hapo umeongea ukwel its a used car
@@rimbagona6497 😂😂😂😂akili sio za kila mtu.
Gari imefunguliwa Mpya kutoka kwenye contena.😂😂😂
@@lexq-sm6lq nigga hata wewe unaweza agiza gari from anywhere in the world ukalipia liwe delivered kwenye container. Kitu kuwa kwenye container sio kwamba ndio brand new. Tuanzie na hapo
Hakuna hio sio number 1
Jamani hii ni Escalade 2021
Huyo dealer wenu anaujuwa ukwaju kama hajuwi bc karopoka ukwaju hiyo gar haikuti hata v8 XXL kwa ubora eti v8 ni ya kufanya uba yeye kwao hata pikipiki hawana atuondole bangi zake ndo wanao chafuwa majina ya kampun za magari acha tunyamaze tusitoe kasoro za hiyo gari
Huyu dalali anachekesha sana 🤣🤣🤣🤣five star mpaka kusema East Africa haipo
Leo amejishusha sana
Ya 2021 nazan ndvyo alivyomaanisha
Yaani ni muongo sana huyu jamaa kuna garage moja pale buguruni ipo cadillac escalade hiyo imekufa yakitambo namba B tena
@@frankdanford8245 mnachoshindwa kumuelewa huyu jamaa, hajasema hakuna cadillac , ila amesema new model ya 2021 hakuna hyo inaweza kuwa ya kwanza, hzo za zaman zipo nyingi tu
Muwe mnasikiliza mnaelewa sio kukimbilia kwenye coments tu huku hamjasikiliza
Vehicle detailing skills yake imeonyesha hana data za uhakika juu ya Escalade. Msanii wa kwanza kuwa na Cadillac kwa EA anaweza kuwa Jose chameleon hapa Tz pia kuna mtoto wa tajir anazo 2
WAPENDWA CHA MSINGI TUMTAFUTE SANA MUNGU HAYA MAGAR TUNAYAACHA JAMAN. TUOKOKE WAPENDWA. YESU ANATUPENDA NA KUTUHITAJI SANA.
Hii interview naiomba jamani
6200 cc 🙌🙌
Anaziacha wapi Lincoln Navigator, Mercedes G 63 AMG
Mercedes G63ni almost $500k ni za Watoto wa kifalme huko uarabuni. Range rover 2021 ni 200$k
U diamond umetawala
Hajui magari huyu dalali anasahau Lincoln Navigator kweli
Kagoogle acha ushamba wewe
Nakubali milad Ayoo wengine wanaturushia taarifa za uongo
Ila huku Kenya ziko nyingi Tu na watu hawapigi Kelele, huyu kijana wa tandale alete Ferrari
True
huyu jamaa simuelewi mjuwe
Huyu pumbavu kweli. Escalade inaingia kwa Aston Martin,Bentley,Cadilac Cullinan? Muwe mnahoji watu wenye akili.
Cullinan 1.5m dolla
@@salehalzakwani3283 Cullinam ni dollar 318k Toleo la mwaka 2021
Mzee hivi hzo gari ulizotaja unaweza uka zitengeneza interior zikawa kama hyo gari anayo zungumzia anasemea gari kubwa hzo zote ulizotaja body zake ni ndogo tofaut na escalade usikurupuke
Sasa mbona povu mzee baba vip inauma inauma ee !!?
@@ndegejr4218 a6
Eti ni kitu cha kujivunia. Sisi tujivunie kwa sababu inatusaidia nini . Pelekeni ushamba mbele.
Hahahah eti east africa hakuna. 🙌🤣🤣🤣🤣😂 ivi huyu anaona MOND tu ndo tajiri eastafrica
USIKUTE PENGINE YEYE NDIO DALALI UJUE 🙈🙈😂🏃🏃
Were yupi unamjua anayo 2021 in east Africa?
Kwan nani anayo hiyo gari hapa east africa zaid ya mondi
Usikilize na umuelewe Alf timu pny ndo ugonjwa wenu ubishi hmtki ukweli
@@marcellysumaye2859 washamba Hao achana nao
mtaalam iko vizuri.
Ayo huyu mkungwa umemuokota wap ?huyo muuza noha bob, kama vp mremove anavuruga media tu.
Gari la mwisho jeneza
Kumbe 300million dah bei chee
Milion 300,bei ya land cruiser GXR hiyo v8 hiyo
Jamaa ana inspire sana hongera kwake.
Muongo huyu jamaa aisee 🤣🤣🤣
Umeona ee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mwanangu sana bandari ya magari mtaani
Huyu inaonekaya Tim mondi wazi mana kuna G wagon v12 anaijua au Lamborghini urusi huyu tim tu
Kwani ni SUV au?
Watanzania tunashida snh mnasem mond hel na nyie nunue tuone Co kuongea tu
Huyu jamaa anajielewa na muelewa sana yani ameelezea inavyotakiwa.
Yule kimambi radhi ya baba ake inamsumbua
Safi sana mkuu nimekuelewa
na Volvo jee
THE BIGGEST BOSS NASRI
cjamuelewa kabisa naona anaongea mavi mavi
Mzee kama kweli unauza Magari basi zitakua combi maana huna unachiojua ....
sio ya mwaka 2021 ni ya 2019
Acha uongo ni ya 2020
@@husseniamiri2159 acha uongo ni 1943
@@Mchiziwaalikiba 1943 cjakuelewa.
Diamond gari aliyonunua ni ya mwaka 2020
@@husseniamiri2159 just kidding bro