🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • VITA YA MWAMPOSA NA DR.SHEIKH SHARIF FIRDAUSI ALQADIRY SABABU MAFUTA AYA YA PANGUSO TAZAMA

Комментарии • 51

  • @GloryMathias-n4d
    @GloryMathias-n4d 5 месяцев назад +1

    Ni. Panguso pekee ina Nguvu ya kupita. Uwezu. Faida kubwa. Zaidi.

  • @GloryMathias-n4d
    @GloryMathias-n4d 5 месяцев назад +1

    Hakika. Pangusa inapangusa kila kitu Ni nzuri kupita uwezo.

  • @MaishaNuro
    @MaishaNuro 6 месяцев назад +1

    Shehe nisaofiye nimerogwa nipo mozambike

  • @HussainMaula-d1g
    @HussainMaula-d1g 7 месяцев назад +1

    Shekhe sharifu dawa anazijua sisi wauza dawa wa kkooo tunamuelewa

  • @FatimeOmari
    @FatimeOmari 5 месяцев назад +1

    Masha Allah alhamdullillah!!❤haya mafuta ya sheikh sharifu acha wachawi wapagawe sio kwa mchanganyiko huo !eti mwamposa wapi amfikie sharifu

  • @SerinaMasika
    @SerinaMasika 23 дня назад

    Shehe sharifu wengine tunaumwa sitembei miaka kumi na moja Niko mlandixi napate mafuta hayo namimi nitembee

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed7381 2 месяца назад +1

    🙏🙏🙏

  • @HassanMpinga-u6z
    @HassanMpinga-u6z 7 месяцев назад +1

    Wakati wa mungu ni wakati sahihi mpinga shari na timu Yako endeleeni kutuletea matangazo ya mojakwa Moja ili tunufaike na uislamu

  • @mwanabsada7377
    @mwanabsada7377 8 месяцев назад +2

    Mashallah.mashallah.umetufunuwa.machosanna.wachawi.wametuonea.sana.mimi.nahitajia.hayomafuta.sasanitayapataje

  • @ShabaniMussa-f3k
    @ShabaniMussa-f3k 7 месяцев назад +2

    Mwamposa Ana nn mzushi tu

  • @GladysBaritta
    @GladysBaritta 3 месяца назад

    Number cm

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 8 месяцев назад +3

    Kumekucha kumekuchaaaa 😳

  • @salumsasua9906
    @salumsasua9906 7 месяцев назад +1

    Iyo mizizi ni ya mtunguja tuuu au ipo mengine

  • @mudhihirIbrahim-hb7ry
    @mudhihirIbrahim-hb7ry 7 месяцев назад +1

    Khatari

  • @rashidkihunga2938
    @rashidkihunga2938 7 месяцев назад +1

    no zipo hapo pembeni kushoto. kwako

  • @mwanabsada7377
    @mwanabsada7377 8 месяцев назад +1

    Mimi.nashida.zangu.naomba.msaadawako.nitakupataje

  • @ZainabuMwambashi
    @ZainabuMwambashi 8 месяцев назад +1

    Shekhe watu wambali wanapataje msaada

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 7 месяцев назад

    sheekh sharifu anafuga majini mwamposa anayatimua majini ndio ugomvi wao

  • @GloryMathias-n4d
    @GloryMathias-n4d 8 месяцев назад +2

    MaashaAllah Mafuta ya panguso. Ni. Hatari kubwa yanasaidia saana. Kupona ni lazima. Imani kubwa.

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya9648 7 месяцев назад

    Sasa Nenda na mafuta yako hayo Kwa Mwamposa ukamwage ili ujipime

  • @FrolahRimo-cm3tu
    @FrolahRimo-cm3tu 7 месяцев назад

    Hahaha AAA kweli tumeingikiwa hatufanganyik, alafu najuta kutumia mb zangu

  • @adamsonmwaisumo6791
    @adamsonmwaisumo6791 7 месяцев назад +1

    Namba aionekani

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 8 месяцев назад +1

    Uongo huo

  • @kifubayusuph8741
    @kifubayusuph8741 8 месяцев назад +1

    shekh mafia turetee madukani yamekwisha nimazuri sana ayo yarete shekh

  • @GloryMathias-n4d
    @GloryMathias-n4d 8 месяцев назад +2

    Hakika sheikhe. Shariif tunapona na majanga yote ya. Kichawi mwisho wao.

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 8 месяцев назад +1

      Hahahah

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 7 месяцев назад +2

      Ushawahi ona wapi mshirikina akaponya ushirikina.. kwanza huyo anayejiita sheikh hana Yesu ndani yake, atapata wapi mamlaka ya kuponya kwanza a namuamini mhammad na mhammad alilogwa akalogeka

    • @VickKulekana-si1ib
      @VickKulekana-si1ib 6 месяцев назад

      Halafu bado mdogo tu

    • @VickKulekana-si1ib
      @VickKulekana-si1ib 6 месяцев назад

      Ndio najuwa Hilo mnyonyo ni dawa ya kupata choo

    • @VickKulekana-si1ib
      @VickKulekana-si1ib 6 месяцев назад +1

      Haridali nayasikia hayo mafuta dawa

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 7 месяцев назад +1

    ,,,Imani Yako ndio itakuponya

  • @moestate9982
    @moestate9982 8 месяцев назад +2

    Mwenyezi mungu mtukufu akujalie kila la heri kazi nzuri unafanya inshallah

  • @petermbuthiah
    @petermbuthiah 8 месяцев назад +1

    Nipo Kenya nahitaji ni pesa ngapi?

    • @rahmahasan32
      @rahmahasan32 2 месяца назад

      Pia mimi nahitaji niko Kenya mombasa jamani sheikh

  • @emmanuelfreddy3617
    @emmanuelfreddy3617 7 месяцев назад +1

    Mbona namba haionekani

    • @MchinaSeme
      @MchinaSeme 7 месяцев назад +1

      Namba inaonekana best

  • @hemedyawadhi2935
    @hemedyawadhi2935 8 месяцев назад +3

    Anapatikana wap uyu sheh

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 7 месяцев назад +1

    Vp yanaongeza ngumu za kiume

  • @SalimaIminza
    @SalimaIminza 8 месяцев назад +1

    Aslam aleikum Mimi no Salima Mohd ni shanzu keroport Mombasa naota kula nyama Kila siku kichwa chauma Kila siku ,panya jongoo paka kulia usiku.miguu inauma chino ya nyayo kizunguzungu Kila saa.wanga wanilisha mkate usuku ukuta kutingika Killa siku macho inauma.naomba Dua zako sheikh

  • @GtrudaUtenga-es4pq
    @GtrudaUtenga-es4pq 7 месяцев назад +1

    Ila we mtangazaji kichwa cha habali na majibu ya shehe tofaut mi paka wanakufa kwa kunyanyua maji kwa tivii weka iman moyon mungu utamuona muacheni mwaamposa wetu

    • @IssaBacar-i2i
      @IssaBacar-i2i 7 месяцев назад

      Hivi nyie wakristo munatafuta nini?, maana hadi leo hii sisi waislam hatuja jua ni kipi ambacho munakihitaji!!!

  • @Dareaziz
    @Dareaziz 8 месяцев назад +1

    🙏🙏