BW HARUSI AKABIDHIWA SILAHA UKUMBINI KAMA ILIVYO DESTURI ZA KIHAYA KWA AJILI YA ULINZI WA FAMILIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 71

  • @amanyajonathan4433
    @amanyajonathan4433 3 месяца назад +12

    Wahaya oyeeee 💪💪💪💪

  • @HeryethAleck
    @HeryethAleck 3 месяца назад +8

    Binti umefungwa khanga na mama alafu ujitoe ufahamu baadae uanze kuvaa vipisi vya nguo😂😂

  • @juliabwana2519
    @juliabwana2519 2 месяца назад +4

    Jamani wanawake weusi tunaolewa Mimi ni cheusi na nimeolewa na mwanaume handsome Kila mtu mume wangu anamsha gaa

  • @Nduwimanadenise
    @Nduwimanadenise 2 месяца назад +2

    Kumbe anaitwa Jina langu Denise❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤️❤️❤️

  • @AlindaOscar-t6o
    @AlindaOscar-t6o Месяц назад +1

    Woooooh wahaya jmn wenye wazaz muwatunze 😭😭😭😭

  • @mariaally8288
    @mariaally8288 3 месяца назад +5

    Tudumishe Mila zetu jamani ❤️🙏🤝

  • @zakiarutabanzibwa7407
    @zakiarutabanzibwa7407 2 месяца назад +4

    Safi sana eichumu no omuholo safi sana baba

  • @faithkaganda-k3s
    @faithkaganda-k3s 3 месяца назад +9

    Umefanana na mama sana❤❤mc

  • @CHRISTINAMAGASI
    @CHRISTINAMAGASI 3 месяца назад +7

    Huyu kato ni mtiifu sana

  • @queenjacklinedavid2600
    @queenjacklinedavid2600 3 месяца назад

    Baba mungu akubariki umeweza kumuonesha mwanao Mila na desturi yako.na Mimi umeniaminisha zaidi kua Mira nadesturi ni tamaduni zetu wa Africa.sitaacha Mila na tamaduni zangu

  • @HappyHiker-nz9vg
    @HappyHiker-nz9vg 3 месяца назад +2

    Mashallah zaidi ya upendo❤

  • @ReticiaKasigara
    @ReticiaKasigara 3 месяца назад +2

    Wowww

  • @witnesclavery759
    @witnesclavery759 Месяц назад

    Kwel baba ni muhimu sana mlio nao mwatunze,...nilikuwa nakufaniaa nilivyo muona mzee....duh!! Mtunze sana Baba nimuhimu sana.ongera sana

  • @suzannemilembenyalagu4802
    @suzannemilembenyalagu4802 3 месяца назад +1

    Wow hatimae MC wangu ameoa, Mungu akutangulie kny ndoa yako takatifu!!

    • @joycejohn-ux7jh
      @joycejohn-ux7jh 2 месяца назад

      Ongera mc wangu mungu akutamgulie

    • @jennytugara9470
      @jennytugara9470 Месяц назад

      Nilifikiri nimemfananisha kumbe ni MC yeye Maneno yote kapuni ahaaa hii siku huwa sio mchezo!!!

  • @halimaphiniasibwire9688
    @halimaphiniasibwire9688 13 дней назад

    Umetisha

  • @ReginaKaizirege-sd3hn
    @ReginaKaizirege-sd3hn 3 месяца назад +2

    Najivunia kuwa Muhaya, ekyana kyoomuhaya

  • @NancySulleNancy
    @NancySulleNancy 3 месяца назад +1

    Nani kasema wadada weusi hawaolewi jmn,msimkufuru mungu maan ndo katuumba sote

  • @farajalyanda8019
    @farajalyanda8019 3 месяца назад +2

    Hadi raha❤

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 3 месяца назад +23

    Sijui nisemeje . Yaani wadada weusi tutafute sana pesa. Kuolew hakupo tena. Kila anayeolewa nweuoe. Ajabu wanazaliwa watoto weusi

    • @HadijaDaffo
      @HadijaDaffo 3 месяца назад +2

      😂😂😂

    • @kutailass6671
      @kutailass6671 3 месяца назад

      Yaan weupe na wenye shep ndio wenye soko sis wengine tutafute pesa kwa kwel😢

    • @verobecamfipa8655
      @verobecamfipa8655 3 месяца назад +3

      Alafu mbaya zaidi tukiambiwa tujichubue hatutaki tunajifanya black beauty 😂😂😂😂😂😂😂😂 tutazeeka bila kuonja ndoa walai😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

    • @kutailass6671
      @kutailass6671 3 месяца назад

      @@verobecamfipa8655 kujichubua pia hapana tutafute pesa tu na tuwe na nidham wapo wataka tukumbuka tu ndugu zangu 😁

    • @JuliusKimonga-x8e
      @JuliusKimonga-x8e 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂

  • @FatumaAbdallah-x9e
    @FatumaAbdallah-x9e 3 месяца назад +1

    Kwa jinsi alivyo sikuwahi kudhani kama ni muhaya hongera kaka

  • @joycekambuga6286
    @joycekambuga6286 3 месяца назад +1

    Kato kafanana na mamake sana. Mungu amtumze

  • @LeticiaMwonge
    @LeticiaMwonge 3 месяца назад +1

    Kijana mtiifu sana wewe mungu akibarki

  • @ForahJoseph
    @ForahJoseph 2 месяца назад

    Chezea sie weweeeeeee ❤❤❤ 2:49 2:53 2:55

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 3 месяца назад +1

    Mbona mna mila kama za kwetu Burundi!😮

  • @mariasalomemelchiorkaigaru1974
    @mariasalomemelchiorkaigaru1974 3 месяца назад +2

    wahaya oyeeeeeee

  • @LydiaMbaze
    @LydiaMbaze 3 месяца назад

    Hongera nyingi kwao

  • @LamaribamJumbe
    @LamaribamJumbe 3 месяца назад +3

    Masha Allah ❤❤❤❤❤

  • @LeticiaMwonge
    @LeticiaMwonge 3 месяца назад

    Akubariki sana

  • @AgnesDavid-et3zn
    @AgnesDavid-et3zn 3 месяца назад +1

    Na mm natafta mhaya 😂😂

  • @neemadavid7587
    @neemadavid7587 2 месяца назад

    Mbn mke anakaa mbali kdg n mmewe anatakiwa au wanatakiwa wawe zero distance

  • @JanethMahili
    @JanethMahili Месяц назад

    Hongera sana ❤❤

  • @Fathasssane-vs2th
    @Fathasssane-vs2th Месяц назад

    Kwani wakiristo tz wanavaa kanzu na koti

    • @fransiscooswaldo1292
      @fransiscooswaldo1292 21 день назад

      Kanzu ni vazi kama mavaz mengine

    • @RebeccaMuhimba
      @RebeccaMuhimba 7 дней назад

      ​@@fransiscooswaldo1292 mpe sure pia mwambie ilo ni vazi la kimira kwa wahayaaaaaaaaaa

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 3 месяца назад

    Ivi akiwalima na hilo silaa mtasemaje?