Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Wahaya oyeeee 💪💪💪💪
Binti umefungwa khanga na mama alafu ujitoe ufahamu baadae uanze kuvaa vipisi vya nguo😂😂
Jamani wanawake weusi tunaolewa Mimi ni cheusi na nimeolewa na mwanaume handsome Kila mtu mume wangu anamsha gaa
Kumbe anaitwa Jina langu Denise❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤️❤️❤️
Woooooh wahaya jmn wenye wazaz muwatunze 😭😭😭😭
Tudumishe Mila zetu jamani ❤️🙏🤝
Safi sana eichumu no omuholo safi sana baba
Umefanana na mama sana❤❤mc
Na wewe umeona pia🙊🙈
Huyu kato ni mtiifu sana
Baba mungu akubariki umeweza kumuonesha mwanao Mila na desturi yako.na Mimi umeniaminisha zaidi kua Mira nadesturi ni tamaduni zetu wa Africa.sitaacha Mila na tamaduni zangu
Mashallah zaidi ya upendo❤
Wowww
Kwel baba ni muhimu sana mlio nao mwatunze,...nilikuwa nakufaniaa nilivyo muona mzee....duh!! Mtunze sana Baba nimuhimu sana.ongera sana
Wow hatimae MC wangu ameoa, Mungu akutangulie kny ndoa yako takatifu!!
Ongera mc wangu mungu akutamgulie
Nilifikiri nimemfananisha kumbe ni MC yeye Maneno yote kapuni ahaaa hii siku huwa sio mchezo!!!
Umetisha
Najivunia kuwa Muhaya, ekyana kyoomuhaya
Nani kasema wadada weusi hawaolewi jmn,msimkufuru mungu maan ndo katuumba sote
Hadi raha❤
Sijui nisemeje . Yaani wadada weusi tutafute sana pesa. Kuolew hakupo tena. Kila anayeolewa nweuoe. Ajabu wanazaliwa watoto weusi
😂😂😂
Yaan weupe na wenye shep ndio wenye soko sis wengine tutafute pesa kwa kwel😢
Alafu mbaya zaidi tukiambiwa tujichubue hatutaki tunajifanya black beauty 😂😂😂😂😂😂😂😂 tutazeeka bila kuonja ndoa walai😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@@verobecamfipa8655 kujichubua pia hapana tutafute pesa tu na tuwe na nidham wapo wataka tukumbuka tu ndugu zangu 😁
😂😂😂😂😂
Kwa jinsi alivyo sikuwahi kudhani kama ni muhaya hongera kaka
Kato kafanana na mamake sana. Mungu amtumze
Kijana mtiifu sana wewe mungu akibarki
Chezea sie weweeeeeee ❤❤❤ 2:49 2:53 2:55
Mbona mna mila kama za kwetu Burundi!😮
wahaya oyeeeeeee
Oyeeee
Hongera nyingi kwao
Masha Allah ❤❤❤❤❤
Akubariki sana
Na mm natafta mhaya 😂😂
Ebu tulia 😂
Mbn mke anakaa mbali kdg n mmewe anatakiwa au wanatakiwa wawe zero distance
Hongera sana ❤❤
Kwani wakiristo tz wanavaa kanzu na koti
Kanzu ni vazi kama mavaz mengine
@@fransiscooswaldo1292 mpe sure pia mwambie ilo ni vazi la kimira kwa wahayaaaaaaaaaa
Ivi akiwalima na hilo silaa mtasemaje?
Jioni board gard
Wahaya oyeeee 💪💪💪💪
Binti umefungwa khanga na mama alafu ujitoe ufahamu baadae uanze kuvaa vipisi vya nguo😂😂
Jamani wanawake weusi tunaolewa Mimi ni cheusi na nimeolewa na mwanaume handsome Kila mtu mume wangu anamsha gaa
Kumbe anaitwa Jina langu Denise❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤️❤️❤️
Woooooh wahaya jmn wenye wazaz muwatunze 😭😭😭😭
Tudumishe Mila zetu jamani ❤️🙏🤝
Safi sana eichumu no omuholo safi sana baba
Umefanana na mama sana❤❤mc
Na wewe umeona pia🙊🙈
Huyu kato ni mtiifu sana
Baba mungu akubariki umeweza kumuonesha mwanao Mila na desturi yako.na Mimi umeniaminisha zaidi kua Mira nadesturi ni tamaduni zetu wa Africa.sitaacha Mila na tamaduni zangu
Mashallah zaidi ya upendo❤
Wowww
Kwel baba ni muhimu sana mlio nao mwatunze,...nilikuwa nakufaniaa nilivyo muona mzee....duh!! Mtunze sana Baba nimuhimu sana.ongera sana
Wow hatimae MC wangu ameoa, Mungu akutangulie kny ndoa yako takatifu!!
Ongera mc wangu mungu akutamgulie
Nilifikiri nimemfananisha kumbe ni MC yeye Maneno yote kapuni ahaaa hii siku huwa sio mchezo!!!
Umetisha
Najivunia kuwa Muhaya, ekyana kyoomuhaya
Nani kasema wadada weusi hawaolewi jmn,msimkufuru mungu maan ndo katuumba sote
Hadi raha❤
Sijui nisemeje . Yaani wadada weusi tutafute sana pesa. Kuolew hakupo tena. Kila anayeolewa nweuoe. Ajabu wanazaliwa watoto weusi
😂😂😂
Yaan weupe na wenye shep ndio wenye soko sis wengine tutafute pesa kwa kwel😢
Alafu mbaya zaidi tukiambiwa tujichubue hatutaki tunajifanya black beauty 😂😂😂😂😂😂😂😂 tutazeeka bila kuonja ndoa walai😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@@verobecamfipa8655 kujichubua pia hapana tutafute pesa tu na tuwe na nidham wapo wataka tukumbuka tu ndugu zangu 😁
😂😂😂😂😂
Kwa jinsi alivyo sikuwahi kudhani kama ni muhaya hongera kaka
Kato kafanana na mamake sana. Mungu amtumze
Kijana mtiifu sana wewe mungu akibarki
Chezea sie weweeeeeee ❤❤❤ 2:49 2:53 2:55
Mbona mna mila kama za kwetu Burundi!😮
wahaya oyeeeeeee
Oyeeee
Hongera nyingi kwao
Masha Allah ❤❤❤❤❤
Akubariki sana
Na mm natafta mhaya 😂😂
Ebu tulia 😂
Mbn mke anakaa mbali kdg n mmewe anatakiwa au wanatakiwa wawe zero distance
Hongera sana ❤❤
Kwani wakiristo tz wanavaa kanzu na koti
Kanzu ni vazi kama mavaz mengine
@@fransiscooswaldo1292 mpe sure pia mwambie ilo ni vazi la kimira kwa wahayaaaaaaaaaa
Ivi akiwalima na hilo silaa mtasemaje?
Jioni board gard