Naomba Utufundishe mbinu za kulinda mapenz ya wanandoa wanapokua mbali mbali Nipo nje ya nchi na Mume wangu yupo Tanzania kila siku ni kumuaza yeye tu kama hanisaliti yaani😔. Nimemuamini kwa asilimia zote ila hii roho ya kusalitiwa haichagui mwaminifu au kiruka njia.
Kiukaeli hili lakwangu lipo busy na kazi eti nimeshachoka mnalaa hata mwezi mzima bila sex aisee😢wanawake tunapitia some time unatamani uchukue reaction muda mwingi chuoni mpaka jumapili alishaaasi kusali niombeeni wanawake wenzangu😢najiuliza sana ukikuta mtu anachepuka tusimuite malaya pengine huwa kuna shida pahali
Naomba Utufundishe mbinu za kulinda mapenz ya wanandoa wanapokua mbali mbali
Nipo nje ya nchi na Mume wangu yupo Tanzania kila siku ni kumuaza yeye tu kama hanisaliti yaani😔.
Nimemuamini kwa asilimia zote ila hii roho ya kusalitiwa haichagui mwaminifu au kiruka njia.
tunakula huku
Asante sana mwanangu kwa somo zuri la leo hata mimi mama yako nitajitaidi kumpa mapenzi yote baba yako❤❤❤❤
Big up kaka❤❤❤❤❤❤❤❤kazi njema
❤ ahsantee sana dr
😂😂😂Nimekaa paleeeeee
Asante sana Kaka Chris.
Mungu akibariki .
Kwa upande wangu yupo mbali natamani anihudumie zaidi nisaidie ujuzi plz....
Barikiwaaa
Ubarikiwe sana brother Chris Mauki
😅😅😅😅😅dah leo.umenifrahisha san
Mungu akuweke sana bro
Unafafanua vzr sana kaka
Nimekuelewa sana🎉
Exactly 💯... Thanks papaa
That’s true💯. Thanks doctor
Mmm ❤❤❤😂😂😂 uko sawa
Mbona mi nacukia nikiombwa hhh kumbe kuna wanaye imwa jaman
Kiukaeli hili lakwangu lipo busy na kazi eti nimeshachoka mnalaa hata mwezi mzima bila sex aisee😢wanawake tunapitia some time unatamani uchukue reaction muda mwingi chuoni mpaka jumapili alishaaasi kusali niombeeni wanawake wenzangu😢najiuliza sana ukikuta mtu anachepuka tusimuite malaya pengine huwa kuna shida pahali
Hapo kweli kabisaaaaa
Pole mama
Hapo kwenye mapenzi wange jua, wambie na kiwango kabisa angalau Mala 3 kwa siku ukishindwa Sana 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂khaaaa
😂😂😂😂
N dozi ya dawa😀😀😀
😂😂😂😂😂
Upumbav mtupu❤
Tufundishe wewe
Mbwa wew😂
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂❤❤
Leo umesema ukweli mana yake huwa muna wambia kuwa wawo tu ndiyo wanasitahili
😂😂😂kabisa
😂😂😂x mtambuka,x maji kwenye rejeta, x mkopo wa vigezo vigumu baki,x kausha dam, x ya mawindo😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂wallai mauki amenimaliza na kicheko na hii sentenci
😂😂😂😂
Yani mmewangu aseme kingine maana kwa sex tuu ahaaaaaa. Ashindwe yeye
😂😂😂
😂😂😂😂