Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Asante kwa SoMo sasa napiga pesa
anamanisha bikarbonate na revire congo
Asante Dada Aika biashara nzuri unauza shs ngapi hizo visheti
Hamna amira
Thank you mom sasa nimeona hiyo n njia rahisi nimeona
Wow thakns bae. Now nimejua
Perfect dear
wajina wow❣️
Ubarikiwe
Mashallah 😋👌naleta kahawa ☕
Ndo yenyewe
Jamani wakati munataja viungo museme majina raisi shiye uku congo atujuwe ile majina
Asante kwa somo zuri dear, nitajaribu
Nitajaribu in shaaAllah
Hongra
Thank you for the lesson, you are a good teacher, well explained. ❤❤
Shukran nitajitahidi
Hapo ktk Shira unaweka jikon
Kwahy iyo shila ukiwa unamimina kwenye visheti inatakiwa Kuwa ya moto au imepoa???
Mashallah 👌
🥰🥰🥰
hongera recipe nzur nimeipenda,,ila naomba hapo kwenye kipimo cha kikombe ukiweza tuambie kwa millilita maana hizo saiz za vikombe vinatofautiana
Unafungaje ili uuze
Amna hamira
Asante dada
Nimepanda sanaa
Asante kwa darasa zuri
Karibu sanaa
Asante but samahan Naomba number yako
Bakin powarde y aina gani
Naomba naomba yako nikuulize maswali kidogo
Kama utaki kutengeneza vya sukari nje Unaweza ukaweka sukari au ni lazima viwe na sukari nje
Nimependa kaziyako dad😂❤
Je kwenye visheti hamira haiwekwi?
Kama ni kwa biashara unakuwaunauza shingip kila kimoja
Kupika keki
Hiyo sukari kikombe ni kiasi gan
Neema brasio
❤
Nikipika vikikaa one day sukari inayeyuka
Hatuviumui??
Chumvi haiwekwi?
❤❤
Asnte
Amira haiwekwi
Mboni mm nikichanganya shila vnagandana
Ili isigande inabid uhkikisha ukitengeneza shira ukion hiv au ukiwez test utaon inanata hapo itakuwa Iko tyr ndo utaweka vishet vyako
Je kwenye Shira unaweka jikoni au
VP Hali nimepanda
Sambusa please
Chumvi kidogo huwezi tia ndio uchangamye
Darasa ni zuri na linaeleweka
Unga umetumia kilo ngap
Samahani kwani ni lazima uweke baking powder?
Sio lazima Ila tuuh km utataka isiwe vigumu sana
Umeambiwa usipo weka zinakua ngum lakin ile inalainisha
Daah hadi raha ntapika siku ya idi
Vifungashio vyake tutavipataje
Je pop corn za rangi unaweza kutengeneza
😋😋😋😋😋😋😋😋
😋😋😋
Tamu ntajaribu leo
🥰🥰
Kwaiyo kama unataka sukari ndani unaweka muda ambao unakanda?
Ndiyo
Ziko sawa ila sio wewe mpishi Leo 😅😅
😋😋
Vikokoto pka
Naitaji kujifunza visheti ya nane
Ila leo sio ulie pika aika ila nivizur
Ni Mama Malle 😂😂😂
Asanteee ❣️
Would love if this was in English or had subtitles!
Sukari ya kutengeneza shira ni ya aina gani????
Ya kawaida
Hamila hakuna
Asante kwa SoMo sasa napiga pesa
anamanisha bikarbonate na revire congo
Asante Dada Aika biashara nzuri unauza shs ngapi hizo visheti
Hamna amira
Thank you mom sasa nimeona hiyo n njia rahisi nimeona
Wow thakns bae. Now nimejua
Perfect dear
wajina wow❣️
Ubarikiwe
Mashallah 😋👌naleta kahawa ☕
Ndo yenyewe
Jamani wakati munataja viungo museme majina raisi shiye uku congo atujuwe ile majina
Asante kwa somo zuri dear, nitajaribu
Nitajaribu in shaaAllah
Hongra
Thank you for the lesson, you are a good teacher, well explained. ❤❤
Shukran nitajitahidi
Hapo ktk Shira unaweka jikon
Kwahy iyo shila ukiwa unamimina kwenye visheti inatakiwa Kuwa ya moto au imepoa???
Mashallah 👌
🥰🥰🥰
hongera recipe nzur nimeipenda,,ila naomba hapo kwenye kipimo cha kikombe ukiweza tuambie kwa millilita maana hizo saiz za vikombe vinatofautiana
Unafungaje ili uuze
Amna hamira
Asante dada
Nimepanda sanaa
Asante kwa darasa zuri
Karibu sanaa
Asante but samahan Naomba number yako
Bakin powarde y aina gani
Naomba naomba yako nikuulize maswali kidogo
Kama utaki kutengeneza vya sukari nje Unaweza ukaweka sukari au ni lazima viwe na sukari nje
Nimependa kaziyako dad😂❤
Je kwenye visheti hamira haiwekwi?
Kama ni kwa biashara unakuwaunauza shingip kila kimoja
Kupika keki
Hiyo sukari kikombe ni kiasi gan
Neema brasio
❤
Nikipika vikikaa one day sukari inayeyuka
Hatuviumui??
Chumvi haiwekwi?
❤❤
Asnte
Amira haiwekwi
Mboni mm nikichanganya shila vnagandana
Ili isigande inabid uhkikisha ukitengeneza shira ukion hiv au ukiwez test utaon inanata hapo itakuwa Iko tyr ndo utaweka vishet vyako
Je kwenye Shira unaweka jikoni au
VP Hali nimepanda
Sambusa please
Chumvi kidogo huwezi tia ndio uchangamye
Darasa ni zuri na linaeleweka
Unga umetumia kilo ngap
Samahani kwani ni lazima uweke baking powder?
Sio lazima Ila tuuh km utataka isiwe vigumu sana
Umeambiwa usipo weka zinakua ngum lakin ile inalainisha
Daah hadi raha ntapika siku ya idi
Vifungashio vyake tutavipataje
Je pop corn za rangi unaweza kutengeneza
😋😋😋😋😋😋😋😋
😋😋😋
Tamu ntajaribu leo
🥰🥰
Kwaiyo kama unataka sukari ndani unaweka muda ambao unakanda?
Ndiyo
Ziko sawa ila sio wewe mpishi Leo 😅😅
😋😋
Vikokoto pka
Naitaji kujifunza visheti ya nane
Ila leo sio ulie pika aika ila nivizur
Ni Mama Malle 😂😂😂
Asanteee ❣️
Would love if this was in English or had subtitles!
Sukari ya kutengeneza shira ni ya aina gani????
Ya kawaida
Hamila hakuna
Kupika keki