❤kama utamwimbia mungu ktk roho na kweli atakubarik utafika mbali lakin wasanii wengi wakishtoboa wanamsahau mungu wanatafuta kick tu na shetani hupenda sana kutumia kipawa cha mwimbaji kumkosea mungu ❤❤simama kwa yesu
Hallelujah, nakumbuka nilikotoka dada ni kweli Mungu hututiwa mbali, mengi yakinipitia ili nirudi nyuma nisiendelee; Kukubali ukristo kuachana na uislm si jambo rahisi ni mkono wa Bwana! Sitatizama nyuma naenda na Yesu… ubarikiwe sana dada yangu unayo sauti nzuri hata shetani aliko anaumia mno…
Ninacho kuomba simama kabisa, unakipaji cha uimbaji tena ngoma hiyo ni safi kabisa sio zile za kutoa jashi kama wasanii wa dunia! Sisi ni wana wa Mungu lazima tuwe na utafauti.
MMA gwimbile Kyala akupe nyimbo zaidi ulimwengu unalisubili neons hili ndilo neno ktk wimbo huu. Tunakukaribisha saana ktk idara hii, umtubariki sana,❤❤❤❤🙌🙌🙌🙌🥰🙏🙏🙏🙏
Wow that's me last year nilipitia mengi mno ila Mungu kanipigania .Kwa hayo yote ninaamini ni Mungu alikua ananipitisha mtihani it wasn't easy ss hivi nina shukrani tele Mungu kanipigania .Asante Kwa wimbo wenye nguvu wa kutia moyo na nguvu
Be blessed my lovely❤❤sister may the God your singing of bless you like the rain during the noah's ark.... Congrats so much your building a good apartment in the heaven🎉 May Lord Jesus bless you so much❤❤❤❤❤
Who's here from TikTok.... congratulations baby girl
thank you
Mimi
Here iam
Umeutendea wimbo huu haki.Mtumishi wa mungu Ambwene alipo najua anafurahia kweli kweli.
Amina baba
Umeimba vizuri sana, nimebarikiwa sana, utanifundisha na mimi kuimba usiache kunifundisha
nashukuru sana mamy😍
What a mazing song 💋😘 thanks for other additional of Hope
be blessed
❤kama utamwimbia mungu ktk roho na kweli atakubarik utafika mbali lakin wasanii wengi wakishtoboa wanamsahau mungu wanatafuta kick tu na shetani hupenda sana kutumia kipawa cha mwimbaji kumkosea mungu ❤❤simama kwa yesu
Amen, asante sana kaka
My lovely friend Mungu azidi kuinua huduma yako n njema sanaa❤❤ Wimbo umenigusaa🙏😭
barikiwa sana kipenzi changu😍😍
Hallelujah, nakumbuka nilikotoka dada ni kweli Mungu hututiwa mbali, mengi yakinipitia ili nirudi nyuma nisiendelee; Kukubali ukristo kuachana na uislm si jambo rahisi ni mkono wa Bwana! Sitatizama nyuma naenda na Yesu… ubarikiwe sana dada yangu unayo sauti nzuri hata shetani aliko anaumia mno…
Ninacho kuomba simama kabisa, unakipaji cha uimbaji tena ngoma hiyo ni safi kabisa sio zile za kutoa jashi kama wasanii wa dunia! Sisi ni wana wa Mungu lazima tuwe na utafauti.
Amen Amen nakosa hata usingizi jamani ubarikiwe ubarikiwe na Bwana.
Ambwene Ambwene ubarikiwe mtunzi wa wimbo huuu…
Amen barikiwa
Kweli dada uko na kipaji kikubwa sana ,, sauti nzuri sana ubarikiwe mpendwa❤❤❤❤❤
Amina kaka
Mamamamaaa🙆♀️🙆♀️🥹🥹 oy unajua moaka unaboa😭😭 keep going mamy 😍😍 nakuona mbali sanaaaa 🥰😋
Amina kipenzi😍😍
MMA gwimbile Kyala akupe nyimbo zaidi ulimwengu unalisubili neons hili ndilo neno ktk wimbo huu. Tunakukaribisha saana ktk idara hii, umtubariki sana,❤❤❤❤🙌🙌🙌🙌🥰🙏🙏🙏🙏
Amen nashukuru sana
Wow that's me last year nilipitia mengi mno ila Mungu kanipigania .Kwa hayo yote ninaamini ni Mungu alikua ananipitisha mtihani it wasn't easy ss hivi nina shukrani tele Mungu kanipigania .Asante Kwa wimbo wenye nguvu wa kutia moyo na nguvu
be blessed mamy😍
❤❤❤sauti kama malaika weeehuu unanibariki mumy , nasikiza hii song kila wakati❤❤❤🙏🙏🙏🙏
woooooooooh, be blessed mamy
🙌🙌kazi Nzuri Sana be blessed sister 💸💸
@joym.
Amen my dear
Dada unajua naunajua tena sana sauti nzuri tena yaunyenyekevu kikubwa pambana ❤
Nice voice dear ❤
thank youu
Congrats da rey MUNGU aendelee kukuongoza❤❤
Amen 🙏🏼🙏🏼
barikiwaa mama
Congratulations my sister ❤️ ❤❤❤❤🎉
be blessed 😍
Hongera sana rey uko vizuri nina imani uko na kitu ndani yako utafika mbali sana
amen, asante sana
❤❤❤❤❤Umenibariki sanamama
You did it the best mom❤
thank you
Kazi nzuri mdogo wangu ubarikiwe
asante kakaangu
Woooow lovely Song be blessed Rehema wimbo huu umenibariki sana barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Amen mamy
Mungu akuinue zaidi Mdogo angu
amen kaka
Daaaaah unenikosha saaaaana aiseee hebu njoo nacover nyingine ya Ambwene
hahahahha sawaa
Barikiwa mnooo 💯💯💯🙏 chunya twakupenda
asante dear
Hongera kipenzi
Mungu azidi kukuinua viwango vya juu zaidi
Hongera mtumishi Rehema Mungu akutumie zaidi
asantee dear
Nice voice momaa,, receive your flowers for a good song
thank you mamy
Thanks for listening
Mungu akuinie Kwenda viwango vingine dada
amen
Amazing cover and voice,,May God bless you and lift you higher and higher... Nakuona mbali sana dada
asantee sanaa
Be blessed my lovely❤❤sister may the God your singing of bless you like the rain during the noah's ark.... Congrats so much your building a good apartment in the heaven🎉 May Lord Jesus bless you so much❤❤❤❤❤
Amen mdogo wangu kipenzi😍😍
From Tanzania,Sauti nzuri kama Gloria muliro,be blessed dada
asante sana kaka
barikiwa Rehema kazi nzuri sana
@@JasmineMnubi asante kipenzi
Amen sauti nzuri mno mungu akuinue kwa viwango vya juu❤
Amen
Those harmonies hit different 😮❤
😍😍
Hongera Sana Dadaangu🎉🎉
asante mdogo wangu
@@reymastory_tz Mungu akutumie zaidiii dadaa🙌🙌
Unajua mpaka unajua tena,mungu azidi kukuinua ❤❤
Safi sana MUNGU aikuze zaidi na zaidi karama yako.❤
amen, asantee
Safi kabisa hongera saana dadaangu
Am from TikTok ❤❤ barikiwa sana dada
Amen mamy
Beautifulllllllll Remixxxxxxxx Mama, Mafuta Zaidiiiii kwakooooo.......
amen
Your blessed dear❤❤❤❤❤
amen
Unajua sanaaaaaaaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤
Hongera sana, sauti nzuri sana dada yangu. Nimerudia mara kadhaa kusikiliza hii nyimbo
Daaaaaaaaah kweli unajua wanyakyusa bwana mungu awabaliki AMEN
amen
Mungu andelee kukutunza ili uweze kumtumkkia zaid❤
asante mamaangu
Uweeeh this is what we call singing kutoka moyoni mwako ooh I'm really touched
be blessed my dear
Hongera sana Mungu azidi kukuinua lv u❤
thank you mamy
Wimbo safi sana🤝🙏🙏🙏
asanteee
Ubarikiwe sana mdg wangu na Mungu azidi kukuinua
asantee kaka
Safi nzuri Songa mbele Kwanza umethubutu pili umeweza roho mtakatifu akupake mafuta zaidi
Asante sanaa
Nice cover hongera kwa kuimba vzr
asante
Nice job congratulations ❤❤❤❤
Thank you!!
Hatarihatari Mungu azidi kukuinua
Amen
Just came from TikTok. Thanks and more blessings mamaaa... 0:44
Amen
Aloooh sauti yako imenitoa tiktok hadi huku 🎉hakika mungu akuinue kwa viwango vya juu
asantee mama
Keep soaring high dear
Thank you,
Kazi nzuri Mungu akutangulie ktk kulitangaza neno lake
Amen dear
Hongera mamy❤️
Asante sana 😊
asante kipenzi
Mpakwa MAFUTA wa BWANA YESU Nkuombea tu, uinuliwe na BWANA Utakapo inuliwa usiinuke, heshima na unyenyekevu viambane nawe
Amen nashukuru sana Mtumishi wa Bwana
@@rehemamwakyusa4598 hongera kwa wimbo mzr mno
Kweli dada angu datiso ni sisi my dear sister mungu wetu hanashita yeyote nimeshifusa kitu kutoka kwa huo wimbo
be blessed
Umenibariki na wimbo huu nikiwa DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Mungu akuinuwe zaidi na zaidi dada
be blessed my dear
@@rehemamwakyusa4598 Amen🙏🏽
inspiring song..in the wilderness Mungu yupo..ametushikila
Amen
Anointing song. 🎉🎉🎉
Ameeen dada barikiwe sana
amen
Mungu nibariki na mie nikuimbie kama uyu dada ....ongera dea
asante kipenzi
waoooo hongera sanaaaaa ❤❤❤❤
Asante 🙏🏼
asantee dadaangu kipenzi
Nataman niwe dancer wako nimeipendaa hii ❤❤❤ Much respect
hahahhahahahha eti dancer jamani😂
eee miuno fen kama yote na shaku shakuu kwa mbaliii😂😂😂
Half me lovin you ❤ keep it up
thanx babe 😍
God bless you my Sister 🙏🙏
Amen
Kazi nzuri 🎉
asante mamy
Wow! what a song!
🤗🤗
I've been playing this song many times. A good and so cute voice,What I thing she performed greatly in this cover. Big up, shalaout to Abwene
thanx alots🤗
Waaaaooo ❤❤hongera kipenz mungu azidi kukuinua viwango vikubwa ukapate kibari ulimwenguni kote iko vizur 😊
asantee mama
Nice voice dr,may God keep you blessing us .ilove this voice so nice
It awesome! Hongera sana.
asantee
Wimbo huo wa tulipotoka ni mbali unanibariki siku hadi siku natumaini utafika mbali dd Rehema na utakuwa zaidi ya wao❤ by daina
asante kipenzi changu😍
Hongera dia ❤❤❤
asantee love
Umefanya vizuri Sana wim no mzuri sana
asanteee
❤wawoooo kazi nzur❤❤❤❤
asantee
Waaah!!! May God bless you
Thanks a lot
Jamani Mungu ana vyombo
😍😍😍
Hongera sana rey❤❤❤❤
thanx mamy😍
Ubarikiwe sana YESU akuinue zaidi
amen
Hongera sana dada kazi nzuri Mwenyezi Mungu akubariki sanaaaa usonge mbele.
Amina dear
Kazanaaa umeimba vzr sana
asantee
Followed straight from tiktok❤ powerful!
Amen
Zidi kubarikiwa sana aisee. Daahhh😢😢😢
Amen🙏
Uko vizuri little sis keep up making good jobs😊
Amen asantee
Well done be blessed much my sister in Christ
amen
Safi,uko vizuri mdogo wangu,Mungu akuinue zaidi kwa viwangu vya juu
Amen dada
Kazi nzuri sanaa...hongera dada❤
asanteee 😍
Woow da rey nawish na mm niimbe ivooo mungu akutangulie 🙏
utaimba tu dear
Upo vzur sana dadaangu
asantee
Wooow hallelujah 🙏🏻
😍😍
Hongera sana Mungu azidi kukuinua
amen
Wow vocals very nice keep moving❤❤❤
😍😍😍
❤❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️love the song, but truely you are talented
thank you
Wow ! Hongera dada Mungu akuinue viwango vya juu
Aminaaa
So Amazing ❤❤
Sauti tamu sanaaa 🥳
Asante 😊
asante kipenzi