DUNIA (Ep 02)

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 319

  • @AishaDjuma-zw5rj
    @AishaDjuma-zw5rj День назад +113

    Wewe utakae like comment hii , Mwenyezi Mungu aibariki mikono Yako / Amin

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg День назад +50

    Hii movie mbn haijawah tokea yaaan n bonge la movie, hongeren kwa kubuni ktu knzr,

    • @MakwanaJr
      @MakwanaJr 23 часа назад

      @@JullianaEmmanuel-tm5xg nakuunga mkono kak manyanya anajua sana Yani alikuwa wapi siku zote izo

    • @hamisichau8975
      @hamisichau8975 22 часа назад

      Sasa uyo ni kaka au mdada ​@@MakwanaJr

    • @jamalijafari1935
      @jamalijafari1935 9 часов назад +1

      uhakika kweli ni bonge la movie

  • @onesmongulo3770
    @onesmongulo3770 День назад +30

    Wale tunao enjoy mapenzi ya mudy mlevi na bebe ake tujuane❤❤❤

    • @zahraabdul9652
      @zahraabdul9652 19 часов назад

      Akili na pombe 😂😂😂😂😂😂😂viabishana😂😂😂❤

  • @WilsonKihanga-jb5fb
    @WilsonKihanga-jb5fb День назад +46

    Jamani wanaomtaka kicheche kwenye hii movie mtuache kidogo hatakiwi hapa😂😂 hii kitu iko serious saana na yule hawezi kazoea comedy ko atatuharibia movie😂😂😂

    • @HASHMANTZ-n1v
      @HASHMANTZ-n1v День назад +1

      Mbona kicheche anaweza kwenye hii movie

    • @WilsonKihanga-jb5fb
      @WilsonKihanga-jb5fb День назад +1

      Aah wapi yule hana userious kabisa.kila character atafanya comedy 😆🤣

    • @HASHMANTZ-n1v
      @HASHMANTZ-n1v День назад +1

      ​@WilsonKihanga-jb5fb🤣🤣🤣🤣 yule angewekwa kwenye scene ya muuza genge au duka angetisha sana

    • @WilsonKihanga-jb5fb
      @WilsonKihanga-jb5fb День назад +1

      Kicheche hawa watu aliwatupa ndio maana wamekuja kivyaovyao

    • @ErickbarnabasNestory-vr6hz
      @ErickbarnabasNestory-vr6hz День назад

      One point

  • @faizhassan5029
    @faizhassan5029 День назад +11

    From 254 Kenya tunatambua sana channel ya Asma Film Kwa vitu vizuri kama wewe pia unaikubali hii Channel Gonga like basi

  • @fredyassinecheia
    @fredyassinecheia День назад +11

    Wakwanza mim leo nipeni like Zang from Moz 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg День назад +17

    Ila Manyanaya unajua had unajua tena, hongera broo

  • @AnnaMwandu
    @AnnaMwandu День назад +14

    Kawimbo kanaugusa moyo anayejua jina lake

  • @Kutaila99
    @Kutaila99 День назад +10

    Chapombe kweli kama ni zulia unalo lakutosha

  • @dakhanvevo
    @dakhanvevo День назад +4

    Muda chachetu lakini movie yenu nimeikubari shabiki yenu from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @wilmotkarisa6174
    @wilmotkarisa6174 День назад +10

    Yeyote atakaye tazama hii series abarikiwe mpaka achangae🙏🙏

  • @abrahimfathery8126
    @abrahimfathery8126 День назад +8

    Wa kwanza jamani kutoka kenya like zangu🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿

  • @philipmutua6643
    @philipmutua6643 23 часа назад +11

    Manyanya ni mtanzania kweli?😂😂😂

  • @marthasamson462
    @marthasamson462 День назад +8

    Hewaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉 nilikuwa nasubiria part 2 ,hatimae

  • @RukiaDzombo-uf7wp
    @RukiaDzombo-uf7wp День назад +12

    Hyo mwanamme mwenye tai yuko na maneno mazito na muhimu sana kwa wanandoa,,,mambo ya dunia kwa kweli

  • @marthaonkoba
    @marthaonkoba День назад +6

    Naipenda kutoka Kenya❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @MagrthMagandula
    @MagrthMagandula День назад +11

    We chapombe nyoa hvi love gorden bna😂😂😂

    • @nancyfantasia1945
      @nancyfantasia1945 День назад

      Kama kichaka 😂😂😂😂

    • @gracekayumba-z9l
      @gracekayumba-z9l 18 часов назад

      Anyoe ili iweje Kwan Kila nywele niyakunyoa ushasem g love wengine tunayapenda

    • @Lissahford
      @Lissahford 5 часов назад

      mwenzako analipenda zulia lake😂😂

  • @DainesWilliam
    @DainesWilliam День назад +7

    Nimewah jmn naomba hata like 10

  • @andrewkilave3532
    @andrewkilave3532 День назад +8

    ila mlevi anajua sana aisee 😅

  • @MoTalentTz
    @MoTalentTz 23 часа назад +6

    Oy weeh sema hii move kali sna❤❤🙏🙏👋👋

  • @shadyarif653
    @shadyarif653 22 часа назад +8

    Haya Maisha Yapo tuu na ndiyo Tunaishi

  • @safiniasinyangwe4359
    @safiniasinyangwe4359 День назад +5

    Jordan umefanana na x wangu na umbeya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @GloriaVaati-ls9ql
      @GloriaVaati-ls9ql 11 часов назад

      😂😂😂😂umbea tu....jamani huyu Jordan 😂😂😂

  • @zenamtembezi4921
    @zenamtembezi4921 День назад +2

    Wanaume wanaojari ndoa yao wachache sana katik hii nnchi wanaume mjifunze❤🔥👌

  • @AminaKhalfani-ib7sh
    @AminaKhalfani-ib7sh День назад +3

    Wanaomkubar mista madaftar gonga like

  • @IshimweKevin-no3vy
    @IshimweKevin-no3vy День назад +4

    Naipenda kutoka 🇧🇮❤❤.

  • @Ndogodedanger12
    @Ndogodedanger12 День назад +10

    Naombeni hata like tano tu plz😢🎉🎉

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr 13 часов назад +1

    Vijana najua mnatafta na insha'Allah mtafika. Keeps it up wakubwa❤❤❤❤❤

  • @Stogwa
    @Stogwa День назад +12

    WA kwanza Leo nipeni ata tano bass

  • @MoiseMuhindo-m7z
    @MoiseMuhindo-m7z 7 часов назад +1

    Vayleti nakupenda Sana kuanja zamani me iyi muvie nime kuchukiya mwanaume haumu tendeye haki kabisa

  • @NasraFahmy-j9y
    @NasraFahmy-j9y День назад +2

    Jamni vai ana nin at ataki kutow owa mke wa 2 atakaa sw uy 😂😂😂 mzenj ap

  • @BenjaminiMathayo
    @BenjaminiMathayo День назад +2

    Baba yake mzazi nae ni mbwa pia maana nae ni mwanaume 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @adidjaVyumvuhore-tp3tc
    @adidjaVyumvuhore-tp3tc 23 часа назад +1

    Mudy n Manyanya respect san mnajuw,mnawez tena san 🎉🎉🎉🇧🇮🇧🇮🙏🙏🙏

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr 13 часов назад +1

    Manyanya ni wa Hollywood but tupo nae Tanzania 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @zahraabdul9652
    @zahraabdul9652 19 часов назад +2

    Kweli ndoa zina mengi 😂😂😂😂😂hii Dunia ina mambo kila mwanandoa yuko na zake kwake 😂😂😂😂 single mpo ?tujuwane basi 😢 😢

    • @Asha-k6z
      @Asha-k6z Час назад

      😂😂😂😂

  • @kinjekitilew
    @kinjekitilew 22 часа назад +1

    Shida ya movie za kibongo lazima ziwe na mwingiliano wa kimapenzi naona rafiki yake mumewake vai anataka kumla vai

  • @MelickLinus-m8t
    @MelickLinus-m8t 11 часов назад +1

    Tunaomutaka kicheche kwenye hii movie tujuane kwa like jamani

  • @PesaBrand-b2o
    @PesaBrand-b2o День назад +1

    Mkinitukana basi lakini wajameni kicheche yuko wapi au kunashido

  • @MarkOlubayo
    @MarkOlubayo Час назад

    Asma Comedian mko chonjo sana. Nawapenda na nawafatilia nikiwa kenya ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @martinkioko6437
    @martinkioko6437 10 часов назад +1

    🎉wa kwanza hapa kutoka Kenya 🇰🇪 naomba hata like moja

  • @HASHMANTZ-n1v
    @HASHMANTZ-n1v День назад +1

    Jamani asma comedian naomba mumalizane na queen na yy ARudi tumewamiss sana

  • @CharityImaculate
    @CharityImaculate День назад +1

    Jaman hii asma comedian wanaleta movie nzur sana msimamiz ni kicheche au maan kali balaa

  • @shadyarif653
    @shadyarif653 22 часа назад +2

    Huyu Waife ananifanana juh me na pesa ni kama yeye na mmo😂🎉

  • @KUNGURUGANG
    @KUNGURUGANG День назад +1

    Brother kanji 🤣 asubuhii pombe et Cha asubuhi

  • @DonMooFILMES_Express
    @DonMooFILMES_Express День назад +2

    NIMEIKUBALI LAKINI AGANO ilikuwa 🔥 SANA

  • @MariamuIbrahimu-p5g
    @MariamuIbrahimu-p5g День назад +1

    Movi nzuri kabisa lkn mnatowa fupi jamani 19 min

  • @Arwin-vy5ky3qp6s
    @Arwin-vy5ky3qp6s День назад +1

    This movies is interesting congratulations guys, Kicheche has miss in the movie

  • @MuddyMigenge
    @MuddyMigenge День назад +1

    Sema mko poa sana ila msichelewe kutoa muendelezo

  • @MonnaclassicFashion
    @MonnaclassicFashion День назад +1

    Hii movie kwamoto haifai kabisaa maneno yake mmh😮😮

  • @NeemaMzur
    @NeemaMzur 13 часов назад

    LATIFA yupo wapi jamani.....
    Tuliommiss Latifa wa agano....tunamtaka wa dunia

  • @condeboy257tv9
    @condeboy257tv9 10 часов назад +1

    Huyu Mulevi Mbona Hatali Sana, 😂

  • @jorgecesilio8862
    @jorgecesilio8862 23 часа назад +1

    Najifunza kitu kupitia hii series❤❤❤❤🎉

  • @frankmwaikambo9784
    @frankmwaikambo9784 12 часов назад

    Mzee wa mathematicaly unajua jamaa angu. Chapombe dah huniangushagi mzee.. kongole zinduna

  • @VanessaMallya-c5v
    @VanessaMallya-c5v 21 час назад +1

    Ila Cindy na chapombe mnaendana snaa big up ❤

  • @obedyjohn5350
    @obedyjohn5350 День назад +1

    Vai nakukubali sn unajua kuigiza naona utafka mbali sn

  • @NaomiEdward-ef2cp
    @NaomiEdward-ef2cp День назад +2

    Love more❤❤❤❤❤❤ vai and manyanya

  • @RADHIAMNYEMA
    @RADHIAMNYEMA День назад +1

    Nasma napenda Toka kwenye movie ya kichaw

  • @Abdulrazakjuma-lu5xb
    @Abdulrazakjuma-lu5xb День назад +1

    Jamn mud chapombe kapendwa😂😂😂😂

  • @nesaahaji1329
    @nesaahaji1329 День назад +1

    Vai umeyakanyaga kwa manyanya🎉🎉🎉 mzee wa misemo

  • @mathnaasaa2166
    @mathnaasaa2166 7 часов назад

    Yani watu wa humu ndani wanajua mpka wanakera❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤hongereni mungu awasimamie katika kipaji chenu

  • @Amsike-v7i
    @Amsike-v7i День назад +2

    Kitu dawa amsikemoney ya

  • @BarakaSteven-x5w
    @BarakaSteven-x5w День назад +1

    Binge la movie asee salute Sana kitu iko pw

  • @JescaFelix-e4x
    @JescaFelix-e4x 9 часов назад

    Yani uku kuna wanaume WA ovyo sana mwingine kamaliza mwezi hajui kazi kujibust na pombe tu🫣🫣

  • @MarkoYohana-ce8nu
    @MarkoYohana-ce8nu 23 часа назад

    HONGERA SANA Mr manyanya
    Good idea hii na kuna funzo KUBWA hasa kwa wanandoa

  • @haluarahma3071
    @haluarahma3071 День назад +1

    Movie iko smart sana ❤❤❤from 🇰🇪 kenya 🇰🇪🥰🥰

  • @KimsonMurangiri
    @KimsonMurangiri 21 час назад +2

    Mambo 😮

  • @safaribenjaminmuderhwa4757
    @safaribenjaminmuderhwa4757 18 часов назад

    Dada vai kicheche wapi jamani, ila séries iko bien, tuko pamoja sana toka Drcongo 🇨🇩

  • @NosiataDfd-k5g
    @NosiataDfd-k5g День назад +1

    Hii move inamafunzo sana haswa kwa mke na mume

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 21 час назад +2

    Kama nimemona pdd na taulo umo😅😅

    • @jexray
      @jexray 21 час назад +1

      😂😂

  • @jazminewatanzi1854
    @jazminewatanzi1854 День назад +1

    This wife to manyanya is too much all the time business

  • @MariamJaberi-g5y
    @MariamJaberi-g5y День назад +1

    Manyanya honger San kak kaz nzuri ❤❤❤

  • @MARYAM808ZING
    @MARYAM808ZING День назад +1

    Kazi nzur ssn hongeren kwa wote

  • @AnsufatRakitc-z5d
    @AnsufatRakitc-z5d День назад +1

    Kunakitu nitajifunza 😢😢😢😢🎉🎉

  • @ignitiussilungwe7930
    @ignitiussilungwe7930 23 часа назад +1

    Chapombe bana anache kesha hadilaha

  • @KassimKhalaid
    @KassimKhalaid День назад +1

    Zinduna kamenona mashalla

  • @sammasika3627
    @sammasika3627 День назад +1

    Ili chapombe linaaribu movie tu ulevi gan mpaka kitandan na pombe

    • @Lissahford
      @Lissahford 4 часа назад

      Tunampenda hvohvo mudy wetu😂

  • @PauloGidamarocha-yp7bh
    @PauloGidamarocha-yp7bh День назад +1

    Mudi hana mudi 🎉😂😂😂😂😂😂😂

  • @barnabasmarsel3876
    @barnabasmarsel3876 День назад +1

    Muddy chapombe😂😂😂

  • @WARDAMKILALU
    @WARDAMKILALU 10 часов назад

    Movie nzur inaonyeshaa uhalisia ya wanandoa jinsi wanavyoish kabisa big up

  • @افلينافلين-ي9ك
    @افلينافلين-ي9ك 10 часов назад

    Yani chapombe eti majukumu. 😂 majukumu ya kuleta mawe 😂😂😂

  • @MWAJUMAKHERI-jt4qj
    @MWAJUMAKHERI-jt4qj День назад +1

    Duh! sio Kwa mazulia hayo

  • @joelalphoncebanka-ky6yu
    @joelalphoncebanka-ky6yu 9 часов назад

    Ka
    Simama dede ake kamuona mchumba wake
    Huyo mlevi nihatari

  • @SajoSamwel-i2v
    @SajoSamwel-i2v День назад +1

    Jaman wap leo like zangu mm

  • @LameckMangwenje
    @LameckMangwenje 4 часа назад

    Mpee kikokoto bas atangaze kua wanaume n mbwa uyo mdada😂😂

  • @MoniAssumane
    @MoniAssumane День назад +1

    Jamani naomba ata like moja tu

  • @HeritierMabenga
    @HeritierMabenga День назад +1

    Tunaitajiwa follows

  • @amosmgisha8572
    @amosmgisha8572 22 часа назад +1

    Ila chapombe 😂😂😂

  • @gidyonmshani5259
    @gidyonmshani5259 11 часов назад

    Hii chuma nikar mmeweza na mmegusa maisha tunayo ishi humu kwene ndoa zetu

  • @Nailaty564
    @Nailaty564 22 часа назад +1

    Mudi mazulia😂😂😂😂

  • @athmansaid9931
    @athmansaid9931 8 часов назад

    Manayanaya anatesekaa walai😂Mtu akigusa comment yangu namtongozaa😅

  • @RosaKelvin
    @RosaKelvin 5 часов назад

    Inafundisha sana nmependa mwendelezo♥️♥️

  • @LinuslusianLinuslusian
    @LinuslusianLinuslusian День назад +1

    Nimewakubali aisee

  • @JkRomeo-g9j
    @JkRomeo-g9j День назад +1

    weuh wa kwanza 😅npeni zang

  • @GodyTarimo-hg3vx
    @GodyTarimo-hg3vx 6 часов назад

    Kapombe kauwa ety chini kuko saw 😂😂😂

  • @SalumSafkim
    @SalumSafkim 6 часов назад

    Uyu jamaa vp akiongea mpka ilo domo aliweke ivo 😅😅😅

  • @AdamOman-n2s
    @AdamOman-n2s 8 часов назад

    Yn huyu mlevi eti chin sijalewa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @jonesdegrandson9261
    @jonesdegrandson9261 23 часа назад +1

    Chapombeee😂😂😂😂

  • @mohamedimadinga5790
    @mohamedimadinga5790 День назад +1

    Kwani Mudi sasa dah 😂

  • @amosathuman7366
    @amosathuman7366 22 часа назад

    Asee toka nachek movie hii movie iko active na dunia yetu hii
    Asee directer 🎉🎉

  • @GodyTarimo-hg3vx
    @GodyTarimo-hg3vx 6 часов назад

    Kapombe kauwa ety chini kuko saw 😂😂

  • @MaarufuAmani-bq6qc
    @MaarufuAmani-bq6qc 8 часов назад

    Hapan naludi kuangalia movie maan nilikuwa nisha acha kufatilia