Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Linex linex linex nimekuita mara tatu mzee mwenyezi mungu amekujaalia kipaji kikubwa sana 👐🏿
____kweli TUPU kuwa single hakukuondolei figo au mapafu. mara-paap upo single maisha yataendeleà TU lakini hii TUNGO NI SPECIAL SANA Kwa kijana LINEX keep pressing , keep doing big and big music . you have made my LIFE Kaka mdogo__
Kubaki Single sio Kifo ✌✌✌ Naikubali Kaka 💯💯💯💪💪
Hahahahha mnatongozana wawili kuachana mpka vikao
Huyu ndo Linex ambaye mimi nilikua Namsubiri,Bro usipoe Hiyo Sauti yako Apa Afrika hakuna Mziki unaudai pesa nyingi sana🔥🔥🔥🙏.
Namkubali sanaaa linex
Fresh tu muuniwangu 👊🏿 Ujawahi kuharibu 💣💣💣🔥🔥🔥🔥🔥🚀
Weka beat tafadhari,,,, wimbo mkali sana huu mwene wachu
Naho womukunze nte yogiye🚶
Wabhonye hene lelo Amahela yatola abhantu
Lolimodo wangu
Voice of Africa indeed, naikubali hii, ni Vita ya mapenzi na pesa
Fanya na remix ya mama Halima utatisha sana broh!
unyama kaka kanzi nzur2 by defaomkubwa
Achia chupa Kali ya kideo Mjeda
Kubaki single sio kifoo ❤❤
Ngoma imeandikwa na mwalimu
Kila wakati nakuaminia, mapenzi na pesa ni moto🔥 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Linex 🔥🔥🔥
The king of V.O.A 💪🏽
Tiktok hit song 💥💥💥💥
Kaka nakukubali sanaa, unaweza Fanya zaidi ya hapa,shirikisha na hawa watoto wa skuiz ngom lazima ztembee,goma kali
Naelewa sana mtoto wa nyumbani 💝✊
Sanaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Si umesema kukaa single sio kifo? Single Boyz mikono juu🙌🙌
Linex wewe ni fahari ya Watanzania ...Great Song.
Hii ladha ya Muziki wako ni nouma sana kuikinai ni kazi sana, keep grinding my brother love you
Bonge moja la ngoma kali sana 🔥🔥🔥🙌 the VOA
Unajua unajua kaka mkubwa nakukubali mno comrade
Salute kwako linex Sunday mujeda
From TikTok
Dope Linex you are a rare general, your voice is something else bro
Oooh hapo ndo huawa na enjoy toa vtu toa vtu Mzee
Noma sana inahitaji muda uelewe hii ngoma
Linex ngoma ya moto kinomanoma 🙏🙏🙏
Ama kwel unaandika na kuchora since day once
Umeturudisha miaka ile safi sana
❤❤❤🎉 mziki mzuri Bro, we are proud of you
Always speaking the truth Bro
True kuwa single sio kifo 😌
🎉🎉kaka unaimba sanaaa jaman
Sijawahi kukuchoka linex milele nakupenda na kusikiliza nyimbo zako
🎉🎉🎉
Nakubali kaka jejeday
Ngoma Kali sanaaaaa!!!
Hii ngoma ni 🔥🔥🔥
On it , voice ya Stamina kwa intro. I love it hope the video is coming
Kubaki Sio Kifo ❤
🔥🔥🔥👌👌👌hatari talent
I'm a fan of this music
The V.O.A☑️🇧🇮
Mha linex ,
Nice one
V.O.A Mwamba kabisa
VOICE OF AFRICA 🙏
Linex umefanya mwezi huuu hakika unajua na unajua Tena na wewe ni muimbaji na ni msanii kabisa yaani salute kwako🕵️🕵️🕵️🕵️
Naamini kabisa kwamba unaweza zaidi ya hapo endelea kutupa radha hii siku zote mjeda
Hujawahi niangusha mzee ngoma ya moto🎉,🔥🔥
Sauti pekee take,ushai madaa,it 🔥🔥🔥
msee weka beat kwa hii song i love!
Always on top mjeda✅
So good my brother 🇧🇮❤️
VOICE OF AFRICA✅✅
Linex linex linex nimekuita mara tatu mzee mwenyezi mungu amekujaalia kipaji kikubwa sana 👐🏿
____kweli TUPU kuwa single hakukuondolei figo au mapafu. mara-paap upo single maisha yataendeleà TU lakini hii TUNGO NI SPECIAL SANA Kwa kijana LINEX keep pressing , keep doing big and big music . you have made my LIFE Kaka mdogo__
Kubaki Single sio Kifo ✌✌✌ Naikubali Kaka 💯💯💯💪💪
Hahahahha mnatongozana wawili kuachana mpka vikao
Huyu ndo Linex ambaye mimi nilikua Namsubiri,Bro usipoe Hiyo Sauti yako Apa Afrika hakuna Mziki unaudai pesa nyingi sana🔥🔥🔥🙏.
Namkubali sanaaa linex
Fresh tu muuniwangu 👊🏿
Ujawahi kuharibu 💣💣💣🔥🔥🔥🔥🔥🚀
Weka beat tafadhari,,,, wimbo mkali sana huu mwene wachu
Naho womukunze nte yogiye🚶
Wabhonye hene lelo Amahela yatola abhantu
Lolimodo wangu
Voice of Africa indeed, naikubali hii, ni Vita ya mapenzi na pesa
Fanya na remix ya mama Halima utatisha sana broh!
unyama kaka kanzi nzur2 by defaomkubwa
Achia chupa Kali ya kideo Mjeda
Kubaki single sio kifoo ❤❤
Ngoma imeandikwa na mwalimu
Kila wakati nakuaminia, mapenzi na pesa ni moto🔥 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Linex 🔥🔥🔥
The king of V.O.A 💪🏽
Tiktok hit song 💥💥💥💥
Kaka nakukubali sanaa, unaweza Fanya zaidi ya hapa,shirikisha na hawa watoto wa skuiz ngom lazima ztembee,goma kali
Naelewa sana mtoto wa nyumbani 💝✊
Sanaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Si umesema kukaa single sio kifo? Single Boyz mikono juu🙌🙌
Linex wewe ni fahari ya Watanzania ...Great Song.
Hii ladha ya Muziki wako ni nouma sana kuikinai ni kazi sana, keep grinding my brother love you
Bonge moja la ngoma kali sana 🔥🔥🔥🙌 the VOA
Unajua unajua kaka mkubwa nakukubali mno comrade
Salute kwako linex Sunday mujeda
From TikTok
Dope Linex you are a rare general, your voice is something else bro
Oooh hapo ndo huawa na enjoy toa vtu toa vtu Mzee
Noma sana inahitaji muda uelewe hii ngoma
Linex ngoma ya moto kinomanoma 🙏🙏🙏
Ama kwel unaandika na kuchora since day once
Umeturudisha miaka ile safi sana
❤❤❤🎉 mziki mzuri Bro, we are proud of you
Always speaking the truth Bro
True kuwa single sio kifo 😌
🎉🎉kaka unaimba sanaaa jaman
Sijawahi kukuchoka linex milele nakupenda na kusikiliza nyimbo zako
🎉🎉🎉
Nakubali kaka jejeday
Ngoma Kali sanaaaaa!!!
Hii ngoma ni 🔥🔥🔥
On it , voice ya Stamina kwa intro. I love it hope the video is coming
Kubaki Sio Kifo ❤
🔥🔥🔥👌👌👌hatari talent
I'm a fan of this music
The V.O.A☑️🇧🇮
Mha linex ,
Nice one
V.O.A Mwamba kabisa
VOICE OF AFRICA 🙏
Linex umefanya mwezi huuu hakika unajua na unajua Tena na wewe ni muimbaji na ni msanii kabisa yaani salute kwako🕵️🕵️🕵️🕵️
Naamini kabisa kwamba unaweza zaidi ya hapo endelea kutupa radha hii siku zote mjeda
Hujawahi niangusha mzee ngoma ya moto🎉,🔥🔥
Sauti pekee take,ushai madaa,it 🔥🔥🔥
msee weka beat kwa hii song i love!
Always on top mjeda✅
So good my brother 🇧🇮❤️
VOICE OF AFRICA✅✅