KIJANA ASIYEONA MWENYE KIPAJI KIKALI CHA KUIMBA, ANATOKA KAMBI YA NYARUGUSU, ALIPOTOKA FOUNDER TZ

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • Kutana na Kijana @GodfreyMteule (19) mkazi wa kambi ya wakimbizi Nyarugusu Kigoma mwenye tatizo la kutoona(Kipofu) akiwa na kipaji cha uimbaji ambaye anasema pamoja na kua ni mtu asiyeona lakini hajachoka kupambania ndoto zake na kuamua kuja kwa watanzania kuomba msaada wa kukuza kipaji alichonacho.
    Ripota wa Ayo TV Kigoma alifunga safari zaidi kilometers 150 hadi katika kambi ya wakimbizi Nyarugusu kufuata kipaji hiki ambapo kijana huyu anasema kwao wamezaliwa watoto tisa na yeye ndiye mtoto wa kwanza ambaye anasema hawezi kumkufuru Mungu kwa jinsi alivyo.
    Mawasiliano 0752768451 ( M-Pesa )Jina Bawili Issa.

Комментарии • 123

  • @fadhilimbotela1049
    @fadhilimbotela1049 8 часов назад +22

    Kama unaamin kipaji kipo kwa ndg yetu weka like hapa 👍

  • @farajaMezza-qn4be
    @farajaMezza-qn4be 7 часов назад +19

    Hakuna kitu kinanizidishia hofu ya Mungu kama kumuona mtu mwenye matatizo lakin bado anamshkuru sana Mungu! Lazima tujue kuwa hata katika magumu yote Mungu ni Mungu na atabaki kuwa Mungu! Mungu akufungulie njia za mafanikio mtanzania mwenzangu! Ashukuriwe Mungu aliyekujalia kipaji❤

  • @AmaniNasoni
    @AmaniNasoni 6 часов назад +8

    Nakuon mbali sana mtoto wa Mungu tunao ungana kwa pamoja kumuombea kijana afike mbali tujuane hapa kwa like ❤❤ ishara ya upendo to

  • @Justin_king_pro
    @Justin_king_pro 10 часов назад +8

    Uki hambiwa hii ndiyo Nyarugusu camp
    Unabidi usi hongei Mara pili🎉❤🙏🙏🫡
    Mungu aku tangulie ndugu Yang 🙏

  • @rockinstituteofhumanlifema5292
    @rockinstituteofhumanlifema5292 7 часов назад +7

    Mungu Muumbaji Matendo yako nayaogopa yanatisha hayaelezeki pokea sifa kwaajili ya huyu kaka yangu❤❤❤❤❤❤

  • @jovithageorge8220
    @jovithageorge8220 10 часов назад +38

    Jamani kama mmeguswa na na huyu dogo naomba tujuane

  • @RahimuPombekari
    @RahimuPombekari 10 часов назад +5

    Mungu atakufanyia wepesi kwa maradhi yako

  • @beatricejoseph2347
    @beatricejoseph2347 9 часов назад +6

    Hujafa hujaumbika ,Mungu wetu ni mwema hakunyimi kila kitu.

  • @HasnatMustafa-n1q
    @HasnatMustafa-n1q 9 часов назад +6

    Polee sana 😢😢😢 Allah akufanyie wepesi inshallah 😢😢

  • @kinglayzwakuchana
    @kinglayzwakuchana 4 часа назад +5

    Kama unaamini mungu yupo usipitipe bila like kwenye hii comment

  • @Bahariachora-td6tm
    @Bahariachora-td6tm 8 часов назад +4

    Hiyo nyimbo naisubir jmosi hyo dogo anajua sana mungu awe nae

  • @LPBRANDSTUDIO
    @LPBRANDSTUDIO 9 часов назад +2

    Mungu akubariki Sana Kaka .... Hakika naona hukuu wa MUNGU Ndani Yako.... Amen 🙏🏼

  • @upendokiza6061
    @upendokiza6061 4 часа назад +2

    Mungu atakuponya mtumishi wa Mungu, Nina Imani utapona na Mungu atakufikisha mbali hili akutengenezee ushuuda.kuwa na Imani tu.

  • @OscarBihiye
    @OscarBihiye 10 часов назад +3

    Mungu akutie nguvu .Amen mungu ni mwema katika kila jambo❤

  • @Bahati-v4m
    @Bahati-v4m 7 часов назад +3

    Mungu akupe macho mengne amina

  • @TUTU-g2x
    @TUTU-g2x 9 часов назад +3

    PAMBANA SANA KAKA UNAKIPAJI

  • @OscarOkran-m4c
    @OscarOkran-m4c 8 часов назад +4

    Halafu anajua kujieleza Hadi raha Mungu ampganie kwa kweli avuke maana yuko kwenye kipindi kigumu😢

  • @aidanshayo9182
    @aidanshayo9182 9 часов назад +2

    Mungu akupe tumaini nafaraja katika mapito yako

  • @kevootibai2356
    @kevootibai2356 8 часов назад +5

    Natamani ningekuwa na chochote kitu Cha kusupport huyu kijana ila Sina. Kikubwa ameonekana Kuna watu watamsaidia afikie malengo yake na ndoto zake zitimie

  • @ALLY_K61
    @ALLY_K61 10 часов назад +2

    Dah mwenyezi mungu Akusimamie IshaAllah

  • @frankmmasi
    @frankmmasi 10 часов назад +29

    Kwa nn msimtengenezee laini tumchangie na mkaenayo nyinyi mumjengee vizurii alale pazurii angarau tuchangie kwa mwezi mzimaa embu fikirieni ivyoo. #millardayo

    • @mfastotheking
      @mfastotheking 10 часов назад +2

      bila shaka namba inapatikana sehemu ya description,

    • @penueldjuma2845
      @penueldjuma2845 7 часов назад

      Big point 🎉

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing Час назад +1

    Kipaj Kipo Xana Mungu Ambariki🔥🔥🙌🙌🙏🙏

  • @GodfreyRichard-v4f
    @GodfreyRichard-v4f 3 часа назад +2

    Utukufu wa mungu unaonekana

  • @Ommyblacktz13
    @Ommyblacktz13 10 часов назад +3

    Mungu akikupa kilema hakunyimi mwendo 😢😢😢😢

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso 9 часов назад +2

    Mungu azidi kumfungulia milango.

  • @JonasManeno-n1l
    @JonasManeno-n1l 9 часов назад +1

    Mung hamutupi mjawake ukipewa kilema unapewa na mwendo mung atakujalia kaka usikate tamaa pia wew ni wasaman sana Niko pamoja na wewe 🎉🎉🎉.

  • @harrsmgaya8141
    @harrsmgaya8141 8 часов назад +2

    Kipaji kipo mungu akuongoze

  • @PaulMabondo
    @PaulMabondo Час назад +1

    Anajua sana tena sana anaitaj msaada

  • @FaridaHamis-m7e
    @FaridaHamis-m7e 9 часов назад +1

    Mashallah Allah akubaliki sana ufikie ndotozako inshaallah

  • @PaulMabondo
    @PaulMabondo Час назад +1

    Wangap wameona anajua sana kiukweli tunaosuburi iyo nyimbo ya likizo itoke iyo jmos tujuane

  • @MasokaJiko
    @MasokaJiko 9 часов назад +29

    Kama wewe mbembe nipe like yangu 😢😢😢😢

    • @juxo_pro_official
      @juxo_pro_official 3 часа назад +1

      Nakubal sana ❤

    • @bonisachubwa1046
      @bonisachubwa1046 43 минуты назад

      Kweli wewe ni mbembe wewe unaomba like badala yakuomba kumsaidia huyo kijana😂😂😂

  • @mistalbboy8432
    @mistalbboy8432 5 часов назад +2

    Wabembe wenzangu tujuwane 🇨🇩🇨🇩

  • @AishaNgoyi-vi2ku
    @AishaNgoyi-vi2ku 9 часов назад +1

    Mungu awe nawee

  • @Starbrunodg
    @Starbrunodg Час назад +1

    Kigoma kunavipaji❤❤

  • @Faridahabibu-n5u
    @Faridahabibu-n5u 9 часов назад +2

    Jaman kakaangu God bless you❤

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 7 часов назад +1

    Mungu akupe nguvu

  • @azizimohamed9171
    @azizimohamed9171 4 часа назад

    Mwenyezi mungu akujalie afya njema uwe imara ivyoivyo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @penueldjuma2845
    @penueldjuma2845 8 часов назад +1

    Mungu yupo one day yes 😭😭😭😭😭

  • @petitalrim
    @petitalrim 3 часа назад

    Ongera brother mungu akuzidishie 🙏🙏🙏❤

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 10 часов назад +1

    Mungu akuaaidie sana jamnii

  • @Kinyangulishabani
    @Kinyangulishabani 7 часов назад +1

    Inaumiza sana kwakweli

  • @Wikyebato_lusema
    @Wikyebato_lusema 10 часов назад +3

    Daaaaaaah 😢😢😢😢 god preced you my brother 😢 💔

  • @BiQLY-vf5fu
    @BiQLY-vf5fu Час назад

    Daah mungu amtupi mja wake kweli ❤❤ Gode tupo pamoja sana ❤

  • @ShadrackMwakilasa
    @ShadrackMwakilasa 10 часов назад +1

    Mungu akubariki sanq

  • @husseinwaziri227
    @husseinwaziri227 4 часа назад

    Allah Akbar mashaallah Allah was blessed you

  • @rukusaisumaili6504
    @rukusaisumaili6504 4 часа назад

    Mungu atakufanyia wepesi kaka ❤

  • @hansonie1553
    @hansonie1553 5 часов назад

    Hakika Mngu ni mwema🙏 yaani hua ni lazima tu akupe kitu🤝🤝

  • @Daecotz8597
    @Daecotz8597 7 часов назад

    Kijana mungu akuongezee barakaaa

  • @RashidiRehani-v1l
    @RashidiRehani-v1l 11 минут назад +1

    Mungu kwanzaa🎉🎉🎉🎉

  • @bashiruhassani1017
    @bashiruhassani1017 4 часа назад +2

    Kijana yuko vizur naiman atafka mbal

  • @shafiimdogwa1482
    @shafiimdogwa1482 4 часа назад

    Inshallah kila kitu Kina Sababu.

  • @BrendaMogambi
    @BrendaMogambi 5 часов назад +2

    Alfu kuna wenye tuko hapa tuko wazima kila sehemu hila atuna kipaji chochote 😢😢😢😢😢 keep it up bro

  • @kinglayzwakuchana
    @kinglayzwakuchana 4 часа назад +1

    Dah nikweli kipaji kipo anaeamin dogo atafika mbali tujuane hapa kwa like

  • @RahmaSenga
    @RahmaSenga 5 часов назад

    Masha Allah

  • @OMONDIMTUKAZIOG
    @OMONDIMTUKAZIOG 6 часов назад +1

    Jaman mm sijapenda kwani hapo mumesaidia nn!!? Wekeni number zake hapo tumuchangie wenye moyo sawa jama kwabi leo yeye kesho ni sisi mbon mlikosea kidogo au bado tusubili maelekeza #millarayo tv

  • @Nickmj-s7e
    @Nickmj-s7e 3 часа назад

    God is good 💯💯💯 let's go guys 💪

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 5 часов назад

    mungu wetu ni mkuu sana na huyu ni star ⭐ mkubwa sana namuona anakuja eeh mungu mfanyie kusudi lako likatimie kwa uwezo wako 🙏🙏

  • @Daecotz8597
    @Daecotz8597 7 часов назад +2

    Nyarugusu imetoa vipaji Kama Gasper boy

  • @firereal001
    @firereal001 5 часов назад

    Blessed young talented❤❤❤

  • @LinusBaltazari
    @LinusBaltazari 8 часов назад +1

    😭😭😭😭😭pole sana kaka🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @ezam255
    @ezam255 5 часов назад

    God is Good

  • @uiptv365
    @uiptv365 5 часов назад

    Mungu akubariki sana kijana 🙏🙏😢

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 8 часов назад +1

    Pole sana kaka😢

  • @ObediEzekieli-fr4vl
    @ObediEzekieli-fr4vl 6 часов назад

    Mungu akutangulie

  • @NataliaFissoo
    @NataliaFissoo 5 часов назад

    Usikate tamaa mungu yupo nawe

  • @LeoMzibe
    @LeoMzibe 4 часа назад

    Mungu ha mbarika

  • @RichLatino1
    @RichLatino1 6 часов назад +1

    Vibe🔥🔥🔥♥️♥️😊

  • @blezywatino1043
    @blezywatino1043 6 часов назад

    Mungu atakufikisha mbali 😢😢😢😢

  • @directorkhasi4967
    @directorkhasi4967 4 часа назад +1

    Mablandile gang 🎉🎉🎉

  • @Kinyangulishabani
    @Kinyangulishabani 7 часов назад

    Hakika kabuli nyingi zawanyonge mungu akupe wepes ndugu yangu

  • @ivantompoo-c9k
    @ivantompoo-c9k 4 часа назад

    Mungu kanguse mwetu huyu maisha yake yawe yenye furaha

  • @GerrardKulwa
    @GerrardKulwa 5 часов назад

    Aisee anaweza sana❤

  • @TotoSupet
    @TotoSupet 10 часов назад

    Mungu yupo atafungwa njia

  • @samuellubunga
    @samuellubunga 7 часов назад

    Amina

  • @SualeheDali
    @SualeheDali 4 часа назад

    Mashallah ♥️

  • @alfredbyamungu8825
    @alfredbyamungu8825 7 часов назад

    Kambini Kuna vipaji vingi sana🎉

  • @YohanaMussa-y5h
    @YohanaMussa-y5h 2 часа назад

    Kipaji cha uimbaji ni kizuri sana shikilia kipaji hiki

  • @kulwamachibya266
    @kulwamachibya266 6 часов назад

    ❤❤❤❤ mungu wetu sote

  • @Killer_wayne227
    @Killer_wayne227 7 минут назад

    Keep going blood ❤

  • @SaimonEmmanuel-h9t
    @SaimonEmmanuel-h9t 4 часа назад

    Mungu akunyimi vyote jmn

  • @lindajeremiah35
    @lindajeremiah35 26 минут назад

    Mungu nimwema sana❤

  • @Heiskmb
    @Heiskmb 6 часов назад

    so talented

  • @JohndMbila
    @JohndMbila 5 часов назад

    Leo na kesho mtasema kwa p. Ddy

  • @zoomextrastudio
    @zoomextrastudio 10 часов назад +1

    aiseee huyu mkaka ako na kipajii

  • @Da_Silver
    @Da_Silver 8 часов назад +1

    Link ya wimbo please

  • @isamony58
    @isamony58 9 часов назад

    Poe kijana wanguuu😢😢😢😢

  • @officialAlikoBrand
    @officialAlikoBrand 10 часов назад

    Allah huakbal

  • @Dulla_kite
    @Dulla_kite 10 часов назад

    Alhamdullha 😢❤

  • @Gadiboy_hb
    @Gadiboy_hb 2 часа назад

    Kambini vipaji ni vingi sana

  • @ayambishow__
    @ayambishow__ 4 часа назад +1

    😭😭

  • @AliJussa
    @AliJussa 10 часов назад

    😢😢Mungu hajashindwa kitu

  • @ezzy_e2450
    @ezzy_e2450 6 часов назад

    huyu n Steve wonder wa bongo

  • @azizikidevu8404
    @azizikidevu8404 8 часов назад

    🎉🎉

  • @lilianngolo1089
    @lilianngolo1089 8 часов назад

    😭😭Mungu akutanguliye

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 7 часов назад

    Duh hichi kipaji sio mchezo

  • @ShamsiMbago-n2q
    @ShamsiMbago-n2q 6 часов назад

    🙏

  • @RahmaSenga
    @RahmaSenga 5 часов назад

    ❤❤❤❤❤

  • @chrstopher4598
    @chrstopher4598 10 часов назад +1

    😭😭😭Dah, Mungu awe nawe

  • @Mamiseti7
    @Mamiseti7 2 часа назад

    ❤❤❤

  • @TatoTato-t7s
    @TatoTato-t7s 7 часов назад

    Watu wainsta waongo watu walikua wanakomment anakaa morogoro wengine anakaa kiwalani