KIJANA ASIYEONA MWENYE KIPAJI KIKALI CHA KUIMBA, ANATOKA KAMBI YA NYARUGUSU, ALIPOTOKA FOUNDER TZ
HTML-код
- Опубликовано: 2 окт 2024
- Kutana na Kijana @GodfreyMteule (19) mkazi wa kambi ya wakimbizi Nyarugusu Kigoma mwenye tatizo la kutoona(Kipofu) akiwa na kipaji cha uimbaji ambaye anasema pamoja na kua ni mtu asiyeona lakini hajachoka kupambania ndoto zake na kuamua kuja kwa watanzania kuomba msaada wa kukuza kipaji alichonacho.
Ripota wa Ayo TV Kigoma alifunga safari zaidi kilometers 150 hadi katika kambi ya wakimbizi Nyarugusu kufuata kipaji hiki ambapo kijana huyu anasema kwao wamezaliwa watoto tisa na yeye ndiye mtoto wa kwanza ambaye anasema hawezi kumkufuru Mungu kwa jinsi alivyo.
Mawasiliano 0752768451 ( M-Pesa )Jina Bawili Issa.
Kama unaamin kipaji kipo kwa ndg yetu weka like hapa 👍
Hakuna kitu kinanizidishia hofu ya Mungu kama kumuona mtu mwenye matatizo lakin bado anamshkuru sana Mungu! Lazima tujue kuwa hata katika magumu yote Mungu ni Mungu na atabaki kuwa Mungu! Mungu akufungulie njia za mafanikio mtanzania mwenzangu! Ashukuriwe Mungu aliyekujalia kipaji❤
Meseji yako imenigusa sana,,,keep it Up...!
@@tamiruyusuph9803 thank you!
Nakuon mbali sana mtoto wa Mungu tunao ungana kwa pamoja kumuombea kijana afike mbali tujuane hapa kwa like ❤❤ ishara ya upendo to
Uki hambiwa hii ndiyo Nyarugusu camp
Unabidi usi hongei Mara pili🎉❤🙏🙏🫡
Mungu aku tangulie ndugu Yang 🙏
Mungu Muumbaji Matendo yako nayaogopa yanatisha hayaelezeki pokea sifa kwaajili ya huyu kaka yangu❤❤❤❤❤❤
Jamani kama mmeguswa na na huyu dogo naomba tujuane
Mungu atakufanyia wepesi kwa maradhi yako
Hujafa hujaumbika ,Mungu wetu ni mwema hakunyimi kila kitu.
Polee sana 😢😢😢 Allah akufanyie wepesi inshallah 😢😢
Kama unaamini mungu yupo usipitipe bila like kwenye hii comment
Hiyo nyimbo naisubir jmosi hyo dogo anajua sana mungu awe nae
Mungu akubariki Sana Kaka .... Hakika naona hukuu wa MUNGU Ndani Yako.... Amen 🙏🏼
Mungu atakuponya mtumishi wa Mungu, Nina Imani utapona na Mungu atakufikisha mbali hili akutengenezee ushuuda.kuwa na Imani tu.
Mungu akutie nguvu .Amen mungu ni mwema katika kila jambo❤
Mungu akupe macho mengne amina
PAMBANA SANA KAKA UNAKIPAJI
Halafu anajua kujieleza Hadi raha Mungu ampganie kwa kweli avuke maana yuko kwenye kipindi kigumu😢
Mungu akupe tumaini nafaraja katika mapito yako
Natamani ningekuwa na chochote kitu Cha kusupport huyu kijana ila Sina. Kikubwa ameonekana Kuna watu watamsaidia afikie malengo yake na ndoto zake zitimie
Dah mwenyezi mungu Akusimamie IshaAllah
Kwa nn msimtengenezee laini tumchangie na mkaenayo nyinyi mumjengee vizurii alale pazurii angarau tuchangie kwa mwezi mzimaa embu fikirieni ivyoo. #millardayo
bila shaka namba inapatikana sehemu ya description,
Big point 🎉
Kipaj Kipo Xana Mungu Ambariki🔥🔥🙌🙌🙏🙏
Utukufu wa mungu unaonekana
Mungu akikupa kilema hakunyimi mwendo 😢😢😢😢
Mungu azidi kumfungulia milango.
Mung hamutupi mjawake ukipewa kilema unapewa na mwendo mung atakujalia kaka usikate tamaa pia wew ni wasaman sana Niko pamoja na wewe 🎉🎉🎉.
Kipaji kipo mungu akuongoze
Anajua sana tena sana anaitaj msaada
Mashallah Allah akubaliki sana ufikie ndotozako inshaallah
Wangap wameona anajua sana kiukweli tunaosuburi iyo nyimbo ya likizo itoke iyo jmos tujuane
Kama wewe mbembe nipe like yangu 😢😢😢😢
Nakubal sana ❤
Kweli wewe ni mbembe wewe unaomba like badala yakuomba kumsaidia huyo kijana😂😂😂
Wabembe wenzangu tujuwane 🇨🇩🇨🇩
Mungu awe nawee
Kigoma kunavipaji❤❤
Jaman kakaangu God bless you❤
Mungu akupe nguvu
Mwenyezi mungu akujalie afya njema uwe imara ivyoivyo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mungu yupo one day yes 😭😭😭😭😭
Ongera brother mungu akuzidishie 🙏🙏🙏❤
Mungu akuaaidie sana jamnii
Inaumiza sana kwakweli
Daaaaaaah 😢😢😢😢 god preced you my brother 😢 💔
Daah mungu amtupi mja wake kweli ❤❤ Gode tupo pamoja sana ❤
Mungu akubariki sanq
Allah Akbar mashaallah Allah was blessed you
Mungu atakufanyia wepesi kaka ❤
Hakika Mngu ni mwema🙏 yaani hua ni lazima tu akupe kitu🤝🤝
Kijana mungu akuongezee barakaaa
Mungu kwanzaa🎉🎉🎉🎉
Kijana yuko vizur naiman atafka mbal
Inshallah kila kitu Kina Sababu.
Alfu kuna wenye tuko hapa tuko wazima kila sehemu hila atuna kipaji chochote 😢😢😢😢😢 keep it up bro
Dah nikweli kipaji kipo anaeamin dogo atafika mbali tujuane hapa kwa like
Masha Allah
Jaman mm sijapenda kwani hapo mumesaidia nn!!? Wekeni number zake hapo tumuchangie wenye moyo sawa jama kwabi leo yeye kesho ni sisi mbon mlikosea kidogo au bado tusubili maelekeza #millarayo tv
God is good 💯💯💯 let's go guys 💪
mungu wetu ni mkuu sana na huyu ni star ⭐ mkubwa sana namuona anakuja eeh mungu mfanyie kusudi lako likatimie kwa uwezo wako 🙏🙏
Nyarugusu imetoa vipaji Kama Gasper boy
Blessed young talented❤❤❤
😭😭😭😭😭pole sana kaka🙏🙏🙏🙏🙏🙏
God is Good
Mungu akubariki sana kijana 🙏🙏😢
Pole sana kaka😢
Mungu akutangulie
Usikate tamaa mungu yupo nawe
Mungu ha mbarika
Vibe🔥🔥🔥♥️♥️😊
Mungu atakufikisha mbali 😢😢😢😢
Mablandile gang 🎉🎉🎉
Hakika kabuli nyingi zawanyonge mungu akupe wepes ndugu yangu
Mungu kanguse mwetu huyu maisha yake yawe yenye furaha
Aisee anaweza sana❤
Mungu yupo atafungwa njia
Amina
Mashallah ♥️
Kambini Kuna vipaji vingi sana🎉
Kipaji cha uimbaji ni kizuri sana shikilia kipaji hiki
❤❤❤❤ mungu wetu sote
Keep going blood ❤
Mungu akunyimi vyote jmn
Mungu nimwema sana❤
so talented
Leo na kesho mtasema kwa p. Ddy
aiseee huyu mkaka ako na kipajii
Link ya wimbo please
Poe kijana wanguuu😢😢😢😢
Allah huakbal
Alhamdullha 😢❤
Kambini vipaji ni vingi sana
😭😭
😢😢Mungu hajashindwa kitu
huyu n Steve wonder wa bongo
🎉🎉
😭😭Mungu akutanguliye
Duh hichi kipaji sio mchezo
🙏
❤❤❤❤❤
😭😭😭Dah, Mungu awe nawe
❤❤❤
Watu wainsta waongo watu walikua wanakomment anakaa morogoro wengine anakaa kiwalani