JIWE is such an amazing Album🔥 hongereni sana.. lakini nina maswali machache, ni kwanini almost nyimbo nusu ya album nzima zipo youtube in literally one day??? sijawahi kuona album yeyote yenye mfumo huu.... kama haya ndio mawazo mapya ya jinsi ya kuzindua Album basi sawa ila sidhani kama DVD zitanunuliwa kama nyimbo karibia zote zipo huku, well personally nilitaka hii nyimbo na nilitaka DVD ila sina sababu ya kupata Copy hiyo kama ninaweza ipata huku at a very low cost, Anyways, copy si inaweza patikana sehemu yeyote eti???🙄
@@kwamsisidispensary9833 Nice response. Pia kazi za Aic Changombe choir ziko na upako kabisa Kumbuka wako volume ya 6 saa hii so they can only get better through Christ...mimi mwenyewe hua nanua kama copies 2 or 3 hivi ya kila album yao kwa kuwa najua lazima hiyo ingine itakaa ofisini and another nyumbani. Another reason could be, kuna watu wata upload hizi kazi za wenzao wakaweka you tube, when si kazi zao so it is good to upload. Aic Changombe is unstoppable ila tuwaombee zaidi waendelee na hii kazi murwa
Nilianza kutazama nyimbo zenu na Gusa! Sijawahi Rudi nyuma. Nawapenda sana!❤
Nimekukubali Bahati hakuna mwengine zaidi ya Bwana wa Majeshi.Wimbo umetubariki sana!! Mkono wa Bwana usiwapungukie Amina!!
❤mungu anawapwnda zaidi
Nimependezwa sana na wimbo huu. Hongera❤
tumeuona mkono wako wa ushindi bwana , hakuna zaidi yako Bwana
bahati uwa unaupako dada angu ubarikiwe 🙏🙏
Waaaaoooooh.... Bahati kipenzi changu hujawahi kosea nyimbo za amsha amsha...! Keep it mama Mungu azidi kukuimarisha umtumikie Yeye...!
❤hakuna zaidi yako
love hii kwaya sana duh🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏
barikiwa sana
Kwakweli mbarikiwe sana
Asante Nimeuona mkono wako Bwana,
Asante Sana cvc kwa kazi nzur mungu azidi kuwainua wote ameeeee
Twabarikiwa sana
Waimbishaji wakongwe mko vzr sana ...hongereni kwa toleo jipya
Kazi nzuri nabarikiwa saaaana kweli kwangu huu ni wimbo wa ushuhuda
♥all the way from +254🇰🇪
Asanteni sana nilikuwa nasubiri Sauti ya huyu mama naipenda sana
Napendezwa jinsi mnavyompa Bwana sifa.....barikiweni
Nakupenda bure we Dada Mungu akutunze
mungu awabariki
Hakika nabarikiwag san na humu wimbo
Huu wimbo meuangalia zaidi ya Mara 5 ...ni hatariiiiii....! Very wonderful!!!
Amina nikweli nimenona mkono wako yesu nyimbo no nzuli Sana mbarikiwa wanakwaya kwakazi nzuli san
Bahati Gladys nakubali sana huduma yako!! Thanks for blessing my heart girlfriend.
Love from 254💪
Mungu awabariki watumishi tunabarikiwa sana nyimbo zenu zina ujumbe mzuri
Mpo juu sana wakubwa zangu mungu anajua kuwatumia mnoo barikiwa
Ooooooh hallelluyah,sifiwe Bwana
Wonderful song
Jaman cvc naipenda San daah
Mnanikosha moyo nyie sijapata kuona,Mungu aendelee kuwabarki
Da bahati na da lydia Mbarikiwe wotee
Bahati you're such 🔥🔥your voice from 🇰🇪
MUNGU KATU FANYA TUNAUZIMA
Safi sana MUNGU ATUKUZWE
Hakuna Zaidi yako Bwana, CVC mnanibariki Sana Mungu awainue Zaidi ya hapo
God bless you guys nice work
Ambwene
Hongola kwa huduma safi
Waoooh wimbo mzur sana!Mungu awabariki sana,To God be the glory CVC
Amen sana
Utukufu hadi utukufu
Kazi nzuri mbarikiwee
Hongeleni Sana wanakwaya tupo pamoja sanaaaaaa
Nawapenda sana nyie watu
Asante sana kwa nyimbo hizi tamu muko munatupatiya
Utukufu hadi utukufu
Amina. Tumeuona mkono wako
Jmn huuu wimbo intro inanipa Raha sanah
Wimbo mzuri sana ila mwalimu jitahidi ubadilishe melod
Amen God bless you CVC,, there is no other like Almighty God,
Please upload Siri Yako.thank you
HALLELUJAH NIMEUONA MKONO WA USHINDI WA BWANA.
Amen. Mimi pia nimeuona mkono wa bwana
I listen to this song everyday 🇰🇪
Huu wimbo tumeuona mkono wako duh mbarikiwe sana
Mnanibariki sana Mungu awabariki wapendwa kwa nyimbo nzuri sana
KWELI TUMEONA MKONO WA BARAKA. AMEN AMEN
Your songs plus dress code mwaaaaaa...be blessed
Kweli Hakuna mwingine zaidi yako
Akuna zaidi yako Mungu
Ameni nimebarikiwa na nanyi barikieni kwa kazi ya Bwana
Naitaji kujua albam yenu mpya inaitwaje
Najiskia upako napo skia nyimbo zenu wapedwa
Nawapenda bure,,,, huwa natamani niwaone laivu,,,, mpo temeke Sehemu gan pale jaman❤❤❤❤
Sokotaa
@@danierjohn1375 okey
Hakika tumeuona mkono wako wa ushindi
mungu awabariki sana
Naomba uwe wimbo bora 2020
Amen l agree
JIWE is such an amazing Album🔥 hongereni sana..
lakini nina maswali machache, ni kwanini almost nyimbo nusu ya album nzima zipo youtube in literally one day??? sijawahi kuona album yeyote yenye mfumo huu.... kama haya ndio mawazo mapya ya jinsi ya kuzindua Album basi sawa ila sidhani kama DVD zitanunuliwa kama nyimbo karibia zote zipo huku, well personally nilitaka hii nyimbo na nilitaka DVD ila sina sababu ya kupata Copy hiyo kama ninaweza ipata huku at a very low cost, Anyways, copy si inaweza patikana sehemu yeyote eti???🙄
Ck iz watu wanakutafuta hela kupitia mtandao kwa hyo we ukilike ukikomement ukisabscribe wenzio wanaingiza hela ck iz tupo kidigital zaid
@@kwamsisidispensary9833 Nice response. Pia kazi za Aic Changombe choir ziko na upako kabisa Kumbuka wako volume ya 6 saa hii so they can only get better through Christ...mimi mwenyewe hua nanua kama copies 2 or 3 hivi ya kila album yao kwa kuwa najua lazima hiyo ingine itakaa ofisini and another nyumbani. Another reason could be, kuna watu wata upload hizi kazi za wenzao wakaweka you tube, when si kazi zao so it is good to upload. Aic Changombe is unstoppable ila tuwaombee zaidi waendelee na hii kazi murwa
Mungu awabariki sana ujumbe mzuri nawapenda!!
Tumeuona mkono wa baraka
God bless u
For a real beautiful album
I appreciate
Kazi Zuri Jamani
Meshack umetatua kiu yangu weka vitu
Ninabarikiwa san
Amazing!glory to God.God bless Aic changombe T.
Tumeouna mkono wako bwana
Good song, GOD BE WITH YOU GUYS
Nicee❤
Am blesed God bless you sana
Nice sebene
Aminaaa
Amen
Amen 🙏
7
Amen,,🥰🥰
Inspirational songs but according to me videos aren't that good
Barikiwa sana