Subhanaallah Amakweli tumefikia sasa watoto wetu wana anza kuleteana maneno kama mnavyo bishana mashekhe watazania hii inaonyesha kuwa vita vyenu vya wakubwa sasa na watoto wetu wakuja juu wanachukuwa majukumu ambayo hawajayafikia mwenyezi mungu atujalie mwisho mwema yaarab ameen
Allah awaongoe akupeni taufiq ya kumuogopa yeye, hii tabia kudhalilishana waislam subhanallah tena kuwatumia watoto wadogo lahaula walaaquwata ilaa billah Allah awaoneshe njia ya kurekebeshana waislam Ammin
Kama yupo ambae anawafanya ivi Hawa watoto kwa kuona anapatia basi subhanallah amrudie mola wake kwn sio sahihi na haifai unawajenga nn Hawa watoto kwa maisha ya baadae najua dhat Hawa wameambiwa hawakujitoa tu wao wenyewe bila kutumwa wafanye ivi. Jmn tunaenda wapi subhanallah Allah atustiri.
Innalillah waina ilaih rajiuni Sijapata kuona watoto ambao hawakufunzwa adabu kama hawa ,,,ila si walaumu kwani huenda yupo mtu mzima waliye wamezesha maneno watoto hawa . Inahuzunisha watoto wachanga kama hawa ki ilmu kuingilia mambo ambayo hawana uwezo wa kuyazungumzia
Alhatimiy Hana akili kuliko hawa watoto maana ana elm ndogo Bora hawa wanasema waliyofundishwa kutoka ktk kitab na sunna,,, kuliko yeye anasema ya kichwani mwake bila dalili akikosea anatetea makosa jaahil Al murakkab kabisa.
Si watoto wao hawana uwezo wa kujitoa ktk mitandao, lkn kama waislam wenyewe hawajui njia ya kurekebishana wanabaki kukashifiana kwa dharau kama hivo wenzetu wa dini nyengine watafanyaje lazima mubadilike heshima itumike TAFAKARI CHUKUA HATUA
Unajua haya Maswala ya Mitandao siku hizi inafanya watu watokwe na Busara na hekima, Sizani kama hii Hekima ya kuwafundisha Watoto wetu, for that time we are joyful for what we do! Ila Baadae kuna Madhara makubwa Sana! Na hiki kitendo sio Uthibitisho wa Upana wa ELIMU! I believe sasa miaka ya Sasa hivi ELIMU Inapotea Ila Maarifa yanapanuka.
Hawa mashekh wanaofanya haya Mimi nawashauri wakasome somo la Adab ktk uislam. Ninahasira ! kazi kubishana mitandaoni . upumbavu huu umeanza kwa hawa mashekh wakubwa.
miaka hii watu wa bidaa mtakoma Mlijiachia sabaa miliifanya dini kama siasa Mtume akijisikia tu mbele ya wanawake bas humsıfıa Mtume atakavyo tu na wengne mpka uimba na nyımbo wakıbana saıtı mbele za wanawake et Maulid ya MtumeSAW Subhana Allah
Yaan siku hiz naon bora usikilize miziki uangalie hat nyuchi lkn sio uupuuz wanao ufany hawa wanao tak kutugaw mnawatoa watu kweny njia kabisa wapo walio silimu kil ck hapatulii ujinga tu ume waghubika allahu aghalam
Watoto hawajui lolote kisha mnawafunza kukosoa watu wenye ilimu zao simujitokeze nyie walimu wachan kuwaanika watoto hapa mitandaoni wakapata laana zawatu na maapizo wakajakuishia kuvuta bangi na kunywa pombe kwa laana walizo pata
Na ntakuomba uvuwe ile nguo unahitia ktk bega lako, Sio nguo la kibri na ukosefu Adabu Ni nguo la tawad'a . Unasikiya ? Mweye muna stahiki muje Congo njo usome
Laa haula walaa kuwwata illaa billah .. aliyewafunza hawa watoto suu ul adab Ana fungua kwa Allah .. Alie tengeza hii video kwa kuikata kata nae pia ako na fungu lake.. Yatosha kuwa ni dalili za qiyamm ssa'a Allah Akuongeze
Tuwaombee hawa kuwatuma watoto wafanye hivi waongoke na sisi pia awaepushe mashekhe zetu na hizi dhana za wasiokuwa wasomi tuzingatie haya ليس الجمال بأثواب تزيننا إن الجمال جمال العلم والأدب
@@shafisaggaf1889 hata wewe utanyamaza tu kwasbb unajazb paka unawaita wenzako mashitwani unaacha kukasirika mtume hafuatwi unakasirika masheikh wanaraddiwa kwa kwenda kinyume na mtume kwahyo wafurahia Sana kuona mtume akiasiwa ktk maamrisho yake??? Nakma hupendi mbona hawa masheikh hawaamrishi watu wafuate mafundisho ya mtume na badala yake wanaamrisha watu wasome maulidi na mtume hajafundisha hayo maulidi je ni sawa??? Alafu maulid siyo Jambo liliwekwa na Sheria Bali tamaa zenu tu za ubwabwa n fulus ukiambiwa uache ngumi juuu km kweli mnampenda mtume lazima upende aliyofundisha bila kusitsita.
najutia kumaliza mb.zangu kusikiliza ujinga huu. kwani haya wanayo yafanya hawa vijana nikinyume kabisa na maadili ya dini lakini pia hii sio sababu ya wao kusoma ili waje wafanye mijadala ya kijinga huku ni kumkosea heshima sheikh AL,HATIMIY. hii mijadala wamuachie mwalimu wao.
Ustadh Kishki kishki hawa watoto sijawahi kuona utovu wa nidhamu kama huu .watoto hawawezi kufanya wenyewe kuna watu wako nyuma yao na sitaki kuamini kama kama ni wewe sheikh kishki bali utovu wa nidhamu ni wawatu wengine
Wewe mwenyewe huna chochote ktk dini, musijifanye Munawakosoa watu Hali ya kuwa Muna chuki zenu binafsi na kuufanya uislam ni sehemu ya kunyoosheana vidole
UISLAM umevamiwa kitaambo,,, Yaani munaanda watoto ili wadhalilishe wengine?? ,, Sijui WAISLAM tunakwama wapi? Au ni ushamba wa mitandao? Tumekuwa kambale camp
Yaani walimu wao Ni na wazazi wao WOTE Ni wapumbavu na wao ndio majumba mabovu ,,,,,hawana wanachojua katika walixhosoma ila Ni Kama Punda kubeba mzigo wa vitabu
MashaAllah kazi nzuri.
Allah awabaarik, awaepushe na husda
Pumbavu zenu hamna adabu,aliyewafundisha ALLAH anamsubiri
Subhanaallah Amakweli tumefikia sasa watoto wetu wana anza kuleteana maneno kama mnavyo bishana mashekhe watazania hii inaonyesha kuwa vita vyenu vya wakubwa sasa na watoto wetu wakuja juu wanachukuwa majukumu ambayo hawajayafikia mwenyezi mungu atujalie mwisho mwema yaarab ameen
Allah awaongoe akupeni taufiq ya kumuogopa yeye, hii tabia kudhalilishana waislam subhanallah tena kuwatumia watoto wadogo lahaula walaaquwata ilaa billah Allah awaoneshe njia ya kurekebeshana waislam Ammin
Subuhana Allah nimtihani kwakweli, Hawa watoto hawana kosa, kosa nila walimu wao, na Hawa waliowapa uyu mda wakumchafuwa Sheikh
Fayasubhnallah sitak kusema meng ila tu namuomba Allah atuongezee vizaz vyetu.
Tandika bakora toto hizo hazina adabu.
Uyo maskio upawa ndo muongoza kipindi daaaah😂😂😂😂😂😂😂
Hamna lolote watoto ni remote MNALETA visasi kwenye ELIMU ya mungu .wapuuzi wote waandaji wote. Badala mlete ELIMU
Alhatimiy ni sheikh anatetea shirk sasa na wewe km wapenda shirk poa tu
Ma Sha Allah watoto wako sawa kabisa kama unabisha na wewe Rekodi Video yako uwakosowe kwa Hoja na Dalili.
yaan ukıleta shiriki tukuache hii dinii ndugu Adinan
Ukıpinda tunakunyosha
Na mwenzio maskio kama popo 😂😂😂😂😂
Kama yupo ambae anawafanya ivi Hawa watoto kwa kuona anapatia basi subhanallah amrudie mola wake kwn sio sahihi na haifai unawajenga nn Hawa watoto kwa maisha ya baadae najua dhat Hawa wameambiwa hawakujitoa tu wao wenyewe bila kutumwa wafanye ivi.
Jmn tunaenda wapi subhanallah Allah atustiri.
Innalillah waina ilaih rajiuni Sijapata kuona watoto ambao hawakufunzwa adabu kama hawa ,,,ila si walaumu kwani huenda yupo mtu mzima waliye wamezesha maneno watoto hawa . Inahuzunisha watoto wachanga kama hawa ki ilmu kuingilia mambo ambayo hawana uwezo wa kuyazungumzia
Alhatimiy Hana akili kuliko hawa watoto maana ana elm ndogo Bora hawa wanasema waliyofundishwa kutoka ktk kitab na sunna,,, kuliko yeye anasema ya kichwani mwake bila dalili akikosea anatetea makosa jaahil Al murakkab kabisa.
Kwan ww unaadabu usiseme wtt wa wenzio we mwenye ukufunzwa adabu n wazz wako usinge ccoment ujinga hapa
Watoto wa radio gani hivi!!!!!!
Sio kweli . Na pia asali ya ukweli huwa unauma
Si watoto wao hawana uwezo wa kujitoa ktk mitandao, lkn kama waislam wenyewe hawajui njia ya kurekebishana wanabaki kukashifiana kwa dharau kama hivo wenzetu wa dini nyengine watafanyaje lazima mubadilike heshima itumike TAFAKARI CHUKUA HATUA
Huyu alowapangia hawa watoto ni Mpuzi sana hana hishma adabu yake ndogo sana tena sana
Unajua haya Maswala ya Mitandao siku hizi inafanya watu watokwe na Busara na hekima, Sizani kama hii Hekima ya kuwafundisha Watoto wetu, for that time we are joyful for what we do! Ila Baadae kuna Madhara makubwa Sana! Na hiki kitendo sio Uthibitisho wa Upana wa ELIMU! I believe sasa miaka ya Sasa hivi ELIMU Inapotea Ila Maarifa yanapanuka.
MKWELI ATAJULIKANA KESHO MBELE YAKE ALLAH KILA MTU ABAKI NA AKIJUACHO HAINA HAJA YA KUZARAULIANA
Hizi ni kiki tu....Elimu ya watoto huwa ni fitna kubwa sana katika ummah. Nakumbuka video flani akifanyiwa interview.
Hawa mashekh wanaofanya haya Mimi nawashauri wakasome somo la Adab ktk uislam. Ninahasira ! kazi kubishana mitandaoni . upumbavu huu umeanza kwa hawa mashekh wakubwa.
Mashetani nyuma.ya.shetani mkubwa mungu anawaona
Haya SII maadili kwa watoto
Watto mekuosa adabu hayo si mafundisho enti mtto mwezetu
Haya malumbano faida Kwa wamagharibi na vibaraka wao.Zindukeni, rudisheni Khilafa ndio ngao yetu.
Je hivi ndivyo mtume alivyosema Turekebishane hata mtu amekosea sio kumtoa makosa mbele za watu tunawapa nguvu makafiri bure
Hawa wametumwa na wapumbavu sababu hakuna binadamu asiye kosea aandelee kukosoa na wengine badala ya kujadili maendeleo wanajadili ujinga
We dogo usijimwae mwae unafundishwa kwaajili ya video lkn haitakufaa elimu io
Hawa watoto wako sawa wamemrekebisha sawa sawa. Hoja zao ziko sawa kabisa.
Usawa hapo uko wapi ushamba mtupu huo
@@xwalhinanurdin5679 ما لا تعرفه القرآن يقول
Yaonesha wewe ni زوزو
Kumbe wajinga ni wengi
@@jamalmohamed580 في عداد المفقودين لأنه مثير للسخرية
Pengine ni malipo hayo kwani huyo aliekosolewa hakuwahi kuwakosoa wakubwa zake kwa namna hiyo?
miaka hii watu wa bidaa mtakoma
Mlijiachia sabaa miliifanya dini kama siasa
Mtume akijisikia tu mbele ya wanawake bas humsıfıa Mtume atakavyo tu na wengne mpka uimba na nyımbo wakıbana saıtı mbele za wanawake et Maulid ya MtumeSAW
Subhana Allah
Wamezoea kukatika viuno🤣
Yaan siku hiz naon bora usikilize miziki uangalie hat nyuchi lkn sio uupuuz wanao ufany hawa wanao tak kutugaw mnawatoa watu kweny njia kabisa wapo walio silimu kil ck hapatulii ujinga tu ume waghubika allahu aghalam
Tazama maneno yako wewe
Hujajielewa kabisa unaweza kupimanisha mziki na maneno mazuri kama haya
Hawa ndio watoto. Jifunzeni kulea.
Watoto hawajui lolote kisha mnawafunza kukosoa watu wenye ilimu zao simujitokeze nyie walimu wachan kuwaanika watoto hapa mitandaoni wakapata laana zawatu na maapizo wakajakuishia kuvuta bangi na kunywa pombe kwa laana walizo pata
Wanafundishwa Aqida yao
Hii ni ya zamani wakati alhatimy akimchafua shekh kishki.
Na ntakuomba uvuwe ile nguo unahitia ktk bega lako,
Sio nguo la kibri na ukosefu Adabu
Ni nguo la tawad'a .
Unasikiya ?
Mweye muna stahiki muje Congo njo usome
Watoto wapo vizuri
HAWANA ADABU
Sheikh alhatimi hawezi kupoteza mudawake wakuweka mjadala na nanyie
Kama babayenu tu kashinda ijekua nyiee!!! Khaa
Embu kalaleni muwahi kuamka
انا لله وانا اليه راجعون
Nauliz t, Sheikh kishk hapa kahusikaje?
Asitacgafirullah ila mm nataka nisemetu yakwamba hizo nirucga zazarawu hizo vijan
Sasa uyo alie mwambia kua aongee maneno hayo ama wabishane si nimtu mzima na pia nae Hana akili
Laa haula walaa kuwwata illaa billah .. aliyewafunza hawa watoto suu ul adab Ana fungua kwa Allah .. Alie tengeza hii video kwa kuikata kata nae pia ako na fungu lake.. Yatosha kuwa ni dalili za qiyamm ssa'a Allah Akuongeze
Tuwaombee hawa kuwatuma watoto wafanye hivi waongoke na sisi pia awaepushe mashekhe zetu na hizi dhana za wasiokuwa wasomi tuzingatie haya
ليس الجمال بأثواب تزيننا
إن الجمال جمال العلم والأدب
Jiombee ww awa watt Allah awalinde n hasad zenu n walio wafundish Mola awazidishie taqwah n awape umri mrefu
Na kwann mawaidha mujakate vipande eken tusikie mawaidha yote alikua anaongelea nn
Dogo unaongeq kama shehe vile we ndenda kacheze rede
أعوذ بالله من الشيطان الرجيم
Mashaitwan wasikuhizi ndio hawa wanao wafunza hawa watoto
Masufi polen maana mwaka huu mtaraddiwa na mtakasirika paka mtarirai kwa chuki hawa watoto Wana akili kulko alhatimiy
🤣🤣🤣🤣wacha tuone mwisho wao kelele tu hizo walianza wengu na wakanyamaza
@@shafisaggaf1889 hata wewe utanyamaza tu kwasbb unajazb paka unawaita wenzako mashitwani unaacha kukasirika mtume hafuatwi unakasirika masheikh wanaraddiwa kwa kwenda kinyume na mtume kwahyo wafurahia Sana kuona mtume akiasiwa ktk maamrisho yake??? Nakma hupendi mbona hawa masheikh hawaamrishi watu wafuate mafundisho ya mtume na badala yake wanaamrisha watu wasome maulidi na mtume hajafundisha hayo maulidi je ni sawa??? Alafu maulid siyo Jambo liliwekwa na Sheria Bali tamaa zenu tu za ubwabwa n fulus ukiambiwa uache ngumi juuu km kweli mnampenda mtume lazima upende aliyofundisha bila kusitsita.
najutia kumaliza mb.zangu kusikiliza ujinga huu. kwani haya wanayo yafanya hawa vijana nikinyume kabisa na maadili ya dini lakini pia hii sio sababu ya wao kusoma ili waje wafanye mijadala ya kijinga huku ni kumkosea heshima sheikh AL,HATIMIY.
hii mijadala wamuachie mwalimu wao.
Kama hamna kazi kachezeni vikoba
Kama ww shekhe kishiki nikidume siumjibu ww mwenyewe
Ama adabu nyinyi na uyo aliyewata
We choco unanini kifuani mwako matako wewe na anaekufundisha
NYINGI NI WAOGA SASA MUNAWATUMIYA WATOTO KUINGIYA KWENYE MIZOZO MUNAWATUMIYA WATOTO WA WATU VIBAYA MBONA HAMULETI WATOTO WENU
Hyo sheikh wnu aliambiwa afanya mjadala wakielimu mbn kashndwa sasa hii ndio nini
Kwa hapa hatujawaona na elimu yyte ile
Huwezi ukaona na wewe hauna macho
Sisaport haya mambo hata kdg
Ustadh Kishki kishki hawa watoto sijawahi kuona utovu wa nidhamu kama huu .watoto hawawezi kufanya wenyewe kuna watu wako nyuma yao na sitaki kuamini kama kama ni wewe sheikh kishki bali utovu wa nidhamu ni wawatu wengine
Kishki unakimbia mjadala badala yake unawaingiza watoto ktk kupata kula sumu za mwanachuoni
Wewe mwenyewe huna chochote ktk dini, musijifanye Munawakosoa watu Hali ya kuwa Muna chuki zenu binafsi na kuufanya uislam ni sehemu ya kunyoosheana vidole
Walimu acheni maswaala ya kuwajaza watoto ujinga kwa ajili ya chuki zenu
Wenye makosa ni hao masheikh wanaokosa heshima kwa wenziwao unatak kumkosoa mwenzio mwite mfuate umueleweshe, sio ukae ktk TV ukirikod kisha umdhalikishe sheikh mwenzio utamaduni huu haupo ktk usislam mtume hkua hv wal hjtufnza iv kbisaa
UISLAM umevamiwa kitaambo,,,
Yaani munaanda watoto ili wadhalilishe wengine?? ,,
Sijui WAISLAM tunakwama wapi?
Au ni ushamba wa mitandao?
Tumekuwa kambale camp
Awo watoto wametumwa na yule chizi wa vetenali
Yaonekana hata mwalim wao anatatzo
Yaani walimu wao Ni na wazazi wao WOTE Ni wapumbavu na wao ndio majumba mabovu ,,,,,hawana wanachojua katika walixhosoma ila Ni Kama Punda kubeba mzigo wa vitabu
Kabisa ndugu hujakosey
Yaaaani hawoo watoto nashekhe waawoo ni chukitu
Hii ni komedi lkn haichekeshi
Maneno mazito wewe wasema ni vichekesho. Hebu kasome