ALHA TIMY APEWA MAFUNZO NA WATOTO WA TEMEKE ASIWA TUSI MASHEKHE APUNGUZE MIJADALA KWENYE MITANDAO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 93

  • @thefoodshaikh811
    @thefoodshaikh811 Год назад

    MashaAllah kazi nzuri.

  • @TheZanzibarstonetown
    @TheZanzibarstonetown 2 года назад +3

    Allah awabaarik, awaepushe na husda

  • @ahmadbadawi9664
    @ahmadbadawi9664 Год назад

    Pumbavu zenu hamna adabu,aliyewafundisha ALLAH anamsubiri

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 2 года назад

    Subhanaallah Amakweli tumefikia sasa watoto wetu wana anza kuleteana maneno kama mnavyo bishana mashekhe watazania hii inaonyesha kuwa vita vyenu vya wakubwa sasa na watoto wetu wakuja juu wanachukuwa majukumu ambayo hawajayafikia mwenyezi mungu atujalie mwisho mwema yaarab ameen

  • @farhatsalum6631
    @farhatsalum6631 2 года назад

    Allah awaongoe akupeni taufiq ya kumuogopa yeye, hii tabia kudhalilishana waislam subhanallah tena kuwatumia watoto wadogo lahaula walaaquwata ilaa billah Allah awaoneshe njia ya kurekebeshana waislam Ammin

  • @masudially6790
    @masudially6790 2 года назад

    Subuhana Allah nimtihani kwakweli, Hawa watoto hawana kosa, kosa nila walimu wao, na Hawa waliowapa uyu mda wakumchafuwa Sheikh

  • @hasnakid
    @hasnakid 2 года назад +2

    Fayasubhnallah sitak kusema meng ila tu namuomba Allah atuongezee vizaz vyetu.

  • @meddixempire292
    @meddixempire292 Год назад

    Uyo maskio upawa ndo muongoza kipindi daaaah😂😂😂😂😂😂😂

  • @kaluluu2011
    @kaluluu2011 2 года назад +2

    Hamna lolote watoto ni remote MNALETA visasi kwenye ELIMU ya mungu .wapuuzi wote waandaji wote. Badala mlete ELIMU

  • @abdallahmwabungale
    @abdallahmwabungale Год назад +1

    Ma Sha Allah watoto wako sawa kabisa kama unabisha na wewe Rekodi Video yako uwakosowe kwa Hoja na Dalili.

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 2 года назад +3

    yaan ukıleta shiriki tukuache hii dinii ndugu Adinan
    Ukıpinda tunakunyosha

  • @meddixempire292
    @meddixempire292 Год назад

    Na mwenzio maskio kama popo 😂😂😂😂😂

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 2 года назад

    Kama yupo ambae anawafanya ivi Hawa watoto kwa kuona anapatia basi subhanallah amrudie mola wake kwn sio sahihi na haifai unawajenga nn Hawa watoto kwa maisha ya baadae najua dhat Hawa wameambiwa hawakujitoa tu wao wenyewe bila kutumwa wafanye ivi.
    Jmn tunaenda wapi subhanallah Allah atustiri.

  • @adinanimohamed9320
    @adinanimohamed9320 2 года назад +6

    Innalillah waina ilaih rajiuni Sijapata kuona watoto ambao hawakufunzwa adabu kama hawa ,,,ila si walaumu kwani huenda yupo mtu mzima waliye wamezesha maneno watoto hawa . Inahuzunisha watoto wachanga kama hawa ki ilmu kuingilia mambo ambayo hawana uwezo wa kuyazungumzia

    • @albassammusaalbassam7487
      @albassammusaalbassam7487 2 года назад +1

      Alhatimiy Hana akili kuliko hawa watoto maana ana elm ndogo Bora hawa wanasema waliyofundishwa kutoka ktk kitab na sunna,,, kuliko yeye anasema ya kichwani mwake bila dalili akikosea anatetea makosa jaahil Al murakkab kabisa.

    • @mohamedswaleh6778
      @mohamedswaleh6778 2 года назад

      Kwan ww unaadabu usiseme wtt wa wenzio we mwenye ukufunzwa adabu n wazz wako usinge ccoment ujinga hapa

    • @shafiismaily9223
      @shafiismaily9223 2 года назад

      Watoto wa radio gani hivi!!!!!!

    • @nsabimanasuleyman2008
      @nsabimanasuleyman2008 2 года назад

      Sio kweli . Na pia asali ya ukweli huwa unauma

    • @farhatsalum6631
      @farhatsalum6631 2 года назад +1

      Si watoto wao hawana uwezo wa kujitoa ktk mitandao, lkn kama waislam wenyewe hawajui njia ya kurekebishana wanabaki kukashifiana kwa dharau kama hivo wenzetu wa dini nyengine watafanyaje lazima mubadilike heshima itumike TAFAKARI CHUKUA HATUA

  • @Auf-uh3jq
    @Auf-uh3jq Год назад

    Huyu alowapangia hawa watoto ni Mpuzi sana hana hishma adabu yake ndogo sana tena sana

  • @mustafagomesa8360
    @mustafagomesa8360 2 года назад

    Unajua haya Maswala ya Mitandao siku hizi inafanya watu watokwe na Busara na hekima, Sizani kama hii Hekima ya kuwafundisha Watoto wetu, for that time we are joyful for what we do! Ila Baadae kuna Madhara makubwa Sana! Na hiki kitendo sio Uthibitisho wa Upana wa ELIMU! I believe sasa miaka ya Sasa hivi ELIMU Inapotea Ila Maarifa yanapanuka.

  • @ياسمينياسمين-غ2ص
    @ياسمينياسمين-غ2ص 2 года назад

    MKWELI ATAJULIKANA KESHO MBELE YAKE ALLAH KILA MTU ABAKI NA AKIJUACHO HAINA HAJA YA KUZARAULIANA

  • @athmanbabusa8020
    @athmanbabusa8020 2 года назад

    Hizi ni kiki tu....Elimu ya watoto huwa ni fitna kubwa sana katika ummah. Nakumbuka video flani akifanyiwa interview.

  • @yakuobsalim9020
    @yakuobsalim9020 Год назад

    Hawa mashekh wanaofanya haya Mimi nawashauri wakasome somo la Adab ktk uislam. Ninahasira ! kazi kubishana mitandaoni . upumbavu huu umeanza kwa hawa mashekh wakubwa.

  • @nurdiniabdillahi3558
    @nurdiniabdillahi3558 Год назад

    Mashetani nyuma.ya.shetani mkubwa mungu anawaona

  • @baqirmkilindi9369
    @baqirmkilindi9369 2 года назад +1

    Haya SII maadili kwa watoto

  • @rahmahassan1157
    @rahmahassan1157 2 года назад

    Watto mekuosa adabu hayo si mafundisho enti mtto mwezetu

  • @abdulkajo3097
    @abdulkajo3097 2 года назад

    Haya malumbano faida Kwa wamagharibi na vibaraka wao.Zindukeni, rudisheni Khilafa ndio ngao yetu.

  • @mehmetyousuf35
    @mehmetyousuf35 Год назад

    Je hivi ndivyo mtume alivyosema Turekebishane hata mtu amekosea sio kumtoa makosa mbele za watu tunawapa nguvu makafiri bure

  • @muhammadtwaha516
    @muhammadtwaha516 Год назад

    Hawa wametumwa na wapumbavu sababu hakuna binadamu asiye kosea aandelee kukosoa na wengine badala ya kujadili maendeleo wanajadili ujinga

  • @meddixempire292
    @meddixempire292 Год назад

    We dogo usijimwae mwae unafundishwa kwaajili ya video lkn haitakufaa elimu io

  • @9119-r4t
    @9119-r4t Год назад +1

    Hawa watoto wako sawa wamemrekebisha sawa sawa. Hoja zao ziko sawa kabisa.

    • @xwalhinanurdin5679
      @xwalhinanurdin5679 Год назад

      Usawa hapo uko wapi ushamba mtupu huo

    • @9119-r4t
      @9119-r4t Год назад

      @@xwalhinanurdin5679 ما لا تعرفه القرآن يقول

    • @9119-r4t
      @9119-r4t Год назад

      Yaonesha wewe ni زوزو

    • @jamalmohamed580
      @jamalmohamed580 Год назад

      Kumbe wajinga ni wengi

    • @9119-r4t
      @9119-r4t Год назад

      @@jamalmohamed580 في عداد المفقودين لأنه مثير للسخرية

  • @humudseif2780
    @humudseif2780 Год назад

    Pengine ni malipo hayo kwani huyo aliekosolewa hakuwahi kuwakosoa wakubwa zake kwa namna hiyo?

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 2 года назад

    miaka hii watu wa bidaa mtakoma
    Mlijiachia sabaa miliifanya dini kama siasa
    Mtume akijisikia tu mbele ya wanawake bas humsıfıa Mtume atakavyo tu na wengne mpka uimba na nyımbo wakıbana saıtı mbele za wanawake et Maulid ya MtumeSAW
    Subhana Allah

  • @hamisyshembe419
    @hamisyshembe419 2 года назад +1

    Yaan siku hiz naon bora usikilize miziki uangalie hat nyuchi lkn sio uupuuz wanao ufany hawa wanao tak kutugaw mnawatoa watu kweny njia kabisa wapo walio silimu kil ck hapatulii ujinga tu ume waghubika allahu aghalam

  • @softjeanskhakis9993
    @softjeanskhakis9993 Год назад

    Hawa ndio watoto. Jifunzeni kulea.

  • @shafisaggaf1889
    @shafisaggaf1889 2 года назад +2

    Watoto hawajui lolote kisha mnawafunza kukosoa watu wenye ilimu zao simujitokeze nyie walimu wachan kuwaanika watoto hapa mitandaoni wakapata laana zawatu na maapizo wakajakuishia kuvuta bangi na kunywa pombe kwa laana walizo pata

  • @shuaibsaid515
    @shuaibsaid515 2 года назад

    Hii ni ya zamani wakati alhatimy akimchafua shekh kishki.

  • @issaibnsaidi2095
    @issaibnsaidi2095 Год назад

    Na ntakuomba uvuwe ile nguo unahitia ktk bega lako,
    Sio nguo la kibri na ukosefu Adabu
    Ni nguo la tawad'a .
    Unasikiya ?
    Mweye muna stahiki muje Congo njo usome

  • @TheZanzibarstonetown
    @TheZanzibarstonetown 2 года назад +3

    Watoto wapo vizuri

  • @harunaamani7
    @harunaamani7 Год назад

    Sheikh alhatimi hawezi kupoteza mudawake wakuweka mjadala na nanyie
    Kama babayenu tu kashinda ijekua nyiee!!! Khaa
    Embu kalaleni muwahi kuamka

  • @islamiczoneallytv2558
    @islamiczoneallytv2558 2 года назад

    انا لله وانا اليه راجعون

  • @hasnakid
    @hasnakid 2 года назад

    Nauliz t, Sheikh kishk hapa kahusikaje?

  • @kakamama5104
    @kakamama5104 Год назад

    Asitacgafirullah ila mm nataka nisemetu yakwamba hizo nirucga zazarawu hizo vijan

  • @whityommy5374
    @whityommy5374 Год назад

    Sasa uyo alie mwambia kua aongee maneno hayo ama wabishane si nimtu mzima na pia nae Hana akili

  • @mohamedathuman4646
    @mohamedathuman4646 Год назад

    Laa haula walaa kuwwata illaa billah .. aliyewafunza hawa watoto suu ul adab Ana fungua kwa Allah .. Alie tengeza hii video kwa kuikata kata nae pia ako na fungu lake.. Yatosha kuwa ni dalili za qiyamm ssa'a Allah Akuongeze

  • @hassankofa1234
    @hassankofa1234 2 года назад

    Tuwaombee hawa kuwatuma watoto wafanye hivi waongoke na sisi pia awaepushe mashekhe zetu na hizi dhana za wasiokuwa wasomi tuzingatie haya
    ليس الجمال بأثواب تزيننا
    إن الجمال جمال العلم والأدب

    • @mohamedswaleh6778
      @mohamedswaleh6778 2 года назад

      Jiombee ww awa watt Allah awalinde n hasad zenu n walio wafundish Mola awazidishie taqwah n awape umri mrefu

  • @meddixempire292
    @meddixempire292 Год назад

    Na kwann mawaidha mujakate vipande eken tusikie mawaidha yote alikua anaongelea nn

  • @meddixempire292
    @meddixempire292 Год назад

    Dogo unaongeq kama shehe vile we ndenda kacheze rede

  • @shafisaggaf1889
    @shafisaggaf1889 2 года назад +2

    أعوذ بالله من الشيطان الرجيم
    Mashaitwan wasikuhizi ndio hawa wanao wafunza hawa watoto

    • @albassammusaalbassam7487
      @albassammusaalbassam7487 2 года назад +2

      Masufi polen maana mwaka huu mtaraddiwa na mtakasirika paka mtarirai kwa chuki hawa watoto Wana akili kulko alhatimiy

    • @shafisaggaf1889
      @shafisaggaf1889 2 года назад

      🤣🤣🤣🤣wacha tuone mwisho wao kelele tu hizo walianza wengu na wakanyamaza

    • @albassammusaalbassam7487
      @albassammusaalbassam7487 2 года назад

      @@shafisaggaf1889 hata wewe utanyamaza tu kwasbb unajazb paka unawaita wenzako mashitwani unaacha kukasirika mtume hafuatwi unakasirika masheikh wanaraddiwa kwa kwenda kinyume na mtume kwahyo wafurahia Sana kuona mtume akiasiwa ktk maamrisho yake??? Nakma hupendi mbona hawa masheikh hawaamrishi watu wafuate mafundisho ya mtume na badala yake wanaamrisha watu wasome maulidi na mtume hajafundisha hayo maulidi je ni sawa??? Alafu maulid siyo Jambo liliwekwa na Sheria Bali tamaa zenu tu za ubwabwa n fulus ukiambiwa uache ngumi juuu km kweli mnampenda mtume lazima upende aliyofundisha bila kusitsita.

    • @sheikhwamajionlinetv290
      @sheikhwamajionlinetv290 Год назад

      najutia kumaliza mb.zangu kusikiliza ujinga huu. kwani haya wanayo yafanya hawa vijana nikinyume kabisa na maadili ya dini lakini pia hii sio sababu ya wao kusoma ili waje wafanye mijadala ya kijinga huku ni kumkosea heshima sheikh AL,HATIMIY.
      hii mijadala wamuachie mwalimu wao.

  • @meddixempire292
    @meddixempire292 Год назад

    Kama hamna kazi kachezeni vikoba

  • @kakamama5104
    @kakamama5104 Год назад

    Kama ww shekhe kishiki nikidume siumjibu ww mwenyewe

  • @abrahmankubo4857
    @abrahmankubo4857 2 года назад

    Ama adabu nyinyi na uyo aliyewata

  • @meddixempire292
    @meddixempire292 Год назад

    We choco unanini kifuani mwako matako wewe na anaekufundisha

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 2 года назад

    NYINGI NI WAOGA SASA MUNAWATUMIYA WATOTO KUINGIYA KWENYE MIZOZO MUNAWATUMIYA WATOTO WA WATU VIBAYA MBONA HAMULETI WATOTO WENU

  • @saidmakamejanja3616
    @saidmakamejanja3616 2 года назад

    Hyo sheikh wnu aliambiwa afanya mjadala wakielimu mbn kashndwa sasa hii ndio nini
    Kwa hapa hatujawaona na elimu yyte ile

  • @salehabdallah4114
    @salehabdallah4114 2 года назад +2

    Sisaport haya mambo hata kdg

    • @adelinibrahim9283
      @adelinibrahim9283 2 года назад

      Ustadh Kishki kishki hawa watoto sijawahi kuona utovu wa nidhamu kama huu .watoto hawawezi kufanya wenyewe kuna watu wako nyuma yao na sitaki kuamini kama kama ni wewe sheikh kishki bali utovu wa nidhamu ni wawatu wengine

    • @mohamedjuma9517
      @mohamedjuma9517 2 года назад

      Kishki unakimbia mjadala badala yake unawaingiza watoto ktk kupata kula sumu za mwanachuoni

  • @aliabdulla6648
    @aliabdulla6648 2 года назад

    Wewe mwenyewe huna chochote ktk dini, musijifanye Munawakosoa watu Hali ya kuwa Muna chuki zenu binafsi na kuufanya uislam ni sehemu ya kunyoosheana vidole

  • @skysuleshfootballnews2741
    @skysuleshfootballnews2741 Год назад

    Walimu acheni maswaala ya kuwajaza watoto ujinga kwa ajili ya chuki zenu

  • @abubakarahyan9515
    @abubakarahyan9515 2 года назад

    Wenye makosa ni hao masheikh wanaokosa heshima kwa wenziwao unatak kumkosoa mwenzio mwite mfuate umueleweshe, sio ukae ktk TV ukirikod kisha umdhalikishe sheikh mwenzio utamaduni huu haupo ktk usislam mtume hkua hv wal hjtufnza iv kbisaa

  • @halidijuma1884
    @halidijuma1884 Год назад

    UISLAM umevamiwa kitaambo,,,
    Yaani munaanda watoto ili wadhalilishe wengine?? ,,
    Sijui WAISLAM tunakwama wapi?
    Au ni ushamba wa mitandao?
    Tumekuwa kambale camp

  • @mutanabbiabbas337
    @mutanabbiabbas337 2 года назад

    Awo watoto wametumwa na yule chizi wa vetenali

  • @baqirmkilindi9369
    @baqirmkilindi9369 2 года назад

    Yaonekana hata mwalim wao anatatzo

  • @majaliwabakari786
    @majaliwabakari786 2 года назад

    Yaani walimu wao Ni na wazazi wao WOTE Ni wapumbavu na wao ndio majumba mabovu ,,,,,hawana wanachojua katika walixhosoma ila Ni Kama Punda kubeba mzigo wa vitabu

    • @kakamama5104
      @kakamama5104 Год назад

      Kabisa ndugu hujakosey

    • @kakamama5104
      @kakamama5104 Год назад

      Yaaaani hawoo watoto nashekhe waawoo ni chukitu

  • @meddixempire292
    @meddixempire292 Год назад

    Hii ni komedi lkn haichekeshi

    • @9119-r4t
      @9119-r4t Год назад

      Maneno mazito wewe wasema ni vichekesho. Hebu kasome