Mimi Nimetarajia kuona Isuzu inalisha Scania mkeka mwanzo mwanzo wa sinema kumbe ni mbio imekuwa za kuchakani tuu hadi mwisho mwisho ndio capello wa Scania akaamua kupatia Isuzu opportunity ajiskie!😂😂🙌 Lakini najua Scania alitokea huko na kuilaza officially sasa😂😂😅
lakini hata kama mlikuja kuipita, fact remains hio scania ni moto, since mchana ndo mnakuja kuipita usiku.,mngepata rello ama zile p410 za buscar hamngeona kitu
Vipi wewe utalinganisha Isuzu engine ndogo 280hp ambayo inabakishia investors faida kubwa kuliko hiyo Scania engine kubwa 410hp faida yake ni ndogo, inatumia mafuta mengi, spare parts na maintenance yake ni expensive!
Inamaanisha Isuzu ni engine ndogo lakini ina nguvu na imebeba abiria almost x2 kuliko wale Scania imebeba engine kubwa inanyonya mafuta zaidi faida kigodo kwa investors
Kabisa, Isuzu ni engine yake ni ndogo but inaweza ukilinganisha na Scania iko na engine kubwa, inanyonya mafuta sana na spare parts zake ni bei mbaya kuliko hiyo Isuzu ambayo ni pocket wise friendly.
@@byronewailer7989Bro uko personal sana tulia though the Isuzu Fvr 34s 280hp zinapotea drivers ka wako freshi also big companies are embracing them Mash poa wamenunua, etc.
Izuzu has a small poweful engine less expensive, less fuel consumption and cheap durable spare parts faida kwa Investors than Scania which is expensive, high fuel consumption and expensive spare parts faida kidogo kwa investors also MAN and Benz bado faida ni kidogo kwa investors l
So you think those investors going for German and Swedish hawana doh compared to wale wa Japanese? Infact the richest companies run German and Swedish jaggs
@@byronewailer7989 Bro Isuzu imetawala kila sector iwe ni Lories za mchanga, Matatus, pick ups, etc all are assembled here in Industrial area off Mombasa Rd offering many jobs. There are more powerful Isuzu Gigas ranging from 360hp, 460hp,480hp to 560hp Not available in kenya. It's not personal, we use both of them when travelling the issue is unfair comparison - Isuzus 280hp capped against Scanias 360hp, difference of 80hp between them it's not adding up let it be 360hp against 360hp fairly. Availability of affordable durable Spare parts and low fuel consumption is the key in any business.
@@byronewailer7989 Bro Isuzu imetawala kila sector iwe ni Lories za mchanga, Matatus, pick up, etc hizo unasifu ziko above 360hp na Isuzu Fvr 34s ni below 280hp lakini bado zinapotea dere ka ako freshi, na kuna powerful Isuzu Gigas majuu from 360, 460hp, 480hp just google utaziona with more advantages than the others.
Investors wengi wananunua Isuzus coz ziko na advantages nyingi kando na speed, availability of affordable spare parts and low fuel consumption, etc. Jaribu Scania, Benz or Man utaziweka juu ya mawe bro. We all use all of these Buses but tuambiane ukweli without being personal roho Safi.
The Isuzu engine capacity is small - 280hp but inaweza, cheaper maintenance and low fuel consumption faida kwa investors the Scania you are mentioning is 360Hp bigger engine, high cost of maintenance, high fuel consumption and expensive spare parts which one would you go for.. na zote zinafikia destination within the same time frame alafu ukumbuke kule majuu kuna Isuzu engine that are, more powerful, engines ranging from from 270hp to 560hp just Google you will find out. Also do fair comparison with all having same engine power capacity 280hp vs 280hp Not 280hp vs 360hp!
Scania rules over the rest, but from my observation, most of the times madereva wa Scania ndio huwa mandazi sana kwa kubembeleza gari. Utapata jamaa penye kuna jam ndio anarush kuovertake but akifika kwenye barabara ni safi anadrive kama mkoko teni. Scania ikiwa na driver anajua kuchangamka vizuri but carefully, bro, it will your best trip ever
Isuzu on a flat road hauwezi ipata,problem comes with hilly places,unakumbuka video of ENA coach MAN HB4,respect to mobikey
Kabisa
Ata mash wamenunua KDP mbili isuzu
That's true pia Isuzu Frr90 Bus ya Climax coaches aka Slay queen ilitupita kwa hasira kama tupo ndani ya Benz bus na ikapotea kabisa
But coast bus Really know how to maintain their buses
Even mash poa have just adopte 2 new isuzu's KDP series.
Pricing in Kenya may be an issue playing here and its okay to buy African too.
The spooling may not be there but the turbo in an isuzu sounds nice and with a sound driver it really can chew the miles
Mkuu jaribu route Nai to Kampala na izo Man za Classic
Usiwahi weka Scania na Isuzu kama Debate Coast Bus hao Mwendo yao huwa pole Weka DREAM, BUSSCAR SIMBA ama TAHMEED ndio utajua isuzu bado ni mtoto
But mwenda pole hajikwai, how many accidents have you heard of coast bus, slow but sure
Inategemea ushupavu na umakini wa dereva
Simba coach uweke sijui na guardian...nikama usiku na mchana comparison
Bro mm nataka uniekee dream na isuzu za mada
Isuzu engine sound 🔥🔥🔥🔥
Lakini coast bus hawana Isuzu, my favourite bis by the way
Mimi Nimetarajia kuona Isuzu inalisha Scania mkeka mwanzo mwanzo wa sinema kumbe ni mbio imekuwa za kuchakani tuu hadi mwisho mwisho ndio capello wa Scania akaamua kupatia Isuzu opportunity ajiskie!😂😂🙌
Lakini najua Scania alitokea huko na kuilaza officially sasa😂😂😅
History is just repeating itself
lakini hata kama mlikuja kuipita, fact remains hio scania ni moto, since mchana ndo mnakuja kuipita usiku.,mngepata rello ama zile p410 za buscar hamngeona kitu
🔥
P410 ni trailers bana
Vipi wewe utalinganisha Isuzu engine ndogo 280hp ambayo inabakishia investors faida kubwa kuliko hiyo Scania engine kubwa 410hp faida yake ni ndogo, inatumia mafuta mengi, spare parts na maintenance yake ni expensive!
F310 🔥,FVR alikanyagiwa
Volvo ,man, scania,benz,isuzu
Bro ile intro song ya kwanza ilikuwa kali man bring it back
Itarudi
Nyamira express to the world
Gari ya home
More of it
good job bro naeza penda kufanya hii content yako
Turbo spool imekuwa improved inalia kama scania
Kabisaa
How can you compare a scania kcu with an isuzu kdk thats not fair competition😢
Haha
Hio scania iko na 310hp na isuzu 270hp hio scania ni ya 35 passengers nyamira ni 67 passengers
@@bkhigh1294 hata kama siwaweka relative same age tuone😂
Inamaanisha Isuzu ni engine ndogo lakini ina nguvu na imebeba abiria almost x2 kuliko wale Scania imebeba engine kubwa inanyonya mafuta zaidi faida kigodo kwa investors
Conversation is hilarious
😂Mzee kimetto
Yaani mnakanyagiwa alafu mnajigamba?
Scania is beast buana you can't compare na suzi
Coast bus hawana isuzu bro
Kosa uchekwe 😊
Piga review ya Coast Bus once at least
I will
Try BUSCAR nai to kampala
Btw buscar is quite good at the moment ana Grand bus na hio ndege yao mpya ya blue
Pale kbw talking bad about isuzu but kwa ground isuzu ni mambo mbayaa
😂😂
Mambo mbaya wapi,, leteni video hii isuzu ikiovertake KDK ya dreamline tuaminie hiyo competition
Kabisa, Isuzu ni engine yake ni ndogo but inaweza ukilinganisha na Scania iko na engine kubwa, inanyonya mafuta sana na spare parts zake ni bei mbaya kuliko hiyo Isuzu ambayo ni pocket wise friendly.
Hakuna kitu hapa, mchana yote wameng'ang'ana kuipita ikawa shida mpaka wakanyagiwe
@@byronewailer7989Bro uko personal sana tulia though the Isuzu Fvr 34s 280hp zinapotea drivers ka wako freshi also big companies are embracing them Mash poa wamenunua, etc.
Izuzu has a small poweful engine less expensive, less fuel consumption and cheap durable spare parts faida kwa Investors than Scania which is expensive, high fuel consumption and expensive spare parts faida kidogo kwa investors also MAN and Benz bado faida ni kidogo kwa investors l
So you think those investors going for German and Swedish hawana doh compared to wale wa Japanese?
Infact the richest companies run German and Swedish jaggs
@@byronewailer7989 Bro Isuzu imetawala kila sector iwe ni Lories za mchanga, Matatus, pick ups, etc all are assembled here in Industrial area off Mombasa Rd offering many jobs. There are more powerful Isuzu Gigas ranging from 360hp, 460hp,480hp to 560hp Not available in kenya. It's not personal, we use both of them when travelling the issue is unfair comparison - Isuzus 280hp capped against Scanias 360hp, difference of 80hp between them it's not adding up let it be 360hp against 360hp fairly. Availability of affordable durable Spare parts and low fuel consumption is the key in any business.
@@byronewailer7989 Bro Isuzu imetawala kila sector iwe ni Lories za mchanga, Matatus, pick up, etc hizo unasifu ziko above 360hp na Isuzu Fvr 34s ni below 280hp lakini bado zinapotea dere ka ako freshi, na kuna powerful Isuzu Gigas majuu from 360, 460hp, 480hp just google utaziona with more advantages than the others.
Investors wengi wananunua Isuzus coz ziko na advantages nyingi kando na speed, availability of affordable spare parts and low fuel consumption, etc. Jaribu Scania, Benz or Man utaziweka juu ya mawe bro. We all use all of these Buses but tuambiane ukweli without being personal roho Safi.
Coast Bus unaeza kuta KAU BADO INATESA 🤣🤣🤣
Scania will always beat isuzu any time of the day😂this shouldn't be a debate😂😂
The Isuzu engine capacity is small - 280hp but inaweza, cheaper maintenance and low fuel consumption faida kwa investors the Scania you are mentioning is 360Hp bigger engine, high cost of maintenance, high fuel consumption and expensive spare parts which one would you go for.. na zote zinafikia destination within the same time frame alafu ukumbuke kule majuu kuna Isuzu engine that are, more powerful, engines ranging from from 270hp to 560hp just Google you will find out. Also do fair comparison with all having same engine power capacity 280hp vs 280hp Not 280hp vs 360hp!
Scania rules over the rest, but from my observation, most of the times madereva wa Scania ndio huwa mandazi sana kwa kubembeleza gari. Utapata jamaa penye kuna jam ndio anarush kuovertake but akifika kwenye barabara ni safi anadrive kama mkoko teni. Scania ikiwa na driver anajua kuchangamka vizuri but carefully, bro, it will your best trip ever
@@joshuanyagagi4496 hio ni ukweli manze😂😂📌
Acha nione
Number 1 fan
Kama kawa🫡
Congrats bestie
Asante bestie
This thing can pull how many hp
Isuzu fvr34 280hp vs scania f310 310hp
League table ikuje
Inakam
Umeongea....kabisa