MJUE KIJANA ABDULHAMID MWENYE KIPAJI CHA KUSOMA QURAN

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Kijana Abdulhamid mkazi wa Buza D'salaam mwenye kipaji cha Kusoma Quran kwa njia ya Tajweed

Комментарии • 1 тыс.

  • @omklthomomklthom8090
    @omklthomomklthom8090 4 года назад +406

    Mashallh kama unaipenda kur_an kama mm tujuwane bas😘

  • @hawamuhammed3695
    @hawamuhammed3695 4 года назад +107

    Mtoto ABDULHAMID Maa sha Allah Allah Akupe Jaza Njema

  • @agogotvharoune989
    @agogotvharoune989 4 года назад +134

    daaah mashaa'ALLAH nataman nami niwe km yeye ALLAH amzidishie 'ilim zaidi

  • @mussaselemani80
    @mussaselemani80 4 года назад +62

    Maa sha Allah, Allah amjaalie kipaji chake kisiyumbe na asimame ktk misingi hiyo hyo

  • @husseinmohamed6723
    @husseinmohamed6723 4 года назад +29

    MaashaAllah hiko ndio kipaji,sio mtoto anakata viuno unasema kipaji Allah amuongoze kijana

  • @kazuhan_thobes
    @kazuhan_thobes 4 года назад +88

    Allahu Akbar Huyu kijana ni kipaji maalum wallah
    Allah amlinde na kupaisha zaidi na zaidi katika fani hii kubwa ya kujawid In Shaa Allah
    Maashaallah Maashaallah Maashaallah

  • @khadijahkhdoo6387
    @khadijahkhdoo6387 4 года назад +22

    Najiskia faraja kuzaliwa katika Islam,mwili wanienda vimbimbi.Mashallah mungu akujazi kheri

    • @mtaalamshekidele1661
      @mtaalamshekidele1661 4 года назад

      Qur an inasisimua Dada yangu ikisomwa vzuri

    • @fatumahassanmasudi5923
      @fatumahassanmasudi5923 4 года назад

      Allah akupe maisha marefu bro

    • @PaziTuktuk
      @PaziTuktuk 4 года назад

      Duh yani raha sana ama kweli mungu kaibariki Tanzania kwa kila kitu...mashallah...lakini mbona mbona kenya aaah yanimapka naskia wivu 🙏🙏🙏

  • @fathyasaid2942
    @fathyasaid2942 4 года назад +7

    ma sha Allah ya Allah muendelezee kijan huyu kipaji chake cha kusom qur an i wish u all the best ya Allah muindeshee kila la shari na umuingizie kila la kher ktk maisha yke km unampenda like hpo chin

  • @hildababyabdullah5627
    @hildababyabdullah5627 4 года назад +13

    Mashaallah mashaallah mashaallah Allah akuzidishie ufaham ktk ilmu inshaallah bba Abdull hamid nakupenda sana kwaajili ya Allah

  • @rahmuuelbiiman8021
    @rahmuuelbiiman8021 4 года назад +1

    Mashallah Allah kariim rahim jazakallahulkheyr Allah akutimizie ndoto zako amiin

  • @maryamzuheir1633
    @maryamzuheir1633 4 года назад +38

    Mashallah Allah amuhifadhi yy nawenziw amzidishi kipaji zaidi na zaidi ili iwe mafanikio ya duniani na akher Allah mjalie MTT huyu watu wenye uwezo ili tuwe na vipaji na cc HP Tanzania

  • @sadathmuhaji2060
    @sadathmuhaji2060 4 года назад +17

    Maashallah..! ALLAH amhifadhi kwa nuru njema ili iwe ni sababu ya vijana wetu wa kiislam kuipenda dini yao na kufuata yale yote mema yanayopatkana ndan yake

  • @issasaid8187
    @issasaid8187 4 года назад +25

    الله أكبر ما شاء الله الله يحفظك من كل عين لامة والحسد .ويبارك في صوتك وعمرك.

  • @halimaali9118
    @halimaali9118 4 года назад +2

    Mashallh allah yubarik wayuhafidh may Allah bless him,and bless me family of quran amiin ya Allah

  • @rukiamshihiri4911
    @rukiamshihiri4911 4 года назад +108

    Allah aqbar mashallah jicho la husda lisikuone

  • @daiyomuu8445
    @daiyomuu8445 4 года назад +11

    Bismillahi Ma Shaa Allah waminshari hasidin idha hasada Allah ape kheri na furaha katika maisha yake Amiin

    • @maryamrashid1075
      @maryamrashid1075 4 года назад +1

      Mamshaallah mashaallah Allah awe pamoja nae ee nlshaallah

    • @samialindo6721
      @samialindo6721 4 года назад +1

      Mashaa llah munguakujalie mwanangu

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu 4 года назад +15

    mashaAllah inapendeza kuzaa mtoto wa hv ...

  • @adamhasani6468
    @adamhasani6468 4 года назад +2

    Maashaallah mtt mzur Allah akuzdshie uzd kukua ktk maadil mema na unachosoma kije kiwafae wazaz mbele ya haki nawe pia hongera wazaz wa Abdulhamid kwa malez bora pamoja na waalim wake

  • @1THEBRAIN
    @1THEBRAIN 4 года назад +10

    Mashaallah kijana akitunzwa na akafundishwa kuisoma Quran vizuri kwa hukmu, na mazoezi ya pumzi tu. waarabu watasubiri sana @ rajai fanya jambo kwahuyu kijana Allah atakulipa

    • @mariammohamed2543
      @mariammohamed2543 4 года назад

      Mashaallah

    • @gobagobachevu7904
      @gobagobachevu7904 4 года назад

      Mashallwah, Mashallwah Allwah amuongoze,na kipaji chake na watt wetu Allwah awajalie

    • @annassuleiman4508
      @annassuleiman4508 4 года назад

      @@adhkaar3250 mziki gani??

    • @abdulbhaijaanabdulbhaijaan3380
      @abdulbhaijaanabdulbhaijaan3380 4 года назад

      Msihifadhi kuwa warabu ndo waelewa zaidi wa kusoma Quran au lugha ya kiarabu na wao mpaka wasome kama watu wengine ambae ajasoma hawezi kabisa warabu wengi hawajui mpaka wasome.
      Allah ndo mjuzi zaidi

  • @user-pg2jy8xm4e
    @user-pg2jy8xm4e 5 месяцев назад

    Mashaa allah. Allah amjaalie awe miongoni mwa watoto wema na akuhifadh n hasid anapo husud
    Aamin

  • @abasisabuni3883
    @abasisabuni3883 4 года назад +4

    Ma Shaa Allah
    Jazakallahu khayran
    Allah amzidishie Ilimu na amkinge na hasad

  • @khadijahaji1626
    @khadijahaji1626 4 года назад

    Masha'Allah Jazakallahul kheyr. Allah akukuzie kipaji chak na akuepushie na hasad. Amiiiin

  • @maryamzahor5738
    @maryamzahor5738 4 года назад +21

    Alla amzidishie kipaji chake na Allah amjaalie awe mtito mwenye kuendeleza kusoma kur-an. MashaaAllah.

  • @user-dg2qq2yv7e
    @user-dg2qq2yv7e 4 года назад +1

    مشاءالله عليك صوت جميل وفية طراوة
    نسال الله يرفع ذكرك ويشرح صدرك بلقران خير التربية

  • @omarimasanga
    @omarimasanga 4 года назад +17

    Allah amzidishie huyu kijana kila lililo jema kwake

  • @ahmadmohamed3286
    @ahmadmohamed3286 4 года назад

    Masha Allah, vijana kama hawa wanahitajika kuendelezwa. Hii ni hazina adimu sana. Allah muongeze kipaji chake na umsogezee kila la kheri katika Maisha yake. Aaamin

  • @saidahajimgeni8893
    @saidahajimgeni8893 4 года назад +6

    MashaAllah mashaAllah... ameen kwasote 🙏

  • @abdurahmanalnaufaly3835
    @abdurahmanalnaufaly3835 Год назад +1

    بسم الله ماشاء الله بسم الله تبارك الله بسم الله إن هاذا من فضل ربنا نسأل الله أن يحفظك و أن يرفع مقامك في قراءة القرآن و تلاوته وترتيله يا رب العالمين اللهم امين يارب العالمين.

  • @kisanganyakiswanta1379
    @kisanganyakiswanta1379 4 года назад +30

    Allah amjalie mwisho mwema amzidishie maarifa

  • @ukhtyalpha1344
    @ukhtyalpha1344 4 года назад

    Allah Akbar Tabaraka Ramhman mjukuu wetu Allah akuhifadhi na wenzio YAARABIY Allah akuzidishie kipaji YAARABIY

  • @hamidharunsaid1666
    @hamidharunsaid1666 4 года назад +5

    Hii ni talent dogo MashaAllah... May Allah bless you abundantly

  • @shadiashaaly3956
    @shadiashaaly3956 Год назад +1

    Allah akuhifadh na shari za duny n akhera ❤️🇹🇿❤️

  • @gitonga7054
    @gitonga7054 4 года назад +3

    Mashallah Tabarakallah. May ALLAH guide all our children 🙏

  • @khalidsalmin7682
    @khalidsalmin7682 4 года назад

    ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR mashaallah kijana wetu abdulhamid...

  • @binhemed326
    @binhemed326 4 года назад +18

    mashaalah mashallah
    nmependa xn anasoma huku akitabasam
    mungu amuepushe na watu wabaya

  • @luqmanmwinyi7953
    @luqmanmwinyi7953 4 года назад

    Maa shaa allah... Allah ambarick mdg wetu sheikhe Adull

  • @faizabongo7824
    @faizabongo7824 4 года назад +3

    Mashallah anasoma kama marehemu abdul basit abdul samad Allah amrehem shekh wetu.....

  • @wakiliathumani7213
    @wakiliathumani7213 4 года назад

    MashaAllah jazakallahu khairan ,Allahu (S.W.W) amuwezeshe kijana huyo ili afike mbali katika ulimwengu wawasomaji mahili Duniani

  • @yassirabdallah1645
    @yassirabdallah1645 4 года назад +3

    ‏ما شاء الله تبارك الرحمن ما شاء الله ما شاء الله اللهم زدنا علما وارزقني فهما أمين يا رب

  • @zawaidarashid7099
    @zawaidarashid7099 2 года назад

    Mashallah.... Allah akubarik abdulhamid😍

  • @issaibrahim7325
    @issaibrahim7325 4 года назад +17

    Masha Allah mtoto anauwezo mkubwa sana Allah amuengeze zaid insha Allah

  • @aminamwinga270
    @aminamwinga270 4 года назад

    Masha allah jazaka allahull kweir mola amuongoze mtoto Abdull panapo shindikana mola awezeshe pafunguke Aamin insha allah

  • @azizauledi4108
    @azizauledi4108 4 года назад +4

    Mashaa Allah jazakallah bui natamani ungekuwa nimekuzaa mie 😍😍😍

  • @swabraswamadi3370
    @swabraswamadi3370 4 года назад +1

    Mashalla aki mungu amzidishiye amuepushiye mahasidi yani nimempenda sana yani Ana kiraa kizuli hadi kichwa cha goga

    • @rehemamohammed401
      @rehemamohammed401 4 года назад

      Swabra Swamadi We acha tu mpaka machoz yanatoka hasa kwenye hicho kipande cha kwanza Allah amzidishie tu hyu mtto Wallah

  • @user-dp5zu9ih9h
    @user-dp5zu9ih9h 4 года назад +5

    بسم الله ماشاء الله 😘😘
    الله يبارك فيك

  • @kibabagejunior7014
    @kibabagejunior7014 4 года назад

    Mashalaah jazzakallah khaira,Allah akuzidishie kila lenye kher,na akuongoze ktk firdaus njema Allahuma amiin

  • @athumanikaroyo5999
    @athumanikaroyo5999 4 года назад +34

    Mashaallah Allah baariq kijana huyu awe miongoni mwa wanachuo inshaallah

  • @asiaaliy4366
    @asiaaliy4366 4 года назад

    Mashaallah mashaallah mashaallah Allah amzidishie kila lakher

  • @mohamedzyenhazmi4154
    @mohamedzyenhazmi4154 4 года назад +14

    MashaAllah heart touching ...... May Allah protect him wherever he is@!!

  • @cadabra7402
    @cadabra7402 4 года назад +1

    Maasha Allah maasha Allah maasha Allah you make me cry when you read wamaa adeeeraka maalaiilatul qadri.

  • @amirlehao8945
    @amirlehao8945 4 года назад +4

    MashaAllah alaik yah wallad Allah aftah alaik InshaAllah

  • @asiahassan8727
    @asiahassan8727 4 года назад +2

    Mashallah jazak lhau kheri

  • @mozuusuleiman4702
    @mozuusuleiman4702 4 года назад +5

    Mashallah Mashallah umenitoa machozi. Hongera sana mwanangu Allah akulinde na hasad na akujaalie uzidi kuendelezwa na kipaji chako. Allah akujaalie upate sponsorship arabuni ukaongeze kipaji uwe Shekhe mkubwa baadae. Ungekua karibu ningekutunza Wallah

    • @mogeramusa5391
      @mogeramusa5391 4 года назад

      Yaan me mwenyewe kanitoa machozi... Allah atujalie vizazi vyetu wallah

  • @halimamariri5210
    @halimamariri5210 4 года назад +1

    MashaAllah qiraa kipo uzuri wallah Allah akukuze nacho piah namaadilii yako yawe mazuri hadi mwisho wa uhai wako amiin

  • @albarghash9005
    @albarghash9005 4 года назад +16

    MASHAALAH ALLAH AMZIDISHIE

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 4 года назад

    Mashaallah mashaallah mashaallah mashaallah. paka machozi yamenitoka kwa furaha.mungu akuongoze mdogo wetu. Inshaallah ❤❤

  • @thumabby3655
    @thumabby3655 4 года назад +3

    Mashaallah tabaraka llah mungu amzidishie zaidi na zaidi inshaallah

  • @ramadhanikassim519
    @ramadhanikassim519 4 года назад

    Allahu Akbar, Masha'Allah barakallahu fiyka, , , , 😘😘😘😘

  • @abdallahmuttaq7306
    @abdallahmuttaq7306 4 года назад +5

    Allah sub haanahu anasema hakika sisi tumeiteremsha qur ani na hakika sisi tutaihifadhi,")

  • @malikamtajir8935
    @malikamtajir8935 4 года назад

    Mashallah.Allah amfishe mbali kwa kipaji hiki cha dini n Allaj amuepushe n hanasa z dunia

  • @shafiihemed2920
    @shafiihemed2920 4 года назад +3

    Mashaallah...mashaallah...mashaallah....Allah azidi kumuongoa zaidi yuko vzr ana sauti mzuri na anajua sn

  • @jazilambaji2789
    @jazilambaji2789 4 года назад

    MaashaAllah!!Allah akukuze vyema ktk dini yetu iliyobora

  • @paizinhochafim5064
    @paizinhochafim5064 4 года назад +7

    MashAllah mdogo wangu Allah akujarie kila lakher

  • @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477
    @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477 4 года назад

    Mashaallah Allah amzidishie ufahamu na afya ili aweze kuendelea na kipaji hasa wahusika watahfidhul qu-ani wamsadie aweze kusonga mbele bila ya kumuwezesha kinaweza kupotea mnajua utoto ni maji yamoto mungu amuongoze inshallah

  • @samirizomboko5005
    @samirizomboko5005 4 года назад +5

    Ukimuangalia ni kijana wa kimaskini, kanzu yake si kama za wengine na imechanika ila ALLAH ndo ameshaamua kuwa huyu ndo aijue Qur an, ni kisu kipya ndani ya ala ya zaman, ALLAH will bless you my young brother

    • @BABDEOMILADU
      @BABDEOMILADU  4 года назад +3

      Dah inauma sana Allah amfikishe mbali na amlinde na mabalaa

  • @aminagau3344
    @aminagau3344 4 года назад

    Mashaalaa mwenyezimungu akuzidishie zaidi i'll na watoto wafuate.

  • @fadhilichilumba6924
    @fadhilichilumba6924 4 года назад +4

    He reciting well while enjoying himself, mashallah

  • @hassanmchwakachangama888
    @hassanmchwakachangama888 4 года назад +1

    Allah amzidishie mafanikio mema Amiin amuepushie na husuda mbaya Amiin 🙏🙏🙏

  • @salumkarim69
    @salumkarim69 4 года назад +3

    mashaa allah ...wallahi nimefarijika sana endelezwe haraka kabla ya saibu ya kidunia hyajamkabili.

  • @omarshamata5476
    @omarshamata5476 4 года назад

    Masha Allah Allah amzidishie na atuongoze sote waislam tuijuw diniyet ishaallah

  • @hamissnjumba6151
    @hamissnjumba6151 4 года назад +16

    masha allaah anapita vizuri llhamdullah Allah jalaal amzidishie inshaallah

  • @nfbdbxbxbdb2902
    @nfbdbxbxbdb2902 4 года назад

    mashaallah hongera mwanangu nimependa mpaka nmetoa machozi mwenyezi mungu akuweke na kukuzidishia elmu

  • @kwekwemahendo9747
    @kwekwemahendo9747 4 года назад +5

    ma sha Allah ALLAH AMZIDISHIE ELIMU

  • @faulatafahmi7733
    @faulatafahmi7733 4 года назад +1

    TabaaralaAllahu Rrahman...mwanangu Allah azidi kukupa elimu ya akhera..Jicho la hassad lisikuone ...MaashaAllah Allahu Akbar

  • @babawatotobabu7229
    @babawatotobabu7229 4 года назад +3

    mashallah allah akulinde na mahasidi akuzidishie zaidi ya hapo ameen ameen

  • @aminarama9360
    @aminarama9360 4 года назад

    MashaAllah MashaAllah MashaAllah... Allah akunusuru na hasada za walimwengu... Allah akupe elmu zaid..

  • @mzeeamry2501
    @mzeeamry2501 4 года назад +9

    Allah akbar moyo wangu wavunjika vunjika kwa sauti ya mtoto huyu,Allah mlinde na umuingoze ktk njia ya kher

  • @nailatyahmad7298
    @nailatyahmad7298 4 года назад +1

    Mashaallah Alhamdulillah Allah Akuzidishie kipaji mdogowangu

  • @jasminhassan4626
    @jasminhassan4626 4 года назад +3

    Mashaallah Allah Akukuze Zaidi Akuzidishie Ujuzi

  • @bableesalu8707
    @bableesalu8707 4 года назад +1

    Mashallah Abdull hamid

  • @hajisalumomari3460
    @hajisalumomari3460 4 года назад +57

    mashallah ni kipaji kinachohitaji kukuzwa na kipate elimu zaid ili kiendelee kukua

  • @asyaibrahim1504
    @asyaibrahim1504 4 года назад

    Yasalaam... Allah akuzidishie In shaa Allah uzidii kukijuwa kitabu kitukufu chake ALLAH waminshari hasidin idhahasad

  • @Aaliyah-jm2xy
    @Aaliyah-jm2xy 4 года назад +3

    Abdul hameed!!i shall never forget this kid may Allah bless you may He guide you and protect you..Your parents and ustadh May Allah bless them too
    May Allah ease your affairs too

  • @mariamtaffe2783
    @mariamtaffe2783 4 года назад +1

    Mashaa Allah kijana nilipenda Sana voice Yale Allah akujalie mashaa Allah 👍👍👍👍👍👍

  • @hamadisuleman4858
    @hamadisuleman4858 4 года назад +9

    Maashallah mdogo wangu

  • @hosseinkileo7286
    @hosseinkileo7286 4 года назад

    Mashaallah, Allah azidi kumwongoza kijana katk njia ilionyooka!

  • @mudkhamis3078
    @mudkhamis3078 4 года назад +28

    Maashallah maashallah maashallah maashallah maashallah maashallah maashallah

  • @kitaaofficial4119
    @kitaaofficial4119 4 года назад

    Maa sha allah.. Allah akupe Nuru ktk Dunia na Aakhera

  • @naamanramla5325
    @naamanramla5325 4 года назад +3

    MashaAllah inshallah Allah atazidi kumuongoza

  • @zuenaahmad3995
    @zuenaahmad3995 4 года назад

    maaashaallah.maashaallah.allah.akulinde.fiddunia.wal.aakhela

  • @mwawekomiuda5777
    @mwawekomiuda5777 4 года назад +3

    Mashallah. M'mungu amzidishie asome zaidi ya hivyo na ampe umri mrefu na pia amlinde na maadui ishaAllah

  • @mrzyz
    @mrzyz 4 года назад +1

    MashaAllah MashaAllah MashaAllah MashaAllah MashaAllah MashaAllah MashaAllah MashaAllah MashaAllah MashaAllah MashaAllah MashaAllah MashaAllah

  • @ismashaakaadiano8967
    @ismashaakaadiano8967 4 года назад

    Masha Allah Allah hafadhak awesome Allahuma amiin thuma Amiin

  • @rukiaaa3719
    @rukiaaa3719 4 года назад +4

    mashallah tabaraak Alla👌👌❤❤

  • @ashamasudi9441
    @ashamasudi9441 4 года назад +1

    MashaAllah MashaAllah Allah kuongoze nasikia raha hadi nalia vile anavosoma MashaAllah

  • @santaslum5427
    @santaslum5427 4 года назад +4

    Mashallah allah amjalie ufahamu zaid

  • @almuhtaramzamil
    @almuhtaramzamil 4 года назад +1

    MaashaAllah..ndugu yetu katika imani,Allah (S.W) amhifadhi na kila Sharri.Ameen!

  • @ahmadazubeir5112
    @ahmadazubeir5112 4 года назад +9

    Namuomba Sheikh Rajjai Ayoub amtembelee huyu kijana na amchukuwe ili awe nae nyumbani kwake in shaa Allah.

    • @nurdinhemed6
      @nurdinhemed6 4 года назад

      Nakuunga mkono sheikh ...wallah mtt anaswaut murua kabisa

    • @zuhuramuhanga5400
      @zuhuramuhanga5400 4 года назад

      Naungana na nyie kweli amchukue atafikanae mbali inshaallah

    • @uweismohammed6959
      @uweismohammed6959 4 года назад

      Naunga mkono

    • @mauahaji6025
      @mauahaji6025 3 года назад

      Masha Allah ,, ivi ndivo yapasavo kulelewa watoto wa kiislaam na sio kwenye ujinga mwengine ,,jicho la husad liwe mbali nawe ,, Allah atuzidishie uwez zaid na zaid insha Allah

  • @ahjucekim5138
    @ahjucekim5138 4 года назад

    Allah akibar,Allah akujaazie kher na baraka pia akuongezee zaid ya hapo, Inshaallah

  • @zaharahaji1642
    @zaharahaji1642 4 года назад +3

    MashaAllah mungu akuongoze