Allahu Akbar Huyu kijana ni kipaji maalum wallah Allah amlinde na kupaisha zaidi na zaidi katika fani hii kubwa ya kujawid In Shaa Allah Maashaallah Maashaallah Maashaallah
ma sha Allah ya Allah muendelezee kijan huyu kipaji chake cha kusom qur an i wish u all the best ya Allah muindeshee kila la shari na umuingizie kila la kher ktk maisha yke km unampenda like hpo chin
Mashallah Allah amuhifadhi yy nawenziw amzidishi kipaji zaidi na zaidi ili iwe mafanikio ya duniani na akher Allah mjalie MTT huyu watu wenye uwezo ili tuwe na vipaji na cc HP Tanzania
Maashallah..! ALLAH amhifadhi kwa nuru njema ili iwe ni sababu ya vijana wetu wa kiislam kuipenda dini yao na kufuata yale yote mema yanayopatkana ndan yake
Maashaallah mtt mzur Allah akuzdshie uzd kukua ktk maadil mema na unachosoma kije kiwafae wazaz mbele ya haki nawe pia hongera wazaz wa Abdulhamid kwa malez bora pamoja na waalim wake
Mashaallah kijana akitunzwa na akafundishwa kuisoma Quran vizuri kwa hukmu, na mazoezi ya pumzi tu. waarabu watasubiri sana @ rajai fanya jambo kwahuyu kijana Allah atakulipa
Msihifadhi kuwa warabu ndo waelewa zaidi wa kusoma Quran au lugha ya kiarabu na wao mpaka wasome kama watu wengine ambae ajasoma hawezi kabisa warabu wengi hawajui mpaka wasome. Allah ndo mjuzi zaidi
Masha Allah, vijana kama hawa wanahitajika kuendelezwa. Hii ni hazina adimu sana. Allah muongeze kipaji chake na umsogezee kila la kheri katika Maisha yake. Aaamin
بسم الله ماشاء الله بسم الله تبارك الله بسم الله إن هاذا من فضل ربنا نسأل الله أن يحفظك و أن يرفع مقامك في قراءة القرآن و تلاوته وترتيله يا رب العالمين اللهم امين يارب العالمين.
Mashallah Mashallah umenitoa machozi. Hongera sana mwanangu Allah akulinde na hasad na akujaalie uzidi kuendelezwa na kipaji chako. Allah akujaalie upate sponsorship arabuni ukaongeze kipaji uwe Shekhe mkubwa baadae. Ungekua karibu ningekutunza Wallah
Mashaallah Allah amzidishie ufahamu na afya ili aweze kuendelea na kipaji hasa wahusika watahfidhul qu-ani wamsadie aweze kusonga mbele bila ya kumuwezesha kinaweza kupotea mnajua utoto ni maji yamoto mungu amuongoze inshallah
Ukimuangalia ni kijana wa kimaskini, kanzu yake si kama za wengine na imechanika ila ALLAH ndo ameshaamua kuwa huyu ndo aijue Qur an, ni kisu kipya ndani ya ala ya zaman, ALLAH will bless you my young brother
Abdul hameed!!i shall never forget this kid may Allah bless you may He guide you and protect you..Your parents and ustadh May Allah bless them too May Allah ease your affairs too
Masha Allah ,, ivi ndivo yapasavo kulelewa watoto wa kiislaam na sio kwenye ujinga mwengine ,,jicho la husad liwe mbali nawe ,, Allah atuzidishie uwez zaid na zaid insha Allah
Mashallh kama unaipenda kur_an kama mm tujuwane bas😘
Mashaallah
Omklthom Omklthom waana uhibuka
Mashaalla
Umehifadhi kiasi ganiii
Masha Allah tabarakaallah
Mtoto ABDULHAMID Maa sha Allah Allah Akupe Jaza Njema
maashaAllah Allah akulinde na Husda
Amiin
Amiin YAARABIY
Amiin
Masha Allah
daaah mashaa'ALLAH nataman nami niwe km yeye ALLAH amzidishie 'ilim zaidi
Kaka one day yes
Kama mm jamani yani
Ameen ya raabil alamin
Amin
Masha Allah
Maa sha Allah, Allah amjaalie kipaji chake kisiyumbe na asimame ktk misingi hiyo hyo
MaashaAllah hiko ndio kipaji,sio mtoto anakata viuno unasema kipaji Allah amuongoze kijana
Masha Allah
Allahu Akbar Huyu kijana ni kipaji maalum wallah
Allah amlinde na kupaisha zaidi na zaidi katika fani hii kubwa ya kujawid In Shaa Allah
Maashaallah Maashaallah Maashaallah
Anahitaji awe akichekiwa viungo sababu anahitajia kupewa sapoti muwili ili awe mtu wa korani tukufu
Amiina yaa rabby
Amiin
Masha allah
Amiin
Najiskia faraja kuzaliwa katika Islam,mwili wanienda vimbimbi.Mashallah mungu akujazi kheri
Qur an inasisimua Dada yangu ikisomwa vzuri
Allah akupe maisha marefu bro
Duh yani raha sana ama kweli mungu kaibariki Tanzania kwa kila kitu...mashallah...lakini mbona mbona kenya aaah yanimapka naskia wivu 🙏🙏🙏
ma sha Allah ya Allah muendelezee kijan huyu kipaji chake cha kusom qur an i wish u all the best ya Allah muindeshee kila la shari na umuingizie kila la kher ktk maisha yke km unampenda like hpo chin
Mashaallah mashaallah mashaallah Allah akuzidishie ufaham ktk ilmu inshaallah bba Abdull hamid nakupenda sana kwaajili ya Allah
Allah akulinde na mashetwani
Mashallah Allah kariim rahim jazakallahulkheyr Allah akutimizie ndoto zako amiin
Mashallah Allah amuhifadhi yy nawenziw amzidishi kipaji zaidi na zaidi ili iwe mafanikio ya duniani na akher Allah mjalie MTT huyu watu wenye uwezo ili tuwe na vipaji na cc HP Tanzania
Maashallah..! ALLAH amhifadhi kwa nuru njema ili iwe ni sababu ya vijana wetu wa kiislam kuipenda dini yao na kufuata yale yote mema yanayopatkana ndan yake
الله أكبر ما شاء الله الله يحفظك من كل عين لامة والحسد .ويبارك في صوتك وعمرك.
Issa Said أ لهم أ مين
آمين يا ربي
Allahu akibar
اللهم آمين
Mashallh allah yubarik wayuhafidh may Allah bless him,and bless me family of quran amiin ya Allah
Allah aqbar mashallah jicho la husda lisikuone
Amiin Allahumma Amiin
Amin yarabi
Amiin
Amiin
Amiin Yaa Allah
Bismillahi Ma Shaa Allah waminshari hasidin idha hasada Allah ape kheri na furaha katika maisha yake Amiin
Mamshaallah mashaallah Allah awe pamoja nae ee nlshaallah
Mashaa llah munguakujalie mwanangu
mashaAllah inapendeza kuzaa mtoto wa hv ...
Maashaallah mtt mzur Allah akuzdshie uzd kukua ktk maadil mema na unachosoma kije kiwafae wazaz mbele ya haki nawe pia hongera wazaz wa Abdulhamid kwa malez bora pamoja na waalim wake
Mashaallah kijana akitunzwa na akafundishwa kuisoma Quran vizuri kwa hukmu, na mazoezi ya pumzi tu. waarabu watasubiri sana @ rajai fanya jambo kwahuyu kijana Allah atakulipa
Mashaallah
Mashallwah, Mashallwah Allwah amuongoze,na kipaji chake na watt wetu Allwah awajalie
@@adhkaar3250 mziki gani??
Msihifadhi kuwa warabu ndo waelewa zaidi wa kusoma Quran au lugha ya kiarabu na wao mpaka wasome kama watu wengine ambae ajasoma hawezi kabisa warabu wengi hawajui mpaka wasome.
Allah ndo mjuzi zaidi
Mashaa allah. Allah amjaalie awe miongoni mwa watoto wema na akuhifadh n hasid anapo husud
Aamin
Ma Shaa Allah
Jazakallahu khayran
Allah amzidishie Ilimu na amkinge na hasad
Masha'Allah Jazakallahul kheyr. Allah akukuzie kipaji chak na akuepushie na hasad. Amiiiin
Alla amzidishie kipaji chake na Allah amjaalie awe mtito mwenye kuendeleza kusoma kur-an. MashaaAllah.
Nywele zangu zasisimka mashallah hasbiyallah
مشاءالله عليك صوت جميل وفية طراوة
نسال الله يرفع ذكرك ويشرح صدرك بلقران خير التربية
Allah amzidishie huyu kijana kila lililo jema kwake
Masha Allah, vijana kama hawa wanahitajika kuendelezwa. Hii ni hazina adimu sana. Allah muongeze kipaji chake na umsogezee kila la kheri katika Maisha yake. Aaamin
MashaAllah mashaAllah... ameen kwasote 🙏
Jazaaka llahu
بسم الله ماشاء الله بسم الله تبارك الله بسم الله إن هاذا من فضل ربنا نسأل الله أن يحفظك و أن يرفع مقامك في قراءة القرآن و تلاوته وترتيله يا رب العالمين اللهم امين يارب العالمين.
Allah amjalie mwisho mwema amzidishie maarifa
Allah Akbar Tabaraka Ramhman mjukuu wetu Allah akuhifadhi na wenzio YAARABIY Allah akuzidishie kipaji YAARABIY
Hii ni talent dogo MashaAllah... May Allah bless you abundantly
Allah akuhifadh na shari za duny n akhera ❤️🇹🇿❤️
Mashallah Tabarakallah. May ALLAH guide all our children 🙏
ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR mashaallah kijana wetu abdulhamid...
mashaalah mashallah
nmependa xn anasoma huku akitabasam
mungu amuepushe na watu wabaya
Maa shaa allah... Allah ambarick mdg wetu sheikhe Adull
Mashallah anasoma kama marehemu abdul basit abdul samad Allah amrehem shekh wetu.....
MashaAllah jazakallahu khairan ,Allahu (S.W.W) amuwezeshe kijana huyo ili afike mbali katika ulimwengu wawasomaji mahili Duniani
ما شاء الله تبارك الرحمن ما شاء الله ما شاء الله اللهم زدنا علما وارزقني فهما أمين يا رب
Yassir abdallah
Ameen 🤲🏻
Mashallah.... Allah akubarik abdulhamid😍
Masha Allah mtoto anauwezo mkubwa sana Allah amuengeze zaid insha Allah
IAfrica rhumba
Manshaallaah
Masha allah jazaka allahull kweir mola amuongoze mtoto Abdull panapo shindikana mola awezeshe pafunguke Aamin insha allah
Mashaa Allah jazakallah bui natamani ungekuwa nimekuzaa mie 😍😍😍
Mashalla aki mungu amzidishiye amuepushiye mahasidi yani nimempenda sana yani Ana kiraa kizuli hadi kichwa cha goga
Swabra Swamadi We acha tu mpaka machoz yanatoka hasa kwenye hicho kipande cha kwanza Allah amzidishie tu hyu mtto Wallah
بسم الله ماشاء الله 😘😘
الله يبارك فيك
Mashalaah jazzakallah khaira,Allah akuzidishie kila lenye kher,na akuongoze ktk firdaus njema Allahuma amiin
Mashaallah Allah baariq kijana huyu awe miongoni mwa wanachuo inshaallah
Alhaaa
masya Allah
Mashaallah mashaallah mashaallah Allah amzidishie kila lakher
MashaAllah heart touching ...... May Allah protect him wherever he is@!!
Maasha Allah maasha Allah maasha Allah you make me cry when you read wamaa adeeeraka maalaiilatul qadri.
MashaAllah alaik yah wallad Allah aftah alaik InshaAllah
Mashallah jazak lhau kheri
Mashallah Mashallah umenitoa machozi. Hongera sana mwanangu Allah akulinde na hasad na akujaalie uzidi kuendelezwa na kipaji chako. Allah akujaalie upate sponsorship arabuni ukaongeze kipaji uwe Shekhe mkubwa baadae. Ungekua karibu ningekutunza Wallah
Yaan me mwenyewe kanitoa machozi... Allah atujalie vizazi vyetu wallah
MashaAllah qiraa kipo uzuri wallah Allah akukuze nacho piah namaadilii yako yawe mazuri hadi mwisho wa uhai wako amiin
MASHAALAH ALLAH AMZIDISHIE
Mashaallah mashaallah mashaallah mashaallah. paka machozi yamenitoka kwa furaha.mungu akuongoze mdogo wetu. Inshaallah ❤❤
Mashaallah tabaraka llah mungu amzidishie zaidi na zaidi inshaallah
Allahu Akbar, Masha'Allah barakallahu fiyka, , , , 😘😘😘😘
Allah sub haanahu anasema hakika sisi tumeiteremsha qur ani na hakika sisi tutaihifadhi,")
mashaallah kaka
Mashallah.Allah amfishe mbali kwa kipaji hiki cha dini n Allaj amuepushe n hanasa z dunia
Mashaallah...mashaallah...mashaallah....Allah azidi kumuongoa zaidi yuko vzr ana sauti mzuri na anajua sn
MaashaAllah!!Allah akukuze vyema ktk dini yetu iliyobora
MashAllah mdogo wangu Allah akujarie kila lakher
Mashaallah Allah amzidishie ufahamu na afya ili aweze kuendelea na kipaji hasa wahusika watahfidhul qu-ani wamsadie aweze kusonga mbele bila ya kumuwezesha kinaweza kupotea mnajua utoto ni maji yamoto mungu amuongoze inshallah
Ukimuangalia ni kijana wa kimaskini, kanzu yake si kama za wengine na imechanika ila ALLAH ndo ameshaamua kuwa huyu ndo aijue Qur an, ni kisu kipya ndani ya ala ya zaman, ALLAH will bless you my young brother
Dah inauma sana Allah amfikishe mbali na amlinde na mabalaa
Mashaalaa mwenyezimungu akuzidishie zaidi i'll na watoto wafuate.
He reciting well while enjoying himself, mashallah
Exactly
Allah amzidishie mafanikio mema Amiin amuepushie na husuda mbaya Amiin 🙏🙏🙏
mashaa allah ...wallahi nimefarijika sana endelezwe haraka kabla ya saibu ya kidunia hyajamkabili.
Masha Allah Allah amzidishie na atuongoze sote waislam tuijuw diniyet ishaallah
masha allaah anapita vizuri llhamdullah Allah jalaal amzidishie inshaallah
mashaallah hongera mwanangu nimependa mpaka nmetoa machozi mwenyezi mungu akuweke na kukuzidishia elmu
ma sha Allah ALLAH AMZIDISHIE ELIMU
TabaaralaAllahu Rrahman...mwanangu Allah azidi kukupa elimu ya akhera..Jicho la hassad lisikuone ...MaashaAllah Allahu Akbar
mashallah allah akulinde na mahasidi akuzidishie zaidi ya hapo ameen ameen
MashaAllah MashaAllah MashaAllah... Allah akunusuru na hasada za walimwengu... Allah akupe elmu zaid..
Allah akbar moyo wangu wavunjika vunjika kwa sauti ya mtoto huyu,Allah mlinde na umuingoze ktk njia ya kher
Mashaallah Alhamdulillah Allah Akuzidishie kipaji mdogowangu
Mashaallah Allah Akukuze Zaidi Akuzidishie Ujuzi
Mashallah Abdull hamid
mashallah ni kipaji kinachohitaji kukuzwa na kipate elimu zaid ili kiendelee kukua
Mashallah
Yasalaam... Allah akuzidishie In shaa Allah uzidii kukijuwa kitabu kitukufu chake ALLAH waminshari hasidin idhahasad
Abdul hameed!!i shall never forget this kid may Allah bless you may He guide you and protect you..Your parents and ustadh May Allah bless them too
May Allah ease your affairs too
Mashaa Allah kijana nilipenda Sana voice Yale Allah akujalie mashaa Allah 👍👍👍👍👍👍
Maashallah mdogo wangu
Mashaallah, Allah azidi kumwongoza kijana katk njia ilionyooka!
Maashallah maashallah maashallah maashallah maashallah maashallah maashallah
Ma sha Allah
Maa sha allah.. Allah akupe Nuru ktk Dunia na Aakhera
MashaAllah inshallah Allah atazidi kumuongoza
maaashaallah.maashaallah.allah.akulinde.fiddunia.wal.aakhela
Mashallah. M'mungu amzidishie asome zaidi ya hivyo na ampe umri mrefu na pia amlinde na maadui ishaAllah
mwaweko miuda Mainshaallah Alla akulinde
MashaAllah MashaAllah MashaAllah MashaAllah MashaAllah MashaAllah MashaAllah MashaAllah MashaAllah MashaAllah MashaAllah MashaAllah MashaAllah
Masha Allah Allah hafadhak awesome Allahuma amiin thuma Amiin
mashallah tabaraak Alla👌👌❤❤
MashaAllah MashaAllah Allah kuongoze nasikia raha hadi nalia vile anavosoma MashaAllah
Mashallah allah amjalie ufahamu zaid
Amin
MaashaAllah..ndugu yetu katika imani,Allah (S.W) amhifadhi na kila Sharri.Ameen!
Namuomba Sheikh Rajjai Ayoub amtembelee huyu kijana na amchukuwe ili awe nae nyumbani kwake in shaa Allah.
Nakuunga mkono sheikh ...wallah mtt anaswaut murua kabisa
Naungana na nyie kweli amchukue atafikanae mbali inshaallah
Naunga mkono
Masha Allah ,, ivi ndivo yapasavo kulelewa watoto wa kiislaam na sio kwenye ujinga mwengine ,,jicho la husad liwe mbali nawe ,, Allah atuzidishie uwez zaid na zaid insha Allah
Allah akibar,Allah akujaazie kher na baraka pia akuongezee zaid ya hapo, Inshaallah
MashaAllah mungu akuongoze