BISHOP ELIBARIKI SUMBE - MIZIMU NA JINSI YA KUJITENGA NAYO - IBADA YA JUMAPILI VUKA YORDANI CHURCH
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Ibada iliyofanyika Katika kanisa La Vuka Yordan Ngaramtoni Arusha Tanzania,Na Mtumishi wa Mungu Bishop Elibariki Sumbe.
Follow kurasa za Bishop Sumbe,Bofya Link Hapa Chini.
/ bishopelibarikisumbe
/ bishopelibariksumbe
LIKE | COMMENT | SHARE.
UBARIKIWE.
Eee Mungu wangu unitenge na mizimu ya Familia, 😭😭😭😭😭
Unakanyaga mizimu yenu na jina unalo tumia ndo ya hiyo mizimu,,
Mizimu ya wazungu ndo bora hii ya Africa ndo mibaya
Mucungaji sumbe ubarikiwe mimi na kupenda sana ❤️sifa kwake YESU Cristo 🙏🙏🙌🙌🙌
Ee Mungu nitenge na mizimu ya ukoo pande zote mbili Kwa mama na Kwa baba Kwa jina la Yesu.
Ee Mungu nitenge na roho za mizimu zilizoabudiwa na baba wa kizazi Cha kwanza,Cha pili, cha tatu ili mm wa kizazi Cha nne na uzao wangu najitenganisha nao mm imetakaswa na damu ya Yesu.
Nimejifnza mengi sana since nikujue mchungaji..Mungu azidi kukupa hekima na baraka amina
Q
Amena Amena pasta
Ulimjua kabisaa??au ulimfahamu tu??Kiswahili kigumu mbo
Najitenga na roho za mizimu mimi na familia yangu katika jina la Yesu
Amen nimeokoka yesu ni Bwana
Yesu alishamaliza yote siko chini ya laana ya mizimu tena.labda weñgine si mimi.
Eee mungu nikumbuke siku zote za maisha yangu
Waafrika kweli mizimu ya mababu imetutesa. Tuombe kwa ushindi wa Yesu. Amen
Wazungu mbona wanaiabudu mpaka kesho ila wao hawateseki kulikoni??
@@trophywilson7211😢😢 unamaamisha nini jamani mbona hata mi naona inanitesa
Ni utumwa uliokithiri kudharau Mizimu yetu na kuabudu mizimu ya wazungu, yaan sisi waafrica ni majitu majinga sana
Amen. Mungu uni tenga n'a minimum ya wa babu wangu
Ee Yesu nitenge na mizimu Kwa damu ya Yesu.
Somo la mizimu limenifundisha kitu kikubwa mno. Mungu akubariki Askofu Sumbe wewe na familia yako na akuinue zaidi ifikie wengi wajue, ili shetani aache kutumia watu wa Mungu vibaya.
Asante Asante Mungu wangu 🙌🏻
Amen barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Usinibite Mungu wangu mimi na watoto wangu nimeteswa sana kubitia mujungaji wako aribaliki sumbe na kanisa ya vuka yordani Mungu wangu🙏🙏🙏🙏🙏
mungu anipe, upako kamawakwako nombautamukeneno
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN
Nimepokea taarifa kutoka kwa Mazabaho ya vuka yorodani yakutenganishwa na mizimu ya ukoo na familia kwajina la YESU 🙏🙏 Amen 🙏🙏
Amen 🙏🏻
Ameeeeeen ameeeeeen ❤❤
Amen be blessed man of god na mungu anitenge na mizimu yte insyonifatilia in Jesus name amen😢🤲
Ubarikiwe sana Mtumishi
Bishop nimebarikiwa
Mungu akumbark mtumsh w mungu
Amena amena
Ee mwenyezi mungu niepushe na mizimu pamoja na watoto wangu tufunguliwe kupitia mtumishi wako🙏🙏🙏
Asante yesu ❤❤
Ameen
Ameeen
Amiina glory hallelujah
Amen
Amen mutumishi
Eee baba nitenge namizimu ya baba yangu
Amen 🙏🙏🙌
Mungu azidi kukutiya nguvu
MUNGU. Akulinde askofu wangu maana tukifundisha mafundisho kama hayo tunaambiwa nipotofu miungu inadili na maisha ya hapa duniani
AMEN ubarikiwe sana mtumishi
Mtumishi naomba uniombee mm na na familia Yetu mungu atutoe kwenywe roho ya mizimu mungu atutenganishe
Mungu akucunge milele
Mutumishi ubarikiwe n'a mungu akongezee masiku ili watu wa funguliwe n'a wa okolewe
Bishop Sumbe Mungu akuinue zsidi baba use baraka kwa Taifa
Mungu akuzidishiye myaka yakuishi Bishop Elibariki sumbe.
DAI,man of God 🙏🙏🙏, thanks for serving Our mighty God,am amusoga from Jinja in Uganda bt now working in Saudi Arabia,l lost my sight from nowhere (one of my can not)so pray for so that can see Again, thanks
Namisalimu baba mchungaji nime pata abari zenu zime nifuraisha na mimi nakuja munisa indie kwa maombi na zunguka fasi nyingi sana napenda muni saindiye na mimi napenda mwenye zimunga ani bariki nipate uja uzito atamutu anasema kunipa feza niko Bina Bina fungwa mimi niko ichiya Zambi kazi njema
AMEEN nimefunguliwa
AMENI,AMENI,AMENI.... Ahsante Yesu,Ahsante Bishop Sumbe....
Amen 🙏, Glory be to God, be blessed man of God 🙏
AminaTunaombaNambaTuñatakaKuuonaBaba
Tuma
Ukarikiwe sana
Mungu akupe kibari kikubwa pasta nabarikiwa Sana najifunza Mambo mengi
Mungu akubariki baba
Eeee Mungu niondolee hiyo mizimu
Aminaa sanaaa
Baba una huduma nzuri ya maombi
Nami nahitaji msaada kwako
Ee Mungu wa mutumishi elibariki sumbe nipate kufunguliwa
Ubarikiwe sana Asikofu wangu
Ubarikiwe Sanaa Askofu
eee mungu naomb nikatgwe mbali na mizimu
Amina mtumishi wa Mungu
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu.hakika Mungu wa mbinguni anakutumia kama apendavyo
Mungu akubali kwa kazi unayo mfanyia
Mimi na nyumba yangu tutaitumikia mizimu ya baba zetu. Maama tumeiona ikituhudumia kwa uaminifu.
Wewe ni mtu mwenye akiki sana aiseee,, hata mm sitaacha mizimu ya nyumbani kwetu
Ubarikiwe mtumishi
Najiungamanisha na madhahabu ya vuka jordani
Eeee mungu wangu nitenge na mizimu inayotesa maisha yangu
BISHOP ELIBARIKI SUMBE BE BLEESED MAN OF GOD
Ameni
Amen and Amen i receive
There's power in the name of Jesus, be blessed mzee Sumbe
Mungu akubariki Sana na akupe maisha marefu mtumishi wangu.
Ubalikiwe sumbe MUNGU akubaliki
Ee,, Mungu wangu naomba kufunguiwa naitwa Judith Abuko
Bwana yesu asifiwe mtumishi wa mung naitwa pascalina maona kutokea iringa kwa SAS nipo dar nimependa sana maombi yako naomba namimi kola ufanyapo huduma ya maombi yako twiombee familia yangu itoke kwenye vifungo na vizuiz vya adui shetani na me kila nikifanya kazi sipati mafanikio naletewa ndoto mbaya na kila nifanyapo maombi kinaloh Inanisumbua hazitaki nisali namba maombi yako pamoja na kanisa zima nafatilia kwa njia ya youtube amen
Ubarikiwe askofu
Tusaidieni watumishi wa Mungu
Naomba maombi mtumishi wa mungu mm na familiar yangu na kwetu
Amina ubarikiwe baba
Amen 🙏ubarikiwe
Utukufu Kwa yesu
Barikiwa sana mutumishi wa mungu
Niombeye n'a mimi mungu aniachanishe n'a mzimu ya kwetu
Amen baba, ubarikiwe sana
This man is full of spiritual wisdom
Nabarikiwa sana
Ameeeeeeen
Balikiwe sana Mtumish
you a god
♥️♥️🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nashikuru kwa soma
Jinsi ya kupata mawasiliano na bishop Sumbe
Angalia namba hizo kwenye Sreen
Baba mwenyezi mungu nitenganishe na kila aina za mizimu pamoja na mwanangu.
🙏
Yesu anaponya wapendwa ktk bwana wore wanaomwamin wanajuwa hilo by machella mseti
Waambie wanaolinga eti Daudi alimcheza kwa Mungu hawajui kilichompata Baadaye,Kitabu Kigumu hicho cha Maandiko
Eee mungu wangu unitenge na mizimu ya familia
Niukweli amekaaa mzee mtu wawenyewe
Mngu. Yupotu. Mashetani. Yote. Atatengeteya. Katika jinarayesu. Aliyeyi
Boa noite peço vosso e-mail estou em Moçambique preciso da vossa ajuda ,gostaria tanto de vir visitar vossa igreja no fim de Novembro
Wee Mungu nitenge na mizimu
Hi
Kwa hy unataka kusema hyo dini iliyokuja na ndege ndo bora kuliko babu zetu?
Unasema kabisa sisi waafrica hatukuw tunamuabudu Mungu, aiseeee nimesikitika kuona mtumishi amekariri na kichwa bado kina utumwa aiseeee.