BISHOP ELIBARIKI SUMBE - MIZIMU NA JINSI YA KUJITENGA NAYO - IBADA YA JUMAPILI VUKA YORDANI CHURCH

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Ibada iliyofanyika Katika kanisa La Vuka Yordan Ngaramtoni Arusha Tanzania,Na Mtumishi wa Mungu Bishop Elibariki Sumbe.
    Follow kurasa za Bishop Sumbe,Bofya Link Hapa Chini.
    / bishopelibarikisumbe
    / bishopelibariksumbe
    LIKE | COMMENT | SHARE.
    UBARIKIWE.

Комментарии • 160

  • @neemabyeka9408
    @neemabyeka9408 2 года назад +3

    Eee Mungu wangu unitenge na mizimu ya Familia, 😭😭😭😭😭

    • @st.alvincollege6184
      @st.alvincollege6184 3 месяца назад

      Unakanyaga mizimu yenu na jina unalo tumia ndo ya hiyo mizimu,,
      Mizimu ya wazungu ndo bora hii ya Africa ndo mibaya

  • @innocentmugabe8071
    @innocentmugabe8071 3 года назад +6

    Mucungaji sumbe ubarikiwe mimi na kupenda sana ❤️sifa kwake YESU Cristo 🙏🙏🙌🙌🙌

  • @NitakaseKonga
    @NitakaseKonga Месяц назад

    Ee Mungu nitenge na mizimu ya ukoo pande zote mbili Kwa mama na Kwa baba Kwa jina la Yesu.

  • @NitakaseKonga
    @NitakaseKonga Месяц назад

    Ee Mungu nitenge na roho za mizimu zilizoabudiwa na baba wa kizazi Cha kwanza,Cha pili, cha tatu ili mm wa kizazi Cha nne na uzao wangu najitenganisha nao mm imetakaswa na damu ya Yesu.

  • @nginamugwe8093
    @nginamugwe8093 3 года назад +5

    Nimejifnza mengi sana since nikujue mchungaji..Mungu azidi kukupa hekima na baraka amina

  • @JaneJoseph-l6t
    @JaneJoseph-l6t 20 часов назад

    Najitenga na roho za mizimu mimi na familia yangu katika jina la Yesu

  • @gomarakimwamaro6306
    @gomarakimwamaro6306 4 года назад +4

    Amen nimeokoka yesu ni Bwana

  • @edithajohn4563
    @edithajohn4563 Год назад +1

    Yesu alishamaliza yote siko chini ya laana ya mizimu tena.labda weñgine si mimi.

  • @nyaugenyajera9866
    @nyaugenyajera9866 3 года назад +2

    Eee mungu nikumbuke siku zote za maisha yangu

  • @BM_Smart2-6
    @BM_Smart2-6 2 года назад +2

    Waafrika kweli mizimu ya mababu imetutesa. Tuombe kwa ushindi wa Yesu. Amen

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Год назад

      Wazungu mbona wanaiabudu mpaka kesho ila wao hawateseki kulikoni??

    • @lifeinmiddleeast8179
      @lifeinmiddleeast8179 Год назад

      ​@@trophywilson7211😢😢 unamaamisha nini jamani mbona hata mi naona inanitesa

    • @st.alvincollege6184
      @st.alvincollege6184 3 месяца назад

      Ni utumwa uliokithiri kudharau Mizimu yetu na kuabudu mizimu ya wazungu, yaan sisi waafrica ni majitu majinga sana

  • @VumiliaDraru
    @VumiliaDraru 3 дня назад

    Amen. Mungu uni tenga n'a minimum ya wa babu wangu

  • @HappyGeyser-zz8vv
    @HappyGeyser-zz8vv 2 месяца назад

    Ee Yesu nitenge na mizimu Kwa damu ya Yesu.

  • @alkaullahmediaTz
    @alkaullahmediaTz 3 месяца назад

    Somo la mizimu limenifundisha kitu kikubwa mno. Mungu akubariki Askofu Sumbe wewe na familia yako na akuinue zaidi ifikie wengi wajue, ili shetani aache kutumia watu wa Mungu vibaya.

  • @MuyamaBetwa
    @MuyamaBetwa 2 дня назад

    Asante Asante Mungu wangu 🙌🏻

  • @gomarakimwamaro6306
    @gomarakimwamaro6306 4 года назад +3

    Amen barikiwa sana mtumishi wa Mungu

  • @MuyamaBetwa
    @MuyamaBetwa 3 месяца назад

    Usinibite Mungu wangu mimi na watoto wangu nimeteswa sana kubitia mujungaji wako aribaliki sumbe na kanisa ya vuka yordani Mungu wangu🙏🙏🙏🙏🙏

  • @kelvinfesto7151
    @kelvinfesto7151 3 года назад +2

    mungu anipe, upako kamawakwako nombautamukeneno

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 8 месяцев назад

    AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN

  • @kayitarecharles6993
    @kayitarecharles6993 Год назад

    Nimepokea taarifa kutoka kwa Mazabaho ya vuka yorodani yakutenganishwa na mizimu ya ukoo na familia kwajina la YESU 🙏🙏 Amen 🙏🙏

  • @masokahussein9217
    @masokahussein9217 2 года назад +3

    Amen 🙏🏻

  • @user-io1tp6nz8m
    @user-io1tp6nz8m 5 месяцев назад

    Ameeeeeen ameeeeeen ❤❤

  • @AgnesMwalyego
    @AgnesMwalyego 4 месяца назад

    Amen be blessed man of god na mungu anitenge na mizimu yte insyonifatilia in Jesus name amen😢🤲

  • @lobulumollel9454
    @lobulumollel9454 4 года назад +2

    Ubarikiwe sana Mtumishi

  • @VinkaYoboz.-ug6xc
    @VinkaYoboz.-ug6xc 11 месяцев назад

    Bishop nimebarikiwa

  • @perispryns6474
    @perispryns6474 4 года назад +2

    Mungu akumbark mtumsh w mungu

  • @chalottedusabe7327
    @chalottedusabe7327 4 месяца назад

    Amena amena

  • @user-lz2tp4il5v
    @user-lz2tp4il5v 6 месяцев назад

    Ee mwenyezi mungu niepushe na mizimu pamoja na watoto wangu tufunguliwe kupitia mtumishi wako🙏🙏🙏

  • @saudaniyintunze3921
    @saudaniyintunze3921 11 месяцев назад

    Asante yesu ❤❤

  • @magnifiquentkrtmna320
    @magnifiquentkrtmna320 4 года назад +2

    Ameen

  • @merydaines6858
    @merydaines6858 7 месяцев назад

    Ameeen

  • @akothchristine4752
    @akothchristine4752 Месяц назад

    Amiina glory hallelujah

  • @EvaMngulu
    @EvaMngulu 28 дней назад

    Amen

  • @user-cm3lg6ty4q
    @user-cm3lg6ty4q Год назад

    Amen mutumishi

  • @fausterjoachim4200
    @fausterjoachim4200 11 дней назад

    Eee baba nitenge namizimu ya baba yangu

  • @millicentrabera
    @millicentrabera 22 дня назад

    Amen 🙏🙏🙌

  • @mauwashomari8160
    @mauwashomari8160 2 года назад +1

    Mungu azidi kukutiya nguvu

  • @mtumishiabiudimassawe8974
    @mtumishiabiudimassawe8974 2 года назад

    MUNGU. Akulinde askofu wangu maana tukifundisha mafundisho kama hayo tunaambiwa nipotofu miungu inadili na maisha ya hapa duniani

  • @veronicaboniventura5058
    @veronicaboniventura5058 3 года назад +2

    AMEN ubarikiwe sana mtumishi

  • @mungacollins3675
    @mungacollins3675 Год назад

    Mtumishi naomba uniombee mm na na familia Yetu mungu atutoe kwenywe roho ya mizimu mungu atutenganishe

  • @isabelleuwamahoro2324
    @isabelleuwamahoro2324 2 года назад +1

    Mungu akucunge milele

  • @husseinkabwe2298
    @husseinkabwe2298 2 года назад

    Mutumishi ubarikiwe n'a mungu akongezee masiku ili watu wa funguliwe n'a wa okolewe

  • @jeffnikobali7911
    @jeffnikobali7911 Год назад

    Bishop Sumbe Mungu akuinue zsidi baba use baraka kwa Taifa

  • @neemabyeka9408
    @neemabyeka9408 2 года назад

    Mungu akuzidishiye myaka yakuishi Bishop Elibariki sumbe.

  • @mugalaannet1684
    @mugalaannet1684 Год назад

    DAI,man of God 🙏🙏🙏, thanks for serving Our mighty God,am amusoga from Jinja in Uganda bt now working in Saudi Arabia,l lost my sight from nowhere (one of my can not)so pray for so that can see Again, thanks

  • @KatempaKabala-fn8hi
    @KatempaKabala-fn8hi Год назад

    Namisalimu baba mchungaji nime pata abari zenu zime nifuraisha na mimi nakuja munisa indie kwa maombi na zunguka fasi nyingi sana napenda muni saindiye na mimi napenda mwenye zimunga ani bariki nipate uja uzito atamutu anasema kunipa feza niko Bina Bina fungwa mimi niko ichiya Zambi kazi njema

  • @eliadimsaki9754
    @eliadimsaki9754 2 года назад +1

    AMEEN nimefunguliwa

  • @furahamwikombo4670
    @furahamwikombo4670 Год назад

    AMENI,AMENI,AMENI.... Ahsante Yesu,Ahsante Bishop Sumbe....

  • @nannywangechi4948
    @nannywangechi4948 4 года назад +6

    Amen 🙏, Glory be to God, be blessed man of God 🙏

  • @nanapega3908
    @nanapega3908 3 года назад +2

    Ukarikiwe sana

  • @eunicekitagina8682
    @eunicekitagina8682 2 года назад

    Mungu akupe kibari kikubwa pasta nabarikiwa Sana najifunza Mambo mengi

  • @jaclinelutumo9043
    @jaclinelutumo9043 2 года назад +1

    Mungu akubariki baba

  • @haikamaii75
    @haikamaii75 11 месяцев назад

    Eeee Mungu niondolee hiyo mizimu

  • @rahma6189
    @rahma6189 3 месяца назад

    Aminaa sanaaa

  • @yohanandyatndyat-wr4ru
    @yohanandyatndyat-wr4ru Год назад

    Baba una huduma nzuri ya maombi
    Nami nahitaji msaada kwako

  • @JeanBaptisteLwaboshi-zx4dk
    @JeanBaptisteLwaboshi-zx4dk Год назад

    Ee Mungu wa mutumishi elibariki sumbe nipate kufunguliwa

  • @imanibaigima2492
    @imanibaigima2492 4 года назад +2

    Ubarikiwe sana Asikofu wangu

  • @dorinimalisa3062
    @dorinimalisa3062 4 года назад +1

    Ubarikiwe Sanaa Askofu

  • @patrickfungo1298
    @patrickfungo1298 Год назад

    eee mungu naomb nikatgwe mbali na mizimu

  • @rizikipascasie4578
    @rizikipascasie4578 2 года назад +1

    Amina mtumishi wa Mungu

  • @pendokayange3399
    @pendokayange3399 2 года назад

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu.hakika Mungu wa mbinguni anakutumia kama apendavyo

  • @yohanandyatndyat-wr4ru
    @yohanandyatndyat-wr4ru Год назад

    Mungu akubali kwa kazi unayo mfanyia

  • @kaizamulinda633
    @kaizamulinda633 8 месяцев назад

    Mimi na nyumba yangu tutaitumikia mizimu ya baba zetu. Maama tumeiona ikituhudumia kwa uaminifu.

    • @st.alvincollege6184
      @st.alvincollege6184 3 месяца назад

      Wewe ni mtu mwenye akiki sana aiseee,, hata mm sitaacha mizimu ya nyumbani kwetu

  • @dantom5060
    @dantom5060 3 года назад +1

    Ubarikiwe mtumishi

  • @ShitaBagaile
    @ShitaBagaile 2 месяца назад

    Najiungamanisha na madhahabu ya vuka jordani

  • @fatumamichael5664
    @fatumamichael5664 8 месяцев назад

    Eeee mungu wangu nitenge na mizimu inayotesa maisha yangu

  • @elizabethojwang6189
    @elizabethojwang6189 2 года назад

    BISHOP ELIBARIKI SUMBE BE BLEESED MAN OF GOD

  • @edwinonsombi
    @edwinonsombi Год назад

    Ameni

  • @sarafinasakalla1156
    @sarafinasakalla1156 2 года назад +1

    Amen and Amen i receive

  • @shedrackboniphace7755
    @shedrackboniphace7755 2 года назад +1

    There's power in the name of Jesus, be blessed mzee Sumbe

  • @nelsonmakere4887
    @nelsonmakere4887 2 года назад

    Mungu akubariki Sana na akupe maisha marefu mtumishi wangu.

  • @lucystella9612
    @lucystella9612 3 года назад

    Ubalikiwe sumbe MUNGU akubaliki

  • @judithabuko6006
    @judithabuko6006 4 года назад +1

    Ee,, Mungu wangu naomba kufunguiwa naitwa Judith Abuko

    • @levinamaona9846
      @levinamaona9846 2 года назад

      Bwana yesu asifiwe mtumishi wa mung naitwa pascalina maona kutokea iringa kwa SAS nipo dar nimependa sana maombi yako naomba namimi kola ufanyapo huduma ya maombi yako twiombee familia yangu itoke kwenye vifungo na vizuiz vya adui shetani na me kila nikifanya kazi sipati mafanikio naletewa ndoto mbaya na kila nifanyapo maombi kinaloh Inanisumbua hazitaki nisali namba maombi yako pamoja na kanisa zima nafatilia kwa njia ya youtube amen

  • @aminamakawe4456
    @aminamakawe4456 4 года назад +1

    Ubarikiwe askofu

  • @salomedonard-id4ic
    @salomedonard-id4ic Год назад

    Tusaidieni watumishi wa Mungu

  • @irenejelimorotich6880
    @irenejelimorotich6880 2 года назад

    Naomba maombi mtumishi wa mungu mm na familiar yangu na kwetu

  • @abigaelferuzi1939
    @abigaelferuzi1939 Год назад

    Amina ubarikiwe baba

  • @Theebearsonlylove0
    @Theebearsonlylove0 Год назад

    Amen 🙏ubarikiwe

  • @joycewambui2270
    @joycewambui2270 4 года назад +1

    Utukufu Kwa yesu

  • @isabelleuwamahoro2324
    @isabelleuwamahoro2324 2 года назад

    Barikiwa sana mutumishi wa mungu

  • @hortensekasoki553
    @hortensekasoki553 2 года назад

    Niombeye n'a mimi mungu aniachanishe n'a mzimu ya kwetu

  • @masokakitunganoswedi6567
    @masokakitunganoswedi6567 2 года назад

    Amen baba, ubarikiwe sana

  • @annegathuma7243
    @annegathuma7243 2 года назад +4

    This man is full of spiritual wisdom

  • @mathayohongoa1218
    @mathayohongoa1218 2 года назад

    Nabarikiwa sana

  • @marykanini7610
    @marykanini7610 Год назад

    Ameeeeeeen

  • @sarafinasakalla1156
    @sarafinasakalla1156 2 года назад

    Balikiwe sana Mtumish

  • @mihwgfif8814
    @mihwgfif8814 2 года назад

    you a god

  • @elisekim7612
    @elisekim7612 2 года назад +1

    ♥️♥️🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @kakulembakania1030
    @kakulembakania1030 2 года назад

    Nashikuru kwa soma

  • @lucynnko1374
    @lucynnko1374 Год назад +1

    Jinsi ya kupata mawasiliano na bishop Sumbe

  • @user-yc2ye8vv8k
    @user-yc2ye8vv8k Год назад

    Baba mwenyezi mungu nitenganishe na kila aina za mizimu pamoja na mwanangu.

  • @azizafikirini3197
    @azizafikirini3197 2 года назад

    🙏

  • @machellamseti8769
    @machellamseti8769 2 года назад +1

    Yesu anaponya wapendwa ktk bwana wore wanaomwamin wanajuwa hilo by machella mseti

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Год назад

    Waambie wanaolinga eti Daudi alimcheza kwa Mungu hawajui kilichompata Baadaye,Kitabu Kigumu hicho cha Maandiko

  • @liliannaseriannaserian4850
    @liliannaseriannaserian4850 Год назад

    Eee mungu wangu unitenge na mizimu ya familia

  • @rerisamba
    @rerisamba 27 дней назад

    Niukweli amekaaa mzee mtu wawenyewe

  • @uwizeyimanasara
    @uwizeyimanasara Год назад

    Mngu. Yupotu. Mashetani. Yote. Atatengeteya. Katika jinarayesu. Aliyeyi

  • @remigiocorneliojuakali4293
    @remigiocorneliojuakali4293 Год назад

    Boa noite peço vosso e-mail estou em Moçambique preciso da vossa ajuda ,gostaria tanto de vir visitar vossa igreja no fim de Novembro

  • @haikamaii75
    @haikamaii75 11 месяцев назад

    Wee Mungu nitenge na mizimu

  • @ffdhgg891
    @ffdhgg891 2 года назад

    Hi

  • @st.alvincollege6184
    @st.alvincollege6184 3 месяца назад

    Kwa hy unataka kusema hyo dini iliyokuja na ndege ndo bora kuliko babu zetu?
    Unasema kabisa sisi waafrica hatukuw tunamuabudu Mungu, aiseeee nimesikitika kuona mtumishi amekariri na kichwa bado kina utumwa aiseeee.