Not sure if anyone cares but if you guys are stoned like me atm then you can watch pretty much all the new movies and series on InstaFlixxer. I've been binge watching with my girlfriend for the last couple of months :)
🙄🙄🙄niulize nyie watangazaji Huw munatubeba aje kichwa cha habari n tofauti na mahojiano wololo.. ..all i love you 😘 ❤ favyvanny.🔥🔥🔥🔥🔥🔥majibu huwa unajibu vizur mpole all
Wameachana bado hawajarudiana ndio nataka no zafahyma nimuozeshe kakaangu wanaendana kbisa mana brother Wangu nimweeupee kisha mrefu nimzuri kbisa naombeni no zake
Kwa matatizo ya michirizi, makovu, nyama uzembe, kuongeza shape, hips,miguu,kutoa mikunyanzi, kurefusha nywele, kupunguza matiti, kuwa softi, n.k Karibu ofisini, SMS/whatsap 0693_330284
Fahyma fanya shughuli zako tunza mwanao achana na hao wenye roho ya kwa nini halafu usiweke mambo yako kwenye mtandao wewe sasa hivi ni mama weka akiba unachokipata usijali mambo ya kwenye mitandao
Hawa wasanii huwa wananichekesha sana maana hapa bongo hakuna baridi ya kufaa swetar wengine huvaa viatu vya winter makoti ya winter bongo wanatafuta kuripuka🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄😀😀😀
Nampenda uyuu dada anayo tabia kama zangu za kuwa mpolee nakuwa wamoto motoo tenaaaa 💋♥️♥️♥️♥️
Chuiii nexti levo misic na ravnnyn Chuiii NEXTl LEVO MISIC RAVNNYN macvoice NEXTI LEVO MISiC
Kama umesikia kuvaa kigodoro sio dhambi tupia like yako hapa😁😂😂😂
Nikwer sio dhambi kama hujajaliwa
Kawajibu nyinyi ambao amuchoki kutwa kumufatiliya
Not sure if anyone cares but if you guys are stoned like me atm then you can watch pretty much all the new movies and series on InstaFlixxer. I've been binge watching with my girlfriend for the last couple of months :)
@Royal Kairo yea, I have been using InstaFlixxer for months myself :D
Naona skuizii kaacha yale mambo yake yakusema no comment. Kama umegundua pia ww achaga like tukiendaga
Aliekuwa anasem hiv ni tessy siy huy
@@angelpritchard9399 yeye pia ali kuwa ana xema 😂😂
Well done umejibu maswali vizuri sii kama Nana maringo tupu💕
Fayma love you 💕👌 pend Sana 😍🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Nakapenda sana haka kabinti
Nampenda uyu dada..anaprotect familia yake sana
Atari saaaaana uyu dada anaakili weacha tu
🙄🙄🙄niulize nyie watangazaji Huw munatubeba aje kichwa cha habari n tofauti na mahojiano wololo.. ..all i love you 😘 ❤ favyvanny.🔥🔥🔥🔥🔥🔥majibu huwa unajibu vizur mpole all
Yani wanatubeba nyanya za kuoza sana😃😀😃😀😀
Fayvanny❤️😍😍
Congrats 🥳🥳🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪
Hongera mdogo angu umekua pia piga kazi mdogo angu
Nampenda faymah ...u r the most beautiful baby girl
Apo sasa kigodorooooo,🔥🔥🔥🔥🔥💃💃
Ongera my pambana usikubali kukatishwa tamaa
Msambaa girl mashaAllah
Fahyma unapendeza 😍😍😍🧡🧡
Nakupenda dada Mungu akutunze na nyie mnaomchukia kafieni mbele uko mwacheni mtt wa watu
Nakapenda aka ka dada jamani
Leo akili imemkaa sawa kila swali anajibu kapunguza mashauzi mxeew
Kuachwa sio mchezoo
😄😄😃😃dunia duara
@@nyarkebs1569 alijiona kafika
@@angelpaul2048 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yaani kuachwa kitu chengine aiseee ndo maana katulia mno yaani Kawa mpole
Haha
Wa 4
Smart lady
Kamrembo sana😍
Yale mapicha uliyokuwa unapiga mbona hauyafanyi tena? Au dishi limeyumba.. maisha yanapanda na kushuka naona umenyooka kweli.
This girl is smart
Nice 👏
Aaaaiii Tanasha anafaa kigodoro wapi na hatuoni 🤣😅😅😅🤣🤣🤣lakini kwa hamisa tunaona tena 🤣
Hamissa ni mwili wake
Naomba kuuliza hivi harmonize na harmorapa ni ndugu wa damu moja maana wamefanana
Hawajafanana hata kidogo ukiwatizama kwa karibu msijidanganye sio ndugu
Hahahaha
Nice interview fyvanny
Umenenepa best
Nampenda huyu dada sijui kwann watu wanamchukia
Roho mbaya tu zinawasumbua mdada yuko poa tu
Chunguza interview zake za zamani wakati ana ishi na Rayvanny utajua ni kwanini wanamchukia
ila kwasasa watu wemependa kumuona anaogea kwa upole na kujibu maswali vizuri kibinadamu kwa heshima
Dar, Kwani ulirudi pole pole Kwa Rayvanny
Kwani kunasehem wasema kama wameachana au yalikuwa maneno ya watu tuu
@@mereyamhomesmariamhomes3464 🤣🤣🤣ya watu wawili ukiingilia yatakushinda
🤣🤣🤣🤣🤣
Wameachana bado hawajarudiana ndio nataka no zafahyma nimuozeshe kakaangu wanaendana kbisa mana brother Wangu nimweeupee kisha mrefu nimzuri kbisa naombeni no zake
Amenenepa mashallah pambana shost akuna kukata tamaa
Baada yakuachwa kawampole mashauz yameisha mfyu
True
umejibu vzur sanaa yan
Umejtahdi jmn Leo sjaskia No comment
Fai wake
Nakapenda sn aka kadada ❤️
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 umekuwa mpole sana sikuizi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Chezea wajumbe wewe🤣🤣
Alikuwa na majivuno sana wacha atuliye
Umeona eeh?
Ukiachwa alafu ukirudiwa lazima uwempole
Alafu anamakengeza 😂😂😂
Interview in English pls 🙏🏾🙏🏾we don’t understand even thou we r funs 😟
👋👋
😍😍fayvan
Jamaniii mbonaa km anaaa makengezaaa au
Leo yuko NATURAL naona.. hayuko mrembo kama nilivyo mzoea.... ama ni nywele
Makengeza ndio anayo hadi nandy anayo
Ni maringo anayo.
Kwa matatizo ya michirizi, makovu, nyama uzembe, kuongeza shape, hips,miguu,kutoa mikunyanzi, kurefusha nywele, kupunguza matiti, kuwa softi, n.k
Karibu ofisini, SMS/whatsap 0693_330284
Ila Hiyo miwani Kwenye macho vipi
Naona umetulia
Waoooo
They don't know anything kuhusu mavazi (wa Tz)
Fahma anajua kuvaa jamani mwacheni
Kweli kabisa tena kwenye I m zuchu aliva kipekee sana watu awakuagi nakubali vyakwao sijuwi kwanini
@@mutwalesylvie7443 wivu wabongo huwa hatutaki kukubali kwamba alipewa kapewaaaa jamani""Mungu hawezi kukupa vyote"
Uyu dem ninzuri sana na Amekua mpole
👏👏👏👏
Mbona hamtuonyeshi hivyo vitu sasa
Tafadhali nawaomba ndugu zangu kwa Ku comment Ku Shea Ku like na Ku subscriber hakika ukifanya ivo utakua umenisaidia sana asante
Duuuuuuu sikuhizi kawa mpoleeee
Wajumbe walimkomesha uyu bibieeeeh
Yaani sahivi kisilani kimemuisha nyondo zote zimeisha kipindi yupo na ray alikuwa anajibu majivuno sana akiwa hivihv hadi raha
Fayvan nakuoenda bule Dada angu usiskilize maneno ya watu fanya kazi mama
Fahyma fanya shughuli zako tunza mwanao achana na hao wenye roho ya kwa nini halafu usiweke mambo yako kwenye mtandao wewe sasa hivi ni mama weka akiba unachokipata usijali mambo ya kwenye mitandao
Hiyo sweeter ni pesa ngapi?
😂😂😂
Hawa wasanii huwa wananichekesha sana maana hapa bongo hakuna baridi ya kufaa swetar wengine huvaa viatu vya winter makoti ya winter bongo wanatafuta kuripuka🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄😀😀😀
Mie kigodolo navaa sasa muniuwe eheee😁🤪🤪🤪
Haha
kichwa cha habar na anachokiongea ni tofaut
Ndoujinga wao hawa wandishi wetu
Aki wanaeza kosanisha watu
Akaa mjamzito
Duka lipo wapi wajamani
Dah kawa mpole km sio faima 2019 mwisho mwisho
I love her sana🤪🤪🤪🤪
Inchi za inje zipi ushawahi kwenda?kama sio SA na na nigeria?😃😃
Ndo izo izo jamani si nchi za nje wabongo mnaboa sana
@@ummysalumu6606 lol 😆 sasa nigeria na South Africa ni inchi za inje?
@@Ron_cita hivi wewe Una hakili kweli sasa SA au Nigeria kwahiy nimikoa ya tz
🤣🤣🤣🤣🤣
@@juliejulie8704 🤣🤣🤣🤣
Huhuhuhu comment zenu konkiii
Unaiga sauti ya mrembo mmoja acha ujinga huna lolote.
Aunt 🤣😁
Msompenda kazi mnayo
Cyo kaiga saut yako?
Wakisuka nywele mpya wanataka interview
😂😂😂
Wivu tuu utakuuwa
Duu kigodoro kilasiku ukipiga PC unakivaa wacha uwongo
Ulimuvua ukamuona kavas
@@elibarikioloipukye6530 maranyingi tu
Wivu utakuuwa. na roho mbovu na chafu
@@elibarikioloipukye6530 Nimjinga sana nayye akanunue avae
@@aishaasumany561 sana kama mkundu wamamayako
Rayvanny kakwachua mtoto atali
Hatari
wa pili
Kusema ukweli hata mimi nakuchukia sana wewe Fayvanny
Mmmh 🙄
Umepata faida gani?
@@teddysanga7451 faida I hate her too! She looks like a Catoon! Yeah! You feel me?? Good! 💩
Hongera
so get a life.
Kumbe huyu bint anamacho ya kengeza🙄haraf kamevimbiana mashavu sijui kanabuga ugolo😂😂
Amna nimacho yako tu
I love you fahyma
kanakula vizur☺️
Ww ndio una kengeza juu huoni vzr
Dem ako sawa kabisa yaani she is very beautiful wengine wana wivu tu😂
Leo ushauli wake kwako uko wap
Leo adabu mkononi dada hahaaaaaaa chezea mtanga kuachwa
Lol
Mmh
I love you fayvany ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️wewe mzuri sana mwaaaaaah
Tuonesheni bac ilo duka na sehemu gani
Ana meno mengi au hiyo ongea vip
Waja hamuishi maneno em chunguzen yenu kwanza kaz kusema ya w2 tyu utadhan nyny wakamilifu
haaaaaaa
Hizi captions zenu za uongo zitafanya nisi-subscribe
Ana makengeza eeh
Amkome
Caption ya uongo ata siezi subitu ku subscribe
Ni Mimba??? Ama kunenepa??
Hata maziwa unahis yamejaa
Kweli eti kawa bonge aiseer
unataka akonde umpeleke wapi?
@@tonianekesa342 Nimpe Tuzo.
@@maryannqueen7356 End kwa chama chako cha roho chafu wakupe tuzo..