FAHYVANNY Afunguka KUCHUKIWA na MAMA DANGOTE/ Awataja HAMISA, TANASHA/ Kuvaa KIGODORO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 180

  • @wahiduitsverycommentmane5421
    @wahiduitsverycommentmane5421 4 года назад +15

    Nampenda uyuu dada anayo tabia kama zangu za kuwa mpolee nakuwa wamoto motoo tenaaaa 💋♥️♥️♥️♥️

  • @freadyjackson315
    @freadyjackson315 2 года назад +1

    Chuiii nexti levo misic na ravnnyn Chuiii NEXTl LEVO MISIC RAVNNYN macvoice NEXTI LEVO MISiC

  • @mwannerajabu8688
    @mwannerajabu8688 4 года назад +77

    Kama umesikia kuvaa kigodoro sio dhambi tupia like yako hapa😁😂😂😂

    • @deborasalum1015
      @deborasalum1015 4 года назад

      Nikwer sio dhambi kama hujajaliwa

    • @divinebernard1047
      @divinebernard1047 3 года назад

      Kawajibu nyinyi ambao amuchoki kutwa kumufatiliya

    • @royalkairo8819
      @royalkairo8819 3 года назад

      Not sure if anyone cares but if you guys are stoned like me atm then you can watch pretty much all the new movies and series on InstaFlixxer. I've been binge watching with my girlfriend for the last couple of months :)

    • @huxleykylo5711
      @huxleykylo5711 3 года назад

      @Royal Kairo yea, I have been using InstaFlixxer for months myself :D

  • @wahiduitsverycommentmane5421
    @wahiduitsverycommentmane5421 4 года назад +45

    Naona skuizii kaacha yale mambo yake yakusema no comment. Kama umegundua pia ww achaga like tukiendaga

    • @angelpritchard9399
      @angelpritchard9399 4 года назад

      Aliekuwa anasem hiv ni tessy siy huy

    • @yunyun799
      @yunyun799 4 года назад

      @@angelpritchard9399 yeye pia ali kuwa ana xema 😂😂

  • @perrygeorges
    @perrygeorges 4 года назад +14

    Well done umejibu maswali vizuri sii kama Nana maringo tupu💕

  • @maliamhamdun3115
    @maliamhamdun3115 2 года назад

    Fayma love you 💕👌 pend Sana 😍🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @katealias5255
    @katealias5255 4 года назад +15

    Nakapenda sana haka kabinti

  • @ruthmusau5190
    @ruthmusau5190 4 года назад +8

    Nampenda uyu dada..anaprotect familia yake sana

  • @nellyflo9736
    @nellyflo9736 4 года назад +6

    🙄🙄🙄niulize nyie watangazaji Huw munatubeba aje kichwa cha habari n tofauti na mahojiano wololo.. ..all i love you 😘 ❤ favyvanny.🔥🔥🔥🔥🔥🔥majibu huwa unajibu vizur mpole all

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 3 года назад

      Yani wanatubeba nyanya za kuoza sana😃😀😃😀😀

  • @emmagracerodgers2283
    @emmagracerodgers2283 3 года назад +3

    Fayvanny❤️😍😍

  • @RAYJAY-xy1jp
    @RAYJAY-xy1jp 4 года назад +10

    Congrats 🥳🥳🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪

  • @irenemsumba6776
    @irenemsumba6776 3 года назад

    Hongera mdogo angu umekua pia piga kazi mdogo angu

  • @suzienambugua6946
    @suzienambugua6946 3 года назад

    Nampenda faymah ...u r the most beautiful baby girl

  • @jestinakanji8168
    @jestinakanji8168 4 года назад +5

    Apo sasa kigodorooooo,🔥🔥🔥🔥🔥💃💃

  • @rosemarymushi6592
    @rosemarymushi6592 4 года назад +14

    Ongera my pambana usikubali kukatishwa tamaa

  • @biaysha8553
    @biaysha8553 4 года назад +2

    Msambaa girl mashaAllah

  • @okelinawilonja2490
    @okelinawilonja2490 4 года назад +5

    Fahyma unapendeza 😍😍😍🧡🧡

  • @beatricemkinga3351
    @beatricemkinga3351 4 года назад +2

    Nakupenda dada Mungu akutunze na nyie mnaomchukia kafieni mbele uko mwacheni mtt wa watu

  • @divinebernard1047
    @divinebernard1047 3 года назад +1

    Nakapenda aka ka dada jamani

  • @venicevicent9389
    @venicevicent9389 4 года назад +25

    Leo akili imemkaa sawa kila swali anajibu kapunguza mashauzi mxeew

    • @angelpaul2048
      @angelpaul2048 4 года назад +2

      Kuachwa sio mchezoo

    • @nyarkebs1569
      @nyarkebs1569 4 года назад +1

      😄😄😃😃dunia duara

    • @venicevicent9389
      @venicevicent9389 4 года назад

      @@nyarkebs1569 alijiona kafika

    • @watakaniitaje1215
      @watakaniitaje1215 4 года назад

      @@angelpaul2048 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yaani kuachwa kitu chengine aiseee ndo maana katulia mno yaani Kawa mpole

    • @halimahalima5802
      @halimahalima5802 3 года назад

      Haha

  • @mwasimbega8712
    @mwasimbega8712 4 года назад +8

    Wa 4

  • @ivynzuki6708
    @ivynzuki6708 4 года назад +2

    Smart lady

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 4 года назад +9

    Kamrembo sana😍

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 3 года назад +3

    Yale mapicha uliyokuwa unapiga mbona hauyafanyi tena? Au dishi limeyumba.. maisha yanapanda na kushuka naona umenyooka kweli.

  • @josephkimogele3484
    @josephkimogele3484 3 года назад

    This girl is smart

  • @enzompelasoka
    @enzompelasoka 4 года назад +5

    Nice 👏

  • @Kanicynjuguna
    @Kanicynjuguna 4 года назад +7

    Aaaaiii Tanasha anafaa kigodoro wapi na hatuoni 🤣😅😅😅🤣🤣🤣lakini kwa hamisa tunaona tena 🤣

  • @calvinloveambroce842
    @calvinloveambroce842 4 года назад +8

    Naomba kuuliza hivi harmonize na harmorapa ni ndugu wa damu moja maana wamefanana

    • @asyamgeni9819
      @asyamgeni9819 3 года назад

      Hawajafanana hata kidogo ukiwatizama kwa karibu msijidanganye sio ndugu

    • @aishaasumany561
      @aishaasumany561 3 года назад

      Hahahaha

  • @emilymideva8783
    @emilymideva8783 4 года назад +2

    Nice interview fyvanny

  • @wemaomarywema6852
    @wemaomarywema6852 4 года назад +2

    Umenenepa best

  • @restutaaloyce3972
    @restutaaloyce3972 4 года назад +2

    Nampenda huyu dada sijui kwann watu wanamchukia

    • @beatricemkinga3351
      @beatricemkinga3351 4 года назад

      Roho mbaya tu zinawasumbua mdada yuko poa tu

    • @queen.christelle1
      @queen.christelle1 3 года назад

      Chunguza interview zake za zamani wakati ana ishi na Rayvanny utajua ni kwanini wanamchukia

    • @queen.christelle1
      @queen.christelle1 3 года назад

      ila kwasasa watu wemependa kumuona anaogea kwa upole na kujibu maswali vizuri kibinadamu kwa heshima

  • @jeyshillyjack4470
    @jeyshillyjack4470 4 года назад +8

    Dar, Kwani ulirudi pole pole Kwa Rayvanny

    • @mereyamhomesmariamhomes3464
      @mereyamhomesmariamhomes3464 4 года назад +2

      Kwani kunasehem wasema kama wameachana au yalikuwa maneno ya watu tuu

    • @nellyflo9736
      @nellyflo9736 4 года назад +3

      @@mereyamhomesmariamhomes3464 🤣🤣🤣ya watu wawili ukiingilia yatakushinda

    • @pinkygrey3459
      @pinkygrey3459 4 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣

    • @aishaasumany561
      @aishaasumany561 3 года назад

      Wameachana bado hawajarudiana ndio nataka no zafahyma nimuozeshe kakaangu wanaendana kbisa mana brother Wangu nimweeupee kisha mrefu nimzuri kbisa naombeni no zake

  • @fatmann6341
    @fatmann6341 4 года назад +2

    Amenenepa mashallah pambana shost akuna kukata tamaa

  • @zulhatmsakuz1137
    @zulhatmsakuz1137 4 года назад +17

    Baada yakuachwa kawampole mashauz yameisha mfyu

  • @dianakaaya7983
    @dianakaaya7983 4 года назад +1

    umejibu vzur sanaa yan

  • @nayfatsalim7828
    @nayfatsalim7828 4 года назад +2

    Umejtahdi jmn Leo sjaskia No comment

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 2 года назад

    Fai wake

  • @praxedadominic5193
    @praxedadominic5193 4 года назад +2

    Nakapenda sn aka kadada ❤️

  • @angelbwija9547
    @angelbwija9547 4 года назад +23

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 umekuwa mpole sana sikuizi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @zainabwage4658
      @zainabwage4658 4 года назад +2

      Chezea wajumbe wewe🤣🤣

    • @Ryoof-qo7if
      @Ryoof-qo7if 4 года назад +1

      Alikuwa na majivuno sana wacha atuliye

    • @leticiaelias7543
      @leticiaelias7543 4 года назад

      Umeona eeh?

    • @nurujuma5346
      @nurujuma5346 4 года назад +1

      Ukiachwa alafu ukirudiwa lazima uwempole

    • @pili3750
      @pili3750 4 года назад +4

      Alafu anamakengeza 😂😂😂

  • @millicentayittah674
    @millicentayittah674 4 года назад +9

    Interview in English pls 🙏🏾🙏🏾we don’t understand even thou we r funs 😟

  • @amourali242
    @amourali242 4 года назад +6

    👋👋

  • @winfridapeter969
    @winfridapeter969 4 года назад +2

    😍😍fayvan

  • @jescanorbeth9891
    @jescanorbeth9891 4 года назад +15

    Jamaniii mbonaa km anaaa makengezaaa au

  • @fetty1571
    @fetty1571 4 года назад +1

    Kwa matatizo ya michirizi, makovu, nyama uzembe, kuongeza shape, hips,miguu,kutoa mikunyanzi, kurefusha nywele, kupunguza matiti, kuwa softi, n.k
    Karibu ofisini, SMS/whatsap 0693_330284

  • @shangwekamando2599
    @shangwekamando2599 4 года назад +4

    Ila Hiyo miwani Kwenye macho vipi

  • @princess-uf5ux
    @princess-uf5ux 4 года назад +10

    Naona umetulia

  • @Thesamdupendo
    @Thesamdupendo 4 года назад +6

    Waoooo

  • @lenoxbuhanza4926
    @lenoxbuhanza4926 4 года назад +5

    They don't know anything kuhusu mavazi (wa Tz)

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 4 года назад +10

    Fahma anajua kuvaa jamani mwacheni

    • @mutwalesylvie7443
      @mutwalesylvie7443 4 года назад +5

      Kweli kabisa tena kwenye I m zuchu aliva kipekee sana watu awakuagi nakubali vyakwao sijuwi kwanini

    • @blandinamnyinga8318
      @blandinamnyinga8318 4 года назад +2

      @@mutwalesylvie7443 wivu wabongo huwa hatutaki kukubali kwamba alipewa kapewaaaa jamani""Mungu hawezi kukupa vyote"

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie7443 4 года назад +4

    Uyu dem ninzuri sana na Amekua mpole

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 4 года назад +2

    👏👏👏👏

  • @luckyvenance4576
    @luckyvenance4576 4 года назад +2

    Mbona hamtuonyeshi hivyo vitu sasa

  • @KIDEMA
    @KIDEMA 4 года назад +3

    Tafadhali nawaomba ndugu zangu kwa Ku comment Ku Shea Ku like na Ku subscriber hakika ukifanya ivo utakua umenisaidia sana asante

  • @sakinahussein6656
    @sakinahussein6656 4 года назад +4

    Duuuuuuu sikuhizi kawa mpoleeee

  • @leticiaelias7543
    @leticiaelias7543 4 года назад +11

    Yaani sahivi kisilani kimemuisha nyondo zote zimeisha kipindi yupo na ray alikuwa anajibu majivuno sana akiwa hivihv hadi raha

    • @khadijaabdallah8306
      @khadijaabdallah8306 4 года назад +1

      Fayvan nakuoenda bule Dada angu usiskilize maneno ya watu fanya kazi mama

    • @kibadasda4395
      @kibadasda4395 4 года назад +1

      Fahyma fanya shughuli zako tunza mwanao achana na hao wenye roho ya kwa nini halafu usiweke mambo yako kwenye mtandao wewe sasa hivi ni mama weka akiba unachokipata usijali mambo ya kwenye mitandao

  • @maurineladasha9958
    @maurineladasha9958 4 года назад +3

    Hiyo sweeter ni pesa ngapi?

    • @husnaabdul8300
      @husnaabdul8300 3 года назад

      😂😂😂

    • @mwanaharusialifakifaki8716
      @mwanaharusialifakifaki8716 3 года назад

      Hawa wasanii huwa wananichekesha sana maana hapa bongo hakuna baridi ya kufaa swetar wengine huvaa viatu vya winter makoti ya winter bongo wanatafuta kuripuka🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄😀😀😀

  • @sirlankagirl6256
    @sirlankagirl6256 4 года назад +6

    Mie kigodolo navaa sasa muniuwe eheee😁🤪🤪🤪

  • @esterkimario1126
    @esterkimario1126 4 года назад +6

    kichwa cha habar na anachokiongea ni tofaut

  • @aminafarjala2578
    @aminafarjala2578 4 года назад +3

    Akaa mjamzito

  • @frederickkimweri1899
    @frederickkimweri1899 4 года назад +4

    Duka lipo wapi wajamani

  • @nusaybasaid3378
    @nusaybasaid3378 4 года назад +2

    Dah kawa mpole km sio faima 2019 mwisho mwisho

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 4 года назад

    I love her sana🤪🤪🤪🤪

  • @Ron_cita
    @Ron_cita 4 года назад +7

    Inchi za inje zipi ushawahi kwenda?kama sio SA na na nigeria?😃😃

    • @ummysalumu6606
      @ummysalumu6606 4 года назад +2

      Ndo izo izo jamani si nchi za nje wabongo mnaboa sana

    • @Ron_cita
      @Ron_cita 4 года назад

      @@ummysalumu6606 lol 😆 sasa nigeria na South Africa ni inchi za inje?

    • @juliejulie8704
      @juliejulie8704 4 года назад +5

      @@Ron_cita hivi wewe Una hakili kweli sasa SA au Nigeria kwahiy nimikoa ya tz

    • @pinkygrey3459
      @pinkygrey3459 4 года назад +1

      🤣🤣🤣🤣🤣

    • @ashuraussein7582
      @ashuraussein7582 4 года назад

      @@juliejulie8704 🤣🤣🤣🤣

  • @joycestephan3270
    @joycestephan3270 4 года назад +2

    Huhuhuhu comment zenu konkiii

  • @eppiemodest
    @eppiemodest 4 года назад +2

    Unaiga sauti ya mrembo mmoja acha ujinga huna lolote.

  • @janembawala6009
    @janembawala6009 4 года назад +12

    Wakisuka nywele mpya wanataka interview

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 4 года назад +9

    Duu kigodoro kilasiku ukipiga PC unakivaa wacha uwongo

  • @xtashrayvash2996
    @xtashrayvash2996 4 года назад +6

    Rayvanny kakwachua mtoto atali

  • @techy_jesse1514
    @techy_jesse1514 4 года назад +6

    wa pili

  • @Sppah697
    @Sppah697 4 года назад +6

    Kusema ukweli hata mimi nakuchukia sana wewe Fayvanny

  • @mwannerajabu8688
    @mwannerajabu8688 4 года назад +12

    Kumbe huyu bint anamacho ya kengeza🙄haraf kamevimbiana mashavu sijui kanabuga ugolo😂😂

  • @silvesamweli7697
    @silvesamweli7697 3 года назад

    Leo ushauli wake kwako uko wap

  • @neemacharles9878
    @neemacharles9878 3 года назад

    Leo adabu mkononi dada hahaaaaaaa chezea mtanga kuachwa

  • @mercywamucii1786
    @mercywamucii1786 4 года назад +6

    Lol

  • @nuratysomji8145
    @nuratysomji8145 4 года назад +1

    Mmh

    • @sharonachieng3442
      @sharonachieng3442 3 года назад

      I love you fayvany ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️wewe mzuri sana mwaaaaaah

  • @abbyjr164
    @abbyjr164 4 года назад +2

    Tuonesheni bac ilo duka na sehemu gani

  • @nassorolaizer8486
    @nassorolaizer8486 3 года назад

    Ana meno mengi au hiyo ongea vip

    • @nurumshindo8669
      @nurumshindo8669 3 года назад

      Waja hamuishi maneno em chunguzen yenu kwanza kaz kusema ya w2 tyu utadhan nyny wakamilifu

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 4 года назад +2

    haaaaaaa

  • @Excuvation04
    @Excuvation04 4 года назад +1

    Hizi captions zenu za uongo zitafanya nisi-subscribe

  • @nassorolaizer8486
    @nassorolaizer8486 3 года назад

    Ana makengeza eeh

  • @sumaboyclassic7071
    @sumaboyclassic7071 4 года назад +2

    Amkome

  • @saudaahmed6818
    @saudaahmed6818 4 года назад +2

    Caption ya uongo ata siezi subitu ku subscribe

  • @maryannqueen7356
    @maryannqueen7356 4 года назад +4

    Ni Mimba??? Ama kunenepa??