MAAJABU YA MAISHA YA WASOMALI MAREKANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2021
  • #kitengetv
  • СпортСпорт

Комментарии • 145

  • @vick7186
    @vick7186 2 года назад +15

    They never lose their somali identify. Thats beautiful ❤️😍

  • @murimikaburu1376
    @murimikaburu1376 2 года назад +16

    America is really a welcoming country.
    I pray Somali can also allow others do so in their country. We are all one from the same creator

    • @zaddysenemy2291
      @zaddysenemy2291 2 года назад +2

      Go to somalia at your own risk

    • @pilimusa3217
      @pilimusa3217 2 года назад

      @@zaddysenemy2291 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @raelchepchirchir4728
      @raelchepchirchir4728 2 года назад

      What in God's name would you going to Somalia to do?Are you the only one who has never heard what happens to

    • @zeinabibrahim6080
      @zeinabibrahim6080 2 года назад +1

      @@raelchepchirchir4728 na hatujakualika stay in your lane😏

  • @diascookout8270
    @diascookout8270 2 года назад +5

    Ma"Sha"ALLAH i am Proud of All Somale

  • @ChoroTesla
    @ChoroTesla 2 года назад +9

    wabongo wengi roho mbaya sana na hili linasababishwa na ubinafsi wenzetu wana umlja sana ndo mana wanaweza kutoboa.

  • @carenselemani3019
    @carenselemani3019 2 года назад +12

    Hapa Afrika kuna nchi nne ambazo ni Nigeria, Kenya, Somalia na Rwanda ndio wanajua kushirikiana wakiwa nje ya nchi yao. Na Moja ya nchi Africa ambayo watu wake hawana ushirikiano ndani na nje ya nchi ni Tanzania. Roho mbaya ndio katiba yao

    • @nicedavid8536
      @nicedavid8536 2 года назад +1

      Uko sahii kabisa

    • @saidibrahim5931
      @saidibrahim5931 2 года назад +1

      Kweli kabisa

    • @husseinmahad5576
      @husseinmahad5576 2 года назад +1

      Poleni sana waTanzania jirani yetu Sisi waKenya. Kumbe ule ndugu na dada ni ya mdomo tu. Jameni jikomboeni na uhasidi.

    • @johel882
      @johel882 Год назад

      we umeishi na watu wa nchi hizo zote ndani na nje ya nchi?

    • @PaulsenMgema
      @PaulsenMgema Год назад

      Ungekuwa uko karibu ningekununulia soda

  • @KIM-xl6zs
    @KIM-xl6zs 2 года назад +10

    Almost everyone understands swahili, thoss who understand it are mainly kenyan somalis

  • @fawziaabdurrahman2251
    @fawziaabdurrahman2251 2 года назад +4

    Mashallah utadhani upo marikiti mombasa. Allah abariki biashara zao waendelee kuuzia waislamu nguo za stara hata wakiwa ulaya. Mashallah

  • @elizabethkaranja570
    @elizabethkaranja570 2 года назад +3

    I used to come to this mall years back for very good food. 🔥🔥🔥it has really grown.

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 2 года назад +3

    Maashallah kwetu watazania tukiwa na moli kama hiyo basi Tutasema Raisi Samia Suluhu anatumia pesa za WANAINCHI kama anavyo taka sisi tutabaki hivi hivi tu wenzetu wanakwenda EXTRA MAIL SIO WAKUTAKA KAMA WENZETU BRO😭😭😭😭

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 2 года назад +9

    Minnesota ni state ya wasomalia,yaani halal food is everywhere na nikama somalia 🇸🇴,I like it,Sala 5 muhimu

    • @zaddysenemy2291
      @zaddysenemy2291 2 года назад

      What about alshabaab?

    • @zebusdaughter8158
      @zebusdaughter8158 2 года назад +6

      ​@@zaddysenemy2291 you should ask urself story za alshabab na pia watu wanakubaliwa kuingiaarekani na kwengineko hata hapa nilipo wasomali kibaaao. Wee jifungie tu sebleni kwako utizame BBC na usisome chochote. Halaf siku roho yako ikitolewa ndo utajua kama ni Alshababu au Alshabibi.

    • @pilimusa3217
      @pilimusa3217 2 года назад +2

      @@zebusdaughter8158 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @mohamedyusuf9416
      @mohamedyusuf9416 2 года назад

      @@zaddysenemy2291 I'm not gonna respond your question because you're cheap quality material maybe you're jealous with others success be happy with your monthly food card enjoy tax payers money 💰

    • @ibrahimjama2053
      @ibrahimjama2053 2 года назад

      @@zebusdaughter8158 umetisha👊👊

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 2 года назад +8

    Tukiwa Nje ya Tanzania hakuna mtu anae itwa mtanzania, kuna mZanzibara na Watanganyika, roho zetu huku tunazijua wenyewe, Mwenyezi atunusuru, alafu hao jamaa dini imewasaidia kuinuana

    • @gangmore9091
      @gangmore9091 2 года назад

      Tatizo Mungano hapa huku pia kuna Wazanzibar na Tanzania ukiacha uko Nje Mtihaniii

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 2 года назад +4

      @@gangmore9091 Muungano ndio unapelekea Wazanzibar wakiwa Nje nchi kumchukia kila mtanzania sio? Nani alikuwepo wakati Nyerere na Karume wanasaini ,ndugu zetu hamjali kama mtu Ni muumini mwenzenu au lah mnachoangalia Ni Uzanzibar sehem yeyote mlioko, MNA Kibri, Kibri ni nini? Kukataa haki na kuwadharau na kuwabagua wengine, tabia ya kijahiri ya Waarabu wajinga

    • @gangmore9091
      @gangmore9091 2 года назад +2

      @@ndukulusudikucho_ hizo hisia zako hata huku bongo watu wanabaguana hata hao wazungu wanabaguana swala la kubaguwana kote duniani lipo kama ujanifahamu nimekusudia nini ungeuliza Mfumo wa Mungano ndio sababu y kupelekea kuwa n makundi mawili unafahamu mfumo wa Mungano ulivo???

  • @hanschuma7734
    @hanschuma7734 2 года назад +11

    Wasomali wanahatar ndio maana hawatak kuwapa Aman katika nchi yao...wenzetu wanaweza sio ss watanzania kaz rohombaya tuuu Chefuuuuuuu

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 2 года назад +2

      Sio wabongo tuuu, asilimia kubwa sie weusi roho mbaya na majungu ndo tunaweza

    • @mohamedelmi7435
      @mohamedelmi7435 2 года назад +4

      Ulicho sema ni kweli mm nime toka UK naishi dar sahivi naona watanzania hawapendi mtu akifanikiwa wana chuki wenyewe kwa wenyewe ila nacho penda sena kwa watanzania ni watu wana penda amani sana na hiyo ndio muhimu kwa maisha.
      Mm napend sana nikiona mtu yoyote mweusi ame fanikiwa sababu uhasidi ina chafuwa roho na huwezi fanikiwa kwa maisha ukiwa na roho mbaya.

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 2 года назад +1

      @@mohamedelmi7435 Tena huku UK ndo balaa umaskini upo kwa sehem kubwa wengi kazi porojo hawawezi hata kukupa connection mtu anakwambia kaishi huku 20 years ila hana mbele wala nyuma, Mungu atusaidie kwa kweli

    • @mohamedelmi7435
      @mohamedelmi7435 2 года назад +2

      @@spreadlove5300
      Not where I grew up bro in North West London where predominantly was somali people in the 90s and 2000s, we helped each others and we had each others back but places like Milton Keynes where a lot of tanzanians and zanzibaris leave could be different.
      Ku saidiyana ni muhimu kwa maisha becoz kesho na ww utahitaji msaada pia.
      I hope my swahili is good 👍 🙏 bless.

    • @joejoshua7791
      @joejoshua7791 2 года назад +1

      ​@@spreadlove5300 hata Canada wabongo wanaroho mbaya sana angalau watz wanaoishi Calgary wanaumoja

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir9965 2 года назад +8

    Watazania ukitukuta ulaya tuko na roho zetu za korosho yaani mtu anaweza kuona umefungua mgahawa basi ni bora wazungu wanaweza kukuungisha kuliko mt mwenzio

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 2 года назад +3

      Sio WaTanzania wote mkuu usiongee kwa ujumla hata hao wasomali wote wanapendana

  • @edwardouma1630
    @edwardouma1630 2 года назад +4

    Tanzania tunaongoza kwa amani Africa mashariki lakini naushikamano lakini tukiwa inje ya inchi hatuna ushirikiano by Fosill nikiwa jijini Nairobi Kenya east Afraca

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 2 года назад +7

    This Askari is so lovely

  • @edwinkarani5593
    @edwinkarani5593 2 года назад +1

    Beautiful.

  • @georgedamas7097
    @georgedamas7097 Год назад

    Safi sana Kitenge kazi nzuri sana iyo....

  • @OsmanK699
    @OsmanK699 2 года назад

    This is good, really good.

  • @bakarisuleiman434
    @bakarisuleiman434 2 года назад +1

    wow i love that❤

  • @bintuomar3114
    @bintuomar3114 2 года назад +1

    us somalis where we go we will ever be somali. kenya is our second country

  • @user-pg1xe1qs2g
    @user-pg1xe1qs2g 2 года назад +2

    Africans should stick together kama hivi

  • @namangatecnoenterprises1915
    @namangatecnoenterprises1915 2 года назад +5

    Warya Mr kitenge serekali ya kwenu inawabagua wasomali sana...

    • @hassanh1978
      @hassanh1978 2 года назад

      Wasomali wenyewe wanabagua wasomali wenzao juu ya qabiil

    • @georgedamas7097
      @georgedamas7097 Год назад +1

      Ubaguzi ni asili ya binadamu, sema inatofautiana kulingana maeneo uliyokulia Warya.

    • @ramadhanissabura2187
      @ramadhanissabura2187 Год назад

      sas maca!!

  • @mwamudmohamed5566
    @mwamudmohamed5566 2 года назад +5

    Wasomali wakenya haya

  • @zakach0018
    @zakach0018 2 года назад +1

    mashallah my family

  • @reubentv2948
    @reubentv2948 2 года назад +2

    Those are Kenyan Somali. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @omaryteddy62
    @omaryteddy62 2 года назад +2

    Good good 👍

  • @jamalmuadhin4460
    @jamalmuadhin4460 2 года назад +1

    Nice

  • @alimwakasidi7680
    @alimwakasidi7680 2 года назад +4

    Ukija ubelgiji nitafute nikuonyeshe mitaa ya matonge huku Brussels hapo ukiingia ni kama huko Africa kabisa ukitaka muhogo yuko ndiozi mkono tembo papa sangara omena hata kambare

    • @guzomc255
      @guzomc255 2 года назад +2

      Mwakasidi digo moja hiyo😅😅

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 2 года назад +3

    Masha Allah wana umaja 😍

  • @awesosaladi3638
    @awesosaladi3638 2 года назад +1

    MashaAllah Good life

  • @maghanighanichali9519
    @maghanighanichali9519 2 года назад +5

    Wabongo unoko mwingi

  • @user-pg1xe1qs2g
    @user-pg1xe1qs2g 2 года назад

    This is good

  • @ramadhanissabura2187
    @ramadhanissabura2187 Год назад

    mashaallah.

  • @exploresouthsudan4664
    @exploresouthsudan4664 2 года назад

    Video nzuri sana.....wa Somalia wakona umoja sana..

  • @omnsultan383
    @omnsultan383 2 года назад +2

    Hadi raha

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 2 года назад +4

    RIP hamza

  • @flavianchuwa4370
    @flavianchuwa4370 2 года назад

    Noma sana

  • @anordelias
    @anordelias Год назад

    Naomba KUKUTANA na MAULIDI KITENGE

  • @faridashisia9409
    @faridashisia9409 2 года назад

    Proud kenys

  • @abduljabbarmohammed4188
    @abduljabbarmohammed4188 2 года назад +2

    Maulid kitenge usishangae na sisi wasomali.
    Tabia ya biashara sisi hurithi kutoka kwa wazazi.

  • @sharonyclement9457
    @sharonyclement9457 2 года назад +1

    Safi kwa kuutupa vitu wa bongo

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 2 года назад

    Amina 🙏🇹🇿🤔

  • @user-pg1xe1qs2g
    @user-pg1xe1qs2g 2 года назад

    Nmefurahi sana

  • @japhetmoshi8484
    @japhetmoshi8484 2 года назад +2

    maulid . Nakuona unaupg mwing hko ulayaa

  • @issamkombo7300
    @issamkombo7300 Год назад

    Bila vita Somalia ingekuwa mbali sana kiuchumi hawa watu ni wachapakazi sana
    Na shida kubwa Somalia ni mafuta na hili watu wengi hawalijui

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 2 года назад +4

    Mtangazaji waache wasomali na maisha Yao huko kwenu Tanzania mnawabagua.

    • @nguvuyafikramedia1202
      @nguvuyafikramedia1202 2 года назад

      Hacha uongo

    • @shantalismailhassan9878
      @shantalismailhassan9878 2 года назад +1

      Sio kweli Tz hawana ubaguzi wa aina hiyo. Wasomali wanaishi vizuri sana ndani ya Tz na wanashirikiana vizuri na wa Tz. Ukiongelea wahamiaji ambao hawana kibali chochote najua kila nchi ina sheria zake katika kulinda Amani ya nchi huwezi kuingiza watu kiholela Tu na ulinzi uko kila nchi duniani kote. Nawajua wasomali wengi wanaoishi bongo ambao wana enjoy maisha na hawataki hata kurudi nchi Yao.

    • @mgasaemanuel53
      @mgasaemanuel53 2 года назад +3

      Wabaguliwe vip wakat na wao ni waafrika acha ujinga sote ni ndugu au wasomali wanajiona waarabu wakat ni weus tu

    • @farikkaqueen2367
      @farikkaqueen2367 2 года назад +1

      right 😂😂

    • @adamhashim3352
      @adamhashim3352 2 года назад +1

      Hamza

  • @marrypius576
    @marrypius576 2 года назад

    Wabongo tupeaneni makonnection asee ya majob kam vip sio unaenda mambele unaon fursa zipo unastay queit sio poa toen hat detail za maagent huk tuwasilian nao hiy inatosha kabisa maan tutapat full information then we are going to work on it. Tupendan wabongo

  • @anordelias
    @anordelias 2 года назад +1

    BRO KITENGE NAOMBA KUONANA NA WEW

  • @diolindanativo7268
    @diolindanativo7268 2 года назад +2

    Wasomari wako vizuri wakitoka nje ya kwao

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela5016 2 года назад

    Ok

  • @ezekielwatson9926
    @ezekielwatson9926 2 года назад

    Safi habari

  • @ahmuhally4430
    @ahmuhally4430 2 года назад

    Nimekubali hii

  • @shebyrasta2833
    @shebyrasta2833 2 года назад +1

    Tutaweza vip ikiwa tunaanza kukwamishwa na serikali yetu ya tanzania, kwa mfano ukitoka nje na kurudishwa unafungwa jela

    • @pilimusa3217
      @pilimusa3217 2 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @paulvimbamvula9508
    @paulvimbamvula9508 2 года назад +2

    American inchi yakila kabila duniani....maisha Kama haya hakuna China...hakuna Urusi

  • @juma2979
    @juma2979 9 месяцев назад

    Hata pale Dubai kuna mtaa wa wasomali

  • @user-xi4le1hp4y
    @user-xi4le1hp4y Год назад

    Tupe mawasiliano ya huyo ndugu yetu msomali

  • @levinaringoma
    @levinaringoma 2 года назад +2

    Utadhani ni marikiti Mombasa

  • @sulaimsameer2668
    @sulaimsameer2668 2 года назад

    Somalis ni wachapakazi wherever they are@ Kitenge sio wasomali wote wametoka mogadishu wengine wamezaliwa marekani halafu pia jifunze ngeli upige kotekote

  • @user-pg1xe1qs2g
    @user-pg1xe1qs2g 2 года назад

    Haya njoeni telegram sasa nyie wasomali na waswahili

  • @anordelias
    @anordelias 2 года назад

    Plz nimejaribu Sana kukutafuta lakn bado sijafanikiwa

  • @beatbyrich2891
    @beatbyrich2891 2 года назад

    Ni miji yote? mana marekani kubwa sana.

  • @user-pg1xe1qs2g
    @user-pg1xe1qs2g 2 года назад

    😁😁😁😁😁

  • @alextercisio
    @alextercisio Год назад

    Tanzania shinda Yao ni wivu na ubinafsi

  • @miriammuller2845
    @miriammuller2845 2 года назад

    Oyo

  • @williamkeita1519
    @williamkeita1519 2 года назад

    Hao wanakadi ya kijani nadhan kuipewa ile lazma uchunguzwe na USA vizuri,wakirud somali alshababu watawachukulia kama Vibaraka

  • @mosesptallah3933
    @mosesptallah3933 2 года назад

    Wa ndugu zetu, na ishi jamhuri Somalia na Jamhuri ya Kenya, So you can't geographically position them. The whiteman divided our motherland Africa. Hutujui mipaka sisi Wa Afrika.

  • @allyissa7981
    @allyissa7981 Год назад

    watanzania tuna roho za kichoyo

  • @isayagabriel5279
    @isayagabriel5279 2 года назад

    Roho za wazungu tafauti na na waarabu sure

  • @jumamofu9573
    @jumamofu9573 2 года назад

    Jambo

  • @kevinochieng6458
    @kevinochieng6458 2 года назад +3

    Hao ni Wasomali kutoka Kenya sio Somali

    • @afropanorama4730
      @afropanorama4730 2 года назад

      mbona unajizonga

    • @mwamudmohamed5566
      @mwamudmohamed5566 2 года назад +2

      @@afropanorama4730 kwani wewe hauskii kiswahili Chao ni Cha kenya

    • @afropanorama4730
      @afropanorama4730 2 года назад

      @@mwamudmohamed5566 ata watokee wp bado ni wasomalia

    • @mwamudmohamed5566
      @mwamudmohamed5566 2 года назад

      @@afropanorama4730 Sasa what is your point of argument nkt!

    • @FeisalMNoor
      @FeisalMNoor 2 года назад

      Nyanyako na nyanyake ndio wa kenya ... Siku zote jua kwamba msomali ni msomali.

  • @zawadix9574
    @zawadix9574 2 года назад

    Warudi nyumbani !!!!!!!! Nyumbani ni nyumbani

  • @charleskamau5718
    @charleskamau5718 2 года назад

    Do they have Al shabab there?

    • @maina2924
      @maina2924 2 года назад +4

      Kamati ya roho chafu

    • @reubentv2948
      @reubentv2948 2 года назад +1

      Tumia akili kidogo.

    • @aliaden5512
      @aliaden5512 2 года назад +1

      WASOMALI SIKAMA WAKIKUYU MUNACHUKIANA HATA HAMUSAIDIANI HUKU USA

    • @missnellytv2149
      @missnellytv2149 2 года назад +1

      Al shabab is Arabic word meaning youths..

    • @saadhussein5466
      @saadhussein5466 2 года назад

      No there's on single of them we should kick their ass.
      Lakini wunba miingi Sana don't worry either we should kill or capture them soon.

  • @user-pg1xe1qs2g
    @user-pg1xe1qs2g 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @zenahdallactv1799
    @zenahdallactv1799 2 года назад

    Marundi yako

    • @aliaden5512
      @aliaden5512 2 года назад

      WATARUDI TU HUKO WAMEENDA KUTAFUTA

  • @user-pg1xe1qs2g
    @user-pg1xe1qs2g 2 года назад

    This is good