JKizondo na Upweke wa Marekani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 196

  • @1964AliK
    @1964AliK Год назад +22

    Ahsante mama. Mbali ya hizo kazi zako nakunasihi ifanye Quran rafiki yako mkubwa. Jaribu kuisoma na ufahamu tafsiri yake na ikuwezekana fanya bidii ya kuhifadhi japo kidogo. Ukweli itakutibu stess sana na kukusaidia kwa mengi. Tafsiri ya Quran kwa Kiswahili inapatikana mtandaoni ya Sheikh Ali Muhsin. Maisha mema

    • @jkizondoswahilibites434
      @jkizondoswahilibites434  Год назад +8

      MashaAllah Shukran sana kwa maoni yako mazuri ambayo tayari nayafanyia kaxi JazakaAllahu khairan

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад +1

      Samahani sana lkn inabidi tuseme ukweli ili watu waweze kujikwamua mana wengi husikitika stress/upweke na mwisho wake baadhi Yao huishia magomjwa ya akili, Allah atuhifadhi sote, amiin

    • @mwanaseeejuma601
      @mwanaseeejuma601 Год назад

      ​@@Fear_Allah394i

    • @rukiaabdul7191
      @rukiaabdul7191 Год назад +2

      Kweli kabisa.Ukifanya Qur'aan rafiki yako itakuzowea na utahisi upweke unapoikosa.

    • @nargisifni1570
      @nargisifni1570 Год назад +1

      Subhannallah mola awahifadhi ummat Muhammad mola awajaalie mushike dini sana msiache quraan na sunna wewe na family yako

  • @sisterfey3465
    @sisterfey3465 Год назад +1

    Wa Aleykum salam sister Jamila na mimi na ndugu zangu tunakupenda fi Allah daima twakutaja kwa kheri unatuchekesha Jazashi'Allah kil'kher Allah akufanyieni wepesi na faraja katika kila gumu Liwe jepesi🤲
    Kwa kweli sisi binadam tupo kwenye mitihani popote utapoishi ulimwenguni ikiwa kwenu au ugenini - Lamuhimu tuwe na Subra - Allah anatupa mitihani anatupima Imani zetu either tushukuru or tukufuru - tunamuomba Allah atuvushe salama kwenye mitihani anayotupa ya duniani na ya akhera na atujaalie khatima njema tuingie peponi In'Sha'Allah.
    ILa tujitahidi na silaha tatu za muhimu iLi tupambane na maisha - yakwanza ni (Iman kwa Mungu), Tuamini kuwa m'mungu ni mmoja hakuna mwingine na yeye ni muweza wa kila kitu Kwahiyo daima tumtegemee - na mwenye kumtegemea m'mungu anamjaalia milango ya faraja La muhim tusichoke kumuomba na kumuabudu. - Silaha ya pili Subra, tumuombe Allah atupe Subra fa Inna Allah masabrin m'mungu yupo na wenye kusubiri - Na silaha ya tatu Shukur kwa Allah, Daima tumshukuru Allah kwa kila kitu kwa furaha na karaha, tumshukuru kwa kila neema yoyote alotupa japo ndogo yaani tukinai - neema ya kwanza na muhim sana neema ya Uislam na kitabu chake katushushia Qurani wache tuijaalie iwe rafiki yetu inatupa Subra, raha ya nafsi, inatufungua akili,
    inatupa maarifa ukiifaham, na inatufundisha tusoyajuwa ya kumridhisha m'mungu. Tumshukuru Allah
    akitupa Afya, kwani wengi hawana upweke wame zungukwa na ndugu na majirani Lakini hawana Afya, hawawezi hata kutoka nje ya Nyumba na kuwatembelea watu.
    kila tukiamka asubuhi tuseme Alhamdulilah bado unaishi na una afya njema. Sister Jamila mashallah M'mungu kakuumba mzuri, bashusha, mcheshi na una imani, kakuruzuku mume na watoto you have nice family Alla ibarik mashallah mupo pamoja, mupo happy Alhamdulilah Allah akulindeni na kila mabaya In'Shaa'Allah
    wengi hawajaolewa au wameolewa Lakini hawana watoto - nakama usemavyo these days kuna mitandao ina turahisishia mengi Alhamdulilah tunaonana kwa sauti na picha tunashea online ikiwa sherehe or masomo upo nyumbani kwako Lakini unahudhuria live, bila ya kuhitajia kutoka au kuhitajia gari, wala safari yaani wajib tuseme Alhamdulilah rabil'alamin 🤲 kulinganisha na zamani mtu akisafiri hawawasiliani ILa kwa baruwa uifate post kama unamiliki postbox Otherwise inapita miaka mpaka iLi muonane tena mkijaaliwa uhai.
    Subhanallah kila jambo lina kheri yake Bora uko kivulini unakula na kulala pazuri wenzetu wapo vitani wakiishi Leo hawadhamini kesho - Let be positive huo upweke Labda Allah anakuepusheni na mengi mabaya na hasa huko hakufanani na mazingara yetu kama usemavyo - tusichukie kitu Labda kina kheri na sisi - tuchukulie kuwa upweke ulikuwa kama sababu na chanzo cha kuzinduka na kuchukua uamuzi upate kujishughulisha kwenye manufaa na In'sha'Allah yawe manufaa ya duniani na akhera - Mathalan faragha imekupa fikra ya kujilewaza na kulewaza wenzako kwa njia ya mtandao unatuchekesha tunafurahi unapata thawabu - tunaambiwa tabasam au kucheka kwenye uso wa ndugu yako muislam sadaqa😊 mimi kila siku nakutafuta mtandaoni Nipate kucheka umetufundisha Mahamri 😅namengi Jazashi'Allah kil'kher 🤲
    Tuseme Alhamdulilah rabil'alamin kwa kila hali.
    Go ahead dear Allah karim - big hug with Love ❤️🌹

    • @jkizondoswahilibites434
      @jkizondoswahilibites434  Год назад +1

      MashaAllah Alhamdulillah kwa maneno yako mazuri na ya busara ❤️❤️. Alhamdulillah JazakaAllahu khairan ❤️❤️

  • @salmasalehalihassan6731
    @salmasalehalihassan6731 Год назад +2

    Jamila Allah is with you...may he protect you....

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Год назад +2

    Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi...shida zetu zikisha turudi nyumbani, salama insha Allah

  • @NaimaBawazir
    @NaimaBawazir Год назад

    Alhamdulillah 'alaa kuli hali.
    Pole dada kwa huo upweke ni ngumu sana maisha ya ng'ambo mswahili ni kiumbe ameumbwa kuishi na jamii kwa furaha na amani.

  • @yunushaji5327
    @yunushaji5327 Год назад +4

    Allah akupe wepesi. Njoo huku utulie Aunt!

  • @halimaali3719
    @halimaali3719 Год назад +3

    Amini yarabi mungu atujalie salama inshaallah

  • @asyamubanga8906
    @asyamubanga8906 Год назад +1

    Shukran Jamila... alhamdulillah MEM ametufundisha dini, Imani kwa hivyo we try our best but as a physician you can't help but feel sorry for elderly patients who just want somebody to talk to or have been abandoned by their families or countless people with depression and suicidal idealities..the basis is all loneliness. Thank you for bringing awareness to this topic. We love your videos. Mandaazi is not the same as mahambri. Regards from Virginia. Watu huku udegene utetene..love from Lamu

  • @jinaali4370
    @jinaali4370 Год назад +1

    Mashaaallah! Allah akusahilishie wewe , ayla yako na sisi tulio huku na ayla zetu. amyn!

  • @aishamaulana6344
    @aishamaulana6344 Год назад +1

    Allah awahifadhi,
    muko na chance mzuri yakuhifadhi maneno ya Allah (qur'an)

  • @SalumuKomba
    @SalumuKomba Год назад +1

    na sie twakupenda kwa ajili ya Allah... Shukran mwenyezi Mungu akulinde inshallah

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du Год назад +1

    Mtihani, aunty unacheka na embe! Allah atufanyie wepesi na mazonge ya dunia.

  • @hamidarehman546
    @hamidarehman546 Год назад

    Waleikum Salam warahmatulwahi wabarakatu na siye twakupenda kwa ajili ya Allah Jazakilahu khairan

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 Год назад +5

    Nchi hzi upweke upo lkn ukiutaka kwa sbbu mambo yapo mengi yakufanya. Misikitini darsa za kusoma/kujifunza Qur-an na pirika tofauti zpo, kazi za ndani ya nyumba zinakutosha pia si kidogo na hatuna wafanyakazi, km waisilam pia kujitahid kusoma Qur-an na kuhifadhi japo sura ndogo ndogo, kazi za kuajiriwa zimejaa za kufanya ujipatie pesa nk, sehemu za kutembea na wtto au km hamna pia zimejaa! Upweke unatoka wapi?????
    Mm nahisi inategemea na maisha uliotokea Afrika, ikiwa ulikua mtu wa vibaraza, umbea utaona upweke lkn km ulikua mtu wa pirika zako mwenyewe hujisikii upweke.

  • @taflamohsin2195
    @taflamohsin2195 Год назад

    Kwanza nakupa pole kwa maisha ya ugenini.Insha Allah Mola akujalieni kipato hicho mlokiendea.mkifanikiwa basi rudini kwenu.mtu kwao.hayo si maisha 😮. hususan kwa watoto.Subhana Allah .fikirieni kuna kesho mtaulizwa wachungaji.nini ulichokichunga.dada angu jiandae.

  • @fatmamansour2764
    @fatmamansour2764 Год назад

    Shukran mpenzi wangu Allah atakuzidishia Iman na upendo maneno yako yote ni ya ukweli

  • @AlhajJuma-qy7xv
    @AlhajJuma-qy7xv 6 месяцев назад

    Mashaallah twakupenda pia jamila Allah atawalinda na atulinde n sisi tulioko kenya

  • @fatimajuma8900
    @fatimajuma8900 Год назад +1

    Naam Kabisa na siye wengine tuko km miji ya huko kuwa na Allah Subhaana ❤ Kila wakati dini imekupangiya mpangiliwo wote WA siku nzima unatakiwa Nini ufanye Ili ufarijike ukitaka mzungumzaji kuraani inakutosha Alhamdulillah una Mume watoto dini liislaamu ❤ ni neema kubwa tuliya jipumzishe neema kubwa halikufiki jambo ila limekadiriwa maisha ni mpangiliwo upumzishe Moyo upumzike una sehemu yake ridhika na ushukuri mengine ni makubwa zaidi yetu siye tuseme Alhamdulillah tumuachiye Allah Subhaana vna viumbe wake In Shaa Allah

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      Maa shaa Allah angalau nimekutana na msg ya maoni yangu. Ttzo wengi wao hua si wenye kujishughulisha na dini na hata uchaguzi wa marafiki. Nchi hii ukiikosea mtihani!!!

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Год назад

    Maashallah maashallah nilifikiria uko dubai mwenyezi mungu amijalie kila lakheli yaarabi ameen

  • @shamzone388
    @shamzone388 Год назад +2

    Ninkweli unayosema watu wetu wakisikia fulan yupo amerika wao waona yupo jannat firdous hawajui maisha ya huko yalivyo
    Allah atawastir daima dini na ibada ndio silah ya muislam quraan itawakinga na kila shari Allahuma Amin

  • @Sweetie-im2jd
    @Sweetie-im2jd Год назад

    Masha Allah bless the good work of your hands 🙏🥰🌹🌹😍💐🌹🌹🌹🌹💐💐💐🙏🙏

  • @ashajumapili7148
    @ashajumapili7148 Год назад

    Naaam shukrn sana kwa kutujuza na ALLAAh akuhifadhi wew na SiS pia

  • @HassanMpate-el8bf
    @HassanMpate-el8bf Год назад

    shukran sana mama allah azidi kukuongoza katka dini ya uislamu na akukinge na shari za viumbe vyenye kudhuru

  • @ApiteHaji
    @ApiteHaji Год назад +2

    Hiyo nchi imelaaniwa fanyeni mpango muondoke hakuna maisha huko

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 Год назад

    Huwa nakupenda sanaaaaaa sana mpaka nashanga wallah Allah akujaarie kila la kheri Amiina inshallah unanifurahisha nafurahi kukusikiliza pia

  • @aboudybahmesh5424
    @aboudybahmesh5424 Год назад

    Mashaallah Allah akuhifadhi daima na pia nauliza hayo maembe wafanya achari ya kulia wali au ni km mabuyu

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Год назад +2

    Waalaikumussalam Warahmatu llahi wabarakatuhu Habibty ❤❤❤❤

  • @lindakapongo8421
    @lindakapongo8421 Год назад

    asante kwetu pazuri mno naipenda sana tanzania yetu upendo bado upo

  • @AminaAlly-q5f
    @AminaAlly-q5f Год назад

    Asante mungu akubariki nikwel uyasemayo

  • @ahmedabry293
    @ahmedabry293 Год назад +1

    Ni kweli kabisa upweke na faragha ni kitu kibaya Sana.. Mimi mke wangu kasafiri miezi minne tu basi unaona upweke Sana Ile siku yake ya kurudi unaiona mbali ni kwa sababu nchi za nje hizi upweke unakuwa mkubwa Sana.. Labda upate mambo ya kujibabaisha labda mazoezi kwenda mpirani.. Allah atupe nguvu na subra

  • @khawlamsellem2315
    @khawlamsellem2315 Год назад

    Allah atawahifadhi leta adhkar kwa wingi na kusoma Quran, na dua kwa wingi, Allah yupo na nyinyi

  • @mamitomamita6284
    @mamitomamita6284 Год назад +1

    Watu huwatwa Makwao kwa shida za kilimwengu ALLAH AWAHIFADHI YAARAB🤲🏽

  • @samiasalim8322
    @samiasalim8322 Год назад

    Kama jwatisha dada mutume murudi makwenu maisha ma uri ni kuwa na amani peace ya moyo kichwa hio tu nothing else

  • @khadijaali4657
    @khadijaali4657 Год назад

    Assallam aleykum warahmatullahi wabarakatuh,shukran sana dadangu Allah barik inshallah 💞💞you so much dear from kenya

  • @khadijaali299
    @khadijaali299 Год назад

    Pole ni rizki imekuita huko lakini kweli ni pagumu na maisha ya dhiki

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 Год назад +4

    Kama unaona upweke hamieni Makha au Madina au mrudi nyumbani

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад +1

      Unaeza kuishi Makka, Madina na huko nyumbani na ukawa mpweke pia. Maisha bila ya Allah ppte pale yatakupa upweke na stress.

    • @mohamedabdallah2212
      @mohamedabdallah2212 Год назад

      Wachaa upuzi weee

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 Год назад

      ​@@Fear_Allah394Kwa hiyo huyo Hana Allah ndiyo maana mpweke?

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      @@paulmushi2428. Jibu lako utapata kwenye Qur-an 13:28, Qur-an 20:124.

  • @aminayusufnassim3039
    @aminayusufnassim3039 Год назад

    Mimi niko Sweden na nakuelewa kabisa. Tena afadhali wewe uko na familia. Mimi niko peke yangu. InshaAllah Mola atatupa afueni

  • @fatmasalim7496
    @fatmasalim7496 Год назад

    Jamila you are the best

  • @omanmct135
    @omanmct135 Год назад +1

    Subhanalllah

  • @Humanity4518
    @Humanity4518 Год назад

    Kweli maneno yako habibty... I can clearly relate to what you are saying sister.. It's not easy but that is life alhamdulillah na kila kitu ni makatib... Waarabu wasema "al ghurba saa'ba'" ugenini ni ngumu si rahisi... Mimi huondowa upweke hasusan nikiwa peke yangu nyumbani kwa kuskiza utube darsas za different shuyukh one of them ni sheikh Izzudin na jokes zake at times😅 huwa najskia niko home away from home😂 na naskiza kwa sauti ya juu kama vile radio.. so huku nafanya my house chores na huku naskiza durus nafaidika at the same time alhamdulillah... this is how I find relief and content in my heart😊 Be strong habibty and remember you are not alone Allah is with us all😊 Sending dua'a and hugs your way❤

  • @mariamayubu175
    @mariamayubu175 Год назад

    Ma sha Allah

  • @twalhakassaisa7938
    @twalhakassaisa7938 Год назад

    Nakuelewa dadangu . Mimi pia nipo Marekan

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Год назад +3

    Pole sana na Hongera Kwa kuwajuza wale wote wenye Tamaa ya kufika huko! Kwa uelewa wangu kila kitu kina Hasi na Chanya, huko pia kuna Hasi na Chanya, na huku kwetu kuna Hasi na Chanya, kama kuna changamoto hiyo huko basi chukua yaliyo Chanya ya huko na uyaache yaliyo Hasi na ikiwezekana kuchukua yaliyo Chanya , baadae pima mwenyewe Hasi na Chanya za nyumbani Afrika na za huko Bora wapi, halafu chukua hatua! Kumbuka Tu waswahili wanausemi wao kuwa " mwenda kwao si mtumwa ", na wazungu pia Wana usemi wao "Go East, West, South, North , but home is the best"

    • @salma0000
      @salma0000 Год назад

      Leo sheikh sijaona ndani hapo itabidi uje unitafsirie, kwa wakati wako😂😂😂

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Год назад

      @@salma0000 Hasi (negative) , Chanya (positive), Kwa lugha nyepesi mabaya na mazuri,,,

    • @jkizondoswahilibites434
      @jkizondoswahilibites434  Год назад

      MashaAllah kakangu Juma maneno kuntu ulosema yenye uzito wa busara MashaAllah Shukran sana, nimejifunza kitu from you shukran sana

    • @salma0000
      @salma0000 Год назад

      @@jumakapilima7295 shukran

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Год назад

      @@jkizondoswahilibites434 Shukran sana, hata Mimi pia nakiri nimejifunza sana Kwa maneno yako mazito kupitia clip hii! Be blessed!!

  • @neemairadukunda2113
    @neemairadukunda2113 Год назад +1

    Kweri Allah atunusuru. Kuna muda kicwa kinaniuma mana natumia nguvu namuda mwingi kujiongeresha mwenyewe nawaza nakuwazua^😢

  • @waheedaw1953
    @waheedaw1953 Год назад +1

    inshaAllah Allah atakusaidiya kwa kila jambo

  • @yunushaji5327
    @yunushaji5327 Год назад +1

    Aamin

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 Год назад

    Salam zangu kutoka neworleans Louisiana Nime furahi Sana nduguyagu maisha ya marekani

  • @aishamzeehamissi6859
    @aishamzeehamissi6859 Год назад

    ASALAM POLENI SAANA NDUGU ZETU MLIOKUWA NJE KUMBE MNACHANGAMOTO SAANA ALLWAA ATAWANUSURUU . CHA ZIADA SWALA NA DUA . MAISHA NDIO YANAYOTUHANGAISHAA ALLWAA KARIM

  • @asmaafamau8307
    @asmaafamau8307 Год назад +1

    Subhanaallah

  • @z-1il
    @z-1il Год назад

    Ameen yaraab

  • @nkurunzizaabdul-aziz7211
    @nkurunzizaabdul-aziz7211 Год назад

    Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh mbone hamuombe kurudi nyumbani

  • @OmarVlogs-u7h
    @OmarVlogs-u7h Год назад

    Wa alaykum salaam my favorite sister

  • @AfiSoul103
    @AfiSoul103 Год назад

    😂😂😂😂😂 loo nacheka mie..asaa.. huku nipo Spain na maisha ndo hvyo hvyo😅😅

  • @muniraramadhan9097
    @muniraramadhan9097 Год назад +3

    ALLAH AKUBARIKI NA BIDII ZAKO NA KAZI ZAKO ZA MIKO O

  • @imamumohamedmalina6995
    @imamumohamedmalina6995 Год назад

    Shukran jaziira

  • @samiasalim8322
    @samiasalim8322 Год назад

    Mungu atawanusuru but ni hivo

  • @abdul-rahmanfakijuma1879
    @abdul-rahmanfakijuma1879 Год назад +1

    Subhaana llwah Innaa lillaahi wainnaa ilayhi rajiuun

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Год назад

    Ameeen &ameeen Inshallah shukran dada jamila

  • @khadijaali299
    @khadijaali299 Год назад

    Allah atawahifadhi awape na subra

  • @sameraakhf5605
    @sameraakhf5605 Год назад +1

    Uyo mama kashaona maisha ya uko alivo kwann asimpeleke mwenyewe mpaka akamfikisha lakini mnajitia mna haraka na kutafuta pesa

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      Na nyie mnaojitia hamna haraka ndio number moja kwa kuvuruga akili za jamaa zenu. Mana wengi wenu mmekaa huko mara niletee I phone 14 pro max wkt mwenzio hata kuijua haijua, Mara mnadai viwango vikubwa vya pesa na kusingizia majanga Mara umeezukiwa na bati Mara unauguliwa, Mara hli Mara lile, Mara mnawadanganya kufanya biashara mnawadhulumu Mara wanakuaminini muwajengee mnawadhulumu na kuwajengea vibanda mitaa ya ng’ambu na kuwatumia picha za nyumba za mitaa ya ghali au mnazila kabisa pesa zote hakuna hata kibanda mnaongezea wake au mnalia samaki wanene.

  • @halimasaid506
    @halimasaid506 Год назад

    Allah atakuhifadhi na mm pia Nakupenda

  • @MtandaKibari-zm4bj
    @MtandaKibari-zm4bj Год назад

    Mashaallah na poleni sana

  • @ramlajeffah9831
    @ramlajeffah9831 Год назад

    Twakupenda pia kwa ajili ya Allah dadaa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 4 месяца назад

    👍👊✌️.

  • @omanmct135
    @omanmct135 Год назад

    Aaaalllah anatumpenda sana❤❤

  • @GhazalaAljabry-y3l
    @GhazalaAljabry-y3l Год назад

    Amin yarabi thuma Amin

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 Год назад

    Amiina allahumaa amiina

  • @Abdulrasul173
    @Abdulrasul173 Год назад +1

    soma sana qur an ifanye kuwa ndio rafiki yako

  • @thumnathumna5946
    @thumnathumna5946 Год назад +3

    Tinaongea na ukuta wakati kwetu tuna family.

    • @PAPRATZ
      @PAPRATZ 7 месяцев назад

      Hahaha hatari

  • @kaltunabdirahman3281
    @kaltunabdirahman3281 10 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @saidjelani1566
    @saidjelani1566 Год назад

    Watu hawajui nyumbani vile kuko hapa subhanallah

  • @suleimanqassabi6602
    @suleimanqassabi6602 Год назад

    Asante Jamila

  • @SaidaAli-c7d
    @SaidaAli-c7d Год назад

    Ameen

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Год назад

    👏🏾👏🏾😥

  • @sasamama7934
    @sasamama7934 Год назад

    S.a habbty plz unaijua chapati ya oho plz vp unaipika na vitugani unatumia vya kupika

  • @ishaanizkeah8814
    @ishaanizkeah8814 Год назад

    Allah atuhifadhi

  • @salojaanbaloch
    @salojaanbaloch Год назад

    Sister wa Sama Sawa sawa

  • @aboudybahmesh5424
    @aboudybahmesh5424 Год назад

    Pia umefanya vizuri kusema watu wasiwe na tamaa ya kuja uko watosheke na ukuuku waliko matamaa ya mapesa simazuri tujifunze kushukuru

  • @hassanambarakmbarak8759
    @hassanambarakmbarak8759 Год назад

    Mashallah

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Год назад +1

    Na kama si msomaji vitabu ndo kamisaa😂😂😂

    • @PAPRATZ
      @PAPRATZ 7 месяцев назад

      kitabu hakisomeki,labda movie

  • @khadijanurdin3163
    @khadijanurdin3163 Год назад

    Dooooh!polen kwa kweli,

  • @sudidala178
    @sudidala178 Год назад

    Ameen yarabbi 🤲

  • @mukadarmukadar7881
    @mukadarmukadar7881 Год назад

    Dada etu twakupenda sana

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 Год назад +2

    Wanawake wengi wanaishi kwa upweke kwa sababu ya tamaa zao,anamfukuza mwanaume au kumfungisha jela,ili hela ya Tax return aipate peke ake.

    • @salma0000
      @salma0000 Год назад +2

      She has a husband and kids, the only time she feels lonely is when her husband and the kids are not home.

    • @jkizondoswahilibites434
      @jkizondoswahilibites434  Год назад

      Hakuna mahali nimetaja maneno uliyoyasema wewe, SoubhanaAllah kumshutumu mtu ni vibaya au kuchanganya waliokuwemo na wasiokuwemo pia sio Sawa. Allah atusameh in Shaa Allah Ameen

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      @@jkizondoswahilibites434.Kasema wengi lkn sio wote. Na hlo alilolisema lipo. Tuishini kiisilam na tutafute marafiki wa kiisilam wenye tabia nzuri akili zetu ziondokane na kutawaliwa na shaitwani. Mm nashauri sana hayo pamoja na kutafuta marafiki wa mataifa mengine ambao wanadini, imani na upendo wa kweli. W’ke wa nyumbani wengi wao akili zetawaliwa na hasad na ushaitwani. Hata ushauri hawana mana km huku Ulaya unakuta w’ke wa nyumbani wengi wao wanavuta waume zao huwafundisha waseme hawana waume au wenyewe wanapenda kufanya hayo huwaambia waume zao. Ssa ikiwa m’ke anaakili hzo za kuvuta unategemea atakushauri nn??? Ikiwa hata mwenyewe haki zake za kujuilikanq ndani ya nch kua anamume hazitaki.

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      W’ke wengi sana wanashauriana upuuzi.

  • @Swehahabibtiy
    @Swehahabibtiy Год назад

    Huo mtihani lkn muko bad munaishi

  • @salimabdallah5176
    @salimabdallah5176 Год назад

    Hayo maembe yatoka wapi

  • @amina2044amin-zv2gh
    @amina2044amin-zv2gh Год назад

    Amen .🤲🤲🤲🤲

  • @ApiteHaji
    @ApiteHaji Год назад

    Dada yetu tafuta namna ya kuhama hiyo nchi haikufai hama

  • @omanmct135
    @omanmct135 Год назад

    Aaaalllahmdulilah

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 Год назад

    Kweli ni changamoto hakuna raha nafsi

  • @ummyahya1351
    @ummyahya1351 Год назад

    Maa shaa Allah umesma kweli sister

  • @JosephSimiyu
    @JosephSimiyu Год назад

    Hutujambo dadangu na ubarikiwe

  • @AfiSoul103
    @AfiSoul103 Год назад

    😅😅😅😅😅

  • @florencenuru4687
    @florencenuru4687 Год назад

    Fadhani niwe mpweke America kuliko kua maskini Africa dada wacheni kufuja watu moyo

  • @waziriwaamani-ky2cg
    @waziriwaamani-ky2cg Год назад +1

    Tafteni rizku muje muwekeze kwenu,musiombe kuzeekea huko,kwatisha,kwetu waislamu usiseme twachukiwa kweli kweli.

    • @jkizondoswahilibites434
      @jkizondoswahilibites434  Год назад

      Kwa asiye na akili basi hata ukimtia akili ni kupoteza wakati, ila kwa mwenye akili zake anajua hakuna kama kurudi nyumbani.

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      Watu wengi sana wanawekeza lkn mnawadhulumu, na wengine mnawapa mizigo mingi sana kwa kuwakusanyia mttzo ya uwongo mara Leo bati limeizuka nitumie pesa Mara mtto anaumwa, Mara hli Mara lile ilimradi wengi wao unakuta pesa kuieka si rahisi km mmemfunganishia chuma ulete/mana akipata mnajua mnaziagiza kwa kujipachika majanga au kumlaghai kibiashara. Unakuta mtu awe na akili sana nchi hzi ndio aweze kueka pesa mpaka akiamua kurudi afanye mwenyewe la maana. Mana hata mkitumiwa na mwenyewe yupo huku mnakula na kufanyia yenu.

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      Unakuta mtu anakupangia mipango ya kupata millions lkn ukimpelekea pesa anakwambia biashara imeharibika hii hasara tupu wkt pesa ushamkabidhi na ashazivuruga au kishafanyia yake. Hata ukimpa mtu mtaji atafute daladala ili ajiweze basi pesa ya kupelekea garage ikiharibika atataka itoke kwako. Acha watu wazeeke alipowapangia Allah usiwape stress! Huezi kujua ya mbele yako naww unaeza kujq kizee huku! kuja kizee huku km Mungu kakupangia. Muombe Allah kile unachokipenda na hakuna ufundi wala ujuaji, maisha yetu yapo mikononi mwa Allah! Anapopataka yy ndio utapopaishi na asipopataka huishi!!!! Usistress watu na wala usiruhusu mtu kukustress kwenye jambo ambalo lipo nje ya uwezo wako! Muamini Allah na muombe Allah na muachie yy Allah!

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro1552 Год назад

    Ndio maisha ya kidigitari ayo

  • @fanni-ck6do
    @fanni-ck6do Год назад

    kweli kabisaa wallay maisha ya huku america ulaya heee yataka subra kweli kweli house maid hawapo kazi zote utajijuwa hahaha

  • @saidjelani1566
    @saidjelani1566 Год назад

    Siurongo sister

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 Год назад

    Ndio maana Mhe. Tundu Lisu aliomba kurejea nyumbani Tanzania angalau huko anafuatwa na "The so called journalists" wanampiga picha na kumrekedi kama "VIP person!".

    • @evvyyurek1862
      @evvyyurek1862 Год назад

      Tusaidie kazi upishi huko na usafi majumbani

    • @evvyyurek1862
      @evvyyurek1862 Год назад

      Tupe namba yako ya whatssap lnshaallah Allah atufanyie wepes amini

  • @ziadaskitchen5060
    @ziadaskitchen5060 Год назад

    Ahsant my