Kweli kabisa mama mchungaji mbarikiwa amen amen Paulo na sura walipokuwa gerezani waliimba nyimbo za kumsifu mungu Tu mana walitambua vita vyao SI vya damu na nyama
Amen mama salome mungu akutie nguvu Kwa haya mapito unaopitia. Ni wa mda mchache. Nakupenda sana usiogope mungu Yuko pamoja na nyinyi. Niko Saudi Arabia, watching you. Asante sana wimbo mzuri.
La!!you nyimbo umeiimba kwa viwango na inachakiza utukufu mwingisaanaa yaani hasa baba yetu mbarikiwa anaendelea kuchorwa kwa karamu ya chuma kupitia uwepo uliomo ndani ya nyimbi hii😊
Hakika kama ni kweli unamtumikia mungu Kwa roho Yako yote kweli Yako ,,natamka baraka juu ya ram lia Yako Na pia na na amka mabaya Kwa watesi wa familia yko !!
mama yangu Salome naomba unitumie namba zako kwa email yangu hio hapo juu kabisa ndio Jina langu...me nipo daeralaam Nina jambo la kusema nawe kiPenz changu me ni mama km wewe
Mungu aendelee kukutunza mama nafurahi kukuona unanguvu yakuendelea mbele na KAZI ya mungu
Hongera mama sisi tunapita
Kweli kabisa mama mchungaji mbarikiwa amen amen Paulo na sura walipokuwa gerezani waliimba nyimbo za kumsifu mungu Tu mana walitambua vita vyao SI vya damu na nyama
Umeimba wimbo wenye mguso sana nimebarikiwa sana yaani nahisi uwepo wa Mungu ninaposikiliza wimbo huu ...
Nimerudia kusikiliza wimbo huu
Amen watumishi hakika mkono wa Bwana hautawaacha...nawapenda
Amen mama salome mungu akutie nguvu Kwa haya mapito unaopitia.
Ni wa mda mchache.
Nakupenda sana usiogope mungu Yuko pamoja na nyinyi. Niko Saudi Arabia, watching you. Asante sana wimbo mzuri.
Move forward kamanda tuko nyakati za hatari lakini hatuna mashaka na Mungu wetu tutavuka salama
Nice song mbarikiwe
Mungu awatie nguvu sana watumishi wa mungu
La!!you nyimbo umeiimba kwa viwango na inachakiza utukufu mwingisaanaa yaani hasa baba yetu mbarikiwa anaendelea kuchorwa kwa karamu ya chuma kupitia uwepo uliomo ndani ya nyimbi hii😊
Yes mama yes mam yesssss Mungu akubariki mama
Bwana abaliki choir yeni sana sana Amen
jmniii kila wakati narudihapa! !... nalia mnoooo!😢😢😢😢
Hongereni sana Watumishi MUNGU atukumbuke
Mama huwa nkiangalia kripu zako najckia kuendelea ktk safar ya iman
Endelea kujitianguvu munguunaemtumikia atakutokea kablahaujazimia roho
Hakika kama ni kweli unamtumikia mungu Kwa roho Yako yote kweli Yako ,,natamka baraka juu ya ram lia Yako
Na pia na na amka mabaya Kwa watesi wa familia yko !!
Kila jaribu Lina mlango wa kutokea Mungu hashwindwi jambo
Ameeeeeeee love from Zambia
Yani nazidi kuwapenda bure watumishi wa mungu wa kweli siyo hawa panya road wengine
Amina
Mungu ni mwema
Nakupenda mama mbalikiwa Mungu akubalikie Sana
Mungu akuinuwe mtumishi
Congratulations you are on your calling don't give up press on saints🎉🎉🎉❤
Aminii mtumishi wa mungu
Nawapenda sana ❤❤ Mungu awabariki
Mwenyenzi MUNGU azidi kukutia nguvu mama.
Haleluya amen
Kwayote haya niameni Asante mama
Yesu asikie kilio chenu
Amen amen
AMINA AMINA MUNGU ATUKUZWE MILELE MUNGU AWA NGUVU NEEMA YAKE IWE PAMOJA NANYI POPOTE MLIPO AMINA
Ubarikiwe mama
nawapenda mngekua dar tungeshiriki pamoja machugu yenu komaa ma mbarikiwa tuko nawe change kondoo hao
Nawapenda bure
Wimbo safi
mama yangu Salome naomba unitumie namba zako kwa email yangu hio hapo juu kabisa ndio Jina langu...me nipo daeralaam Nina jambo la kusema nawe kiPenz changu me ni mama km wewe
Ndio umpe moyo mwenzako siyo kuanza kumdisidisi Kwa sababu yupo kipindi kigumu sana
👏👏👏👏👏👏👏👏👏
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🔥🔥🔥