SALOME FT MBARIKIWA WAINGIA MWAKA KWA STAILI HII,HAPA NDO KUNAKUUCHAA 🤣🤣

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 42

  • @leahmtuli7948
    @leahmtuli7948 9 месяцев назад +4

    Mungu aendelee kukutunza mama nafurahi kukuona unanguvu yakuendelea mbele na KAZI ya mungu

  • @PPsstor
    @PPsstor 9 месяцев назад +2

    Hongera mama sisi tunapita

  • @anazarethlalama
    @anazarethlalama 9 месяцев назад +2

    Kweli kabisa mama mchungaji mbarikiwa amen amen Paulo na sura walipokuwa gerezani waliimba nyimbo za kumsifu mungu Tu mana walitambua vita vyao SI vya damu na nyama

  • @derickerastus7662
    @derickerastus7662 9 месяцев назад +2

    Umeimba wimbo wenye mguso sana nimebarikiwa sana yaani nahisi uwepo wa Mungu ninaposikiliza wimbo huu ...
    Nimerudia kusikiliza wimbo huu

  • @lydiamgovano5638
    @lydiamgovano5638 9 месяцев назад +1

    Amen watumishi hakika mkono wa Bwana hautawaacha...nawapenda

  • @beatricemwange3307
    @beatricemwange3307 9 месяцев назад +3

    Amen mama salome mungu akutie nguvu Kwa haya mapito unaopitia.
    Ni wa mda mchache.
    Nakupenda sana usiogope mungu Yuko pamoja na nyinyi. Niko Saudi Arabia, watching you. Asante sana wimbo mzuri.

  • @mwl.benjaminhanthony4231
    @mwl.benjaminhanthony4231 9 месяцев назад +1

    Move forward kamanda tuko nyakati za hatari lakini hatuna mashaka na Mungu wetu tutavuka salama

  • @felistashine2363
    @felistashine2363 9 месяцев назад +1

    Nice song mbarikiwe

  • @ManenoSimkoko-df9yj
    @ManenoSimkoko-df9yj 9 месяцев назад +1

    Mungu awatie nguvu sana watumishi wa mungu

  • @mestonisimzosha203
    @mestonisimzosha203 9 месяцев назад +2

    La!!you nyimbo umeiimba kwa viwango na inachakiza utukufu mwingisaanaa yaani hasa baba yetu mbarikiwa anaendelea kuchorwa kwa karamu ya chuma kupitia uwepo uliomo ndani ya nyimbi hii😊

  • @NorbethJosphath-hm1zb
    @NorbethJosphath-hm1zb 9 месяцев назад +1

    Yes mama yes mam yesssss Mungu akubariki mama

  • @PhilipMgala
    @PhilipMgala 3 месяца назад

    Bwana abaliki choir yeni sana sana Amen

  • @uwezohekima-qk8ss
    @uwezohekima-qk8ss 9 месяцев назад +1

    jmniii kila wakati narudihapa! !... nalia mnoooo!😢😢😢😢

  • @DeboraNeno-s5o
    @DeboraNeno-s5o 8 месяцев назад

    Hongereni sana Watumishi MUNGU atukumbuke

  • @mwambaGift-z9c
    @mwambaGift-z9c 9 месяцев назад +1

    Mama huwa nkiangalia kripu zako najckia kuendelea ktk safar ya iman

  • @TeomarryHaule
    @TeomarryHaule 9 месяцев назад

    Endelea kujitianguvu munguunaemtumikia atakutokea kablahaujazimia roho

  • @meshackpatrick6981
    @meshackpatrick6981 9 месяцев назад

    Hakika kama ni kweli unamtumikia mungu Kwa roho Yako yote kweli Yako ,,natamka baraka juu ya ram lia Yako
    Na pia na na amka mabaya Kwa watesi wa familia yko !!

  • @FARIDAMAPALA
    @FARIDAMAPALA 9 месяцев назад

    Kila jaribu Lina mlango wa kutokea Mungu hashwindwi jambo

  • @JustinaMambo-bs4fh
    @JustinaMambo-bs4fh 9 месяцев назад +1

    Ameeeeeeee love from Zambia

  • @leonardjamson-tb4jj
    @leonardjamson-tb4jj 9 месяцев назад

    Yani nazidi kuwapenda bure watumishi wa mungu wa kweli siyo hawa panya road wengine

  • @augustinechitemo8207
    @augustinechitemo8207 9 месяцев назад +1

    Amina
    Mungu ni mwema

  • @philipfelician9866
    @philipfelician9866 9 месяцев назад +1

    Nakupenda mama mbalikiwa Mungu akubalikie Sana

  • @FredinaEzekiel
    @FredinaEzekiel 19 дней назад

    Mungu akuinuwe mtumishi

  • @abigaillucas1114
    @abigaillucas1114 9 месяцев назад +1

    Congratulations you are on your calling don't give up press on saints🎉🎉🎉❤

  • @pilikafuku5468
    @pilikafuku5468 9 месяцев назад +1

    Aminii mtumishi wa mungu

  • @emanuelisaay3697
    @emanuelisaay3697 9 месяцев назад +1

    Nawapenda sana ❤❤ Mungu awabariki

  • @MeshackAbel-bm3cw
    @MeshackAbel-bm3cw 9 месяцев назад

    Mwenyenzi MUNGU azidi kukutia nguvu mama.

  • @ashelikilele167
    @ashelikilele167 9 месяцев назад +1

    Haleluya amen

  • @sofiaamuri4995
    @sofiaamuri4995 9 месяцев назад

    Kwayote haya niameni Asante mama

  • @VailethKisoma
    @VailethKisoma 9 месяцев назад

    Yesu asikie kilio chenu

  • @niyokwizerwanyiramutuzo1394
    @niyokwizerwanyiramutuzo1394 7 месяцев назад

    Amen amen

  • @gracelauzi9746
    @gracelauzi9746 9 месяцев назад

    AMINA AMINA MUNGU ATUKUZWE MILELE MUNGU AWA NGUVU NEEMA YAKE IWE PAMOJA NANYI POPOTE MLIPO AMINA

  • @RESTUTADAMAS-to4eg
    @RESTUTADAMAS-to4eg 9 месяцев назад

    Ubarikiwe mama

  • @lindakapongo8421
    @lindakapongo8421 9 месяцев назад

    nawapenda mngekua dar tungeshiriki pamoja machugu yenu komaa ma mbarikiwa tuko nawe change kondoo hao

  • @happymhelela936
    @happymhelela936 9 месяцев назад

    Nawapenda bure

  • @shujudiankwama8760
    @shujudiankwama8760 9 месяцев назад

    Wimbo safi

  • @uwezohekima-qk8ss
    @uwezohekima-qk8ss 9 месяцев назад +1

    mama yangu Salome naomba unitumie namba zako kwa email yangu hio hapo juu kabisa ndio Jina langu...me nipo daeralaam Nina jambo la kusema nawe kiPenz changu me ni mama km wewe

    • @leonardjamson-tb4jj
      @leonardjamson-tb4jj 9 месяцев назад

      Ndio umpe moyo mwenzako siyo kuanza kumdisidisi Kwa sababu yupo kipindi kigumu sana

  • @Hellen-v8p
    @Hellen-v8p 9 месяцев назад

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 9 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @janechengula2833
    @janechengula2833 9 месяцев назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🔥🔥🔥