🛑

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • #simbasc #Ahmedally #Yangasc

Комментарии • 40

  • @rachelhaule8552
    @rachelhaule8552 Месяц назад

    Simba nguvu moja

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 2 месяца назад +2

    Mwamba Simba kweli wamemsajili namkubali sana msimaji wetu

  • @BakariHamisi-ke6zv
    @BakariHamisi-ke6zv 2 месяца назад +1

    semaji letu CAF mungu akulinde kwakila jambo naakuondelee marazi

  • @kelvinjonas-ry6zz
    @kelvinjonas-ry6zz Месяц назад

    Dua san

  • @BakariHamisi-ke6zv
    @BakariHamisi-ke6zv 2 месяца назад +2

    aaaaaa eti chama chama kwani Simba kumepita wachezaji wazuri wangapi mana unacho kiongea ukinyuhi embu acheni ushamba kwani sisi Simba ndio chuo chenu tukiwacha wachezaji nyinyi mnabeba alafu mnawaacha Simba nguvu mojaaaaaa

  • @BakariHamisi-ke6zv
    @BakariHamisi-ke6zv 2 месяца назад +2

    nyinyi utopolo mbona mnateseka tulieni kwani nyama zipo chini Simba nguvu mojaaa

  • @daudJuma-or8pp
    @daudJuma-or8pp 2 месяца назад

    Kaaaaa jamn Iv Feisal anakuj simba kwel

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 2 месяца назад +4

    MKIONA HAMPATE VYUER KWA HABARI ZA MATOPOLO MACHOGO FC MSITUUNGANISHE NA HUWO USHAMBA WAO MAFISI FC HAWO

  • @DottoJohn-ku9fq
    @DottoJohn-ku9fq Месяц назад

    Acheni utani Feisal simba

  • @user-dr1qq2mq2x
    @user-dr1qq2mq2x Месяц назад

    Ndio hivo, amkubali kwamba kaja Kwa Simba?

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 2 месяца назад +1

    UPO SAHIHI SANA SEMAJI LA CAF

  • @pambaboniface1199
    @pambaboniface1199 Месяц назад

    Fesail kassjiliwa Mikia ila atcheza Azam.....acheni ujinga ..mbona dusla liko wazi??

  • @Salami-bf6dm
    @Salami-bf6dm Месяц назад

    Munakngea saw na wanasimba wenzangu semeni ukweli

  • @ChaidaAliAmisse
    @ChaidaAliAmisse 2 месяца назад

    Sisi mashabiki tunaumia mama atupati taarifa mzuri kiukweli media inapoteza quality kama fei toto na mayele awajasajiliwa sema Kweli
    Mimi nipo musimbiji mkoa WA Pemba (palma mpakani na mtwara) naumia sana

    • @ChaidaAliAmisse
      @ChaidaAliAmisse 2 месяца назад

      Maana atupati taarifa mzuri kiukweli media inapoteza quality kwa kuweka picha za wachezaji wasio sajiliwa sio powa...
      Boa noite família de simba❤❤❤❤❤

  • @pambaboniface1199
    @pambaboniface1199 Месяц назад

    Makol buana

  • @Christopher-k3k
    @Christopher-k3k Месяц назад

    Asandeekwakumsajili feisali feitoto

  • @fahadysaddy2024
    @fahadysaddy2024 2 месяца назад

    Ahmed ally dah huyu ndio msemajai wa kweli namkubali sana napia naamini huyu ni mnyama hasa ,pambana baba mafanikio yanakuja

  • @daudJuma-or8pp
    @daudJuma-or8pp 2 месяца назад

    🇹🇿👍 4:51

  • @twahakabajemi9716
    @twahakabajemi9716 2 месяца назад

    Mwongo hapo juu yup ibwe anakanusha

  • @GervasDomnik
    @GervasDomnik Месяц назад

    Azizi kii tulia yanga hapana njaa

  • @MUNGUWEJOSEPH
    @MUNGUWEJOSEPH 2 месяца назад +3

    Bro safi

  • @MshamAri-v7g
    @MshamAri-v7g 2 месяца назад

    Unyama mwingi msmu huuuu

  • @GervasDomnik
    @GervasDomnik Месяц назад

    Chama kaweke oil penye ugumu

  • @PaulPeterJoseph
    @PaulPeterJoseph 2 месяца назад

    Kwel

  • @wennybarny168
    @wennybarny168 2 месяца назад +1

    Mayele????😮😮😮😮

  • @KhamisMahmud
    @KhamisMahmud 2 месяца назад

    we kamwandishi umetumwa

  • @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch
    @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch 2 месяца назад

    Semaji tunaomba Kama Fei toto bado hela imekuwa ngumu bx tupitishe hata Harambee tuchangie ili tumlele unyamani ili waumie wale jamaa wanaotuletea ngumu

  • @AlayceLello
    @AlayceLello Месяц назад

    Kweli😅😅

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 2 месяца назад

    Chama amewauniza vichwa sana kama ndoto vile

  • @Mayungasimba-i9j
    @Mayungasimba-i9j 2 месяца назад

    Kwann mnandika tarifa za uwongo kwenye tv yenu, mnasema yuu ya feisali kwenda simba afu, mnauliza mambo ya law, kwann msiwe kama mirad ayo, uwo ushamba,

  • @JonathanMgaiwa
    @JonathanMgaiwa 2 месяца назад

    Hivi hakuna taasisi zinasosimia hizi taasisi fake? Unadanganya watu kwa kuweka heading tofauti na content ili iweje

  • @user-fi6hb3lp5y
    @user-fi6hb3lp5y 2 месяца назад

    Na Kama atasusa lawi wenzie Wala

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu 2 месяца назад

    Broo unajua kuongea maswali ya mtego unapita nayoooooo

  • @user-zv3jb5lk6l
    @user-zv3jb5lk6l 2 месяца назад

    utopoloooo😅

  • @user-rk6jf6zq6d
    @user-rk6jf6zq6d 2 месяца назад +1

    Yaani Katika Swali la Kijinga na muuliza swali Bila Kupepesa Macho Namwita ni Mpumbaav Kauliza Eti Msemaji kwanini Toka Umejiunga na Simba Haijawahi Kuchukua Kombe lolote Zaidi ya Kombe la Mapinduzi Pumbaav Hilo Sio Jukumu la Msemaji Wa Timu Waulize Viongozi Makocha na Wachezaji Shenzi sana muuliza Swali

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 2 месяца назад

    Semaji lacuf nkupenda mtu wakazi

  • @user-dd3nc9py2i
    @user-dd3nc9py2i 2 месяца назад

    Mnaboa nyie kichwa cha habal hakiendan na habari

  • @selemwenda690
    @selemwenda690 2 месяца назад

    Pumbavu nyie wazili wa habali fungia hawa wezi wa mb za watu kichwa cha habali na kilichopo ni tofauti media za uchocholon futeni

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂ata ngao ya jamii ni wamechikua kwa figixu tu