🛑

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 42

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 16 дней назад +2

    Mwamba Simba kweli wamemsajili namkubali sana msimaji wetu

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 16 дней назад +4

    MKIONA HAMPATE VYUER KWA HABARI ZA MATOPOLO MACHOGO FC MSITUUNGANISHE NA HUWO USHAMBA WAO MAFISI FC HAWO

  • @BakariHamisi-ke6zv
    @BakariHamisi-ke6zv 16 дней назад +2

    aaaaaa eti chama chama kwani Simba kumepita wachezaji wazuri wangapi mana unacho kiongea ukinyuhi embu acheni ushamba kwani sisi Simba ndio chuo chenu tukiwacha wachezaji nyinyi mnabeba alafu mnawaacha Simba nguvu mojaaaaaa

  • @BakariHamisi-ke6zv
    @BakariHamisi-ke6zv 16 дней назад +2

    nyinyi utopolo mbona mnateseka tulieni kwani nyama zipo chini Simba nguvu mojaaa

  • @BakariHamisi-ke6zv
    @BakariHamisi-ke6zv 16 дней назад +1

    semaji letu CAF mungu akulinde kwakila jambo naakuondelee marazi

  • @daudJuma-or8pp
    @daudJuma-or8pp 15 дней назад

    Kaaaaa jamn Iv Feisal anakuj simba kwel

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 16 дней назад +1

    UPO SAHIHI SANA SEMAJI LA CAF

  • @pambaboniface1199
    @pambaboniface1199 8 дней назад

    Fesail kassjiliwa Mikia ila atcheza Azam.....acheni ujinga ..mbona dusla liko wazi??

  • @DottoJohn-ku9fq
    @DottoJohn-ku9fq 11 дней назад

    Acheni utani Feisal simba

  • @kelvinjonas-ry6zz
    @kelvinjonas-ry6zz 9 дней назад

    Dua san

  • @Christopher-k3k
    @Christopher-k3k 4 часа назад

    Asandeekwakumsajili feisali feitoto

  • @Salami-bf6dm
    @Salami-bf6dm 12 дней назад

    Munakngea saw na wanasimba wenzangu semeni ukweli

  • @GervasDomnik
    @GervasDomnik 13 дней назад

    Chama kaweke oil penye ugumu

  • @GervasDomnik
    @GervasDomnik 13 дней назад

    Azizi kii tulia yanga hapana njaa

  • @fahadysaddy2024
    @fahadysaddy2024 16 дней назад

    Ahmed ally dah huyu ndio msemajai wa kweli namkubali sana napia naamini huyu ni mnyama hasa ,pambana baba mafanikio yanakuja

  • @twahakabajemi9716
    @twahakabajemi9716 16 дней назад

    Mwongo hapo juu yup ibwe anakanusha

  • @MUNGUWEJOSEPH
    @MUNGUWEJOSEPH 16 дней назад +3

    Bro safi

  • @MshamAri-v7g
    @MshamAri-v7g 16 дней назад

    Unyama mwingi msmu huuuu

  • @ChaidaAliAmisse
    @ChaidaAliAmisse 15 дней назад

    Sisi mashabiki tunaumia mama atupati taarifa mzuri kiukweli media inapoteza quality kama fei toto na mayele awajasajiliwa sema Kweli
    Mimi nipo musimbiji mkoa WA Pemba (palma mpakani na mtwara) naumia sana

    • @ChaidaAliAmisse
      @ChaidaAliAmisse 15 дней назад

      Maana atupati taarifa mzuri kiukweli media inapoteza quality kwa kuweka picha za wachezaji wasio sajiliwa sio powa...
      Boa noite família de simba❤❤❤❤❤

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 16 дней назад

    Chama amewauniza vichwa sana kama ndoto vile

  • @wennybarny168
    @wennybarny168 16 дней назад +1

    Mayele????😮😮😮😮

  • @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch
    @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch 16 дней назад

    Semaji tunaomba Kama Fei toto bado hela imekuwa ngumu bx tupitishe hata Harambee tuchangie ili tumlele unyamani ili waumie wale jamaa wanaotuletea ngumu

  • @AlayceLello
    @AlayceLello 14 дней назад

    Kweli😅😅

  • @KhamisMahmud
    @KhamisMahmud 16 дней назад

    we kamwandishi umetumwa

  • @user-fi6hb3lp5y
    @user-fi6hb3lp5y 16 дней назад

    Na Kama atasusa lawi wenzie Wala

  • @user-rk6jf6zq6d
    @user-rk6jf6zq6d 16 дней назад +1

    Yaani Katika Swali la Kijinga na muuliza swali Bila Kupepesa Macho Namwita ni Mpumbaav Kauliza Eti Msemaji kwanini Toka Umejiunga na Simba Haijawahi Kuchukua Kombe lolote Zaidi ya Kombe la Mapinduzi Pumbaav Hilo Sio Jukumu la Msemaji Wa Timu Waulize Viongozi Makocha na Wachezaji Shenzi sana muuliza Swali

  • @daudJuma-or8pp
    @daudJuma-or8pp 15 дней назад

    🇹🇿👍 4:51

  • @PaulPeterJoseph
    @PaulPeterJoseph 15 дней назад

    Kwel

  • @JonathanMgaiwa
    @JonathanMgaiwa 16 дней назад

    Hivi hakuna taasisi zinasosimia hizi taasisi fake? Unadanganya watu kwa kuweka heading tofauti na content ili iweje

  • @Mayungasimba-i9j
    @Mayungasimba-i9j 15 дней назад

    Kwann mnandika tarifa za uwongo kwenye tv yenu, mnasema yuu ya feisali kwenda simba afu, mnauliza mambo ya law, kwann msiwe kama mirad ayo, uwo ushamba,

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu 16 дней назад

    Broo unajua kuongea maswali ya mtego unapita nayoooooo

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 16 дней назад

    Semaji lacuf nkupenda mtu wakazi

  • @pambaboniface1199
    @pambaboniface1199 9 дней назад

    Makol buana

  • @MarryBrash
    @MarryBrash 16 дней назад +1

    Nyiee mikundu

  • @user-dd3nc9py2i
    @user-dd3nc9py2i 16 дней назад

    Mnaboa nyie kichwa cha habal hakiendan na habari

  • @user-zv3jb5lk6l
    @user-zv3jb5lk6l 16 дней назад

    utopoloooo😅

  • @selemwenda690
    @selemwenda690 16 дней назад

    Pumbavu nyie wazili wa habali fungia hawa wezi wa mb za watu kichwa cha habali na kilichopo ni tofauti media za uchocholon futeni

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 16 дней назад

    😂😂😂😂😂😂ata ngao ya jamii ni wamechikua kwa figixu tu