ALILALA KWENYE JENEZA NA KUOZA KISA UTAJILI FULL STOLI YA KUTISHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 130

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 Год назад +3

    MH nitakufa maskin kaz kweli siwez njia zozote nasubir allah aliponifungulia risk inshaallah

  • @sophiamvungi1425
    @sophiamvungi1425 Год назад +3

    Dada mbona stori yako haieleweki uwongo mwingi unatuchanganya ujue

  • @moraaedinar3135
    @moraaedinar3135 Год назад +5

    Dada, inafurahisha kweli

  • @ogana_M
    @ogana_M Год назад +3

    Huyu dada haeleweki. Mara leo jina lake ni Anna, kesho ni mara neema, kesho kutwa ni shania.Ninahisi hizi ni story tu anazozitunga mwenyewe pamoja na huyu mwanahabari.

    • @alimwadima254
      @alimwadima254 11 месяцев назад

      Kweli kabisaa mm pia naziona Sai wanatafuta attention ya watu Wana Juana yeye na Mwenye Habari...kavuu kweli

  • @AndrewShola-ts5lp
    @AndrewShola-ts5lp Год назад +1

    Kweli Apo kaz

  • @EsterMtafya-hk1mm
    @EsterMtafya-hk1mm 4 месяца назад +1

    Au unaigiza Ili update Hela? Mara Shania mara jurieth majina tofauti lkn sura ni Ile Ile na saut unadanganya sana ww ebu mrudie mungu

  • @lilianakoth6222
    @lilianakoth6222 Год назад +1

    Nimechoshwa na huyu dada simulizi zake ni za kuogopesha,mara kalala na ngombe

  • @redemtamutindi5226
    @redemtamutindi5226 11 месяцев назад +1

    Tanzania mnakuanga na uongo sana

  • @MwanaAbdul-x9r
    @MwanaAbdul-x9r 2 месяца назад

    Muongo uyuuu alishwah kusema kazaa ng'ombe khaah 😮😮

  • @emmavanny927
    @emmavanny927 Год назад +1

    Mpuuzi sana we mdada

  • @FrolijancesAlvin
    @FrolijancesAlvin 5 месяцев назад

    Haya maisha bwana kiwira yetu imekuwa hv kweli dg umezngua mno latifa mh

  • @CalvinLumumba-se5tp
    @CalvinLumumba-se5tp Год назад

    Hta ww ukienda kwa mungu kuomba msama sidhani kama atakusamehe 2ngekua na wa2 kama nyinyi wengi sijui dunia ingekuwa wapy😢😢

  • @rasterjay5512
    @rasterjay5512 Год назад

    Noma sana mtu wangu

  • @roserenatus
    @roserenatus 4 месяца назад

    Jifunze kumuogopa mungu wewe syo vizur kunena maov kias hich

  • @emilywilly2306
    @emilywilly2306 Год назад

    Mhhhhh uongo

  • @modestekapastar4551
    @modestekapastar4551 7 месяцев назад

    Nimuhongo kweli uhu malaya

  • @veronicajustine337
    @veronicajustine337 Год назад +1

    Muongo huyo hiyo mirionimbiri nanusu siwangefanyia bishara harafu amesema mume anakuja nabuku mara miatano warikaa mda gani mpaka kuzipata hizo mirionimbiri

  • @AngelaObedi2
    @AngelaObedi2 Месяц назад

    Ila stori za uyu dada si kweli si yeye uyualisema alifanya mapenzi na ng,mbe

  • @mariachunga2191
    @mariachunga2191 Год назад +3

    Mara ng'ombe mara mganga we mwenyewe kwani Mungu humwogopi?

  • @athmansadiki6341
    @athmansadiki6341 Год назад +3

    Watangazaji muache kuongea sana wakati muhusika anaongea

  • @rebeccaakinyi2942
    @rebeccaakinyi2942 Год назад

    Nauliza km ela ya chakula Ulikuwa shinda Kongo aliendaje jamani mwogope mungu

  • @FaithLuoga
    @FaithLuoga 3 месяца назад

    Hiyo hela wangeanzisha biashara jaman

  • @ElishaFelix-l4j
    @ElishaFelix-l4j Месяц назад

    Alifanya mapenzi na ngo'mbe leo ametunga xtor nyngne mmh

  • @kakandaali1522
    @kakandaali1522 Год назад

    Congo fasi gani

  • @FreddyHassan-hf4gg
    @FreddyHassan-hf4gg 10 месяцев назад

    Apana anah tena wew muongo

  • @muneraalateeq2783
    @muneraalateeq2783 Год назад

    Anna AMA Shania???

  • @JoshuaMwainga
    @JoshuaMwainga Год назад +1

    Mh jaman uyu dada niwakututixha kila kukicha iv haja achika kwel nakama badohaja achika kwahali hi ata achika t

  • @AishaHassan-ri4fz
    @AishaHassan-ri4fz 5 месяцев назад

    Ww niliongo kila story upo

  • @filomenamushi4280
    @filomenamushi4280 Год назад +1

    Weww dada upo sehemu ngap,,?? Using mtupu

  • @rebeccaakinyi2942
    @rebeccaakinyi2942 Год назад

    Acha uongo dd

  • @ruthmoraa-jn6bx
    @ruthmoraa-jn6bx 4 месяца назад

    Juliet,neema,Anna,wewe ni binadamu wa ukweli ama jini? Ushindwe

  • @nassorhamad7555
    @nassorhamad7555 Год назад

    Nyinyi kilindihiki mnajuwa kutudanganya kama watoto

  • @BrianYakhama
    @BrianYakhama 4 дня назад

    Gai mbona uko na story mengi utajuaje n ukweli dada yangu

  • @muneraalateeq2783
    @muneraalateeq2783 Год назад

    Huu dada ana mambo mengiiii!!!

  • @omaryemilibilali1643
    @omaryemilibilali1643 Год назад

    Uyodada anaakili angemua mwenzie Leo anajidai mkasa wakati msaliti

  • @AnnaMgala-n6g
    @AnnaMgala-n6g 8 месяцев назад

    Nyie wote akili dunia sana Sasa izo pesa mlizokua mnnaenda kwa wanganga simngefungua bishara akili amna

  • @metrineokola7730
    @metrineokola7730 Год назад

    Part 2 please story imebamba sana 😜😜

  • @ancillarneema
    @ancillarneema Год назад

    Uyu dada nimuongo mbona kila mahali majina tofaut..mara Anna,mara Juliet mara Neema mara Shani..kwenda uko ukatunge story ingine ulete

  • @zubedasaidi1404
    @zubedasaidi1404 Год назад

    Muogope Mungu sister kila k2 umefanyiwa wewe mbona muongo

  • @marywayuwa5867
    @marywayuwa5867 Год назад

    Uongo yote hio kwani milioni mbili na nusu si mngefungua biashara hiwandeleze kuuza maji Adi milioni mbili na nusu Afu mupelekee ngaga shindwe Ata mngeuwawa uko Amna faida duniani sawa na mashetani😌😌😌

    • @BushurJoel-t4f
      @BushurJoel-t4f 9 месяцев назад

      Mbn sms yako haieleweki dada jifunze kuandika vzr sms isomeke ieleweke nawatu

  • @OmarJuma-u3r
    @OmarJuma-u3r Год назад

    Ww mwanamke muongo sana

  • @omaryteddy535
    @omaryteddy535 Год назад +2

    Wewe si ulilala na ng'ombe

  • @sheilahbarongo3653
    @sheilahbarongo3653 Год назад +4

    Kwani ww umefanya kila kitu...mambo yako n mengi jamani

    • @Co-emze
      @Co-emze Год назад

      Ni uwongo wameedit

  • @tatumwakitwange8369
    @tatumwakitwange8369 Год назад +2

    Wewe biti umepewe mimba na ngombe Sasa tena pesa na funza huo mchezo unaoufanya utajutia

  • @laymzungu6297
    @laymzungu6297 Год назад +1

    Huyu Dada mbona haelewiki

  • @MarymMirugu
    @MarymMirugu 5 месяцев назад +1

    Alilala nangombe

  • @maxwellmseo1380
    @maxwellmseo1380 Год назад +1

    Shania,Jane,ana,kila clip inapingana na nyingine ,duuiuuuuuu

  • @VictorBugobola
    @VictorBugobola 5 месяцев назад

    😂😂😂Bongo kwa Maneno ya kuambiwa😂 mko sawa kumb kiki tu story za kuambiwa mnajikuta zinakuwa zenu

  • @stephenashitiva7074
    @stephenashitiva7074 6 месяцев назад

    Ukitaka uongo plain visit Tanzania or listen to Tanzania 😂😂

  • @puritynyakundi6622
    @puritynyakundi6622 Год назад +2

    Xplus Kuna mchezo mnatufanyia. Binti mmoja ndiye Shania, juliet, Anna... No story to trust here

  • @alialkiyumi9372
    @alialkiyumi9372 9 месяцев назад

    wee unaakili

  • @NadineKitoga
    @NadineKitoga Год назад

    Pôle sana dada

  • @caristakifyasi
    @caristakifyasi Год назад

    We dada huyo mme n ngombe,,,,mbwa au maan hao Ndo unalalaga nao afu unasema unamme ,,,,,mara kuzaa ngombe,,,,,,,,unamatatizo gani wewe

  • @moseseliud4490
    @moseseliud4490 7 месяцев назад

    Jaman huy si anakisa pia Cha kulala na ng'ombe jamn?😢

  • @jumanneshego3308
    @jumanneshego3308 3 месяца назад

    uwongo mtupu

  • @JoshuaMwainga
    @JoshuaMwainga Год назад

    Iv uyu dada anamajina mangap mana kilamkasa anakuja najinalingine

  • @JeanlucSebakungu
    @JeanlucSebakungu 3 месяца назад

    Sasa wewe muenye chanol
    Mbona unamaneno mengi
    Kumzidiya huyo mdada!!!

  • @SadaRajabu-x8j
    @SadaRajabu-x8j 9 месяцев назад

    Jamani mtasababisha tusiwe tunaangalia video za story zakwel kwauwongo wenu nanyie mnaemchkua video hamumjui au mnamlipa

  • @AllyGillar
    @AllyGillar 25 дней назад

    Huyu dada ni uongo sasa stor zote yeye hii haijaisha Katoa nyingine halafu picha zote kama mjamzito na hiyo chanel naona haina cha kutueleza

  • @AimeeRuti
    @AimeeRuti Год назад

    Wewe nitapili kabisa hatukutaki tena

  • @ZaldaM.ramadhani
    @ZaldaM.ramadhani Год назад

    Jaman huyu dada story zako ni zakweli au vp. Make haziishi leo hili kesho lile mmmhhhhhhh😢

  • @zinathjumanne3671
    @zinathjumanne3671 Год назад

    Mbona huyu dada story ni nyingi?mara kalala na mbwa mara ng'ombe mara jini sielew au ni story za kutunga tuu!Aiseee

  • @TatuTatu-f1v
    @TatuTatu-f1v 2 месяца назад

    Akome alipo kwenda pona hajatuarifu sasa anamatatizo yake anajianika sasa anatakaje naale hayo mafuza aloyatafuta zombi

  • @BarackOtieno-v2h
    @BarackOtieno-v2h Год назад +1

    Basi wewe ni mbunifu matukio haya yote umehusika jamani

  • @robertchisina9446
    @robertchisina9446 Год назад

    uwo Sasa usenge uwongo mtupu

  • @IzkiOamn
    @IzkiOamn Год назад

    Leo tena funza kaa yaan ningekuwa na uwezo wa kuwafunga nyie

  • @raismalingumutz8473
    @raismalingumutz8473 Год назад

    Nipe namba yako naitaji pesa

  • @عامرعفير
    @عامرعفير 4 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @جوزيجوزلينا
    @جوزيجوزلينا Год назад

    🤣🤣😂🤔

  • @evachuwa3809
    @evachuwa3809 Год назад +1

    Nimecheka kifara

  • @AffectionateHighway-nh1pw
    @AffectionateHighway-nh1pw 3 месяца назад

    Nambona ? Tz waamisana waganga.

  • @RobinaNaliaka-se2bm
    @RobinaNaliaka-se2bm Год назад

    Mwongoooo uko na story mingi za uongo

  • @Co-emze
    @Co-emze Год назад

    Story zako nayo ni mengi leo ni hii kesho Ni hiii.uwongo bna

  • @GeluadaMbepera-ys5wt
    @GeluadaMbepera-ys5wt 9 месяцев назад

    Tafta pesa acha kudanganya watu

  • @finaflowers7033
    @finaflowers7033 Год назад

    huo ni uongo wakongo hawaongei
    kingereza

  • @mutesiester8000
    @mutesiester8000 Год назад

    We bint unakipaj

  • @FrolijancesAlvin
    @FrolijancesAlvin 5 месяцев назад

    Uongo ni sumu

  • @brojay1121
    @brojay1121 Год назад

    Huyu demu siniyule alitomba na Ng'ombe wacha mchezo

  • @niyomwungere.benigne2408
    @niyomwungere.benigne2408 Год назад

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @zuenajohn8325
    @zuenajohn8325 Год назад

    Mwandishi punguza kuongea sn

  • @lazarojohn9154
    @lazarojohn9154 Год назад

    Hari bandolangutena

  • @zakariyamkhandi5713
    @zakariyamkhandi5713 Год назад

    Hii ni story ya mchongo

  • @aishajuma6706
    @aishajuma6706 Год назад +1

    Mimi hizi story sielewi nizakweli ama

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 Год назад

      Sio za kweli huyu mwanamke ni mshenzi anatumika vibaya, mara kalala na ng'ombe, uko yuko na jina lengine, uku anaitwa Anna!

    • @saleemadhiyabalkhatri7800
      @saleemadhiyabalkhatri7800 Год назад

      Huyu ni malaya tu anahangaika na dunia hajui alifanyalo maskini kaisha hongwa ki elf 10 na media akaseme uongo kazi anabadilisha majina ana Dhani watu wajinga hawamjui yy na mtangazaji wake mashwain

  • @ZainabuKaponda
    @ZainabuKaponda 3 месяца назад

    Muganga huyo yukwap

  • @annesmatemu4264
    @annesmatemu4264 5 месяцев назад

    Miongoni kweli huyu msenge wewe unakosaga ya kuongea mbwa wewe nyau

  • @ZainabuKaponda
    @ZainabuKaponda 3 месяца назад

    Huyo muganga yukwap

  • @loicealuoch
    @loicealuoch Год назад

    Nimechoka na uongo zenu mara amelala na ngombe mara jini mara umbwa kwendeni uko

  • @maulidimpili698
    @maulidimpili698 9 месяцев назад

    Mwandishi tafuta habar za ukwel sio haya maigizo utapoteza wateja wako

    • @NemesKilagula-f1g
      @NemesKilagula-f1g 3 месяца назад

      Kuna vitu ambavyo ni ngumu kuelewa endelea kujufunza au unavokua utakuja jua kweli au la

  • @LucyMasingija
    @LucyMasingija 9 месяцев назад

    huyu dada muongo mala anamimba ya ngwombe

  • @empressolive1117
    @empressolive1117 Год назад

    Clout chaser huyu mwanadada anapenda tuu kuonekana online mara ngombe mara mganga

  • @pamelashayo6384
    @pamelashayo6384 5 месяцев назад

    muongo sana

  • @sikukuudena2929
    @sikukuudena2929 Год назад

    Yy mnasiya sn kwendeni hko

    • @fatimaoman9751
      @fatimaoman9751 Год назад

      Mimi nafikiri huyu mtangazani hana kazi yakufanya kumzikiza huyu dada😂😂😂😂😂😂😂

  • @SULEIMANKISUKI
    @SULEIMANKISUKI 2 месяца назад

    uongooooooooooooo mtupu huo

  • @Brian-fs3uq
    @Brian-fs3uq Год назад

    Hasta sielewi

  • @AngelaObedi2
    @AngelaObedi2 Месяц назад

    Uongo mtupu

  • @chalimaganga1563
    @chalimaganga1563 Год назад +2

    Muongo anatafuta kiki

    • @pamellarmusimbi9752
      @pamellarmusimbi9752 Год назад

      Muongo,sana mara ulila na ngombe mara boy friend wa Kwanza mulisoma pamoja sasa unasema Pia. Ujasoma muongo tesa sana.

  • @رحمةناصر-ج9غ
    @رحمةناصر-ج9غ Год назад

    Muhun tuhyu hanalolote atafuta Kk

  • @maulidimpili698
    @maulidimpili698 9 месяцев назад

    Hiyo story ni ya kufikirika tukianza na kipato Chao cha buku alaf kuja kupata milion 2.5 kwa maisha ya dar sio jamb rahic kwa kaz ya kuuza maji na mwanamke kutafuta ata kama atajiuza bado pesa ni nying sana

  • @AyoubNasoro
    @AyoubNasoro Год назад

    X YOU

  • @foundationministerskisii3107
    @foundationministerskisii3107 Год назад

    Cheating