KISA UTAJIRI NILIISHI NDANI YA JENEZA NIKIWA NIMEKUFA SIKU 7 NA MUME WANGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 31

  • @zainabkesi6910
    @zainabkesi6910 Год назад +3

    Asa mie nashsngaa mnamwambia muongo kwasababu gn au izonjia mnazijuwa maan

  • @kuschprince3216
    @kuschprince3216 4 месяца назад

    " Weeeh! Huyu bint jasiri kweli! Watching from Germany, duuh!! Mtihani huwo! Danke gaal! Uko single au bado uko na huyo bwanalo? Uko poa!!

  • @RahmaIddi-s2s
    @RahmaIddi-s2s 11 дней назад

    Watu kila kukicha..hamuon matukio..au hamsikii mitihan ya watu na tamaaa za kiduniya... Muogopen Mungu enyi waja..tayar mmesha kadiririwa na Mola wenu..mnafanya kufuru tu

  • @SelemaniMkondela-b9d
    @SelemaniMkondela-b9d Год назад +2

    Kazi kaz dd pesa2

  • @MitraInternational-im3sj
    @MitraInternational-im3sj Год назад +2

    Story nzuria mama asante

  • @BushurJoel-t4f
    @BushurJoel-t4f 9 месяцев назад +2

    Huyu dada nimuongo make mwanzo amesema walisafiri kwenda sumbawanga inakuwaje tena aseme waliambiwa waende na jeneza nyumbani asiwaone mtu huu niuongo wa hadhalaniii

  • @NaseMangala
    @NaseMangala 11 месяцев назад +1

    Mtangazaji kuwa serios kwenye kipindi unavyocheka kupitiliza unaharibu interview

  • @bermudatriangle434
    @bermudatriangle434 Год назад +2

    Huu ni uongo mtupu , dada fanya kazi asee na Mungu atakusaidia ww na familia yako

  • @MamaG-r6q
    @MamaG-r6q Год назад +1

    Is sad and funny

  • @kasiyoamissi9327
    @kasiyoamissi9327 9 месяцев назад

    Dada huyo muongo, vip utoke sumbawanga mchana kweupe wasiwaone???🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @PetroMkota
    @PetroMkota 8 месяцев назад

    Mimibola niwemasikin kulikokulala kwenyejeneza😢

  • @AshelyEliphas
    @AshelyEliphas Год назад +2

    Je chakul kwa Hz xiku sab

    • @xplustz
      @xplustz  Год назад

      Alikuwa hali chakula

  • @BushurJoel-t4f
    @BushurJoel-t4f 9 месяцев назад +1

    Af mtangazaji kuwa sirias acha kucheka cheka kama Malaya wa mtaa wafisi af nikama utangazaji umevamia2 cyo kipaji chako ila umesomea2 haikuwa wito wako badil kazi kaka hyo haikufai isee

  • @hamisially-c4x
    @hamisially-c4x Месяц назад

    HILI LITANGAZAJI GANI LINAJICHEKESHATU

  • @AlbertGakiza-b3b
    @AlbertGakiza-b3b 8 месяцев назад

    Nyinyi ni waongo kweli

  • @abdullahalkindi6641
    @abdullahalkindi6641 4 месяца назад

    Uongo mtupu VP mtabeba jeneza huko mlikotoka kwa mganga mpk nyumbani kwenu bila kuonekana uwo uongo Bora ata ungesema mganga katupaka dawa tukawa hatuonekani apo ningeamini ila uwo ni uongo mtupu

  • @gabrielchacha6096
    @gabrielchacha6096 20 дней назад

    Story za kutunga tu hapa hamna kitu,

  • @BabugateGikaro
    @BabugateGikaro 11 месяцев назад

    Hawa raia wantfta ela mtandaoni

  • @elizabethmukeba2528
    @elizabethmukeba2528 5 месяцев назад

    ?mwanangu unanifurahisha we ni askari jesi

  • @abdullahalkindi6641
    @abdullahalkindi6641 4 месяца назад

    Hujui hata kutengeza story ya uongo inayofanana na ukweli yaani ni uongo wa dhahiri uko wazi

  • @rowlandmcharo5437
    @rowlandmcharo5437 Год назад

    Jamani huoo ni uongo mtupuu huyo Dada nafahamu anapoishi mbona hivyo vitu hatukuviona.

  • @PhilisWanyonyi-p3d
    @PhilisWanyonyi-p3d 10 месяцев назад

    Mbona story haikuisha jamani

  • @ElizabethBaby-n9m
    @ElizabethBaby-n9m 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @ElizaMbilizi
    @ElizaMbilizi 9 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂😂🎉

  • @ruthkavai3453
    @ruthkavai3453 11 месяцев назад

    🤔🤔🤔🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mwingwamaina8219
    @mwingwamaina8219 Год назад +1

    Pumbavu zenu mbwa ninyi

  • @RaziaahFatumaah
    @RaziaahFatumaah Год назад

    Ni ukweli dada