Yuko wapi yule mhubir maaruf, nabii, mtabir aje amuone HB wa BASHITE? Acheni Mungu aitwe Mungu jamani. Watu wanapitia. Mungu akutunzie na akukuzie. Akafanyike baraka kwa mataifa na Taifa la Mungu, AMINA.
Mungu asante kumpa makonda uzao na amepewa kama uzao wa ayubu aliporejeshewa ipo siku na mimi nitapata watoto wazuri nikitazama imani yako hakika Mungu anaweza
Kama hana nyota aende agombee ubunge kwao akutane na wajumbe walimuonjesha kidogo kigamboni hivi vyeo vya isani sio kipimo tosha kwamba unakubalika unaweza ukakuta uyu jimboni kwao alikoto ajawai kujenga ata tundu moja la choo
Ktk Mambo yote unayoyafanya mtizame mtoto bado mdogo sana mengine co razima binadamu hawana wema tunakupenda tunatamani uwepo wako mpaka utakapokua raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
Laiti ungejua watu tunavyokuombea uwe rais wetu ungenyenyekea chini ya mkono ulio hodari maana kiukweli amino usiamini wewe ni rais wa miaka inayokuja hifadhi hii utakuja kuhadithia jukwaani kipindi hi ho
Allah akubariki our future President
Nakutabiria na kukuombea makubwa sana ktk uongozi wako
🙏🙏🙏🙏🙏 asantesana mungu umejibu maombi yangu kwauyu mwana waukombozi akikamungu unajibu niliomba sikumoja uweivi napia napenda sikumoja uwe raisi wataifairi ninaimani sana nawewe mkuuu mama samia akukukosea abalikiwe. Katika maishayake🎉🎉🎉🎉
Masha'allah uyu mtoto ni Baba yake mtupu..mngu awatunze ❤❤❤❤❤
Yuko wapi yule mhubir maaruf, nabii, mtabir aje amuone HB wa BASHITE?
Acheni Mungu aitwe Mungu jamani. Watu wanapitia. Mungu akutunzie na akukuzie. Akafanyike baraka kwa mataifa na Taifa la Mungu, AMINA.
Mungu akulinde makonda wewe ni nyota
Makonda my brother Una kakitu flan ndani yako, Mwenyezi Mungu azidi kukutunza
Ana sura nzuri na macho mazuri mashallah
Mkuu wa mkoa wabaadae
@@user-mt4ro9yz5s insha'allah ❣️🙏
Mungu asante kumpa makonda uzao na amepewa kama uzao wa ayubu aliporejeshewa ipo siku na mimi nitapata watoto wazuri nikitazama imani yako hakika Mungu anaweza
Mtu wa kazi Hana mbambamba❤❤❤❤❤❤❤❤
Karibu sana sana, shujaa wa Mungu!!!! Naendelea kukuombea.
GOD BLESS YOU MAKONDA TUNAKUKUBALI WAPENDA HAKI WOTE
Congratulations chief for this big blessing of child. May god bless you and your family in Jesus name Amen 🙏
Mungu akutunzie🙏
Nnakupenda shujaa wetu ww ni kama magufuli ww ni kama Nyerere wwni Polepole nnakukubali Asante Mungu aliyekuleta Arusha
DUh! Dogo kakuwa aisee! KELELE sizisikii Tena! Ooo Hana uzazi siasa duh!
safi sana mzee siku ukifanikiwa kupata uraisi nchi itakua shagwe
Kupitia njia gani ndani ya mto wamamba na msitu wa simba wakari
@@khadjamhozyakama Mungu kapanga itakuwa kama hajapanga haita kuwa .Isijali unaumia ukiwa wap?
zizani Kama wa ccm wanaweza kumpitisha
Hawezi kuwa hata kama atakuwa atachukua miaka miwili madarakani unaijua hii huijuwi😅😅😅@@user-zn9zl4kh1w
Hongera kaka karibu Arusha japo tuko mbali lkn tunakuaminia❤
Mungu akupe ulinzi wake na akutetee,umtumikie vema
Hongera sana mh. Makonda
I have this feeling that Makonda is the next Magufuli atakaye tufikisha nchi ya ahadi!!
Mungu Akutunze sana .
Watu wa AR wanabahati sn ya Mkoa kuongozwa na Mtume. Amekuja kuleta Nuru ,matumaini. Huna Baya Mtume
Raisi wangu wabaadae makonda nakukubali sana
Labda Rais wa kwenu iramba huko
Wamefanana sana
Hongera makonda❤
Kakusika?
Super young man keegan.May God bless u stage by stage
Mungu akupe maisha mlf fanya kazi ❤❤❤❤❤
❤❤
Brother usipuguzi mwendo kazakabisa namugu akubarki
Ma shaa Allah nice ❤❤
Kazuri mashaallah Allah akulindie
Glory be to God hallelujah
Makonda Mungu akulinde miaka yote nakupenda kwa ajili ya alAllha
Mashaallah ❤❤❤
Makonda tunakufwatilia popote utuapo katika majukumu ya kikazi kwaza hongera pili mungu akulinde siku zote katika shughuli zako
MASHALLA WAMEFANANA
Mtoto handsome mashallah, ongeza watoto wengine muheshimiwa.
Kanamfanana mama yake..mnyarwanda wa watu
Mmefanana sana
mnafanana hatari
Wamefanana mno
Mbona leo kavaa magwanda ya kina Mbowe au anataka kwenda kugombea urais kupitia Cdm kama marehemu Lowasa
mefanana hongera baba kwa upendo wakonamtit
Fanana sana hongera sana wanoko hawana pakuanzia
Soon watatoa Remix ya Uongozi 😂😂😂
chadema pure in heart makonda anasema subirini tu niichokonoeee deep sysytem
Jamani kaka yangu wa faida huyoooooo.Mungu akubariki
Like father like son. Naendelea kukuombea sana
mimi nilijua utakuja moro unisaidie kero yangu😢
Mungu akulinde na kizazi chako
Mungu akukuzie mwanao awe kijana mzuri aje akusaidie baadae.
Jamaniii katoto kazurii hadi raha
Umefanana naye sana
Mashaallah kk makonda ❤❤❤❤
Yesu Kristo aendelee kukutunza!
Mnafana Hadi raha❤❤
Copy and past mr makonda mtupu😍😍😍
Kuna mijitu mingine ndani ya CCM inakereka Kwa ajili ya huyu mwamba.Jamaa ana nyota Kali,wanajua kaja kuziba riziki zao.
Kama hana nyota aende agombee ubunge kwao akutane na wajumbe walimuonjesha kidogo kigamboni hivi vyeo vya isani sio kipimo tosha kwamba unakubalika unaweza ukakuta uyu jimboni kwao alikoto ajawai kujenga ata tundu moja la choo
Mungu akukinde 🙏🙏🙏🙏
Huyo goda lazima hatarithi tabia ya ujasili wa baba yake naye atakuwa cammander akikua
Mtoto very handsome ❤
baba hapo umejizaa mwenyewe
❤kamefanana na bb yake,Mashallah kamekuwa mno,
Hongeera sana mkuu wetu
Wamefanana Kweli Kweli Allah awalindeni na vijicho vya husda
Mbona kama magwanda ya Chadema haya? Anyway, may he macho yangu
Ktk Mambo yote unayoyafanya mtizame mtoto bado mdogo sana mengine co razima binadamu hawana wema tunakupenda tunatamani uwepo wako mpaka utakapokua raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
Mh Makonda mwenyezimungu akulinde na hawa mahasidi kwani Watanzania wameshakuelewa .
❤
Walisema mengii juuu ya mkuu ila mtotoo ni baba mtupuu
Kamanda mungu awaongoze
Ubarikiwe kaka
💖
Mmependeza na mtoto wako.
Waooo
Safi sn ❤
Amekuwa jamani loooh!!juzi tu
Sura ya baba
❤❤❤❤❤
Laiti ungejua watu tunavyokuombea uwe rais wetu ungenyenyekea chini ya mkono ulio hodari maana kiukweli amino usiamini wewe ni rais wa miaka inayokuja hifadhi hii utakuja kuhadithia jukwaani kipindi hi ho
Jembe langu huna baya
Toto zuri sana
Wamefanan
😢🎉❤
Kamanda huyoo hongera sana msalimie kamanda mtoto hapo
Anafanana na baba yake mashallaah
May Almighty protect him.... maana Arusha mmmmh
mkuze kwenye nyendo zako🎉
Ulipo moyo wako❤
Asanteeeee
Kaegan❤
Wamefanana kama pesa😊
Hapo ukokataa mungu atakuhukumu
kijana wake poa kabisa kiongozi wetu
Pamoja na chuki za watu makonda ni mfano mzuri wa kuigwa
Ubarikiwe
Kafanana na mtoto wa Gara B
Wakondesheeee waliozoea za bure wanenepe wapenda/watenda haki
❤❤❤
Ndo n
in hicho
Amekuwa juzi tu?
Kafanana na mtoto wake hatar.,hongera Makonda
Wamefanana sana
Wanafanana