MTOTO wa MAKONDA, KAEGAN Ndani ya ARUSHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 апр 2024

Комментарии • 126

  • @tycoon9540
    @tycoon9540 5 дней назад +7

    Allah akubariki our future President
    Nakutabiria na kukuombea makubwa sana ktk uongozi wako

  • @user-br7sf6ey9t
    @user-br7sf6ey9t 22 дня назад +19

    🙏🙏🙏🙏🙏 asantesana mungu umejibu maombi yangu kwauyu mwana waukombozi akikamungu unajibu niliomba sikumoja uweivi napia napenda sikumoja uwe raisi wataifairi ninaimani sana nawewe mkuuu mama samia akukukosea abalikiwe. Katika maishayake🎉🎉🎉🎉

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 19 дней назад +13

    Masha'allah uyu mtoto ni Baba yake mtupu..mngu awatunze ❤❤❤❤❤

  • @happinessmariki7463
    @happinessmariki7463 12 дней назад +6

    Yuko wapi yule mhubir maaruf, nabii, mtabir aje amuone HB wa BASHITE?
    Acheni Mungu aitwe Mungu jamani. Watu wanapitia. Mungu akutunzie na akukuzie. Akafanyike baraka kwa mataifa na Taifa la Mungu, AMINA.

  • @user-bt2it1vw3t
    @user-bt2it1vw3t 13 дней назад +7

    Mungu akulinde makonda wewe ni nyota

  • @kombakomba7922
    @kombakomba7922 День назад

    Makonda my brother Una kakitu flan ndani yako, Mwenyezi Mungu azidi kukutunza

  • @user-jh4hg2ev9s
    @user-jh4hg2ev9s 23 дня назад +8

    Ana sura nzuri na macho mazuri mashallah

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x 17 дней назад +4

    Mungu asante kumpa makonda uzao na amepewa kama uzao wa ayubu aliporejeshewa ipo siku na mimi nitapata watoto wazuri nikitazama imani yako hakika Mungu anaweza

  • @abdulmsuya8542
    @abdulmsuya8542 26 дней назад +7

    Mtu wa kazi Hana mbambamba❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ritakahurananga9866
    @ritakahurananga9866 21 день назад +3

    Karibu sana sana, shujaa wa Mungu!!!! Naendelea kukuombea.

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 21 день назад +2

    GOD BLESS YOU MAKONDA TUNAKUKUBALI WAPENDA HAKI WOTE

  • @JeremiasikilianiJeremiasikilia
    @JeremiasikilianiJeremiasikilia 20 дней назад +3

    Congratulations chief for this big blessing of child. May god bless you and your family in Jesus name Amen 🙏

  • @kiboshokibosho-ou6um
    @kiboshokibosho-ou6um 25 дней назад +13

    Nnakupenda shujaa wetu ww ni kama magufuli ww ni kama Nyerere wwni Polepole nnakukubali Asante Mungu aliyekuleta Arusha

    • @matukutajuma156
      @matukutajuma156 18 дней назад

      DUh! Dogo kakuwa aisee! KELELE sizisikii Tena! Ooo Hana uzazi siasa duh!

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 18 дней назад +13

    safi sana mzee siku ukifanikiwa kupata uraisi nchi itakua shagwe

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 15 дней назад +2

      Kupitia njia gani ndani ya mto wamamba na msitu wa simba wakari

    • @user-zn9zl4kh1w
      @user-zn9zl4kh1w 13 дней назад +1

      ​@@khadjamhozyakama Mungu kapanga itakuwa kama hajapanga haita kuwa .Isijali unaumia ukiwa wap?

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 13 дней назад

      zizani Kama wa ccm wanaweza kumpitisha

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 13 дней назад

      Hawezi kuwa hata kama atakuwa atachukua miaka miwili madarakani unaijua hii huijuwi😅😅😅​@@user-zn9zl4kh1w

  • @user-uj8bl1ux6o
    @user-uj8bl1ux6o 24 дня назад +2

    Hongera kaka karibu Arusha japo tuko mbali lkn tunakuaminia❤

  • @ReyDully
    @ReyDully 2 дня назад

    Mungu akupe ulinzi wake na akutetee,umtumikie vema

  • @user-jf1sq7lk4g
    @user-jf1sq7lk4g 26 дней назад +3

    Hongera sana mh. Makonda

  • @michaeldjunior1023
    @michaeldjunior1023 3 дня назад

    I have this feeling that Makonda is the next Magufuli atakaye tufikisha nchi ya ahadi!!

  • @MaryamMussa-yv1xj
    @MaryamMussa-yv1xj 5 дней назад

    Mungu Akutunze sana .

  • @rehemamkude6766
    @rehemamkude6766 18 дней назад +2

    Watu wa AR wanabahati sn ya Mkoa kuongozwa na Mtume. Amekuja kuleta Nuru ,matumaini. Huna Baya Mtume

  • @MwanahawaJumbe-rb3mf
    @MwanahawaJumbe-rb3mf 24 дня назад +3

    Raisi wangu wabaadae makonda nakukubali sana

  • @user-tj5sn8lq8x
    @user-tj5sn8lq8x 26 дней назад +2

    Wamefanana sana

  • @edithanchimbi2754
    @edithanchimbi2754 25 дней назад +4

    Hongera makonda❤

  • @jogoomohamed2652
    @jogoomohamed2652 17 дней назад

    Super young man keegan.May God bless u stage by stage

  • @edinamwanasenga1584
    @edinamwanasenga1584 22 дня назад

    Mungu akupe maisha mlf fanya kazi ❤❤❤❤❤

  • @user-gc4ic1vi4n
    @user-gc4ic1vi4n 13 дней назад +1

    ❤❤

  • @SylivinusDaud
    @SylivinusDaud 22 дня назад +1

    Brother usipuguzi mwendo kazakabisa namugu akubarki

  • @user-ob9nu5dp1s
    @user-ob9nu5dp1s 14 дней назад

    Ma shaa Allah nice ❤❤

  • @kuruthumcharles626
    @kuruthumcharles626 7 дней назад

    Kazuri mashaallah Allah akulindie

  • @StelaJohn-nj5yf
    @StelaJohn-nj5yf 19 дней назад +1

    Glory be to God hallelujah

  • @user-cg6sq4qy5l
    @user-cg6sq4qy5l 13 дней назад

    Makonda Mungu akulinde miaka yote nakupenda kwa ajili ya alAllha

  • @user-uo3xz4do6l
    @user-uo3xz4do6l 8 дней назад

    Mashaallah ❤❤❤

  • @tupomwanjala6535
    @tupomwanjala6535 13 дней назад

    Makonda tunakufwatilia popote utuapo katika majukumu ya kikazi kwaza hongera pili mungu akulinde siku zote katika shughuli zako

  • @user-ku5hr5nt4q
    @user-ku5hr5nt4q 5 дней назад

    MASHALLA WAMEFANANA

  • @LuluKaale
    @LuluKaale 21 день назад

    Mtoto handsome mashallah, ongeza watoto wengine muheshimiwa.

    • @lelaiddy6856
      @lelaiddy6856 19 дней назад

      Kanamfanana mama yake..mnyarwanda wa watu

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 22 дня назад +1

    Mmefanana sana

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 22 дня назад +1

    mnafanana hatari

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 9 дней назад

    Wamefanana mno

  • @aloycewilliam3581
    @aloycewilliam3581 3 дня назад

    Mbona leo kavaa magwanda ya kina Mbowe au anataka kwenda kugombea urais kupitia Cdm kama marehemu Lowasa

  • @florah-jw9wk
    @florah-jw9wk 24 дня назад +1

    mefanana hongera baba kwa upendo wakonamtit

  • @user-mp4yt7ps5q
    @user-mp4yt7ps5q 10 дней назад

    Fanana sana hongera sana wanoko hawana pakuanzia

  • @DoctorPesandegeMgangaTibAsili
    @DoctorPesandegeMgangaTibAsili 12 дней назад

    Soon watatoa Remix ya Uongozi 😂😂😂

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 22 дня назад

    chadema pure in heart makonda anasema subirini tu niichokonoeee deep sysytem

  • @user-qg7fw7si5i
    @user-qg7fw7si5i 16 дней назад

    Jamani kaka yangu wa faida huyoooooo.Mungu akubariki

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 12 дней назад

    Like father like son. Naendelea kukuombea sana

  • @user-bt2it1vw3t
    @user-bt2it1vw3t 13 дней назад

    mimi nilijua utakuja moro unisaidie kero yangu😢

  • @silviaamos-pl5lk
    @silviaamos-pl5lk 9 дней назад

    Mungu akulinde na kizazi chako

  • @fatmaaliomar9733
    @fatmaaliomar9733 11 дней назад

    Mungu akukuzie mwanao awe kijana mzuri aje akusaidie baadae.

  • @agneslyatuu6349
    @agneslyatuu6349 23 дня назад +1

    Jamaniii katoto kazurii hadi raha

  • @janetymatola6639
    @janetymatola6639 14 дней назад

    Umefanana naye sana

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 22 дня назад

    Mashaallah kk makonda ❤❤❤❤

  • @RoseMayige-gn9qb
    @RoseMayige-gn9qb 15 дней назад

    Yesu Kristo aendelee kukutunza!

  • @user-db1uy6hv9q
    @user-db1uy6hv9q 10 дней назад

    Mnafana Hadi raha❤❤

  • @wemakalama6458
    @wemakalama6458 14 дней назад

    Copy and past mr makonda mtupu😍😍😍

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 24 дня назад +1

    Kuna mijitu mingine ndani ya CCM inakereka Kwa ajili ya huyu mwamba.Jamaa ana nyota Kali,wanajua kaja kuziba riziki zao.

    • @user-ie2sr4fi4k
      @user-ie2sr4fi4k 17 дней назад

      Kama hana nyota aende agombee ubunge kwao akutane na wajumbe walimuonjesha kidogo kigamboni hivi vyeo vya isani sio kipimo tosha kwamba unakubalika unaweza ukakuta uyu jimboni kwao alikoto ajawai kujenga ata tundu moja la choo

  • @user-bo5qp9gz8m
    @user-bo5qp9gz8m 24 дня назад

    Mungu akukinde 🙏🙏🙏🙏

  • @EnockChingula-gw1po
    @EnockChingula-gw1po 20 дней назад

    Huyo goda lazima hatarithi tabia ya ujasili wa baba yake naye atakuwa cammander akikua

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb 11 дней назад

    Mtoto very handsome ❤

  • @OdongoRashid
    @OdongoRashid 14 дней назад

    baba hapo umejizaa mwenyewe

  • @elizabethswai7777
    @elizabethswai7777 21 день назад

    ❤kamefanana na bb yake,Mashallah kamekuwa mno,

  • @MerysolomonLuseko
    @MerysolomonLuseko 10 дней назад

    Hongeera sana mkuu wetu

  • @user-jv1ch4tr8q
    @user-jv1ch4tr8q 13 дней назад

    Wamefanana Kweli Kweli Allah awalindeni na vijicho vya husda

  • @fadhililihinda6491
    @fadhililihinda6491 13 дней назад

    Mbona kama magwanda ya Chadema haya? Anyway, may he macho yangu

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa961 22 дня назад

    Ktk Mambo yote unayoyafanya mtizame mtoto bado mdogo sana mengine co razima binadamu hawana wema tunakupenda tunatamani uwepo wako mpaka utakapokua raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania

  • @basuuronu2551
    @basuuronu2551 15 дней назад

    Mh Makonda mwenyezimungu akulinde na hawa mahasidi kwani Watanzania wameshakuelewa .

  • @janelunanilo162
    @janelunanilo162 14 дней назад

  • @JohnMkwizu-hj1iv
    @JohnMkwizu-hj1iv 13 дней назад

    Walisema mengii juuu ya mkuu ila mtotoo ni baba mtupuu

  • @annasamba9067
    @annasamba9067 11 дней назад

    Kamanda mungu awaongoze

  • @user-sh6ch6ex1h
    @user-sh6ch6ex1h 11 дней назад

    Ubarikiwe kaka

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 12 дней назад

    💖

  • @chekachuma2252
    @chekachuma2252 8 дней назад

    Mmependeza na mtoto wako.

  • @fridafrancis1960
    @fridafrancis1960 14 дней назад

    Waooo

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 15 дней назад

    Safi sn ❤

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 8 дней назад

    Amekuwa jamani loooh!!juzi tu

  • @hemedchuma9-cq4nh
    @hemedchuma9-cq4nh 10 дней назад

    Sura ya baba

  • @user-ef6ts8ro7r
    @user-ef6ts8ro7r 15 дней назад

    ❤❤❤❤❤

  • @floridanassary3676
    @floridanassary3676 15 дней назад

    Laiti ungejua watu tunavyokuombea uwe rais wetu ungenyenyekea chini ya mkono ulio hodari maana kiukweli amino usiamini wewe ni rais wa miaka inayokuja hifadhi hii utakuja kuhadithia jukwaani kipindi hi ho

  • @user-un7fi1qt7o
    @user-un7fi1qt7o 15 дней назад

    Jembe langu huna baya

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 15 дней назад

    Toto zuri sana

  • @DenisMawala
    @DenisMawala 5 дней назад

    Wamefanan

  • @GodfreyIbrahim-hl8gr
    @GodfreyIbrahim-hl8gr 14 дней назад

    😢🎉❤

  • @RukiaMsilu
    @RukiaMsilu 13 дней назад

    Kamanda huyoo hongera sana msalimie kamanda mtoto hapo

  • @SleepyHornbill-lb6xp
    @SleepyHornbill-lb6xp 21 день назад

    Anafanana na baba yake mashallaah

  • @Pendo941
    @Pendo941 15 дней назад

    May Almighty protect him.... maana Arusha mmmmh

  • @edisonkashaija4067
    @edisonkashaija4067 26 дней назад

    mkuze kwenye nyendo zako🎉

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 14 дней назад

    Ulipo moyo wako❤

  • @Ayuminchasi
    @Ayuminchasi 13 дней назад

    Asanteeeee

  • @sanndyberg645
    @sanndyberg645 23 дня назад

    Kaegan❤

  • @floridanassary3676
    @floridanassary3676 15 дней назад

    Wamefanana kama pesa😊

  • @patrickmassawe2864
    @patrickmassawe2864 25 дней назад +1

    Hapo ukokataa mungu atakuhukumu

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 19 дней назад

    kijana wake poa kabisa kiongozi wetu

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 23 дня назад

    Pamoja na chuki za watu makonda ni mfano mzuri wa kuigwa

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 21 день назад

    Ubarikiwe

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 17 дней назад

    Kafanana na mtoto wa Gara B

  • @stanleymanya438
    @stanleymanya438 23 дня назад

    Wakondesheeee waliozoea za bure wanenepe wapenda/watenda haki

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 22 дня назад

    ❤❤❤

  • @MussMakoye
    @MussMakoye 21 день назад

    Ndo n
    in hicho

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 23 дня назад

    Amekuwa juzi tu?

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 26 дней назад +1

    Kafanana na mtoto wake hatar.,hongera Makonda

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 19 дней назад

    Wanafanana