5 - NEEMA YA MUNGU INAVYOKUJULISHA NA KUKUONDOLEA KILICHOKUKWAMISHA || Mwl Christopher Mwakasege.
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Semina ya Neno la Mungu Dar es salaam || DAY 5 || TAREHE 25|2|2024
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
PIA UNAWEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
Nimefurahi kumuona Dr. Ipyana kwenye madhabahu moja na Mwal. Mwakasege -huko juu mbinguni ilikuwa mafuriko ya sifa na utukufu.
God I love you so much ❤️
Mungu atukuzwe kwaajili yako na yetu mwalim pamoja na huduma yote ya mana
Mungu Baba unipatie kibali mimi na familia yangu Amen.
Na mungu azidi kukupa nguvu na kukuongezea miaka ya kuendelea kuwepo dunian
Nabarikiwa sana, namshukuru Mungu sana kwa ajili ya mwalimu Mwakasege 🙏🏽
Asante sana Mwalimu, nmebarikiwa sana kupitia kipindi hiki.
Ni kati ya watumishi wachache ambao kupitia mafundisho yako huwa nnauona uwepo wa Mungu maishani mwangu, Mwenyezi Mungu aendelee kukubariki uendelee kumtumikia kuifikisha Injili takatifu kwa wanadamu! Ubarikiwe sana
Asante mungu kwa kunirejeshea kibali changu ❤
Asante eeh Baba yangu wa mbinguni kwa kunirudishia kibali nilicho kuwa nimepoteza. Amen 🙏
Asante Baba nimebarikiwa sana na Semina hii
Naomba MUNGU anipe neema ya kutumika kama mwalimu mwakasege
Asante Mungu kwa kumtumia mtumishi wako. Napokea katika jina la Yesu. Mungu azidi kukulinda Baba yetu undelee kutulisha neno la uzima. Amina.
Mwl Mimi personal nakukubali from my heart your the real man of God Mungu azidi kukuinua juu sana..
Tangia nikiwa na miaka 9 nakufahamu na sasa Nina thirty..... Yaani uzeeki jamani hiyo Neema ipo ndani Yako ni ya kipekeee sanaa
Mungu naomba kibali nipate KUTEMBEA KATIKA NEEMA yako.
Neema ya Mungu juu ya kibali Cha Ndoa juu yangu
Nimefurahi sana kumuona ipyana waking na mtumishi mwakasege
Kupitia mafundisho haya tunafunguliwa Baba na Mama Mwakasege Mungu awalinde
Kibali changu na familia yangu ikapate kurejeshwa
Watu wanakufurahia sana na amani kubwa sana kwa maisha yako...
Ni ujumbe wa kurudia na kuurudia tena na tena. Hakika ni baraka kubwa kuupata, kuusikiliza na kuuelewa. Glory to God
Mungu nipe neema na kibali cha kuoa.ndio ombi langu.
Mungu naomba kakumbuke mafail yangu, Nipe kibali machoni pako Amina 🙏🙏🙏
Sandenyi. Sana kweli muwaha yakusuma
🎉🎉🎉🎉
Ahsante mwalimu nimebarikiwa na neno la Leo Mungu azidi kukuinua zaidi na zaidi
Huu ujumbe wangu 100% Ee Mungu nisaidie🙏🏾🙏🏾
Ubarikiwe sana mwalimu Mwakasege ila tunaomba neema na kibali uje mtwara
Dr Ipyana nimefurahi kukuona pamoja na baba Mwakasege.
Ameen! Barikiwa mwl Mwakasege kwa huduma ya neno la Mungu.
Amen Yesu atukuzwe karibuni pia manyara
Amen
Ubarikiwe sana mtumishi
Ameen
Haleluyaaaaa 🔥🔥
Asante Mwalimu
Barikiwa sana mwl mwakasege
Jana sikusikilizaa ngoj nisikilizee leo
Day 1
Barikiwa mwalimu na katoro uje
Maombi yenu jaman roho ya uzinzi inanitesa Kila nikijalibu kuiacha nashindwa
Omba tu Mungu nitengeneze kama upendavyo jiambie uzinzi wewe siyo fungu LA maisha yangu mwili wangu ni hekalu LA Roho mtakatifu tu vingine azina nafsi ktk Jina LA Yesu tamka Kila wakati. Kwa Imani
Mlilie BWANA nae ni mwaminifu Sana atakusaidia pia uwe tayari kuanzia moyoni mwako,,
Mpaka hapo umeiabisha hiyo roho sasa haina nguvu kiri kwa imani mimi sifanyi uzinzi sio fungu langu
Kuna group nafundisha neno la Mungu ukitaka nikuunge niambie, Neno linasema nanyi mtaifahamu kweli nayo kweli itakuweka huru mbali na dhambi, msaada wa kukutoa hapo ni kuijua kweli ndugu, na wengine tulikuwa huko huko Mungu ametutoa, ukiwa tayari nitajie namba yako nitakuunga.
❤❤❤
Ili ujue unakibali chabwana juu ya jambo flani itakubidi uombe .sana bla kuchoka alafu mambo mengine roho wabwana ata kusemesha chakufanya ila usije kufanya kwa kuiga au kujaribu jambo linalo husiana namungu muombe yeye mwenyewe
Nitajuaje ninacho kibali plz yeyote anijibu
Vicky sikiliza hili somo tangu siku ya kwanza Hadi ya Tano,,kaa biblia Yako na daftali utaelewa
Nimekujibu hapo mpendwa wa Yesu
Kibali si kinaonekana tu, vile unavyokubalika katika eneo au sekta fulani, ila katika njia za haki, hicho kibali ni cha Mungu, Esta alikuwa mcha Mungu, ukiona unakubalika kwa style hiyo huo ni mpango wa Mungu, ni kutafuta kusudi la Mungu kwanini amekupa hiyo nafasi, hata kuumbwa mzuri tu kama Esta ni kibali hicho, au kipawa kama wanamuziki ni kibali pia, tatizo ni matumizi yake wengi hawampendez Mungu wanatumia vibaya neema hiyo, na wengine wanamtumikia shetan na watu.
Laura Vedasto