5 - NEEMA YA MUNGU INAVYOKUJULISHA NA KUKUONDOLEA KILICHOKUKWAMISHA || Mwl Christopher Mwakasege.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Semina ya Neno la Mungu Dar es salaam || DAY 5 || TAREHE 25|2|2024
    .................................................................................................................
    Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
    M-PESA 0754 211 633
    TIGO-PESA 0715 511 633
    AIRTEL MONEY 0682 657 080
    HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
    PIA UNAWEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
    CRDB BANK
    ACC: 01J2032214400
    JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE

Комментарии • 52

  • @shadrachkamyori9911
    @shadrachkamyori9911 6 месяцев назад +18

    Nimefurahi kumuona Dr. Ipyana kwenye madhabahu moja na Mwal. Mwakasege -huko juu mbinguni ilikuwa mafuriko ya sifa na utukufu.

  • @user-bc4oq2yg6h
    @user-bc4oq2yg6h 2 месяца назад

    God I love you so much ❤️

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 5 месяцев назад +1

    Mungu atukuzwe kwaajili yako na yetu mwalim pamoja na huduma yote ya mana

  • @sophiamkamba3022
    @sophiamkamba3022 5 месяцев назад +1

    Mungu Baba unipatie kibali mimi na familia yangu Amen.

  • @Joylinemakeup
    @Joylinemakeup 6 месяцев назад +7

    Na mungu azidi kukupa nguvu na kukuongezea miaka ya kuendelea kuwepo dunian

  • @doreenminja291
    @doreenminja291 5 месяцев назад +1

    Nabarikiwa sana, namshukuru Mungu sana kwa ajili ya mwalimu Mwakasege 🙏🏽

  • @nicholauselly6110
    @nicholauselly6110 6 месяцев назад +3

    Asante sana Mwalimu, nmebarikiwa sana kupitia kipindi hiki.
    Ni kati ya watumishi wachache ambao kupitia mafundisho yako huwa nnauona uwepo wa Mungu maishani mwangu, Mwenyezi Mungu aendelee kukubariki uendelee kumtumikia kuifikisha Injili takatifu kwa wanadamu! Ubarikiwe sana

  • @user-st1my2se7k
    @user-st1my2se7k 6 месяцев назад +5

    Asante mungu kwa kunirejeshea kibali changu ❤

  • @Joylinemakeup
    @Joylinemakeup 6 месяцев назад +3

    Asante eeh Baba yangu wa mbinguni kwa kunirudishia kibali nilicho kuwa nimepoteza. Amen 🙏

  • @FloraMarwa-vz3ru
    @FloraMarwa-vz3ru 6 месяцев назад +5

    Asante Baba nimebarikiwa sana na Semina hii

  • @TimotheoVitaliano-wf8up
    @TimotheoVitaliano-wf8up 6 месяцев назад +1

    Naomba MUNGU anipe neema ya kutumika kama mwalimu mwakasege

  • @victoriaodhiambo6071
    @victoriaodhiambo6071 6 месяцев назад +1

    Asante Mungu kwa kumtumia mtumishi wako. Napokea katika jina la Yesu. Mungu azidi kukulinda Baba yetu undelee kutulisha neno la uzima. Amina.

  • @user-nw3wc9my7i
    @user-nw3wc9my7i 6 месяцев назад +2

    Mwl Mimi personal nakukubali from my heart your the real man of God Mungu azidi kukuinua juu sana..

  • @farajamwakamyanda3014
    @farajamwakamyanda3014 5 месяцев назад

    Tangia nikiwa na miaka 9 nakufahamu na sasa Nina thirty..... Yaani uzeeki jamani hiyo Neema ipo ndani Yako ni ya kipekeee sanaa

  • @rosepatrick8148
    @rosepatrick8148 6 месяцев назад +1

    Mungu naomba kibali nipate KUTEMBEA KATIKA NEEMA yako.

  • @yustermunga557
    @yustermunga557 4 месяца назад

    Neema ya Mungu juu ya kibali Cha Ndoa juu yangu

  • @user-xc3vk1gz7b
    @user-xc3vk1gz7b 6 месяцев назад +2

    Nimefurahi sana kumuona ipyana waking na mtumishi mwakasege

  • @user-eg8yq7nf2m
    @user-eg8yq7nf2m 6 месяцев назад +4

    Kupitia mafundisho haya tunafunguliwa Baba na Mama Mwakasege Mungu awalinde

  • @laurahvedasto
    @laurahvedasto 6 месяцев назад +3

    Kibali changu na familia yangu ikapate kurejeshwa

  • @DeborahJaphethLaiser-is2ps
    @DeborahJaphethLaiser-is2ps 6 месяцев назад +2

    Watu wanakufurahia sana na amani kubwa sana kwa maisha yako...

  • @zawadipaul304
    @zawadipaul304 6 месяцев назад

    Ni ujumbe wa kurudia na kuurudia tena na tena. Hakika ni baraka kubwa kuupata, kuusikiliza na kuuelewa. Glory to God

  • @gadimbajo
    @gadimbajo 5 месяцев назад

    Mungu nipe neema na kibali cha kuoa.ndio ombi langu.

  • @dinabuyoga8820
    @dinabuyoga8820 6 месяцев назад

    Mungu naomba kakumbuke mafail yangu, Nipe kibali machoni pako Amina 🙏🙏🙏

  • @user-rb2wh5wv9w
    @user-rb2wh5wv9w 6 месяцев назад +2

    Sandenyi. Sana kweli muwaha yakusuma

  • @davidgodfrey1025
    @davidgodfrey1025 5 месяцев назад

    🎉🎉🎉🎉

  • @rebecanjinge8603
    @rebecanjinge8603 6 месяцев назад +2

    Ahsante mwalimu nimebarikiwa na neno la Leo Mungu azidi kukuinua zaidi na zaidi

  • @massabanestory1624
    @massabanestory1624 6 месяцев назад

    Huu ujumbe wangu 100% Ee Mungu nisaidie🙏🏾🙏🏾

  • @user-ee9fm5wl8l
    @user-ee9fm5wl8l 6 месяцев назад +1

    Ubarikiwe sana mwalimu Mwakasege ila tunaomba neema na kibali uje mtwara

  • @doreenminja291
    @doreenminja291 5 месяцев назад

    Dr Ipyana nimefurahi kukuona pamoja na baba Mwakasege.

  • @eddamsalilwa4876
    @eddamsalilwa4876 6 месяцев назад +1

    Ameen! Barikiwa mwl Mwakasege kwa huduma ya neno la Mungu.

  • @user-ws2to1zx4l
    @user-ws2to1zx4l 6 месяцев назад

    Amen Yesu atukuzwe karibuni pia manyara

  • @kessiae2378
    @kessiae2378 6 месяцев назад +1

    Amen

  • @BerthaKasekwa
    @BerthaKasekwa 6 месяцев назад +1

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 6 месяцев назад

    Ameen

  • @hosianamunuo15
    @hosianamunuo15 5 месяцев назад

    Haleluyaaaaa 🔥🔥

  • @samsonisaack5145
    @samsonisaack5145 6 месяцев назад +1

    Asante Mwalimu

  • @lilianmwandibwa9975
    @lilianmwandibwa9975 6 месяцев назад

    Barikiwa sana mwl mwakasege

  • @Joyceisaka
    @Joyceisaka 6 месяцев назад +1

    Jana sikusikilizaa ngoj nisikilizee leo

  • @user-hz5ke8my1e
    @user-hz5ke8my1e 6 месяцев назад

    Day 1

  • @aniluk4588
    @aniluk4588 6 месяцев назад +1

    Barikiwa mwalimu na katoro uje

  • @mayunga..777
    @mayunga..777 6 месяцев назад +1

    Maombi yenu jaman roho ya uzinzi inanitesa Kila nikijalibu kuiacha nashindwa

    • @AnnastaziaJeremiah-ch3vx
      @AnnastaziaJeremiah-ch3vx 6 месяцев назад

      Omba tu Mungu nitengeneze kama upendavyo jiambie uzinzi wewe siyo fungu LA maisha yangu mwili wangu ni hekalu LA Roho mtakatifu tu vingine azina nafsi ktk Jina LA Yesu tamka Kila wakati. Kwa Imani

    • @cupcandymushi9126
      @cupcandymushi9126 6 месяцев назад

      Mlilie BWANA nae ni mwaminifu Sana atakusaidia pia uwe tayari kuanzia moyoni mwako,,

    • @marthermwakyobwe9794
      @marthermwakyobwe9794 6 месяцев назад

      Mpaka hapo umeiabisha hiyo roho sasa haina nguvu kiri kwa imani mimi sifanyi uzinzi sio fungu langu

    • @gadimbajo
      @gadimbajo 5 месяцев назад

      Kuna group nafundisha neno la Mungu ukitaka nikuunge niambie, Neno linasema nanyi mtaifahamu kweli nayo kweli itakuweka huru mbali na dhambi, msaada wa kukutoa hapo ni kuijua kweli ndugu, na wengine tulikuwa huko huko Mungu ametutoa, ukiwa tayari nitajie namba yako nitakuunga.

  • @josephinemtei186
    @josephinemtei186 6 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @user-ow9em1kq8f
    @user-ow9em1kq8f 6 месяцев назад +2

    Ili ujue unakibali chabwana juu ya jambo flani itakubidi uombe .sana bla kuchoka alafu mambo mengine roho wabwana ata kusemesha chakufanya ila usije kufanya kwa kuiga au kujaribu jambo linalo husiana namungu muombe yeye mwenyewe

  • @VickiCharles-hv1iu
    @VickiCharles-hv1iu 6 месяцев назад +1

    Nitajuaje ninacho kibali plz yeyote anijibu

    • @jessicaanania6326
      @jessicaanania6326 6 месяцев назад

      Vicky sikiliza hili somo tangu siku ya kwanza Hadi ya Tano,,kaa biblia Yako na daftali utaelewa

    • @DeborahJaphethLaiser-is2ps
      @DeborahJaphethLaiser-is2ps 6 месяцев назад

      Nimekujibu hapo mpendwa wa Yesu

    • @gadimbajo
      @gadimbajo 5 месяцев назад

      Kibali si kinaonekana tu, vile unavyokubalika katika eneo au sekta fulani, ila katika njia za haki, hicho kibali ni cha Mungu, Esta alikuwa mcha Mungu, ukiona unakubalika kwa style hiyo huo ni mpango wa Mungu, ni kutafuta kusudi la Mungu kwanini amekupa hiyo nafasi, hata kuumbwa mzuri tu kama Esta ni kibali hicho, au kipawa kama wanamuziki ni kibali pia, tatizo ni matumizi yake wengi hawampendez Mungu wanatumia vibaya neema hiyo, na wengine wanamtumikia shetan na watu.

  • @laurahvedasto
    @laurahvedasto 6 месяцев назад +1

    Laura Vedasto