Aliolewa na mwanaume aliyegundua anavutiwa na wanaume wenzie, Pastor Carlos amshauri- Fix You

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Karibu kushiriki ibada kanisa la MANNA TABERNACLE BIBLE CHURCH (MTBC). Kanisa linakutanika Posta mpya mtaa wa kisutu jijini Dar es salaam, Ukumbi wa shule ya msingi Kisutu. Tunakutana kila jumapili kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa 7 mchana. Tunashawishika kukutangazia Maisha yako hayatabaki kama yalivyokuwa.

Комментарии • 30

  • @aisiamkonyi4977
    @aisiamkonyi4977 Год назад

    Mchungaji unanibariki sana kwa mafundisho yako yenye ref kutoka kwenye neno la Mungu

  • @feliskyalo4715
    @feliskyalo4715 Год назад

    Mtumishi wa mungu mungu akubariki na azidi kukuongezea hekima na maarifa ni kwa anjili ya kuwaelimisha wengine.

  • @stevenalex9121
    @stevenalex9121 2 месяца назад

    Haya madini tukiyapata vijana wote hii nchi itakuwa ya kuvutia sana na itakuwa sehemu ya watu kufurahia maisha, Mungu akubariki sana Pastor Kirimbai

  • @webstersinje7712
    @webstersinje7712 Год назад +1

    Mchungaji unatoa madini adimu kwa njia nyepesi mno kifupi unaeleweka na unasaidia wengi....Kunta...Kinte.

  • @sophiaesmarcharo9775
    @sophiaesmarcharo9775 Год назад

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Год назад +2

    ❤Dada Leo mchungaji kanijibu kwanini wenzetu wanatumia siraha ya mwanamke.

  • @christermapunda503
    @christermapunda503 Год назад +1

    Kuhusu kuungana; 1 Cor. 6:16 "Au hamjui yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye?"

  • @florentinafabian3537
    @florentinafabian3537 Год назад +1

    To God be the glory; asantee sana pastor and the host, Mungu awabariki sana nimejifunza mno.

  • @irenenguku7158
    @irenenguku7158 Год назад

    Dada Irene hongera sana Kwa kipindi kizuri chenye mafundisho mazuri..pia huyu Mchungaji kunakitu kazidi kunivusha maana nilikuwa sijui kabisa ...yupo vizuri sana nimejifunza somo Kubwa sana darasa Kubwa sana

  • @marthaarnold1283
    @marthaarnold1283 Год назад +1

    Mungu akubariki sana baba. Mafundisho haya ni adimu katika kanisa na jamii ya leo

  • @BeatriceLyatuu-w8j
    @BeatriceLyatuu-w8j Год назад

    More ages Pastor Carlos MUNGU WA MBINGUNI akubariki mnoo na KUKUPA afya njema MAISHA yako

  • @neemajohn4023
    @neemajohn4023 Год назад

    Ameeen Ameen Ameeen Mchungaji... NITAMFANYIA MSAIDIZI... SIO WASAIDIZI..., 👏👍🙌

  • @Loudlovealways
    @Loudlovealways Год назад

    Full of wisdom Nakupendaaa saana Dingi angu🤍🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽 MY OGAH IS GREATEST OOH🙌🏽🙌🏽

  • @maryamsimai5395
    @maryamsimai5395 Год назад

    Naendelea kujifunza ila nakumbuka kunajana hivo hivo kiongonzi kanisani mwanakwaya mzuri sana lakini aliwambukiza wanakwaya wezake nusu ya kundi hakuishia hapo hadi mama mchangaji nae alimmaliza kwahiyo kwahili mungu aendelee kutupigania wanae😢😢😥

  • @christermapunda503
    @christermapunda503 Год назад

    Mungu akubariki sana mchungaji. Una hazina nyingi. You are so resourceful.

  • @periswayua9927
    @periswayua9927 Год назад

    Nimesaidaka sana asanti sana kwa advice may God bless you so much

  • @fadhillwitiko
    @fadhillwitiko Год назад

    Asante,mwl wangu Kirimbai, to me your my best teacher

  • @estergregory2833
    @estergregory2833 Год назад

    Barikiwa mtumishi wa Mungu unamafundisho ya Roho Mtakatifu

  • @marykalavo9410
    @marykalavo9410 Год назад

    Kuna mahali mtangazi ameshtuka mpaka akasema weeh

  • @oliversanga2681
    @oliversanga2681 Год назад

    Asante kwa darasa zuri.

  • @priscalaiton38
    @priscalaiton38 Год назад

    Pastor aitwe tena❤

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Год назад

    huyu Mch tunaomba siku nyingine aje atupe historia yake licha ya ndoa. yeye kwao ni wapi? walizaliwa wangapi? wito wake alianzaje? tungependa kumfahamu..walikutana na mke wake wapi? jmni vitu kama hivi tungeomba jmni au?

  • @gaylean3912
    @gaylean3912 Год назад

    Neno la hekima na busara.

  • @musakisebengo2939
    @musakisebengo2939 Год назад +1

    Pastor ninaendelea kukufuatilia na kujifunza mengi kupitia wewe....na nakuelewa Sana.