Aliolewa na mwanaume aliyegundua anavutiwa na wanaume wenzie, Pastor Carlos amshauri- Fix You
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- Karibu kushiriki ibada kanisa la MANNA TABERNACLE BIBLE CHURCH (MTBC). Kanisa linakutanika Posta mpya mtaa wa kisutu jijini Dar es salaam, Ukumbi wa shule ya msingi Kisutu. Tunakutana kila jumapili kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa 7 mchana. Tunashawishika kukutangazia Maisha yako hayatabaki kama yalivyokuwa.
Mchungaji unanibariki sana kwa mafundisho yako yenye ref kutoka kwenye neno la Mungu
Mtumishi wa mungu mungu akubariki na azidi kukuongezea hekima na maarifa ni kwa anjili ya kuwaelimisha wengine.
Haya madini tukiyapata vijana wote hii nchi itakuwa ya kuvutia sana na itakuwa sehemu ya watu kufurahia maisha, Mungu akubariki sana Pastor Kirimbai
Mchungaji unatoa madini adimu kwa njia nyepesi mno kifupi unaeleweka na unasaidia wengi....Kunta...Kinte.
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤Dada Leo mchungaji kanijibu kwanini wenzetu wanatumia siraha ya mwanamke.
Kuhusu kuungana; 1 Cor. 6:16 "Au hamjui yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye?"
To God be the glory; asantee sana pastor and the host, Mungu awabariki sana nimejifunza mno.
Dada Irene hongera sana Kwa kipindi kizuri chenye mafundisho mazuri..pia huyu Mchungaji kunakitu kazidi kunivusha maana nilikuwa sijui kabisa ...yupo vizuri sana nimejifunza somo Kubwa sana darasa Kubwa sana
Mungu akubariki sana baba. Mafundisho haya ni adimu katika kanisa na jamii ya leo
More ages Pastor Carlos MUNGU WA MBINGUNI akubariki mnoo na KUKUPA afya njema MAISHA yako
Ameeen Ameen Ameeen Mchungaji... NITAMFANYIA MSAIDIZI... SIO WASAIDIZI..., 👏👍🙌
Full of wisdom Nakupendaaa saana Dingi angu🤍🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽 MY OGAH IS GREATEST OOH🙌🏽🙌🏽
Naendelea kujifunza ila nakumbuka kunajana hivo hivo kiongonzi kanisani mwanakwaya mzuri sana lakini aliwambukiza wanakwaya wezake nusu ya kundi hakuishia hapo hadi mama mchangaji nae alimmaliza kwahiyo kwahili mungu aendelee kutupigania wanae😢😢😥
Mungu akubariki sana mchungaji. Una hazina nyingi. You are so resourceful.
Nimesaidaka sana asanti sana kwa advice may God bless you so much
Asante,mwl wangu Kirimbai, to me your my best teacher
Barikiwa mtumishi wa Mungu unamafundisho ya Roho Mtakatifu
Kuna mahali mtangazi ameshtuka mpaka akasema weeh
Asante kwa darasa zuri.
Pastor aitwe tena❤
huyu Mch tunaomba siku nyingine aje atupe historia yake licha ya ndoa. yeye kwao ni wapi? walizaliwa wangapi? wito wake alianzaje? tungependa kumfahamu..walikutana na mke wake wapi? jmni vitu kama hivi tungeomba jmni au?
Huyu ni mmasai pure...
@@navojosephat656 ivi eh. ila sasa naona kweli amekaa kimasai haswaa..
@@jedidahbintidaudi8241 YES DEAR..Namfahamu aliwahi kuwa mchungaji wangu enzi hizo
@@navojosephat656 oh safi sana
Asantee baba
Neno la hekima na busara.
Namba ya simu
Pastor ninaendelea kukufuatilia na kujifunza mengi kupitia wewe....na nakuelewa Sana.