NEW VIDEO NIMEZIDIWA paschal cassian offiacal

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 127

  • @MichaelNanzala
    @MichaelNanzala 5 месяцев назад +5

    Kwakweli nyimbo zako zainua imani yangu,, god bless 🙏🙏🙏

  • @gib3888
    @gib3888 8 месяцев назад

    mtumishi wa mungu simama tu na mungu hivo usirudi nyuma Wimbo za huwa zinani nipa nguvu may God bless you

  • @davidaligula9081
    @davidaligula9081 21 день назад +1

    Naona kweli mungu wangu kwenye jalibu hili siwezi mungu wangu, naona kweli mungu wangu kwenye vita yangu nimeshindwa bila wewe, nimejaribu kupambanaa eeh mungu wangu nimeshindwa bila wewe, nimetumia akili zangu eeh mungu wangu nimeshindwa bila wewe, jaribu la ndao yangu, limekuwa zito siwezi bila wewe, jaribu la biashara yangu wee limekuwa zito nimeshindwa bila wewe, ķila nikishinda hili mungu nainuka chini unishike mkono wangu wee, nikimaliza kupanda mlima huu wainuka mwingine unishike mkono wangu wee, nimezidiwa nguvu mungu wee!, nisaidie. nimeishiwa nguvu mungu za kuomba, Nitie nguvu, ninazimia rohoni wee mungu, nisaidie,....= Nitie nguuvu mungu wee... nazimiiia roho yangu wee×6 Oooohh nishike mkono mungu, Ooh nishinde vita hivi ×4 Ooh baba....kuna muda mwingine ya kusama mbeele za watu, sina hata dhamani mbele za watu sina mavazi,mmh nimebadishwa jina , naitwa shida mbele za watu, baba ninaona vita mbele kila ninacho fanya haakizai matunda , baba vita yangu vimekuwa kubwa vimenizidia nitie nguvu mungu, mmh nimetumia akili zangu kujitoa hapa nimeshindwa pekee yangu, mmh vita imenizidia eeh mungu wangu njoo nisaidie , vita imenizidia eeh mungu wangu siwezi pekee yangu uuu, nguvu zimeniishia eeh mungu wangu sitashinda pekee yangu ooh, nimezidiwa nguvu wee mungu, nisaidie, ninaishiwa nguvu za kuomba nitie nguvu, ninazimia rohoni wee mungu, nisaidie......= Nitie nguvu mungu wee, nazimia roho yangu wee ×4 Oooh nishike mkono mungu, Oooh nishinde vita hivi. 😂😂😂 Amen,, Kama umebarikiwa weka like na unifatilie@

  • @MGALILAYABillionaire
    @MGALILAYABillionaire 8 месяцев назад +9

    Mungu ndie nguvu yetu na msaidizi wa kila kitu. Bila Yesu hakuna lolote linalowezekana.
    Mungu atutie nguvu tuweze yote kwa uweza wake.
    Ubarikiwe mtumishi kazi njema

  • @amkenikumekucha
    @amkenikumekucha 8 месяцев назад +23

    Haya nimaombi yangu kwa Jehovah Mungu wetu kwa ajili ya wale wote wampendao Jehovah Mungu Baba yetu. Kristo Yesu tutiye nguvu nyakati zinakuwa ngumu😭😭🙏 big up Pascal cassian wetu.
    Tusisahau ku like na ku share na wengine unaeneza injili bila kujuwa please tu share na ku like kwa utukufu wa Mungu Baba yetu.

    • @azizanyiranzeyimana7073
      @azizanyiranzeyimana7073 8 месяцев назад +1

      Yehovah munguwakweli anayekujuwasana ndaninainje na asikiekiliochako .na akupe yaleunayohitaji yamsigi ili uzidikuwa nanguvu yaku pazasauti kuwa ambia watu. Asante

  • @goodluckjackson5564
    @goodluckjackson5564 8 месяцев назад +9

    Nisaidie Mungu wangu

  • @AbbahCostaabbahCostaabbah
    @AbbahCostaabbahCostaabbah 8 месяцев назад +4

    Niliisubili sana hii nyimbo hatimae leo ❤❤❤🎉

    • @amkenikumekucha
      @amkenikumekucha 8 месяцев назад

      Hata nami moyo wangu umetulia sasa.

  • @Miekenya
    @Miekenya 8 месяцев назад +3

    Bila ww mungu mm siwezi nisaidie nishike mkono uniongoze hatuwa zngu ❤ barikiwa sana mtumishi wa mungu kwa wimbo mzuri❤❤❤ 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 tunakupata loud and clear.

  • @lyndambzigha-a5847
    @lyndambzigha-a5847 8 месяцев назад +6

    Please can you always translate you songs in English for your none Swahili fangs?
    I love your music too much and I only enjoy the rhythm and not getting the message that you are transmitting. Please also preach to us through this music by writing the meaning or the message on the screen so we can follow as we watch your music.
    Thank you for such good sounds of praise.

  • @NasraMohamed-u5g
    @NasraMohamed-u5g 4 месяца назад +1

    Hakika nabarikiwa Sana na nyimbo zako, MUNGU akupe Maisha marefu

  • @jovettedenise2591
    @jovettedenise2591 8 месяцев назад +2

    So powerful wimbo muzuli sana Mungu nipe mwoyo mwenye ngufu na sbila❤❤❤🎉🎉🎉🎉 from 🇺🇸🇺🇲🇺🇸🇺🇲🇺🇸

  • @JacksonMogaka-r8v
    @JacksonMogaka-r8v 8 месяцев назад +2

    Moja kati ya watumishi wa mungu wanaonipa furaha kusikiliza nyimbo za mungu barikiwa sana

  • @EstherWangalwa
    @EstherWangalwa Месяц назад

    Aki kweli nyimbo zako zinainua imani yangu bila mungu hatuwezi be blessed man of God.Mungu akwenue kabisaaaa

  • @mhenitv
    @mhenitv 8 месяцев назад +4

    Haleluyaah!!
    Ubarikiwe sana mtumishi kwa wimbo wa kutia na kufariji moyo

  • @jameselizabeth9852
    @jameselizabeth9852 8 месяцев назад +2

    Nimekukubali mtumishi nyimbo imeturia sana iyo

  • @CosmasIddy
    @CosmasIddy 2 месяца назад

    Barikiwa sana Mtumishi wa MUNGU nyimbo zako zaniimalisha kiimani

  • @harmshizomuziki254
    @harmshizomuziki254 8 месяцев назад +2

    Uwa nazikubali sana kazi zako sana aisee kenya ipo nyuma yako 🇰🇪🇰🇪

  • @christinasebastian9546
    @christinasebastian9546 8 месяцев назад +2

    amen amen nitie nguvu nami Mungu wangu univushe kwenye hili pito gumu ninalo pitia🙏

    • @amkenikumekucha
      @amkenikumekucha 8 месяцев назад

      Usijali ndugu yangu yatapita maana niliyo yapitia mwaka 2021,hadi 2023haikuwa rahisi kwangu nilijuwa huu ndio mwisho wangu, kumbe yuko Jehovah Mungu ambaye hakawii wala hachelewi hayo nayo yatapita amini tu, hakuna marefu yasio kuwa må mwisho.

  • @dottizephania2438
    @dottizephania2438 Месяц назад

    Mungu akubariki sana baba maan nyimbo zako Zinanibariki sana

  • @ev_abediespoir490
    @ev_abediespoir490 5 месяцев назад

    Amina!!!!
    Nimezidiwa. Nitie nguvu Mungu.
    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu PASCHAL CASSIAN.

  • @gaspalcharles4865
    @gaspalcharles4865 8 месяцев назад +2

    Muñgu akubariki mtumishi wa Mungu, ni wimbo mzuri wa kutufañya tusongembele ktk nyakati ngumu tukiwa na Kristo. Umenibariki

  • @EstherWangalwa
    @EstherWangalwa Месяц назад

    Wow barikiwa man of God wimbo huu imenifariji sana🎉🎉

  • @PetroLupumbwe
    @PetroLupumbwe 8 месяцев назад +2

    Barikiwa Sana mtumishi Wa Mungu MUNGU akutie nguvu

  • @FamtamAli-vl2wx
    @FamtamAli-vl2wx 5 месяцев назад

    Nakupenda tu my brother ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉 Mungu akuongoze

  • @EstherWangalwa
    @EstherWangalwa Месяц назад

    Mungu akusaidie sana usirudi nyuma unahubirii kupitia wimbo God bless u

  • @Tumainijema-n7p
    @Tumainijema-n7p 8 месяцев назад

    Hii nzuri sana nimeipenda imetulia sana ❤❤❤ like naombeni jamani

  • @eliamtinda7222
    @eliamtinda7222 8 месяцев назад +2

    Much blessings.
    Powerful song.

  • @helenmsokele
    @helenmsokele 8 месяцев назад +2

    MUNGU WANGU BABA YANGU nitie NGUVU Kwenye jaribu hili siwezi MUNGU WANGU 😭😭😭

  • @LucyNdungi-yy3rh
    @LucyNdungi-yy3rh 8 месяцев назад +1

    Oh yes napita kweli menitia moyo song in season I'm passing thr lord help me amen

  • @SamuelMasiye-u6l
    @SamuelMasiye-u6l 8 месяцев назад

    Amen mungu akubaliki sana mtumish nyimbo zako zinanibaliki sana❤

  • @SaraAa-m9r
    @SaraAa-m9r 7 месяцев назад

    Powerful song be blessed bro amen 🙏🙏

  • @PaschalMwabila
    @PaschalMwabila 8 месяцев назад +1

    Ameen mtumish wa mungu Linda Sanaa kusud la mungu lillo ndan mwako ,,,, paschal endlee kuisema kwel . Me naitwa pascal mwabila kutoka shnyinga nafatlia sana nymbo zako naahubr yako

  • @alexalute6712
    @alexalute6712 3 месяца назад

    Furaha Bwana ni nguvu ya watu wake. Barikiwa sana mtumishi PC

  • @linaxkavaya3235
    @linaxkavaya3235 8 месяцев назад

    Powerful song 🙏🙏

  • @DicksonMchapo
    @DicksonMchapo 7 месяцев назад

    🥺🥺🥺 MUNGU wangu
    Shangaza adui zangu naomba unitie nguvu ehee!!
    MUNGU wangu nisiitwe shida Tena babaangu 🙏🙏🙏
    Ni mziki mzuri sana ambao unauponyaji ndani yake
    Kaka pokea baraka Toka Kwa mungu wetu ubarikiwe sana kakaangu

  • @sarahmwakipembe5033
    @sarahmwakipembe5033 7 месяцев назад

    Aaahaaa huu wimbo unanibariki sanaaa Asante mtumishi

  • @bonfaceokanga9452
    @bonfaceokanga9452 8 месяцев назад

    Blessed 🙏 song man of God and God bless you 🙏

  • @KaviraMulumbi
    @KaviraMulumbi 5 месяцев назад

    Mtumishi wa Mungu ubarikiwe Naomba damu ya yesu izidi kukufunika ❤❤🎉🎉🙏🏾🙏🏾

  • @NyarikiDamah
    @NyarikiDamah 8 месяцев назад

    Amina.. 🙏🙏🙏Nimeshindwa bila wewe Mungu wangu nami nionekanie lepo hii n huonekanie watu wako

  • @samsonemmanuelmwakatage8951
    @samsonemmanuelmwakatage8951 8 месяцев назад +1

    Amina Baba angu nisaidie

  • @ChrissHepelwa-q5n
    @ChrissHepelwa-q5n 7 месяцев назад

    Mungu akubarik sana mtumishi watupa sana faraja

  • @RobartLukas
    @RobartLukas 8 месяцев назад

    Huyu mtumishi kwangu ninamba moja♥️♥️♥️

  • @JoshuaRusana
    @JoshuaRusana 2 месяца назад

    Ubarikiwe Sana mtumishi

  • @nicholaswaemmanuel7221
    @nicholaswaemmanuel7221 8 месяцев назад

    HAKIKA NGUVU YETU NI MUNGU TU.. UBARIKIWE SANA MTU WA MUNGU. AMEN.

  • @GossesMwambene-eg8lo
    @GossesMwambene-eg8lo 8 месяцев назад

    Ubarikiwe sana mtumishi , huduma yako izidi kusonga mbele Kwa viwango vya juu zaidi

  • @devidrashidi
    @devidrashidi 8 месяцев назад

    Ameen mungu akutie nguvu katika huduma uliyo nayo

  • @jeffersonmwandima9374
    @jeffersonmwandima9374 7 месяцев назад

    Siwezi peke yangu Mungu

  • @clintonlmakanga
    @clintonlmakanga 8 месяцев назад

    This my situation God nitie nguvu , l sung this song and started crying 😢 😢😢 oooh God bless us all

  • @MONICABURURE
    @MONICABURURE 7 месяцев назад

    Umenibariki Sana ubarikiwe mtumishi was mungu

  • @MeshackChimesela
    @MeshackChimesela 3 месяца назад

    Mungu atakuonekania jipe moyo

  • @FedrisiGeradi-25
    @FedrisiGeradi-25 8 месяцев назад

    Kazi nzuli sana hujawahi kosea umenibaliki wimbo huu

  • @IsaacNgalama-lj6gf
    @IsaacNgalama-lj6gf 8 месяцев назад

    Ubarikiwe mtumishi🎉

  • @SambiKiloma-dj4gm
    @SambiKiloma-dj4gm 8 месяцев назад

    Nakuombea ulinzi wa kimungu kwako mtumishi wa MUNGU maan hapo malaika walioko zamu na wale wasikuwa zamu wakulinde na roho mtakatifu kiongoz na msaidiz awe nawewe daima maan wapo wanaokuchuki ila naamn baba wa yote anakupenda namm pia nakupenda

  • @NANA-xf1ec
    @NANA-xf1ec 8 месяцев назад

    Amen pia ubarikiwe 🙏🙏🙏🙏

  • @ivongailo4600
    @ivongailo4600 24 дня назад

    Wimbo mzuri

  • @Robbymabangoprinting
    @Robbymabangoprinting 8 месяцев назад

    Best song ila kiapo cha damu hatuioni jmn

  • @NamugandikaMeshack
    @NamugandikaMeshack 4 месяца назад

    Njo maana napenda kukufatiliya sana kk ❤

  • @wycliffemuloma9911
    @wycliffemuloma9911 8 месяцев назад

    Amazing job God bless you man of God🎉🎉

  • @ChancyLuhasa
    @ChancyLuhasa 8 месяцев назад

    Unajuaka imba vizuri mtumishi, uko toooop

  • @sarahmwakipembe5033
    @sarahmwakipembe5033 7 месяцев назад

    Mungu so kiziwi Anasikia Mungu akusaidie

  • @aloyceJiles
    @aloyceJiles 8 месяцев назад

    Kazi nzuri sana

  • @JonasShabani
    @JonasShabani 6 месяцев назад

    Amen ubarikiwe mtumish

  • @Visionofeagle9689
    @Visionofeagle9689 8 месяцев назад +2

    Amen Amen Amen

  • @KaviraMulumbi
    @KaviraMulumbi 8 месяцев назад

    Amen amen ubarikiwe mtumishi

  • @GetrudaMnyalu-tt1sy
    @GetrudaMnyalu-tt1sy 7 месяцев назад

    Eee Mungu nisaidie 🙏

  • @jeryniyi3934
    @jeryniyi3934 8 месяцев назад

    Barikiwa sana, Mungu atupe kuishida vita hii

  • @aggybona7658
    @aggybona7658 8 месяцев назад

    AMEN MUNGU nitie nguvu MUNGU nishinde vita hii.

  • @protasdmassawe
    @protasdmassawe 8 месяцев назад

    Mungu akutiye nguvu mtumishi!

  • @lusogo_albert_1
    @lusogo_albert_1 8 месяцев назад

    Mwimbaji na mpiga vyombo wamekutana❤🎉🎉🎉

  • @emmymatigula4870
    @emmymatigula4870 8 месяцев назад

    🙏 🙏
    Very powerful and full of anointing ❤

  • @iweningogoofficial3733
    @iweningogoofficial3733 8 месяцев назад

    swezi Jehovah bila wewe

  • @amanimgoba4139
    @amanimgoba4139 5 месяцев назад

    Ameni Mtumishi wa Mungu

  • @benjaminwafula
    @benjaminwafula 6 месяцев назад

    Ameni papaaa casian BARIKIWA

  • @MasudMwashiwanda
    @MasudMwashiwanda 8 месяцев назад

    Ubalikiwe mtumishi wa Mungu

  • @Chachaamos-lh4xo
    @Chachaamos-lh4xo 8 месяцев назад

    Mungu atakushindia

  • @Reginamueninzuki
    @Reginamueninzuki 2 месяца назад

    God above all barikiwa from knya

  • @joycemughogho3773
    @joycemughogho3773 8 месяцев назад

    Amina mungu akubariki mtumishi wa Mungu

  • @MakaliusNgua-vb5sb
    @MakaliusNgua-vb5sb 8 месяцев назад

    Eee MUNGU majaribu ni mengi ninayo pitia naomba nitie nguvu hakika huu wimbo umenigusa naomba iokoe familia yangu

  • @YamunguYothamu
    @YamunguYothamu 8 месяцев назад

    Barikiwa sana mtumishi wa mungu

  • @GastoMwalyaje
    @GastoMwalyaje 8 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤ kweli naitaji msada wa MUNGU WANGU

  • @MichaelJoashi
    @MichaelJoashi 8 месяцев назад

    Good song

  • @OptimisticMusicalInstrum-mv8mw
    @OptimisticMusicalInstrum-mv8mw 4 месяца назад

    Asante kwa wimbo mziri sana

  • @JulietShamala
    @JulietShamala 7 месяцев назад

    Kweli wewe nimpakwa mafuta wa mungu bro

  • @Djrewreube
    @Djrewreube 8 месяцев назад

    kali tamu kama MUNGU

  • @dusesebaseba1623
    @dusesebaseba1623 8 месяцев назад

    Ubarikiwe sana kwa jina lake yesu 🇲🇿🇲🇿

  • @gggghhhbh5755
    @gggghhhbh5755 8 месяцев назад +1

    Vmungu ndie anayetupingania Kwa kila hali tumtumainie yeye ttuu tutashinda

  • @hongerapatrickmtweve6765
    @hongerapatrickmtweve6765 8 месяцев назад

    Amen, Nitie nguvu Mungu wangu.

  • @AnawayMtumishi
    @AnawayMtumishi 8 месяцев назад

    Ubarikiwe sana

  • @edgarpius9111
    @edgarpius9111 8 месяцев назад

    Very nice

  • @sundimalekwa8391
    @sundimalekwa8391 8 месяцев назад

    Amin , il mtumishi umenenp san

  • @MichaelJoashi
    @MichaelJoashi 8 месяцев назад

    Ubarikiwe mtumishi wa mungu

  • @psttitonakazaelimjema.9562
    @psttitonakazaelimjema.9562 8 месяцев назад

    Ee Mungu wangu siwezi bila wewe..

  • @erickchaula5084
    @erickchaula5084 8 месяцев назад

    God bless you man of God

  • @JanethSanga-hj8kr
    @JanethSanga-hj8kr 8 месяцев назад

    Amina mtumishi

  • @alexlutego7040
    @alexlutego7040 6 месяцев назад

    Kazi yako ni njema mtumishi wa BWANA bado tuna subiri kiapo cha damu na na makanisa ya kuzimu

  • @MwajumaRamadhani-t8w
    @MwajumaRamadhani-t8w 8 месяцев назад

    Uimbaji ndio witowako sio uinjilist

    • @stephennganga4827
      @stephennganga4827 8 месяцев назад +2

      Hapana, yote katika kristo yesu yanawezekana,ako safi kotekote.

    • @SelinaDorcas
      @SelinaDorcas 8 месяцев назад

      Aliitwa akaitika ...maan anamwamini yy anaye mtia nguvu

  • @Pendopasilika
    @Pendopasilika 8 месяцев назад

    Tunapozidiwa na kuishiwa nguvu MUNGU wa mbinguni ukimwomba anatutia nguvu ili tushinde vita iliyo mbele yetu barikiwa mtumishi

  • @jxcandle1451
    @jxcandle1451 8 месяцев назад

    Naamini mtumishi wamungu

  • @DavidMushaga-xj3bf
    @DavidMushaga-xj3bf 8 месяцев назад

    Oh yesu !!!🤦‍♂🤦‍♂🤦‍♂

  • @isakashega6056
    @isakashega6056 8 месяцев назад

    Good job