Wakati wimbo unaanza sikuuelewa ila kadri nilivyo endelea nikagundua sio tu walio tajwa kwenye huu wimbo ndio wenye ujumbe huu, bali ni mimi nawewe tumgeukie MUNGU tuachane na njia zetu zilizo tupotosha
Uzri wako ugopi chochote wewe ni shuja mungu akuzidishie Ujasiri mungu akutumie jeshi la binguni akutumia mukuu wa malayika wa ulizi tuwe mashuja tusiogopee uovu
shetani alidhani kakupata bongo star sarch kumbe BABA wa mbinguni alikuwa anamwambia shetani uliye tu! Hilo ni JASUSI LA MBINGUNI! Hongera sana Mtumishi Cassian ! MUNGU Azidi kukuinua kwenye huduma ya kumtumikia bila woga.
Nakama vile watu walivyowekewa kufa mara moja na baada ya kufa hukumu.waebrania 9-27 ndugu zangu sikieni ujumbe huu baada ya kufa hakuna kutubu muda ndio huu
ruclips.net/video/ngP0wbEmsKw/видео.html AFICHUA SIRI NZITO JINSI MADHABAHU NYINGI ZA MANABII NA MITUME ZILIVYO NA UHUSIANO NA USHIRIKINA. SASA ROHO YAKE INAWINDWA KWA KUTOA SIRI HII, AUGUA MAGONJWA YA AJABU MWILI MZIMA. ASEMA VIDEO HII ITAKUWA UKUMBUSHO HATA MUNGU AKIRUHUSU AFE MUDA HUU MAANA HALI YAKE KIAFYA NI MBAYA KWANI MARA VIPIMO VINAONESHA MOYO WAKE UNA HAMA TOKA KUSHOTO KWENDA KULIA. MAAJABU MENGINE AMEGUNDULIKA HANA FIGO KABISA HALI INAYOMFANYA SUMU KUSAMBAA MWILI MZIMA KILA WIKi ANATAKIWA 300,000/: YA KUTOaa SUMU. ALIKUWA NA MAGARI, NYUMBA ZOTE AMEUZA KUJIUGUZA LAKINI WAPI SASA AWAOMBA MSAADA WATANZANIA DUNIANI WALIPO KUMSAIDIA. ONYO: AWAOMBA WATU WASIRUHUSU KILA MTU KUWASHIKA MIKONO KICHWANI WAKATI WA KUWAOMBEA KWA KAWAIDA TATIZO HUANZIA HAPO. PIGA SIMU HII KWA MSAADA ZAIDI, 0713575718, MUNGU YUPO KAZINI SHETANI PIA YUPO KAZINI APATE WA KUWAPELEKA JEHANAM UWE MAKINI BADALA YA WEWE KUCHUKIA YANAYOSEMWA JUU YA NABII WAKO.
ruclips.net/video/ngP0wbEmsKw/видео.html AFICHUA SIRI NZITO JINSI MADHABAHU NYINGI ZA MANABII NA MITUME ZILIVYO NA UHUSIANO NA USHIRIKINA. SASA ROHO YAKE INAWINDWA KWA KUTOA SIRI HII, AUGUA MAGONJWA YA AJABU MWILI MZIMA. ASEMA VIDEO HII ITAKUWA UKUMBUSHO HATA MUNGU AKIRUHUSU AFE MUDA HUU MAANA HALI YAKE KIAFYA NI MBAYA KWANI MARA VIPIMO VINAONESHA MOYO WAKE UNA HAMA TOKA KUSHOTO KWENDA KULIA. MAAJABU MENGINE AMEGUNDULIKA HANA FIGO KABISA HALI INAYOMFANYA SUMU KUSAMBAA MWILI MZIMA KILA WIKi ANATAKIWA 300,000/: YA KUTOaa SUMU. ALIKUWA NA MAGARI, NYUMBA ZOTE AMEUZA KUJIUGUZA LAKINI WAPI SASA AWAOMBA MSAADA WATANZANIA DUNIANI WALIPO KUMSAIDIA. ONYO: AWAOMBA WATU WASIRUHUSU KILA MTU KUWASHIKA MIKONO KICHWANI WAKATI WA KUWAOMBEA KWA KAWAIDA TATIZO HUANZIA HAPO. PIGA SIMU HII KWA MSAADA ZAIDI, 0713575718, MUNGU YUPO KAZINI SHETANI PIA YUPO KAZINI APATE WA KUWAPELEKA JEHANAM UWE MAKINI BADALA YA WEWE KUCHUKIA YANAYOSEMWA JUU YA NABII WAKO.
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana toka nimekufahamu kwa kufuatilia nyimbo zako na mahubiri yako sijabaki kama awali Mungu amenitoa hatua moja kwenda nyingine kiroho na kimwili
BWANA YESU 😭😭Atusamehe na kutusaidia kiukweli nyimbo hizi zimekua sehemu ya shetani kupitisha uharibifu lakini Ashukuriwe Bwana Yesu mwingi wa huruma kutusaidia hata sisi tusiokua waimbaji lakini tuna sehemu katika huu ujumbe kua twapaswa kumuishi MUNGU haswa katika matendo yetu ya kila siku
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Be blessed alot servant of Almighty Jesus Christ waambie ukweli ......Imani yako ni ya Ukweli haitigizi ni imara
huwa cpendi kuona watu wa jinsia moja wakiwa katika hali hiyo..ctak macho yang yawatazame hata kidogo..na nmeangalia huu wimbo cjajua kuna watu waaina hiyo😢😢😢😢
Roho ananena hapa Walio na masikio wasikio Wenye macho ya kiroho wayaone yaliyo duniani Mungu ameghadhabika na matendo ya binadamu badala Watumie vipaji kumtumikia wanatumikia dunia 😢😢😢😢 Mtumishi Mungu akubariki sana
Mtumishi Cassian endelea kutumika kwa uaminifu na Mungu wa mbiguni atakushindia, wimbo umebeba ujumbe mzito siyo kwa wale waliotajwa kwenye wimbo na wengine pia tubadilike tuache uovu tusimamie maagizo ya Mungu.
Kuna wengine naona wanauza nafsi zao bado kwa ahadi hewa tu ,wenzao wanaomba wangehubiriwa injili ya Kristo mapema wasingie hicho chama na wewe unadanganywa hapo na "ooh utapewa hii ooh utapewa utajiri amka!!!!!!!"
Kama unapenda nyimbo zake )paschal cassian) weka like hapa
Ikumbukwe hata sisi amabao hatujatajwa tunahusika MUNGU ATUSAIDIE NA ATUREHEMU SANA 🙏🙏🙏
❤
Amina
Absolutely Yes
Waliobarikiwa na huu wimbo kama Mimi nione likes zao hapa❤❤❤
ruclips.net/video/b2LOUi_cw4k/видео.htmlsi=EjcmcAtu40Tfj1wN
Woora
Yeah barikiwa mpendwa tuko pamoja❤
@@hermanfrank6727 Amen 🙏🙏
@@gka9147 Amen 🙏🙏
Kama unaamini huu wimbo unaujumbe kamili kutoka kwa mungu kuwaonya wasanii please usipite bila kunipa 👍 like 🙏
❤❤❤❤❤❤❤
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@@josephkaveya4284h
Huuu ujumbe bila loho mtakatifu hauezi toboa ubalikiwe sanaa mtumishi 🙏🙏🙏
Sauti ya mtu aliyae nyikani mwenye hekima na akili ndiye atafahamu maneno ambayo roho wa Mungu ayaambia makanisa.🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Wakati wimbo unaanza sikuuelewa ila kadri nilivyo endelea nikagundua sio tu walio tajwa kwenye huu wimbo ndio wenye ujumbe huu, bali ni mimi nawewe tumgeukie MUNGU tuachane na njia zetu zilizo tupotosha
Kabisa mtu wa Mungu.
amina ubarikiwe
Ni kweli hao ni kama mfano tu ila wote tunahusika
Shetani amewafumba wengi mtu wa Mungu
Uzri wako ugopi chochote wewe ni shuja mungu akuzidishie Ujasiri mungu akutumie jeshi la binguni akutumia mukuu wa malayika wa ulizi tuwe mashuja tusiogopee uovu
Hakika kua Mucha mungu Nikujiripua Nyimbo kubwa sn Barikiwa mtumishi
Mimi naomba nikuulize umejipangaje ndugu yangu, ushauri wangu kwako, Sali saana Mungu akusimamie maana umegusa panapo uma
WANAWEZA KUDHARAU HUU UJUMBE ILA HAKUNA SEHEM WATAPATA TENA
ruclips.net/video/b2LOUi_cw4k/видео.htmlsi=EjcmcAtu40Tfj1wN
Kweli haitajirudia tena
Kabisaa
Kabisa huyu MTU ametumwa na Mungu
Amina
Wapende wasipende Injili wataisikia tu👏😁👏👏🙏
🙏🙏
Asande sana mungu wangu kwa kujibu maombi yangu 🎉🎉🎉❤❤❤ nimefurahi sana kwa kuona godls anaimba Tena 😢 🙏🙏🙏 🎉🎉 kweli mungu alali 😭
shetani alidhani kakupata bongo star sarch kumbe BABA wa mbinguni alikuwa anamwambia shetani uliye tu! Hilo ni JASUSI LA MBINGUNI! Hongera sana Mtumishi Cassian ! MUNGU Azidi kukuinua kwenye huduma ya kumtumikia bila woga.
❤❤❤❤❤❤ I love this gospel.😂😂from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿
Wa Kwanzaa kuiona nyimbo hii ebu mpatien maua yake 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😢🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉@@DaudiHalula
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
barikiwa sana kaka pascali mwanzo nilikuwa sijakuelewa lakina sasa nakuelewa sana mtumishi 🙏🙏
Mpaka nimeogopa nahisi huu mungu atautumia kama fimbo kwetu wote tuliousikia maana unaujumbe mkubwa
❤
Holy spirit is speaking 😢 tusaidie Mungu 🙏
🎉🎉🎉nime ipenda sana hii nyimbo
Hallelujah mtumishi wa Mungu barikiwa sana🎉🎉🎉🎉
Nasikiya kufuta nyimbozangu nibaki tu na huu wimbo❤❤❤❤❤
Nakama vile watu walivyowekewa kufa mara moja na baada ya kufa hukumu.waebrania 9-27 ndugu zangu sikieni ujumbe huu baada ya kufa hakuna kutubu muda ndio huu
Hakika
Amina
ruclips.net/video/ngP0wbEmsKw/видео.html
AFICHUA SIRI NZITO JINSI MADHABAHU NYINGI ZA MANABII NA MITUME ZILIVYO NA UHUSIANO NA USHIRIKINA.
SASA ROHO YAKE INAWINDWA KWA KUTOA SIRI HII, AUGUA MAGONJWA YA AJABU MWILI MZIMA.
ASEMA VIDEO HII ITAKUWA UKUMBUSHO HATA MUNGU AKIRUHUSU AFE MUDA HUU MAANA HALI YAKE KIAFYA NI MBAYA KWANI MARA VIPIMO VINAONESHA MOYO WAKE UNA HAMA TOKA KUSHOTO KWENDA KULIA.
MAAJABU MENGINE AMEGUNDULIKA HANA FIGO KABISA HALI INAYOMFANYA SUMU KUSAMBAA MWILI MZIMA KILA WIKi ANATAKIWA 300,000/: YA KUTOaa SUMU.
ALIKUWA NA MAGARI, NYUMBA ZOTE AMEUZA KUJIUGUZA LAKINI WAPI SASA AWAOMBA MSAADA WATANZANIA DUNIANI WALIPO KUMSAIDIA.
ONYO: AWAOMBA WATU WASIRUHUSU KILA MTU KUWASHIKA MIKONO KICHWANI WAKATI WA KUWAOMBEA KWA KAWAIDA TATIZO HUANZIA HAPO.
PIGA SIMU HII KWA MSAADA ZAIDI, 0713575718, MUNGU YUPO KAZINI SHETANI PIA YUPO KAZINI APATE WA KUWAPELEKA JEHANAM UWE MAKINI BADALA YA WEWE KUCHUKIA YANAYOSEMWA JUU YA NABII WAKO.
ruclips.net/video/ngP0wbEmsKw/видео.html
AFICHUA SIRI NZITO JINSI MADHABAHU NYINGI ZA MANABII NA MITUME ZILIVYO NA UHUSIANO NA USHIRIKINA.
SASA ROHO YAKE INAWINDWA KWA KUTOA SIRI HII, AUGUA MAGONJWA YA AJABU MWILI MZIMA.
ASEMA VIDEO HII ITAKUWA UKUMBUSHO HATA MUNGU AKIRUHUSU AFE MUDA HUU MAANA HALI YAKE KIAFYA NI MBAYA KWANI MARA VIPIMO VINAONESHA MOYO WAKE UNA HAMA TOKA KUSHOTO KWENDA KULIA.
MAAJABU MENGINE AMEGUNDULIKA HANA FIGO KABISA HALI INAYOMFANYA SUMU KUSAMBAA MWILI MZIMA KILA WIKi ANATAKIWA 300,000/: YA KUTOaa SUMU.
ALIKUWA NA MAGARI, NYUMBA ZOTE AMEUZA KUJIUGUZA LAKINI WAPI SASA AWAOMBA MSAADA WATANZANIA DUNIANI WALIPO KUMSAIDIA.
ONYO: AWAOMBA WATU WASIRUHUSU KILA MTU KUWASHIKA MIKONO KICHWANI WAKATI WA KUWAOMBEA KWA KAWAIDA TATIZO HUANZIA HAPO.
PIGA SIMU HII KWA MSAADA ZAIDI, 0713575718, MUNGU YUPO KAZINI SHETANI PIA YUPO KAZINI APATE WA KUWAPELEKA JEHANAM UWE MAKINI BADALA YA WEWE KUCHUKIA YANAYOSEMWA JUU YA NABII WAKO.
Safi sana mungu azidi kukupa ulizi wa damu ya yesu amen
Nime kosa lakusema najikuta naliatu😢😢😢 MUNGU akujaze nguvu saaaana mtu wa MUNGU una kazi kubwa saaana katika Dunia
Mtumishi wa MUNGU sio wanamziki tu hata washabiki wa mpira Wana kera sana badara ya kushabikia injiri ya yesu wako bize na mpira
Sio tu hao waliotajwa, pia na waislam wote ambao awataki kumuamini Yesu Kristo mwana wa Mungu wote watachomwa, ubarikiwe sana.
Hakika hasa uisilam
Kabisa mtumishi
🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Hahahaha waambie kaka, yani tu sema hatujuani
@@BrianChanachayobarikiwa pia mtumishi wa Mungu.
Haujawayi kuniangusha mdogo wangu .nafsi nyingi huku Congo ulishaga zitunza.mungu akubariki sana.
Mungu atusaidiye nasi congo,tunaitaji nasi tukuye na pascal cassian 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mtumishi wa Mungu Nabarikiwa Sana na Nyimbo Zako Mwenyezi Mungu akutie Nguvu
Dunia itachomwa tena
Nimependa hapo ubarikiwe mtumishi wa
MUNGU
Huu ndo ulimwengu inaumizablakini Haina jilinde wewe kama wewe kwenye maisha ya ulimwenguu
Umemaliza hudaiwi, sauti ya Injili imeshawafikia. Kwa hiyo siku ya mwisho ukisema sikujua jibu wanalo.
Mungu wa mbinguni akubariki sana mtumishi wa MUNGU,nakuombea aendelee kukutumia zaidi
Kweli kabisa sio tu kina diamond wote kwa ujumla😢😢😢back to the lord
Maalumu kwa ajili yao
Niembo nzuli lakini tukumbuke judgement ni ya Mungu, kwanju Ata wale wanaimba za Mungu akuna mwenye anajuwa ndani lohoni zabo
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana toka nimekufahamu kwa kufuatilia nyimbo zako na mahubiri yako sijabaki kama awali Mungu amenitoa hatua moja kwenda nyingine kiroho na kimwili
Injili lazima ihubiriwe kwa njia yoyote ile wasije kusema hatukusikia ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Congratulatio paschal cassian jumbe zimefika bila shaka🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mimi nimeuludisha nyuma Mara Mia bado natamani nizidi kuusikiriza mutumishi ubarikiweee sana
Barikiwa soo much mtumishi we love you very much karibu Kenya ❤❤❤❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪God bless you abundantly
Ukweli ni Ukweliii tupu. Waache uchafuu.
BWANA YESU 😭😭Atusamehe na kutusaidia kiukweli nyimbo hizi zimekua sehemu ya shetani kupitisha uharibifu lakini Ashukuriwe Bwana Yesu mwingi wa huruma kutusaidia hata sisi tusiokua waimbaji lakini tuna sehemu katika huu ujumbe kua twapaswa kumuishi MUNGU haswa katika matendo yetu ya kila siku
Mungu akubariki muhibaji mukubwa ume towa muzingo kwawatu wamataifa
Jaman tushare kwawingi hii nyimbo ujumbe wake mzito.tushare watu wapate hii jumbee.
Huyo mwenzio Yuko sawa na mama ake mzazi Tena anampenda kishenzi
Daaah Mungu wangu Naomba utusamehe sote wakosaji🙏
Willy Paul, Bahati Kenya mrudieni Mungu wenu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏
mutumish wabwana Paschal cassian uzid kubakikia kw jumbe nzur kuwakumbusha watu wa Mungu abadir maisha yao amuludie Mwenyez Mungu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kumbe tunao watu wanaojua kuimba nyimbo za dini kama uyu anatisha kweli.
Pastor paschal cassian wimbo wako una upako wa juu sana, unanifundisha mambo mengi, Mungu akutunze kwaajiri ya utukufu ❤❤💚💚⛪️⛪️⛪️🔔🔔🧎🧎🧎🧎♀️🧎♀️🧎♂️
Umenawa mikono yako Mungu awape kibali cha kutubu
Dunia imejisahau,itaangamizwa waliyasifu mapenzi badala ya Mungu.. what's a message is this! Keep it up best gospel music.. MUNGU akubariki
Very strong message to world only the strong in faith underatand this ❤❤❤❤ God foresake us
❤❤❤❤ natamani hao wahusika wasikilize hii nyimbo maana ni zaidi ya ujumbe hata kwangu umenigusa sana
Mungu pekee wa kweli asifiwe kwajina la Kristo wake
Nyimbo hizi zinanitoa hatua moja kunipeleka hatua nyingine kiimani yesu akutunze mtumishi
Hongera kwa ujasiri huo uliouchukuwa kuionya dunia kuhusu Siku za mwisho.
Kweli kabsa tumrudie mungu dada, kaka, mama, babu wote, ni enzi ya mwisho wapendwa mda n sasa
Amen 🙏🙏🙏🙏 nice song love from Zambia ❤❤❤ groly to God 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Be blessed alot servant of Almighty Jesus Christ waambie ukweli ......Imani yako ni ya Ukweli haitigizi ni imara
Tuko wengi Mungu amulinde alipotoka ni mbali hiyo neema niya kila mutu aitafutaye
Ooh Aleluyaaaaa wimbo mzuri sana. Ubalikiwe na Bwana
Ujumbe uwafikie tena kwa mpigo bro🎉🎉🎉
Ni mda wa toba,tutubu jamani dunia inaelekea pabaya 🙏🙏
No kweli.kabisa
Mm nishata mara nyingi sana kwamba yesu amerudi
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu umenawa mikono yako
Wamejisahau kwenye hii dunia utadhani wataishi milele hapa duniani waambie pengine waeza badilika
Hapa Kenya wako wengi
Nyimbo inagusa sanaaa❤❤
🎉 Amina mtumishi kz ya bhana iende mbele juu
huwa cpendi kuona watu wa jinsia moja wakiwa katika hali hiyo..ctak macho yang yawatazame hata kidogo..na nmeangalia huu wimbo cjajua kuna watu waaina hiyo😢😢😢😢
Cassian mungu aendelee kukupa mafunuo mengi tunabalikiwa sana
Wouaw 🎉❤very deep the gospel preached in this song, bless you to the fullest, evangelist
Ubalikiwe mutumishi mungu akubaliki sanakwaujumbehuhu tumebalikiwa
Mungu ainuaye watumishi wake azidi kukuinua Mwinjilisti Paschal.Asante kwa maonyo haya
Paskal mtu wa mungu endelea kupewa mafunuo
Saut ya mungu Sasa imewafikia wale waimbiao mapenz na kusifu pombe😢
Natokwa na machoz ya uchungu kwa ujumbe huu barikiwa mtumishi😢😢
Roho ananena hapa Walio na masikio wasikio Wenye macho ya kiroho wayaone yaliyo duniani Mungu ameghadhabika na matendo ya binadamu badala Watumie vipaji kumtumikia wanatumikia dunia 😢😢😢😢 Mtumishi Mungu akubariki sana
From Kenya I love you very much from 2019 umekua wa kunijenga Imani we hutishiki we ni strong barikiwa zaidi...... Servant of God
Mtumishi Cassian endelea kutumika kwa uaminifu na Mungu wa mbiguni atakushindia, wimbo umebeba ujumbe mzito siyo kwa wale waliotajwa kwenye wimbo na wengine pia tubadilike tuache uovu tusimamie maagizo ya Mungu.
waooooh balikiwa sana mtumishi 👍
Mutumishi wa Mungu nasikiyaga kubarikiwa kupitiya huduma Yako ya nyimbo.ubarikiwe zaidi upande kiwango kingi'e
Wow mko vizuri sana brother's
Amen 🙏🏿 barikiwa kaka yangu nakupenda zidi kutupa nondo za ki Mungu ❤
Unastahili kupewa sifa,Mungu akulinde na maadui karma wetu
Kwakweli MUNGU akulinde sana kamanda maana kwakweli huu naukweli unaumaga siku zote MUNGU akubaliki sanan
Mungu anisamehe tu maana nipo miongon mwa wanaoimbiwa 😭🙏🙏
Mtumishi uzidi kutukumbusha asante sana😢😢
Amina Sana nimebarikiwa kweli Mungu tuteteee tupe mwisho mwema ❤❤❤❤🙏🥰
Kuna wengine naona wanauza nafsi zao bado kwa ahadi hewa tu ,wenzao wanaomba wangehubiriwa injili ya Kristo mapema wasingie hicho chama na wewe unadanganywa hapo na "ooh utapewa hii ooh utapewa utajiri amka!!!!!!!"
Dah kweli nyakati za mwisho MUNGU ana sema na watu wakee😢😢
🇺🇲🇺🇲🇺🇲🇺🇲nimekukubali sana sasaivi wakina diamond wanaolewa na pididy
Mungu azidi kukutumia nchi mbali mbali ili mungu azidi kuinuliwa
Sauti ya Mungu yazidi kubembeleza.
Jamani wahadzabe nikabira nzuri selekali iwasaidie watotowao waende shule wataelimika sana hapowalipofikia nipa, uri selekali iwapeleke TV zasola ❤🙏👍nimefurahisana watangazaji kwmahojiano mzuri 😀😄😁🤭😆
Nyimbo kama hizi za kugusa mtu ndo tunataka,,, wimbo mzuri sana
Nadhani moyoni Mwa Matha lazima awe wazi mbele za Mungu na wanadamu na wanadamu
Yupo Jehova anaona usifiche ukweli
Ubariwe kwakuwakumbusha tunamuona msanii mmoja kwenye kanisa Ra pastor ton
Huu Wimbo unaongelelea watu wote kwa jumla si kina Diamond tu,kila mmoja wetu n jukumu lako kumtukuza mungu
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu kwakutukumbusha Mana Wengi Wetu Tunajisahau Sana. Amen🤝🏼🤝🏼🤝🏼🤝🏼🤝🏼🤝🏼💥