Mwache aende, Utopolo mlimuacha Fesali ambae ni zaidi ya Kibu, jiulizeni Yanga ikoje baada ya kuondoka Fesali, wachezaji wana viburi tumuache Kibu aende anakotaka
Sasa hivi hatutaki kusikia lolote lile,Simba ni timu kubwa sana,labda tiwaulize ninyi mnaoleta kelele je,Kibu mpaka sasa katika ligi anamagolia mangapi?!,ametunyanyua sana kwenye viti bila ya goal lolote😢😢,anakimbilia goal la wapinzani akifika analibutua mpira hovyo hovyo kama siyo professional player. HEBU MTUACHE KIDOGO KWANZA
Kibu usichelewe kwenye Hela nenda.Wewe utaisha Simba itabaki.Alikwepo Mogella,Emmanuel Gabriel,Dua Said,Emmanuel Okwi,Mgossi,Bocco,Kichuwa,Kagera hao wote wametwanga jitu tena wengine njendani.Tumechoka na habari za usajili.Simba timu kubwa,tena wakikutaka mshiko uwe mkubwa!
Broo umenifurahisha sana. Yaani Mimi nasema hata MO akitaka kusepa asepe tu. Yaani ikifika wakati wa usajili utasikia MO kasusa mara aseme timu inamtia hasara. Tena MO akome asirudie kusema Simba inamtia hasara kwani kalazimishwa?? Ni sawa na mtu kuwa na familia halafu unasema familia yako inakutia hasara ati watoto na mkeo wanakula sana. Jikate ishia mbali Simba tutatembeze bakuli na tutapeta tu wakitokea wawekezaji wanaojitambua tutawapa timu. Kila ahadi aliyotoa MO haijatimia. Alisema anajikita kuendeleza miundo mbinu na kuwekeza kwenye Youth team. Nauliza kipi kimetekelezwa. MO wakati wa kusajili anakaa mbali timu usajili wa hovyo ukifanyika baadae anajitokeza na ahadi zake za pre season za Uturuki. Wakati Eng. Hersi anasajili majembe ya nguvu na kuwapeleka pre season AVIC Town Simba tunasajili madunduka halafu tunawapeleka pre season Uturuki!!!
Uko sawa Kibu sio mchezaji potential yeye ni sawa na maji ya bahari kuwa na kujaa leo anaupiga wa kutosha kesho anaudhi ,kwanza amshukuru Mgunda kwa kumtetea vinginevyo alishakuwa juu ya vigogo acha aondoke aende aendako
Tuache ubaguzi wewe kibu kuomba pesa nyingi inakua tatiz lakini chama unaon sawa ndoman africain hatuendelei tunachawiana san tunaon kumsapot mtuvwandani haiwezekn wanje saw
Kwani yeye kasema ni mkubwa kuliko simba jamani wanamtukana bure mtoto wa watu,kwani razima kusaini mkataba,kama hafai sasa unalia nini we shabiki andazi
Wewee acha zako, kibu anatafuta rizki hakuja hapo kulelewa wala kuchanganya mtu, hata wewe timu sio ya baba yako, wacha kumsimanga kijana, nyinyi wenyewe hamjitambui kuanzia raisi wenu wa heshima mpaka mashabiki wote ovyo tu, hebu jitafuteni jamani
kiukweli wanaotaka kwenda waende tumechoka heri tubaki na kasha tu kuliko kubaki na mamluki, kama aliemtengeneza kibu kaondoka sasa ht alietengenezwa nani bwana asepe
Uko sawa mkono simba kubwa kuliko kibu kibu ye nan Sisi hao ote hatuwependi tunapenda Tim akafie mbele
Mwache aende, Utopolo mlimuacha Fesali ambae ni zaidi ya Kibu, jiulizeni Yanga ikoje baada ya kuondoka Fesali, wachezaji wana viburi tumuache Kibu aende anakotaka
Sasa hivi hatutaki kusikia lolote lile,Simba ni timu kubwa sana,labda tiwaulize ninyi mnaoleta kelele je,Kibu mpaka sasa katika ligi anamagolia mangapi?!,ametunyanyua sana kwenye viti bila ya goal lolote😢😢,anakimbilia goal la wapinzani akifika analibutua mpira hovyo hovyo kama siyo professional player.
HEBU MTUACHE KIDOGO KWANZA
Hakuna kubembeleza mchezaji atakae aende jina la simba ni kubwa
Mm naomba wachezaji wote ambao wanataka kuondoka waondoke kwa hiari ..tena iitishwe rocall waondoke wote tuanze upya
Ndugu yangu Asante sana
Upo sahihi bro hata team team nzimaa wakitaka kutoka watoke waende wana kwenda Simba ni kubwa kuliko mtu yoyote
Saafii sana aendee tu huyo kibu
Kaka roja mkono umetembea vizuri sana
Kibu usichelewe kwenye Hela nenda.Wewe utaisha Simba itabaki.Alikwepo Mogella,Emmanuel Gabriel,Dua Said,Emmanuel Okwi,Mgossi,Bocco,Kichuwa,Kagera hao wote wametwanga jitu tena wengine njendani.Tumechoka na habari za usajili.Simba timu kubwa,tena wakikutaka mshiko uwe mkubwa!
Broo umenifurahisha sana. Yaani Mimi nasema hata MO akitaka kusepa asepe tu. Yaani ikifika wakati wa usajili utasikia MO kasusa mara aseme timu inamtia hasara.
Tena MO akome asirudie kusema Simba inamtia hasara kwani kalazimishwa?? Ni sawa na mtu kuwa na familia halafu unasema familia yako inakutia hasara ati watoto na mkeo wanakula sana. Jikate ishia mbali Simba tutatembeze bakuli na tutapeta tu wakitokea wawekezaji wanaojitambua tutawapa timu. Kila ahadi aliyotoa MO haijatimia. Alisema anajikita kuendeleza miundo mbinu na kuwekeza kwenye Youth team. Nauliza kipi kimetekelezwa. MO wakati wa kusajili anakaa mbali timu usajili wa hovyo ukifanyika baadae anajitokeza na ahadi zake za pre season za Uturuki.
Wakati Eng. Hersi anasajili majembe ya nguvu na kuwapeleka pre season AVIC Town Simba tunasajili madunduka halafu tunawapeleka pre season Uturuki!!!
Hujacheka kama mimi
Aedeeeee. Simba itakuwepo na itaendelea kuwepo
Uko sawa Kibu sio mchezaji potential yeye ni sawa na maji ya bahari kuwa na kujaa leo anaupiga wa kutosha kesho anaudhi ,kwanza amshukuru Mgunda kwa kumtetea vinginevyo alishakuwa juu ya vigogo acha aondoke aende aendako
Kweri acha aeendeee
Mimi ni Simba Kibu Aondoke hata Sasa hivi , Poor quality control aende.
good kaka uko vizuri ❤🎉
Warudishe kwenye historia. Akina Haidari Abeid walivyotusaliti miaka ya 70 . Jee, Simba imekufa.
Kweli
ALIVYO MFUNGA DIARA, Mlimjua kibu nan , leo kibu humjui, da kweli shabiki ni maandazi sna, kama huyu jamaa😂😂
Acha aende tena aende kwa aman
For sure
Kibu Ana nguvu tu ya kukokota mpira Ila akili ya mpira Kama winga Hana Ni hewa pale
Uko pamoja nami.
Kwani ana magoli mangapi ana sisiti ngapi aondoke anakimbiakimbia ovyo hana msaada wowote
Kibu hana chochote alichofanya kwa simba, kupokea pass shida, kutoa pass shida, kukaba tabu, kazi kuanguka tu!
Yaaa aendetu kwanianagori ngap
Muulize mamaako anagoli ngapi
@@rukiamkwayo6302 mmmmm
aondoke tu nguvu nyingi maarifa hamna
Mchane ukweli unaacha saido andok tuu
Ni kweli aondoke madoa madoa ya nn ndani ya simba waondoke kwanza damu changa zipo pale hazichezi mnang,ang,ania wachezaji hao hao na wengine wapo
kibu kama analeta kibuli wamache aende namchezaji kamaanalinga wakimube mbeleza xanando atawaxu mbuwa xanaata kuwaana linga linga
Kweli ndugu unafaa sn tushavurugwa anaetaka kwenda aende
Kibu aondoke tena, chapu
Sawa sawa pa1
Kweli kabisa upo sahihi nimependa hio imeenda
Mkono kama mkono⚽️kweli kabisa
Simba kwanza mchezaji baadaye
Wewe ukovizuri ndg yangu.
Tukiwataja makocha wa Simba, tafadhali tusimsahau Paul West Gwivaha. Bado nadhani hajafikiwa
Smart
Aende tu
Yes hakuna kubembekeza ndo kichapo kila .mechi
Kibu aondokd Tena haraka sema kweli
Walikuwa wanashangilia Mayele kuondoka Yanga, zamu yenu Makolo😊😊😊😊
Mayele alipokua Yanga huwezi kumfananisha na Kibu, Mayele ameitendea haki Yanga na kuwa Mfungaji bora, Kibu Simba amefanya nn?
Live
Jamaaa
Kibu aende tu.Milioni mia tano ndefu sana.Aende tu
Pamoja
Rojasi mkono
Anajiona bora ndomana anaringa anataka kuongezwa mshahara😂😂😂
Kibu ana Lana tena aondokeke kwanza sio mtanzania aondoke hata leo tokaaaaaaaaaaaaaaàà
Mimi mpenzi wa Yanga..hata mimi namkataa Kibu Denis siyo chombo ana gundu mechi 22 goli moja 😂😂😂😂
Uchukwe tuu kb🤓
Ni kweli kaka aondoke kibu
Mbona umechanganyikiwa sana haumezimate kaka nakwa Fesali mlikuanastori nyingii zamuimefika BADO Azam
Hela kusajiri mchezaji yeyote tunayo wao waondoke tuu,tunatengeneza timu mpya
Tuache ubaguzi wewe kibu kuomba pesa nyingi inakua tatiz lakini chama unaon sawa ndoman africain hatuendelei tunachawiana san tunaon kumsapot mtuvwandani haiwezekn wanje saw
Hata mpira wake wa kubaatisha
Kijana nakukubali sana hawa wachezaji ndio wanaisaliti simba waende tu
Hii fukuto lote liliaza kwa mkono ,,fact
Kwani yeye kasema ni mkubwa kuliko simba jamani wanamtukana bure mtoto wa watu,kwani razima kusaini mkataba,kama hafai sasa unalia nini we shabiki andazi
Kamammemchokauta his sisi tutumie mpaka mifupa sisi ndooyanga Africa haaa
Uko sw sn mkono ukweli mtupu huo,....tusiwambembeleze mtu ajuwe wajibu wake yeye mwenyewe
Aendezake uko
Aende pumbavu kabisaaaaaaa kaka uko SAWA kabisaaaaaaa
Bado ujasema mpaka useme
Xakho na banda ,,nawamis sana
Sawa mechi gani kibu kaiokoa kupata pointi tatu?
yaan mda huu kibu aondoke amejitekenya awashwe tu
Kibu kawasaidia kutofungwa goli nyingi kwa kukaba hamuoni umuhimu wake
Sasa kama hafai wamwache
Kibu milioni 600 anataka kwa uchezaji gn sas acha aende hawezi kw na thamani ya hy hela bhn
WAONDOKE HAO WACHEZAJI WAZEEE, TUMECHOKA NAO WAENDE TU UTOPOLO
Aende amna kuongea nae yy nanii
MTAJIKATAA BAADAE MGUNDA NAYE MZEE WA KAMATI.MUMTOE NAE MATOLA BONGE LA GWIJI
PUNGUZA JAZBA DOGO.MMEFELI SEKTA ZOTE GUNDU LINAMUANGUKIA KIBU.KWELI MMEVURUGWA
Wewe msemaji akilihuna kibu anasaidia timu uwanjani wewe unaisaidianini simba siumachogadomotu mjinga
Kolo bana hawaeleweki
Mlivyokuwa mnashupalia suala la feysal
Kweli MAKOLO watani MMEVURUGWA.....🤣🤣🤣...🖐️✌️
Na haikuhusu wew maku
@@danielchamoto9376 ....🤣🤣🤣, KOLO hilooo...🖐️✌️
Kibu aondoke mambo yakubembeleza mchezaji ndio aya yanatukuta kibu aondoke.
Upo vizuli aende mbona fei alienda aende makolo tuwange 9
Had upasuke
Ww acha ufala mchezaji amefanya nn mpaka mseme kuma ww
Simba hatujabeba kombe kweli
Wewee acha zako, kibu anatafuta rizki hakuja hapo kulelewa wala kuchanganya mtu, hata wewe timu sio ya baba yako, wacha kumsimanga kijana, nyinyi wenyewe hamjitambui kuanzia raisi wenu wa heshima mpaka mashabiki wote ovyo tu, hebu jitafuteni jamani
kiukweli wanaotaka kwenda waende tumechoka heri tubaki na kasha tu kuliko kubaki na mamluki, kama aliemtengeneza kibu kaondoka sasa ht alietengenezwa nani bwana asepe
Mwamba Yuko sahihi kabisa anajua
Eti leo kibu mnamzarau dah..ngoja akiwashe sasa mtaanza kuongea kama mnavyoongea kuhusu kina baleke
Msenge kweli wewe mbona humwambii babaako aondoke nyumban kwenu? Boya wewe
Gerald gwarara mgunda uyooo
Ngoja aje awafunge ndani nje.
mbona tuliwaacha wakichama namikixoni lakini ximba ilibaki inafanya vizuli
Acheni upuzi kibu anapambana beki zenu ndio chekeche harafu uongozi wenu mabepari nahuyu msemaji wenu anawaropokea vitu ambavo havipo
Uraia tumpe sisi, kisha atusumbue?
Agende hanalolote guruwetuilo
Mbona tailaaaa Japan
😅😅😅😅😅😅😅😅😅 tushavurugwa
😂😂😂😂wambie aooo
Tulia Kibu tulia tulia tulia
Kwani huyu ninani mbona tahila
Ayo yanaitwa maneno ya mkosaji kibu d uyooo kwa wananchi
😂😂😂😂
Mh kz ipo
Acha Hasira wee boya Kibu ndio no one Simba
Ayo.maneno.nimkosaji.kwaju.amekata.kuongeza.mkataba.maneno.yanakuwa.mengi.hamna.viongozi.acawacezaji.wamecoka.
Kwahiyo unataka tukampigie magoti au
Siyo yeye tu at kama Kuna MWINGINE rughusa tunaipenda Simba yetu,
Wewe yanga unawatiandimu wenzako