MKONO AMPASUA KIBU DENIS|TUMEKULEA USITUSUMBUE NENDA UNAKOTAKA SIMBA HATUKUBEMBELEZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • KWA HABARI NA MATANGAZO
    TUPIGIE SASA
    0753393036 CALL
    0625466848 WHATSAPP

Комментарии • 120

  • @MauwaGambo
    @MauwaGambo 4 месяца назад +3

    Uko sawa mkono simba kubwa kuliko kibu kibu ye nan Sisi hao ote hatuwependi tunapenda Tim akafie mbele

  • @monicajohn9672
    @monicajohn9672 4 месяца назад +2

    Mwache aende, Utopolo mlimuacha Fesali ambae ni zaidi ya Kibu, jiulizeni Yanga ikoje baada ya kuondoka Fesali, wachezaji wana viburi tumuache Kibu aende anakotaka

  • @brightonchedego8100
    @brightonchedego8100 4 месяца назад +2

    Sasa hivi hatutaki kusikia lolote lile,Simba ni timu kubwa sana,labda tiwaulize ninyi mnaoleta kelele je,Kibu mpaka sasa katika ligi anamagolia mangapi?!,ametunyanyua sana kwenye viti bila ya goal lolote😢😢,anakimbilia goal la wapinzani akifika analibutua mpira hovyo hovyo kama siyo professional player.
    HEBU MTUACHE KIDOGO KWANZA

  • @omarswaleh6082
    @omarswaleh6082 4 месяца назад +2

    Hakuna kubembeleza mchezaji atakae aende jina la simba ni kubwa

  • @shilladickson3852
    @shilladickson3852 4 месяца назад +3

    Mm naomba wachezaji wote ambao wanataka kuondoka waondoke kwa hiari ..tena iitishwe rocall waondoke wote tuanze upya

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 4 месяца назад +1

    Upo sahihi bro hata team team nzimaa wakitaka kutoka watoke waende wana kwenda Simba ni kubwa kuliko mtu yoyote

  • @mcharodavis2182
    @mcharodavis2182 4 месяца назад +4

    Saafii sana aendee tu huyo kibu

  • @FadhiliAthuman-yx7rm
    @FadhiliAthuman-yx7rm 4 месяца назад +1

    Kaka roja mkono umetembea vizuri sana

  • @geraldbagole4494
    @geraldbagole4494 4 месяца назад

    Kibu usichelewe kwenye Hela nenda.Wewe utaisha Simba itabaki.Alikwepo Mogella,Emmanuel Gabriel,Dua Said,Emmanuel Okwi,Mgossi,Bocco,Kichuwa,Kagera hao wote wametwanga jitu tena wengine njendani.Tumechoka na habari za usajili.Simba timu kubwa,tena wakikutaka mshiko uwe mkubwa!

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 4 месяца назад +2

    Broo umenifurahisha sana. Yaani Mimi nasema hata MO akitaka kusepa asepe tu. Yaani ikifika wakati wa usajili utasikia MO kasusa mara aseme timu inamtia hasara.
    Tena MO akome asirudie kusema Simba inamtia hasara kwani kalazimishwa?? Ni sawa na mtu kuwa na familia halafu unasema familia yako inakutia hasara ati watoto na mkeo wanakula sana. Jikate ishia mbali Simba tutatembeze bakuli na tutapeta tu wakitokea wawekezaji wanaojitambua tutawapa timu. Kila ahadi aliyotoa MO haijatimia. Alisema anajikita kuendeleza miundo mbinu na kuwekeza kwenye Youth team. Nauliza kipi kimetekelezwa. MO wakati wa kusajili anakaa mbali timu usajili wa hovyo ukifanyika baadae anajitokeza na ahadi zake za pre season za Uturuki.
    Wakati Eng. Hersi anasajili majembe ya nguvu na kuwapeleka pre season AVIC Town Simba tunasajili madunduka halafu tunawapeleka pre season Uturuki!!!

  • @rashidissa5887
    @rashidissa5887 4 месяца назад

    Aedeeeee. Simba itakuwepo na itaendelea kuwepo

  • @kabwangaselemani5228
    @kabwangaselemani5228 4 месяца назад

    Uko sawa Kibu sio mchezaji potential yeye ni sawa na maji ya bahari kuwa na kujaa leo anaupiga wa kutosha kesho anaudhi ,kwanza amshukuru Mgunda kwa kumtetea vinginevyo alishakuwa juu ya vigogo acha aondoke aende aendako

  • @KisesaMahenge
    @KisesaMahenge 4 месяца назад +1

    Kweri acha aeendeee

  • @josepahatmargwe6504
    @josepahatmargwe6504 4 месяца назад +2

    Mimi ni Simba Kibu Aondoke hata Sasa hivi , Poor quality control aende.

  • @yakoubaliy7559
    @yakoubaliy7559 4 месяца назад +1

    good kaka uko vizuri ❤🎉

  • @rashidissa5887
    @rashidissa5887 4 месяца назад

    Warudishe kwenye historia. Akina Haidari Abeid walivyotusaliti miaka ya 70 . Jee, Simba imekufa.

  • @omarybasho2341
    @omarybasho2341 4 месяца назад +2

    Kweli

  • @akidajulius1581
    @akidajulius1581 4 месяца назад +2

    ALIVYO MFUNGA DIARA, Mlimjua kibu nan , leo kibu humjui, da kweli shabiki ni maandazi sna, kama huyu jamaa😂😂

  • @burnmotto1876
    @burnmotto1876 4 месяца назад +2

    For sure

  • @simonzelote5998
    @simonzelote5998 4 месяца назад +1

    Kibu Ana nguvu tu ya kukokota mpira Ila akili ya mpira Kama winga Hana Ni hewa pale

  • @shabanimzalla7108
    @shabanimzalla7108 4 месяца назад

    Uko pamoja nami.

  • @hssanrubota3891
    @hssanrubota3891 4 месяца назад +1

    Kwani ana magoli mangapi ana sisiti ngapi aondoke anakimbiakimbia ovyo hana msaada wowote

  • @cesaryaudax6647
    @cesaryaudax6647 4 месяца назад

    Kibu hana chochote alichofanya kwa simba, kupokea pass shida, kutoa pass shida, kukaba tabu, kazi kuanguka tu!

  • @AyubuMsindo
    @AyubuMsindo 4 месяца назад +3

    Yaaa aendetu kwanianagori ngap

  • @hashimibrahimjuma
    @hashimibrahimjuma 4 месяца назад +1

    aondoke tu nguvu nyingi maarifa hamna

  • @JumaKamasa-kl6pz
    @JumaKamasa-kl6pz 4 месяца назад +1

    Mchane ukweli unaacha saido andok tuu

  • @KeziaKaita
    @KeziaKaita 4 месяца назад

    Ni kweli aondoke madoa madoa ya nn ndani ya simba waondoke kwanza damu changa zipo pale hazichezi mnang,ang,ania wachezaji hao hao na wengine wapo

  • @devidmaembe
    @devidmaembe 4 месяца назад +1

    kibu kama analeta kibuli wamache aende namchezaji kamaanalinga wakimube mbeleza xanando atawaxu mbuwa xanaata kuwaana linga linga

  • @GodfreyGeorge-kp7qy
    @GodfreyGeorge-kp7qy 4 месяца назад +1

    Kweli ndugu unafaa sn tushavurugwa anaetaka kwenda aende

  • @DianaAbdalah-d8z
    @DianaAbdalah-d8z 4 месяца назад +1

    Kibu aondoke tena, chapu

  • @dotovundame4143
    @dotovundame4143 4 месяца назад +1

    Sawa sawa pa1

  • @mariammbapira645
    @mariammbapira645 4 месяца назад +1

    Kweli kabisa upo sahihi nimependa hio imeenda

  • @Polyn.123
    @Polyn.123 4 месяца назад +1

    Mkono kama mkono⚽️kweli kabisa

  • @athmanimkangara9290
    @athmanimkangara9290 4 месяца назад +1

    Simba kwanza mchezaji baadaye

  • @NurdinSemhando
    @NurdinSemhando 4 месяца назад +1

    Wewe ukovizuri ndg yangu.

  • @rashidissa5887
    @rashidissa5887 4 месяца назад

    Tukiwataja makocha wa Simba, tafadhali tusimsahau Paul West Gwivaha. Bado nadhani hajafikiwa

  • @dilludillu2747
    @dilludillu2747 4 месяца назад

    Smart

  • @AllyIssa-k5k
    @AllyIssa-k5k 4 месяца назад +1

    Aende tu

  • @SuleimanNgware
    @SuleimanNgware 4 месяца назад

    Yes hakuna kubembekeza ndo kichapo kila .mechi

  • @VenanceNtakabile
    @VenanceNtakabile 4 месяца назад +1

    Kibu aondokd Tena haraka sema kweli

  • @rashidihemedi5517
    @rashidihemedi5517 4 месяца назад

    Walikuwa wanashangilia Mayele kuondoka Yanga, zamu yenu Makolo😊😊😊😊

    • @monicajohn9672
      @monicajohn9672 4 месяца назад

      Mayele alipokua Yanga huwezi kumfananisha na Kibu, Mayele ameitendea haki Yanga na kuwa Mfungaji bora, Kibu Simba amefanya nn?

  • @ChazCather
    @ChazCather 4 месяца назад +1

    Live
    Jamaaa

  • @SillinusNyanda
    @SillinusNyanda 4 месяца назад +1

    Kibu aende tu.Milioni mia tano ndefu sana.Aende tu

  • @ausiabdallah9961
    @ausiabdallah9961 4 месяца назад +1

    Pamoja

  • @JohnMakao-is9fm
    @JohnMakao-is9fm 4 месяца назад +2

    Rojasi mkono

  • @JanethFrancis-nb5pz
    @JanethFrancis-nb5pz 4 месяца назад

    Anajiona bora ndomana anaringa anataka kuongezwa mshahara😂😂😂

  • @AmiriLupembe
    @AmiriLupembe 4 месяца назад

    Kibu ana Lana tena aondokeke kwanza sio mtanzania aondoke hata leo tokaaaaaaaaaaaaaaàà

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 4 месяца назад +1

    Mimi mpenzi wa Yanga..hata mimi namkataa Kibu Denis siyo chombo ana gundu mechi 22 goli moja 😂😂😂😂

  • @KeziaKaita
    @KeziaKaita 4 месяца назад

    Ni kweli kaka aondoke kibu

  • @omarmhamed-sv7dx
    @omarmhamed-sv7dx 4 месяца назад

    Mbona umechanganyikiwa sana haumezimate kaka nakwa Fesali mlikuanastori nyingii zamuimefika BADO Azam

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 4 месяца назад +1

    Hela kusajiri mchezaji yeyote tunayo wao waondoke tuu,tunatengeneza timu mpya

  • @muyongahassan2188
    @muyongahassan2188 4 месяца назад

    Tuache ubaguzi wewe kibu kuomba pesa nyingi inakua tatiz lakini chama unaon sawa ndoman africain hatuendelei tunachawiana san tunaon kumsapot mtuvwandani haiwezekn wanje saw

  • @ausiabdallah9961
    @ausiabdallah9961 4 месяца назад +1

    Hata mpira wake wa kubaatisha

  • @benjaminlaban4402
    @benjaminlaban4402 4 месяца назад

    Kijana nakukubali sana hawa wachezaji ndio wanaisaliti simba waende tu

  • @Polyn.123
    @Polyn.123 4 месяца назад +1

    Hii fukuto lote liliaza kwa mkono ,,fact

  • @OneliaLuvanda
    @OneliaLuvanda 4 месяца назад

    Kwani yeye kasema ni mkubwa kuliko simba jamani wanamtukana bure mtoto wa watu,kwani razima kusaini mkataba,kama hafai sasa unalia nini we shabiki andazi

  • @GetrudasamsonSengerema-he7ob
    @GetrudasamsonSengerema-he7ob 4 месяца назад

    Kamammemchokauta his sisi tutumie mpaka mifupa sisi ndooyanga Africa haaa

  • @HalimaBicholi
    @HalimaBicholi 4 месяца назад

    Uko sw sn mkono ukweli mtupu huo,....tusiwambembeleze mtu ajuwe wajibu wake yeye mwenyewe

  • @omarybasho2341
    @omarybasho2341 4 месяца назад +2

    Aendezake uko

  • @TumainiSawee
    @TumainiSawee 4 месяца назад

    Aende pumbavu kabisaaaaaaa kaka uko SAWA kabisaaaaaaa

  • @ELIMRINGITILLYA
    @ELIMRINGITILLYA 4 месяца назад

    Bado ujasema mpaka useme

  • @kwangahudispensary7238
    @kwangahudispensary7238 4 месяца назад

    Xakho na banda ,,nawamis sana

  • @VenanceNtakabile
    @VenanceNtakabile 4 месяца назад

    Sawa mechi gani kibu kaiokoa kupata pointi tatu?

  • @benjaminlaban4402
    @benjaminlaban4402 4 месяца назад

    yaan mda huu kibu aondoke amejitekenya awashwe tu

  • @ShabaniJuma-n7f
    @ShabaniJuma-n7f 4 месяца назад

    Kibu kawasaidia kutofungwa goli nyingi kwa kukaba hamuoni umuhimu wake

  • @OneliaLuvanda
    @OneliaLuvanda 4 месяца назад

    Sasa kama hafai wamwache

  • @mukhsinmarussu9949
    @mukhsinmarussu9949 4 месяца назад

    Kibu milioni 600 anataka kwa uchezaji gn sas acha aende hawezi kw na thamani ya hy hela bhn

  • @franccoz94
    @franccoz94 4 месяца назад

    WAONDOKE HAO WACHEZAJI WAZEEE, TUMECHOKA NAO WAENDE TU UTOPOLO

  • @AshrafHashim-bl8zw
    @AshrafHashim-bl8zw 4 месяца назад

    Aende amna kuongea nae yy nanii

  • @alfoncejohn2104
    @alfoncejohn2104 4 месяца назад

    MTAJIKATAA BAADAE MGUNDA NAYE MZEE WA KAMATI.MUMTOE NAE MATOLA BONGE LA GWIJI

  • @alfoncejohn2104
    @alfoncejohn2104 4 месяца назад

    PUNGUZA JAZBA DOGO.MMEFELI SEKTA ZOTE GUNDU LINAMUANGUKIA KIBU.KWELI MMEVURUGWA

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 4 месяца назад

    Wewe msemaji akilihuna kibu anasaidia timu uwanjani wewe unaisaidianini simba siumachogadomotu mjinga

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 4 месяца назад

    Kolo bana hawaeleweki

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 4 месяца назад

    Mlivyokuwa mnashupalia suala la feysal

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 4 месяца назад +4

    Kweli MAKOLO watani MMEVURUGWA.....🤣🤣🤣...🖐️✌️

    • @danielchamoto9376
      @danielchamoto9376 4 месяца назад +1

      Na haikuhusu wew maku

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 4 месяца назад

      @@danielchamoto9376 ....🤣🤣🤣, KOLO hilooo...🖐️✌️

    • @DianaAbdalah-d8z
      @DianaAbdalah-d8z 4 месяца назад

      Kibu aondoke mambo yakubembeleza mchezaji ndio aya yanatukuta kibu aondoke.

    • @Eliacharless-f3z
      @Eliacharless-f3z 4 месяца назад

      Upo vizuli aende mbona fei alienda aende makolo tuwange 9

    • @Eliacharless-f3z
      @Eliacharless-f3z 4 месяца назад

      Had upasuke

  • @MuhsinJuma-wo2bg
    @MuhsinJuma-wo2bg 4 месяца назад

    Ww acha ufala mchezaji amefanya nn mpaka mseme kuma ww

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 4 месяца назад

    Simba hatujabeba kombe kweli

  • @BACHAATRAVELTOURING
    @BACHAATRAVELTOURING 4 месяца назад

    Wewee acha zako, kibu anatafuta rizki hakuja hapo kulelewa wala kuchanganya mtu, hata wewe timu sio ya baba yako, wacha kumsimanga kijana, nyinyi wenyewe hamjitambui kuanzia raisi wenu wa heshima mpaka mashabiki wote ovyo tu, hebu jitafuteni jamani

  • @shukuruiddi82
    @shukuruiddi82 4 месяца назад

    kiukweli wanaotaka kwenda waende tumechoka heri tubaki na kasha tu kuliko kubaki na mamluki, kama aliemtengeneza kibu kaondoka sasa ht alietengenezwa nani bwana asepe

  • @IgarandaIgaranda
    @IgarandaIgaranda 4 месяца назад

    Mwamba Yuko sahihi kabisa anajua

  • @Mgema001
    @Mgema001 4 месяца назад

    Eti leo kibu mnamzarau dah..ngoja akiwashe sasa mtaanza kuongea kama mnavyoongea kuhusu kina baleke

  • @AlfaniMichael
    @AlfaniMichael 4 месяца назад

    Msenge kweli wewe mbona humwambii babaako aondoke nyumban kwenu? Boya wewe

  • @KisesaMahenge
    @KisesaMahenge 4 месяца назад

    Gerald gwarara mgunda uyooo

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 4 месяца назад

    Ngoja aje awafunge ndani nje.

  • @devidmaembe
    @devidmaembe 4 месяца назад

    mbona tuliwaacha wakichama namikixoni lakini ximba ilibaki inafanya vizuli

  • @MudoeShabani
    @MudoeShabani 4 месяца назад

    Acheni upuzi kibu anapambana beki zenu ndio chekeche harafu uongozi wenu mabepari nahuyu msemaji wenu anawaropokea vitu ambavo havipo

  • @NurdinSemhando
    @NurdinSemhando 4 месяца назад

    Uraia tumpe sisi, kisha atusumbue?

  • @omarybasho2341
    @omarybasho2341 4 месяца назад

    Agende hanalolote guruwetuilo

  • @FolanAlly
    @FolanAlly 4 месяца назад

    Mbona tailaaaa Japan

  • @HamisRashid-xl4mn
    @HamisRashid-xl4mn 4 месяца назад

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅 tushavurugwa

  • @mariamCharles-ti6qi
    @mariamCharles-ti6qi 4 месяца назад

    😂😂😂😂wambie aooo

  • @badendavid8456
    @badendavid8456 4 месяца назад

    Tulia Kibu tulia tulia tulia

  • @Emili_6
    @Emili_6 4 месяца назад

    Kwani huyu ninani mbona tahila

  • @alimpatani6296
    @alimpatani6296 4 месяца назад

    Ayo yanaitwa maneno ya mkosaji kibu d uyooo kwa wananchi

  • @FRANSKALITUSI4937
    @FRANSKALITUSI4937 4 месяца назад

    😂😂😂😂

  • @SaumuSaidi-z2v
    @SaumuSaidi-z2v 4 месяца назад

    Mh kz ipo

  • @barikimollel7890
    @barikimollel7890 4 месяца назад

    Acha Hasira wee boya Kibu ndio no one Simba

  • @NduwimanaMoussa-bu3ic
    @NduwimanaMoussa-bu3ic 4 месяца назад

    Ayo.maneno.nimkosaji.kwaju.amekata.kuongeza.mkataba.maneno.yanakuwa.mengi.hamna.viongozi.acawacezaji.wamecoka.

    • @TumainiSawee
      @TumainiSawee 4 месяца назад

      Kwahiyo unataka tukampigie magoti au

  • @ausiabdallah9961
    @ausiabdallah9961 4 месяца назад +1

    Siyo yeye tu at kama Kuna MWINGINE rughusa tunaipenda Simba yetu,

  • @rukiamkwayo6302
    @rukiamkwayo6302 4 месяца назад

    Wewe yanga unawatiandimu wenzako