Mwache aende, Utopolo mlimuacha Fesali ambae ni zaidi ya Kibu, jiulizeni Yanga ikoje baada ya kuondoka Fesali, wachezaji wana viburi tumuache Kibu aende anakotaka
Sasa hivi hatutaki kusikia lolote lile,Simba ni timu kubwa sana,labda tiwaulize ninyi mnaoleta kelele je,Kibu mpaka sasa katika ligi anamagolia mangapi?!,ametunyanyua sana kwenye viti bila ya goal lolote😢😢,anakimbilia goal la wapinzani akifika analibutua mpira hovyo hovyo kama siyo professional player. HEBU MTUACHE KIDOGO KWANZA
Uko sawa Kibu sio mchezaji potential yeye ni sawa na maji ya bahari kuwa na kujaa leo anaupiga wa kutosha kesho anaudhi ,kwanza amshukuru Mgunda kwa kumtetea vinginevyo alishakuwa juu ya vigogo acha aondoke aende aendako
Broo umenifurahisha sana. Yaani Mimi nasema hata MO akitaka kusepa asepe tu. Yaani ikifika wakati wa usajili utasikia MO kasusa mara aseme timu inamtia hasara. Tena MO akome asirudie kusema Simba inamtia hasara kwani kalazimishwa?? Ni sawa na mtu kuwa na familia halafu unasema familia yako inakutia hasara ati watoto na mkeo wanakula sana. Jikate ishia mbali Simba tutatembeze bakuli na tutapeta tu wakitokea wawekezaji wanaojitambua tutawapa timu. Kila ahadi aliyotoa MO haijatimia. Alisema anajikita kuendeleza miundo mbinu na kuwekeza kwenye Youth team. Nauliza kipi kimetekelezwa. MO wakati wa kusajili anakaa mbali timu usajili wa hovyo ukifanyika baadae anajitokeza na ahadi zake za pre season za Uturuki. Wakati Eng. Hersi anasajili majembe ya nguvu na kuwapeleka pre season AVIC Town Simba tunasajili madunduka halafu tunawapeleka pre season Uturuki!!!
Kibu usichelewe kwenye Hela nenda.Wewe utaisha Simba itabaki.Alikwepo Mogella,Emmanuel Gabriel,Dua Said,Emmanuel Okwi,Mgossi,Bocco,Kichuwa,Kagera hao wote wametwanga jitu tena wengine njendani.Tumechoka na habari za usajili.Simba timu kubwa,tena wakikutaka mshiko uwe mkubwa!
Kwani yeye kasema ni mkubwa kuliko simba jamani wanamtukana bure mtoto wa watu,kwani razima kusaini mkataba,kama hafai sasa unalia nini we shabiki andazi
Tuache ubaguzi wewe kibu kuomba pesa nyingi inakua tatiz lakini chama unaon sawa ndoman africain hatuendelei tunachawiana san tunaon kumsapot mtuvwandani haiwezekn wanje saw
Wewee acha zako, kibu anatafuta rizki hakuja hapo kulelewa wala kuchanganya mtu, hata wewe timu sio ya baba yako, wacha kumsimanga kijana, nyinyi wenyewe hamjitambui kuanzia raisi wenu wa heshima mpaka mashabiki wote ovyo tu, hebu jitafuteni jamani
kiukweli wanaotaka kwenda waende tumechoka heri tubaki na kasha tu kuliko kubaki na mamluki, kama aliemtengeneza kibu kaondoka sasa ht alietengenezwa nani bwana asepe
Uko sawa mkono simba kubwa kuliko kibu kibu ye nan Sisi hao ote hatuwependi tunapenda Tim akafie mbele
Mwache aende, Utopolo mlimuacha Fesali ambae ni zaidi ya Kibu, jiulizeni Yanga ikoje baada ya kuondoka Fesali, wachezaji wana viburi tumuache Kibu aende anakotaka
Saafii sana aendee tu huyo kibu
Hakuna kubembeleza mchezaji atakae aende jina la simba ni kubwa
Sasa hivi hatutaki kusikia lolote lile,Simba ni timu kubwa sana,labda tiwaulize ninyi mnaoleta kelele je,Kibu mpaka sasa katika ligi anamagolia mangapi?!,ametunyanyua sana kwenye viti bila ya goal lolote😢😢,anakimbilia goal la wapinzani akifika analibutua mpira hovyo hovyo kama siyo professional player.
HEBU MTUACHE KIDOGO KWANZA
Mm naomba wachezaji wote ambao wanataka kuondoka waondoke kwa hiari ..tena iitishwe rocall waondoke wote tuanze upya
Ndugu yangu Asante sana
Upo sahihi bro hata team team nzimaa wakitaka kutoka watoke waende wana kwenda Simba ni kubwa kuliko mtu yoyote
For sure
Kaka roja mkono umetembea vizuri sana
good kaka uko vizuri ❤🎉
Uko sawa Kibu sio mchezaji potential yeye ni sawa na maji ya bahari kuwa na kujaa leo anaupiga wa kutosha kesho anaudhi ,kwanza amshukuru Mgunda kwa kumtetea vinginevyo alishakuwa juu ya vigogo acha aondoke aende aendako
ALIVYO MFUNGA DIARA, Mlimjua kibu nan , leo kibu humjui, da kweli shabiki ni maandazi sna, kama huyu jamaa😂😂
Acha aende tena aende kwa aman
Kibu Ana nguvu tu ya kukokota mpira Ila akili ya mpira Kama winga Hana Ni hewa pale
Mimi ni Simba Kibu Aondoke hata Sasa hivi , Poor quality control aende.
Broo umenifurahisha sana. Yaani Mimi nasema hata MO akitaka kusepa asepe tu. Yaani ikifika wakati wa usajili utasikia MO kasusa mara aseme timu inamtia hasara.
Tena MO akome asirudie kusema Simba inamtia hasara kwani kalazimishwa?? Ni sawa na mtu kuwa na familia halafu unasema familia yako inakutia hasara ati watoto na mkeo wanakula sana. Jikate ishia mbali Simba tutatembeze bakuli na tutapeta tu wakitokea wawekezaji wanaojitambua tutawapa timu. Kila ahadi aliyotoa MO haijatimia. Alisema anajikita kuendeleza miundo mbinu na kuwekeza kwenye Youth team. Nauliza kipi kimetekelezwa. MO wakati wa kusajili anakaa mbali timu usajili wa hovyo ukifanyika baadae anajitokeza na ahadi zake za pre season za Uturuki.
Wakati Eng. Hersi anasajili majembe ya nguvu na kuwapeleka pre season AVIC Town Simba tunasajili madunduka halafu tunawapeleka pre season Uturuki!!!
Hujacheka kama mimi
Kweri acha aeendeee
Kweli
Sawa sawa pa1
Yaaa aendetu kwanianagori ngap
Muulize mamaako anagoli ngapi
@@rukiamkwayo6302 mmmmm
Kibu hana chochote alichofanya kwa simba, kupokea pass shida, kutoa pass shida, kukaba tabu, kazi kuanguka tu!
Aedeeeee. Simba itakuwepo na itaendelea kuwepo
Ni kweli aondoke madoa madoa ya nn ndani ya simba waondoke kwanza damu changa zipo pale hazichezi mnang,ang,ania wachezaji hao hao na wengine wapo
Xakho na banda ,,nawamis sana
Kweli kabisa upo sahihi nimependa hio imeenda
Kibu aondoke tena, chapu
aondoke tu nguvu nyingi maarifa hamna
Mchane ukweli unaacha saido andok tuu
Kwani ana magoli mangapi ana sisiti ngapi aondoke anakimbiakimbia ovyo hana msaada wowote
Wewe ukovizuri ndg yangu.
Kweli ndugu unafaa sn tushavurugwa anaetaka kwenda aende
Mkono kama mkono⚽️kweli kabisa
Simba kwanza mchezaji baadaye
Kibu aondokd Tena haraka sema kweli
Walikuwa wanashangilia Mayele kuondoka Yanga, zamu yenu Makolo😊😊😊😊
Mayele alipokua Yanga huwezi kumfananisha na Kibu, Mayele ameitendea haki Yanga na kuwa Mfungaji bora, Kibu Simba amefanya nn?
kibu kama analeta kibuli wamache aende namchezaji kamaanalinga wakimube mbeleza xanando atawaxu mbuwa xanaata kuwaana linga linga
Siyo yeye tu at kama Kuna MWINGINE rughusa tunaipenda Simba yetu,
Live
Jamaaa
Hela kusajiri mchezaji yeyote tunayo wao waondoke tuu,tunatengeneza timu mpya
Mimi mpenzi wa Yanga..hata mimi namkataa Kibu Denis siyo chombo ana gundu mechi 22 goli moja 😂😂😂😂
Uchukwe tuu kb🤓
Anajiona bora ndomana anaringa anataka kuongezwa mshahara😂😂😂
Rojasi mkono
Warudishe kwenye historia. Akina Haidari Abeid walivyotusaliti miaka ya 70 . Jee, Simba imekufa.
Smart
Kibu aende tu.Milioni mia tano ndefu sana.Aende tu
Simba nguvuuu mojaaaaa
Kibu usichelewe kwenye Hela nenda.Wewe utaisha Simba itabaki.Alikwepo Mogella,Emmanuel Gabriel,Dua Said,Emmanuel Okwi,Mgossi,Bocco,Kichuwa,Kagera hao wote wametwanga jitu tena wengine njendani.Tumechoka na habari za usajili.Simba timu kubwa,tena wakikutaka mshiko uwe mkubwa!
Mbona umechanganyikiwa sana haumezimate kaka nakwa Fesali mlikuanastori nyingii zamuimefika BADO Azam
Kwani yeye kasema ni mkubwa kuliko simba jamani wanamtukana bure mtoto wa watu,kwani razima kusaini mkataba,kama hafai sasa unalia nini we shabiki andazi
Aende tu
Pamoja
Kwel
Hata mpira wake wa kubaatisha
Kibu ana Lana tena aondokeke kwanza sio mtanzania aondoke hata leo tokaaaaaaaaaaaaaaàà
Uko pamoja nami.
Aendezake uko
Yes hakuna kubembekeza ndo kichapo kila .mechi
Kolo bana hawaeleweki
Kijana nakukubali sana hawa wachezaji ndio wanaisaliti simba waende tu
Tuache ubaguzi wewe kibu kuomba pesa nyingi inakua tatiz lakini chama unaon sawa ndoman africain hatuendelei tunachawiana san tunaon kumsapot mtuvwandani haiwezekn wanje saw
Hii fukuto lote liliaza kwa mkono ,,fact
Uko sw sn mkono ukweli mtupu huo,....tusiwambembeleze mtu ajuwe wajibu wake yeye mwenyewe
Kweli MAKOLO watani MMEVURUGWA.....🤣🤣🤣...🖐️✌️
Na haikuhusu wew maku
@@danielchamoto9376 ....🤣🤣🤣, KOLO hilooo...🖐️✌️
Kibu aondoke mambo yakubembeleza mchezaji ndio aya yanatukuta kibu aondoke.
Upo vizuli aende mbona fei alienda aende makolo tuwange 9
Had upasuke
Kaka umesem kweli aende tuu hata wengine wanaotak kuondk waondke
Tukiwataja makocha wa Simba, tafadhali tusimsahau Paul West Gwivaha. Bado nadhani hajafikiwa
Ni kweli kaka aondoke kibu
UNAONGEA KIRAHISI KAMA UNA PESA YA KUSAJILI WACHEZAJI. PUMBAVU KABISA
Kamammemchokauta his sisi tutumie mpaka mifupa sisi ndooyanga Africa haaa
Kibu kawasaidia kutofungwa goli nyingi kwa kukaba hamuoni umuhimu wake
Aende pumbavu kabisaaaaaaa kaka uko SAWA kabisaaaaaaa
Wewee acha zako, kibu anatafuta rizki hakuja hapo kulelewa wala kuchanganya mtu, hata wewe timu sio ya baba yako, wacha kumsimanga kijana, nyinyi wenyewe hamjitambui kuanzia raisi wenu wa heshima mpaka mashabiki wote ovyo tu, hebu jitafuteni jamani
WAONDOKE HAO WACHEZAJI WAZEEE, TUMECHOKA NAO WAENDE TU UTOPOLO
Kibu milioni 600 anataka kwa uchezaji gn sas acha aende hawezi kw na thamani ya hy hela bhn
Sawa mechi gani kibu kaiokoa kupata pointi tatu?
Gerald gwarara mgunda uyooo
yaan mda huu kibu aondoke amejitekenya awashwe tu
kiukweli wanaotaka kwenda waende tumechoka heri tubaki na kasha tu kuliko kubaki na mamluki, kama aliemtengeneza kibu kaondoka sasa ht alietengenezwa nani bwana asepe
Eti leo kibu mnamzarau dah..ngoja akiwashe sasa mtaanza kuongea kama mnavyoongea kuhusu kina baleke
Aende amna kuongea nae yy nanii
Bado ujasema mpaka useme
Sasa kama hafai wamwache
Mwamba Yuko sahihi kabisa anajua
Ngoja aje awafunge ndani nje.
Simba hatujabeba kombe kweli
😂😂😂😂wambie aooo
Mbona tailaaaa Japan
😅😅😅😅😅😅😅😅😅 tushavurugwa
Mlivyokuwa mnashupalia suala la feysal
Agende hanalolote guruwetuilo
Uraia tumpe sisi, kisha atusumbue?
Acheni upuzi kibu anapambana beki zenu ndio chekeche harafu uongozi wenu mabepari nahuyu msemaji wenu anawaropokea vitu ambavo havipo
mbona tuliwaacha wakichama namikixoni lakini ximba ilibaki inafanya vizuli
Mh kz ipo
MTAJIKATAA BAADAE MGUNDA NAYE MZEE WA KAMATI.MUMTOE NAE MATOLA BONGE LA GWIJI
😂😂😂😂
Ww acha ufala mchezaji amefanya nn mpaka mseme kuma ww
Kwani huyu ninani mbona tahila
Kibu aende aende
kibu nenda wewe fala tu naukibaki lazima tukuzomee mbwa wewe nende nenda wewe siyo wakwanza unamjua okwi wee
Tulia Kibu tulia tulia tulia
Wewe msemaji akilihuna kibu anasaidia timu uwanjani wewe unaisaidianini simba siumachogadomotu mjinga