Master nangah milion jero nyingi sana jmn alaf kwa swala la nyeto kuja simba hapana kwakwer ukifatilia uchezaji wake bila yanga kubebwa na marefa basi nyeto ndiyo beki namba moja kwa kuchomesha hapa tz sema marefa wamekua wakiipendelea sana yanga
Kibu ni mchezaji anayejituma SANA. Changamoto yake kubwa Hana END PRODUCT nzuri kwa kazi kubwa anayofanya uwanjani. Mara nyingi anafanya kazi kubwa ila mwishoni anaharibu aidha pasi fyongo, au kupoteza mipira au kupiga mashuti nje ya goli
Kibu hana sifa hata ya kugombewa n'a yanga na simba. Nguvu nyingi hakili ya mpira ndogo sana
Kibu aondoke nimchezaji asiye na akili ya mpira
Kweli kabisa
Master nangah milion jero nyingi sana jmn alaf kwa swala la nyeto kuja simba hapana kwakwer ukifatilia uchezaji wake bila yanga kubebwa na marefa basi nyeto ndiyo beki namba moja kwa kuchomesha hapa tz sema marefa wamekua wakiipendelea sana yanga
thamani ya Kibu millioni themanini kwa Simba tunayoitaka mwache aende hana akili ya mpira
Kwa uchezaji gani ana goli ngapi huyo kibu
1:26
Mwacheni akatafute maisha pengine kama vile alivyotafuta fei.
Yanga wakimchukua kibu na chama nitafurahi sana maana wanatuchosha sana
Kb Tatizo anafukuz sana upepo,goli moja, msm unaisha,
Ngoja tumwangalie kibu
Kwa lipi paka take pesa nyingi hvo aende zake
kwanza huyo kibu ,uwanjani anatumia nguvu za bangi sio akili ,,,viongozi wa simba achaneni huyo fara kibu
kwangu mimi manula kapombe shabalala kenedy rizikihamis inonga babacar jobe fredy kanote saido chama na kibu waachwe
Atuambie ana ubora gani hata apewe hizo hela kibu hela sio madini hazichimbwi huwa zatafutwa
Kibu ni mchezaji anayejituma SANA.
Changamoto yake kubwa Hana END PRODUCT nzuri kwa kazi kubwa anayofanya uwanjani.
Mara nyingi anafanya kazi kubwa ila mwishoni anaharibu aidha pasi fyongo, au kupoteza mipira au kupiga mashuti nje ya goli
Soka ni biashara acheni ubahili wenu 🦁
Kibu aende tu hana mpira kazi kukimbiatu uwanjani mwache aende zake
😅😅😅eti nyeto
kibu aondoke zake hana maajabu
Ivi nyie madunduka kipindi Fei Toto anadai masilahi yake mbona mlimsaport?
Mc petti umetisha😂
Nineota Kibu anqcheza msimu mmoja unaofuata anarudi alipotoka😂😂😂
Kibu 500 ata robo asipewe aondoke simba kubwa...
😂😂😂😂😂 Nyeto!!?
Kibu aza makasi
Koblan ana jumla ya 9
Amelewa sifa
😂😂😂😂