MC PETIT AMJIA JUU KIBU DENIS KUTAKA MILIONI 500| ANATUKOSEA SANA WANASIMBA| KWA UWEZO GANI!?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • KWA HABARI NA MATANGAZO
    TUPIGIE SASA
    0753393036 CALL
    0625466848 WHATSAPP

Комментарии • 28

  • @michaelmazoya9244
    @michaelmazoya9244 4 месяца назад +3

    Kibu hana sifa hata ya kugombewa n'a yanga na simba. Nguvu nyingi hakili ya mpira ndogo sana

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 4 месяца назад +4

    Kibu aondoke nimchezaji asiye na akili ya mpira

  • @BarnabaJaphet
    @BarnabaJaphet 4 месяца назад

    Master nangah milion jero nyingi sana jmn alaf kwa swala la nyeto kuja simba hapana kwakwer ukifatilia uchezaji wake bila yanga kubebwa na marefa basi nyeto ndiyo beki namba moja kwa kuchomesha hapa tz sema marefa wamekua wakiipendelea sana yanga

  • @hashimibrahimjuma
    @hashimibrahimjuma 4 месяца назад +1

    thamani ya Kibu millioni themanini kwa Simba tunayoitaka mwache aende hana akili ya mpira

  • @StellaOsia
    @StellaOsia 4 месяца назад

    Kwa uchezaji gani ana goli ngapi huyo kibu
    1:26

  • @mussammanga7791
    @mussammanga7791 4 месяца назад

    Mwacheni akatafute maisha pengine kama vile alivyotafuta fei.

  • @stellamboya8673
    @stellamboya8673 4 месяца назад +1

    Yanga wakimchukua kibu na chama nitafurahi sana maana wanatuchosha sana

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 4 месяца назад

    Kb Tatizo anafukuz sana upepo,goli moja, msm unaisha,

  • @SalimRamsei-ok9el
    @SalimRamsei-ok9el 4 месяца назад +1

    Ngoja tumwangalie kibu

  • @HalimaDaudi-b7k
    @HalimaDaudi-b7k 4 месяца назад

    Kwa lipi paka take pesa nyingi hvo aende zake

  • @ZumahZumah-i9p
    @ZumahZumah-i9p 4 месяца назад

    kwanza huyo kibu ,uwanjani anatumia nguvu za bangi sio akili ,,,viongozi wa simba achaneni huyo fara kibu

  • @davisbwatwa115
    @davisbwatwa115 4 месяца назад

    kwangu mimi manula kapombe shabalala kenedy rizikihamis inonga babacar jobe fredy kanote saido chama na kibu waachwe

  • @omarswaleh6082
    @omarswaleh6082 4 месяца назад

    Atuambie ana ubora gani hata apewe hizo hela kibu hela sio madini hazichimbwi huwa zatafutwa

  • @Jerie-q1c
    @Jerie-q1c 4 месяца назад

    Kibu ni mchezaji anayejituma SANA.
    Changamoto yake kubwa Hana END PRODUCT nzuri kwa kazi kubwa anayofanya uwanjani.
    Mara nyingi anafanya kazi kubwa ila mwishoni anaharibu aidha pasi fyongo, au kupoteza mipira au kupiga mashuti nje ya goli

  • @saidramadhanmidlesix4841
    @saidramadhanmidlesix4841 4 месяца назад

    Soka ni biashara acheni ubahili wenu 🦁

  • @AdamRashidi-n9g
    @AdamRashidi-n9g 4 месяца назад

    Kibu aende tu hana mpira kazi kukimbiatu uwanjani mwache aende zake

  • @Shemahonge-ku7xx
    @Shemahonge-ku7xx 4 месяца назад +1

    😅😅😅eti nyeto

  • @ZumahZumah-i9p
    @ZumahZumah-i9p 4 месяца назад

    kibu aondoke zake hana maajabu

  • @WakiliHaule
    @WakiliHaule 4 месяца назад

    Ivi nyie madunduka kipindi Fei Toto anadai masilahi yake mbona mlimsaport?

  • @عزيزه-ر1ه
    @عزيزه-ر1ه 4 месяца назад

    Mc petti umetisha😂

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 4 месяца назад

    Nineota Kibu anqcheza msimu mmoja unaofuata anarudi alipotoka😂😂😂

  • @TheopistaMuheta-qp1bc
    @TheopistaMuheta-qp1bc 4 месяца назад

    Kibu 500 ata robo asipewe aondoke simba kubwa...

  • @feetfirsttz
    @feetfirsttz 4 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂 Nyeto!!?

  • @bestman8182
    @bestman8182 4 месяца назад

    Kibu aza makasi

  • @chidampiri1012
    @chidampiri1012 4 месяца назад

    Koblan ana jumla ya 9

  • @chidampiri1012
    @chidampiri1012 4 месяца назад

    Amelewa sifa

  • @omarymtotela3751
    @omarymtotela3751 4 месяца назад

    😂😂😂😂