ALIYEKUWA VIDEO VIXEN WA MBAGALA YA DIAMOND ,ATAPIKA NYONGO DIAMOND AMENUKAUSHIA,NILIMUOMBA MSAAD?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024
  • KWA HABARI , SIASA, MICHEZO NA BURUDANI USISAHAU KU SUBSCRIBE RUclips CHANNEL YETU YA LOKOMATV HAPA
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: shorturl.at/wFP67/ || shorturl.at/jwQSU
    TWITTER: shorturl.at/luzLZ
    FACEBOOK: shorturl.at/rCL12
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 Empire Lokoma Limited . 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #yanga #simba #yangasc #simbasc #simbavsyanga #tff #nbcpremeireleague #mwakinyo #samatta #zuchu #wizkid #Davido #nandy #wasafi #diamondplatnumz #alikiba #harmonize #instalive #youtubelive #mboso #lavalava #beyonce #Mariacare #mwijaku #babalevo #hbaba #kondeboy #afrima #notjustok #exclusive #lokomatv #trending #tanzania #marioo #mrpimbi #rickmedia #millardayo #ayotv #simulizinasauti #utamu #mpenjatv #globaltv #bonatv

Комментарии • 321

  • @AbasiHassan-w4s
    @AbasiHassan-w4s Месяц назад +39

    Kuangalia hii interview .umenifanya nirudie Mbagala .kama na WW pia kama mm .gonga like hapa

  • @RajabuHamisi-pg4qd
    @RajabuHamisi-pg4qd Месяц назад +53

    Dada we mrembo tangia kwenye mbagala ya simbaa❤❤❤😊😊😊

  • @swedish_james
    @swedish_james Месяц назад +17

    Huyu dada ana mengi sana moyoni ya kusema ila anaamua kuyaficha tu kwa kweli Diamond kama kweli bilionea anafaa kumtafuta amzawadi

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab Месяц назад +148

    Tuliokuwa hatukujua kuwa Yule maryam wa Maneno ya kuambiwa ndie mrembo wa Mbagala ya mshkaji wa Tandale na ndio tumejua leo baada ya kuona hii interview ,tu like hapa ili tuone idadi yetu .

    • @OmanOman-hj7tv
      @OmanOman-hj7tv Месяц назад +1

      Labda wewe peke ako ndo hukujua mbona alishasema kitambo toka maneno yakuambiwa haijaisha😂😂😂😂😂😂😂

    • @zuenampandeni3347
      @zuenampandeni3347 Месяц назад +1

      Labda wew sisi tunajua🤣🤣🤣

    • @complex7582
      @complex7582 Месяц назад +1

      Kwa hio yule wa maneno ya kuambiwa sio mwenyewe

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab Месяц назад

      @@zuenampandeni3347 Au sio!

    • @OmanOman-hj7tv
      @OmanOman-hj7tv Месяц назад

      @@complex7582 ni yeye

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z Месяц назад +8

    Daimondi usimsahau huyu dada . Naona Hadi alipigwa na baba yake na mume.❤❤❤

  • @loulumony8519
    @loulumony8519 Месяц назад +7

    Nasibu anabaa mungu amupe maisha marefu❤❤🎉🎉🇴🇲🇧🇮

  • @thebeatshouse
    @thebeatshouse Месяц назад +10

    Naima she z so positive.....❤❤❤❤

  • @hashimlowela294
    @hashimlowela294 Месяц назад +25

    She's very intelligent 😅😅kuna kitu anawish kusema but anaheshim mamlaka

  • @HassanSaid-e1w
    @HassanSaid-e1w Месяц назад +8

    Mhhh diamond na ushamba aliokuwa nao amwacheee katokaa tandalee kachokaa.ila madada zetu wanajiraisishaa sana au mobeto na aziz kii😊😊

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 Месяц назад +11

    Hata mimi naipenda no 5. Sbb nilizaliwa mtt wa 5.

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 Месяц назад +11

    Mrembo sana huyu Dada❤

  • @officialjeazy1458
    @officialjeazy1458 29 дней назад +2

    Huyu Dada yuko very clear hana longolongo wala malalamiko anaongea kitu ambacho kipo hana mbwembwe wala hataki kiki wala nini unaona hata shobo na yoyote na hajali kueleweka vyovyote yuko itavyokua ndo ivyo ivyo.

  • @AgnesJohn-f1r
    @AgnesJohn-f1r Месяц назад +4

    Huyu na mimi tunazeeka pamoja Asante Mungu kwa kutupa umri huu tuongezee zaidi ili tushuhudiee ukuu wako

  • @zuwenaabdallah7748
    @zuwenaabdallah7748 Месяц назад +11

    Huyu mwandishi kila saa way back😊

    • @georgedaniel4962
      @georgedaniel4962 Месяц назад +2

      Ndoo uzungu anaeujua,😂😂wandishi wa bongo acha tu.

  • @fabianlaurent6144
    @fabianlaurent6144 Месяц назад +7

    Huyu Dada ana Utu na anaongea vizuri sana hana baya wala hana tabia ya kumsema mtu kwa ubaya kwa kweli Allah amjalie sana ni mwanamke aliyekamilika kifikra na kiakili hata kuongea kwake inadhihirisha kabisa

  • @kabebemazambi
    @kabebemazambi Месяц назад +2

    Niki dada kizuri kirembo 🎉🎉🎉🎉❤

  • @ShamsaFahad-n8v
    @ShamsaFahad-n8v Месяц назад +8

    Mziri pia unaongea kwa nizamu hongera

  • @allansk1035
    @allansk1035 Месяц назад +10

    Dhaa nothing lasts forever kabisa yani tizama apo kwenye video vixen gisi alikuwa hot ila sasa miaka imekwenda usichana umekimbia

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 Месяц назад +5

    Kumbe ndo kazuri hivi ❤❤❤

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 29 дней назад +2

      Ungemuona kipindi hicho ana miaka 18 mpaka 22 ulikuwa moto c mchezoo

  • @AminaBakari-gy8wz
    @AminaBakari-gy8wz Месяц назад +6

    nimefulaahi kutaja kisiwa chetu Cha MAFIA,,safi sana❤️❤️♥️mzarau kwa mtumwa

  • @ZuwenaRamadhani-r2t
    @ZuwenaRamadhani-r2t Месяц назад +3

    Daah naima buji wakisiwa mwenzangu mafia moja

  • @mliwakhatib9457
    @mliwakhatib9457 Месяц назад +12

    Nakumbuka alikua bonge moja na pini miaka hiyobabaake alikua mbunge wa mafia Ismail shaa

  • @mkumbajr1583
    @mkumbajr1583 Месяц назад +4

    Ata sio kiki ,kama angekuwa mwengine angejiproud sana

  • @edmundnkarangu134
    @edmundnkarangu134 Месяц назад +7

    Kumbe Hawa na Diamond walikuwa wapenzi😊

    • @amanimlengwa9202
      @amanimlengwa9202 25 дней назад +1

      Akili yako ya funza kweli. Hivi huelewi kabisa kuwa hawakuwahi kuwa wapenzi?

  • @AllyBadru-dj2nw
    @AllyBadru-dj2nw 23 дня назад +2

    Diamond bilionea choko tu

  • @nassorzaharani7626
    @nassorzaharani7626 14 дней назад +2

    Mbulishi alie changamka😂😂

  • @ticketmastertips1492
    @ticketmastertips1492 Месяц назад +1

    maualana azidishe kheri na tunuku tele aushini huyu dada kisa,"utu WA kutakia wenzake inajipa"❤

  • @MahrezWahid
    @MahrezWahid Месяц назад

    Nimependa spirit hii ya huyu dada hii ni sifa ya watu wa Visiwani wote ...
    Yaani waarabu ndio sifa zetu hzo hatuna mmb ya kuomba omba

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Месяц назад +11

    Ulikuwa noma

  • @emanueliphilipo8303
    @emanueliphilipo8303 День назад

    ulikua mzuri kwel

  • @jeffsantana83
    @jeffsantana83 Месяц назад +1

    Kazi safi bro

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 15 часов назад

    Weee dada tubu! Mungu hakuandikii Maovu..huyo ji SHETANI au hujui

  • @ninjaisma7983
    @ninjaisma7983 Месяц назад +2

    Jitoto lakiswahili jirembo mashaallah

  • @ZubeirHamada
    @ZubeirHamada 4 дня назад

    Khaaaaa...Dayamondi hakukuoa mtoto mzuri kama weweew

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs Месяц назад +7

    Daaaaah hatariiiiiiii jaman

  • @TimotheoNtibayaga
    @TimotheoNtibayaga День назад +1

    Ulilipwa

  • @nassorsalum3846
    @nassorsalum3846 Месяц назад +8

    bado yule mwengine alomkataa diamond kwenye mbagala yule black beuty

  • @djarudkellz
    @djarudkellz 19 дней назад +1

    Ni mrembo saNaaaaaa kbsa

  • @damianmcba9525
    @damianmcba9525 29 дней назад

    Kweli zamani washikaji mnatafutana ,, cku hizi kila mtu kivyake

  • @mohdahmed5389
    @mohdahmed5389 Месяц назад +14

    Jiheshimu dada ,hii dunia ujinga tu,hayo mambo hayana maana wala faida yoyote kwako ,umeshajidhalilisha na kuidhalilisha familia yako ,achana na hawa wajinga wanajitia kukuhoji ili uendeleze huo ujinga ubaomkera Allah,kumbuka anachotenda chochote kile huwa kinabakia hata kama utakuwa umekufa,hayo mavideo yakijinga yote yanaendelea kubakia kumbukumbu kwako na familia yako hadi ukiwa kaburini,muogope Allah ,jua kuwa kuna siku ya hesabu (kiama)ni nasaha tu nakupatia

    • @Bongokasitv
      @Bongokasitv Месяц назад +2

      Tafuta pesa acha makasiliko utawaongelea wangapi

    • @mohdahmed5389
      @mohdahmed5389 Месяц назад +1

      @@Bongokasitv pesa sio kila kitu,utu wa mtu ndio muhimu.acha akili mgando

    • @Bongokasitv
      @Bongokasitv Месяц назад

      @@mohdahmed5389 sio lazima wote tuwe na utu ukiwanao wewe unatosho na yanini umfosi m2 aishi kama wewe

    • @PhilipoLeonard-q5w
      @PhilipoLeonard-q5w Месяц назад +1

      Kwan kakosea wapi hadi umevimba ivo

    • @Iamcameronboyce
      @Iamcameronboyce Месяц назад

      @@PhilipoLeonard-q5witakua babake 😂

  • @NasserAlhajri-ys6yr
    @NasserAlhajri-ys6yr День назад

    Naima kwishneee jirani yangu kabisa pale sharif shamba Kona ya amana hospital

  • @AbeleBausingi
    @AbeleBausingi Месяц назад +20

    Naima anafanana na Jennifer Lopez

  • @JustinMwakalukila
    @JustinMwakalukila Месяц назад +1

    Daaaah uko gud sna dadaa

  • @RehemaPeter-s8n
    @RehemaPeter-s8n Месяц назад +8

    Mzuri ata hajabadilika sura ❤

  • @godfreya6955
    @godfreya6955 Месяц назад +3

    Dada anafunguka huyo hatari 😀

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Месяц назад +1

    Et rangi nyeupe hiz rangi nyeupe ndo wangekuw wanaingia tuy pepon bila kutenda mambo mema wallah susi watuy weus sijui tungekuw wap japo mie pia siyo mweus lakin siwez kujivunia rangi hata siku moja yan huyu na warabu ambao tunawafanyia kaz huku hawan tofaut wallah kwa ongea yake hii alie ongea mjinga san akawaombe msaad watuy weup wezie jinga san et natokea rufij jinga w

  • @gseh9277
    @gseh9277 Месяц назад +8

    We Mariam kwenye maneno ya kuambiwa 😂😂

  • @noormohamed-tt4fg
    @noormohamed-tt4fg День назад

    Huyu muandishi mshamba sana limbukeni sasa kushangaa kuwa ni mwarabu imekuwa mwarabu huo ni ushamba

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 Месяц назад +58

    Huyu dada alimsaliti mumewe kisa u star...Mungu kamuadhibu...namjuwa mpaka mumewe...alimtesa sana mumewe baada yakuonekana kwenye video ya Mbagala mamaeee.

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 24 дня назад

    Manene ya kuambiwa nikiipenda sana

  • @chaileeportraits
    @chaileeportraits 19 дней назад

    Nyie mwafkiria diamond atamsaidia nani 😂😂😂😂😂 mpaka sasa hajaiona hii video

  • @annysamwel9669
    @annysamwel9669 4 дня назад

    Dunia ina mambo mm ndo maana mtu akitoboa simshobokei

  • @AgnesJohn-f1r
    @AgnesJohn-f1r Месяц назад +4

    Tulio kuwa hatujui kwamba Daimond na Sheta ni watoto wa huyu mama tujuane ila sijajua wa kwanza ni yupi 😂

  • @-kagerayetubw9jx
    @-kagerayetubw9jx 28 дней назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kumbe ulichezea kichapo licha ya kutufuraisha😅😅😅😅😅😅😅

  • @thamratysuleiman3053
    @thamratysuleiman3053 Месяц назад +13

    Umekulia kwenye dini ila bado dini huijui

    • @danimtenga6962
      @danimtenga6962 Месяц назад

      Dini ina faida gani sasa na wewe? 😂

    • @LumumbaFarhani
      @LumumbaFarhani Месяц назад

      ​@@danimtenga6962Usidhani wote makatonta, heshimu maoni ama jibu kwa staha! Si wote wanaabudu masanamu

    • @Azza-o8c
      @Azza-o8c 25 дней назад

      Huna akili wewe 😁

    • @nassoribrahim5288
      @nassoribrahim5288 11 дней назад

      😂

    • @khadijanurdin3163
      @khadijanurdin3163 2 дня назад

      Achana na hawa makafr walokujibu vbaya,jua wanaungua moyoni

  • @ZubeirHamada
    @ZubeirHamada 4 дня назад

    Hebu nambie ushaolewa saivi au bado

  • @zaikokingnil7727
    @zaikokingnil7727 Месяц назад +3

    Kwanza nampa pole yule mwanaume aliemuoa huyu binti akiwa na myaka 17, maana inaonekana huyu mama alikuwa wembe kabisa.

    • @Azza-o8c
      @Azza-o8c 25 дней назад

      Subiri na wewe utapewa pole siku moja

  • @ccenews8980
    @ccenews8980 29 дней назад

    Eti maadili...mimi ninaamini kwamba maadili hutoka moyoni na si kulazimishwa.

  • @AminaIfani-ge7sm
    @AminaIfani-ge7sm Месяц назад

    Nampenda sana uyo dada

  • @MsatiOne
    @MsatiOne Месяц назад +1

    Blue na Mr blue

  • @ernestsinje9700
    @ernestsinje9700 Месяц назад +1

    So beautifull

  • @Peterchila-un2lx
    @Peterchila-un2lx Месяц назад +8

    Anatafuta kikiiiiiiii aende mjini

  • @Irenediana-g5b
    @Irenediana-g5b Месяц назад +1

    Watafuteni wale watt alioimba nitarejea na hawa.watt wale wako wapi

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Месяц назад +1

    Jaman huyu dada kakua hivi mariyam wa maneno mengi Jaman turudishieni maneno yakua mbiwa

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Месяц назад +3

    Aisee brother diamond
    Uyu bonge la dem aisee daa!
    Sema nn poa tu!

    • @chotarawakingoni8148
      @chotarawakingoni8148 Месяц назад +1

      Saiv hamna kitu kawa mbaya
      Anakaa magomeni

    • @muksinimbaruku1233
      @muksinimbaruku1233 Месяц назад

      Sasa hapo ana ubaya gani au shida ni kupajuwa anapokaa?​@@chotarawakingoni8148

    • @shabbyofficial_
      @shabbyofficial_ Месяц назад

      Daah we mzee huchoki kureply unamdiss uyu dem alikukosea ama nini 😅​@@chotarawakingoni8148

  • @damianmcba9525
    @damianmcba9525 29 дней назад

    Mwandishi ile nyimbo ya nenda kamwambie ndio imemkaa kushinda hiyo ya Mbagala

  • @LydiaFaraji
    @LydiaFaraji Месяц назад

    Marym na mtawala dah weeee🎉🎉🎉🎉

  • @SKELETON-m9e
    @SKELETON-m9e Месяц назад +10

    Af huyu dem alishawahi kunitongoza kama sijasahau😊

    • @HabibaHassan-t2u
      @HabibaHassan-t2u Месяц назад

      😂😂😂😂

    • @nyanzaknyanza
      @nyanzaknyanza Месяц назад

      😂😂😂 User NYANZA nimekuwa mkosoaji wako lini tena umetongozwa​@@HabibaHassan-t2u

  • @michaelmaziku991
    @michaelmaziku991 Месяц назад +5

    Mashangaz wanatafuta ugali mjini maan tumeshawasahau kwa sasa

  • @liliansigera3497
    @liliansigera3497 Месяц назад +2

    Msaada sio lazima angekuwa mchovu ungelalwmika

  • @cizarmilan1837
    @cizarmilan1837 Месяц назад +1

    Kiufupi kashaachika

  • @cizarmilan1837
    @cizarmilan1837 Месяц назад

    Huyu sasa amejitokeza anataka kuzama katika dunia...ndo iyo mbiyu anayoipiga....😮

  • @GoldfreeHagai3
    @GoldfreeHagai3 Месяц назад +3

    Basi nikaenda tukafanya basi.😅😅😅

  • @Bongokasitv
    @Bongokasitv Месяц назад

    Nilikua naisubili iyo sehem yakutoka kumbe ulishaendanae katika show tena ukalal hoteli hapo kwasisi wakubwa tunaelewa jini kilitokea 😂😂😂

  • @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
    @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج 28 дней назад

    😂😂😂dada mkwel huyu mpk nmependa,,,et nmeishia form two

  • @boogie3023
    @boogie3023 27 дней назад

    Uyu ndo Mondi angeoa nyakati izo ila angechiti baadae 😂

  • @aoloathumani10
    @aoloathumani10 Месяц назад +9

    Sem huyu anaonekana yuko vizur kiuchumi hata diamond itakuwa analijua ilo, na kiuhalisia huwezi kumsadia kila mtu uliyekutana nae utasaidia wangap? Hata uyo bakhresa wapo ambao kawapotezea

  • @kijeshiabdalla6316
    @kijeshiabdalla6316 Месяц назад

    Ila hata kionjo cha huwo wimbo mngeuweka bana😊

  • @Kifutubrandfilm
    @Kifutubrandfilm Месяц назад +2

    🔥🔥🔥

  • @AnsilaMariale
    @AnsilaMariale Месяц назад +1

    😮

  • @giddie_barnabas
    @giddie_barnabas Месяц назад +2

    Dada kawa mkweli kwenye story yake kuanzia elimu ndoa had alipo

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 Месяц назад

    Mariam bado pisi kali sana aisee😍

  • @IssaNasir-v2e
    @IssaNasir-v2e Месяц назад +1

    Alikua mzuri kawahi kufubaa saiv kama mbibi

    • @verowilly5822
      @verowilly5822 Месяц назад

      Sasa atakuwa hivo hivo mpak lini...kwahiyo m2 asizeeke loh emu acheni ushamba

  • @RamadhanAthuman-d4c
    @RamadhanAthuman-d4c Месяц назад +1

    Watu weupe wanazeeka mapema sana

    • @JRN2612
      @JRN2612 Месяц назад +1

      Sema kusema uongo dhambi bado ana mvuto wa ajabu

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 Месяц назад +2

    Kumbe uko mrembo ivyo kwahushahuri hihi wakati ikipindi kile ulikuaje kweli wewe mrembo kweli nipo 🇨🇩

  • @michaelmaitha2458
    @michaelmaitha2458 Месяц назад

    Hio click sound mnaiskia ama nmkhoikhoi,ama muhadzabe

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 Месяц назад +6

    Wee maadili hamna ndo maana ulifanya vitu vyakuhatarisha ndoa yako bila mumeo kujua

    • @alimwadima254
      @alimwadima254 Месяц назад

      Hamna maadili huoni ma tattoo Mwili kujiachia Nusu uchi

  • @shamimageta6651
    @shamimageta6651 Месяц назад

    Dem wangu kabisa minahaa

  • @HusnaUtoto
    @HusnaUtoto Месяц назад +1

    Kila mtu kazeeka kazeeka kwan kuna ubaya? hyo mbagala ilikua mwaka gan na saiv ni mwaka gani mfyuuu ka mikubwa jinga

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz1573 Месяц назад

    No 5

  • @ExodusMarcStanley
    @ExodusMarcStanley Месяц назад

    Unaoa msichana wa miaka 16, inahitaji uvumilivu wa hali ya juu kila umri una matukio yake lazima uyapitie

  • @DM_15
    @DM_15 Месяц назад +11

    Kazeeka chap duh

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 Месяц назад +1

      mnoo

    • @Joppa555
      @Joppa555 Месяц назад +1

      Mikulukulu inazeesha saa ingine 😂😂😂

    • @MnubiMm
      @MnubiMm Месяц назад +1

      Hana uzee wowote amekuwa tu sio Binti tena

    • @jerrybasaya5377
      @jerrybasaya5377 Месяц назад +5

      Ulitegemea abaki vile vile baada ya miaka 15? Wewe unafanana ulivokuwa miaka 15 iliyopita? ACHA UBWEGE wewe!

  • @Sarah-e1o9k
    @Sarah-e1o9k Месяц назад

    Watu wawache vya kuomba omba na uvivu wakai wa vidio c ulilipwa fanya kazi bhana wacha lawama kheeee

  • @mbarakkhalid117
    @mbarakkhalid117 Месяц назад

    Jamaa ana interview maswali ya kisenge kweli

  • @ISSACKRICHARD
    @ISSACKRICHARD Месяц назад +4

    Wanawake wanazeeka mapemaaa😂😂😂 gademiti usishindane na mwanaumee

    • @BerthaModest
      @BerthaModest Месяц назад

      Amna uyo pale kwa diamond tu alikuwa mbali snaaa

  • @amanimlengwa9202
    @amanimlengwa9202 25 дней назад

    Sasa mbona kilichoandikwa na content ni tofauti?

  • @AHIMTYKIJANGWANIPEMBA-bc2wj
    @AHIMTYKIJANGWANIPEMBA-bc2wj Месяц назад

    Unatudhalilisha simba tunaposkia km unafany dharau kwa wenzko

  • @fakihassan9021
    @fakihassan9021 Месяц назад

    Damondi hyu dada mkumbuke sana mpechochoti

  • @maase2023
    @maase2023 Месяц назад +1

    Huyu mdada mbn mswahili sana

    • @jamesmbata8542
      @jamesmbata8542 Месяц назад +1

      Yeah ni kweli mswahili , cz anatokea pwani na pwani asili yake wanaishi waswahili😁

  • @fikiri_lssa
    @fikiri_lssa Месяц назад +2

    Safi sana