KAKA HALALI WA DIDA SHAIBU AJITOKEZA NA KUMPA ONYA KALI ALIYEJIFANYA KAKA WA DIDA JANA MSIBANI,

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024
  • KWA HABARI , SIASA, MICHEZO NA BURUDANI USISAHAU KU SUBSCRIBE RUclips CHANNEL YETU YA LOKOMATV HAPA
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: shorturl.at/wFP67/ || shorturl.at/jwQSU
    TWITTER: shorturl.at/luzLZ
    FACEBOOK: shorturl.at/rCL12
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 Empire Lokoma Limited . 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #yanga #simba #yangasc #simbasc #simbavsyanga #tff #nbcpremeireleague #mwakinyo #samatta #zuchu #wizkid #Davido #nandy #wasafi #diamondplatnumz #alikiba #harmonize #instalive #youtubelive #mboso #lavalava #beyonce #Mariacare #mwijaku #babalevo #hbaba #kondeboy #afrima #notjustok #exclusive #lokomatv #trending #tanzania #marioo #mrpimbi #rickmedia #millardayo #ayotv #simulizinasauti #utamu #mpenjatv #globaltv #bonatv

Комментарии • 414

  • @KhadijaBunto
    @KhadijaBunto 3 дня назад +62

    Ewaaaa huyo ndiyo kaka halali wa Dida, pole kaka Hussein Allah awape subra wewe na Abdallah 🤲🤲🤲

  • @GeorgeElias-p5o
    @GeorgeElias-p5o 3 дня назад +62

    Yule Mzee kayamwaga ndugu wameamua kumkataa😂😂😂

  • @safiyanirram-pf3sv
    @safiyanirram-pf3sv 3 дня назад +36

    Kaka anaonekana kaumia sana walhai poleni sana wafiwa Mungu awape subra lnshallah

    • @musa-v3f
      @musa-v3f 2 дня назад

      familia inabidi imshtaki yule Mzee kwa kumchafua dada yetu kwa maneno ya ovyo na hata kutaja maradhi ya dida bila hata ruhusa ya familia. mtu wa ovyo sana

  • @BahatiIsangu
    @BahatiIsangu 3 дня назад +31

    Pole sana kaka kiukweli ww ndo kaka kamili yule mzee ni chizi kabisa poleni sana

  • @Shukurukoll
    @Shukurukoll 3 дня назад +11

    Ayuwa ! Kaka wa marehemu upo sahihi kabisa. Allah SW Akubariki sana !

  • @Adje244
    @Adje244 3 дня назад +18

    Huyu ndio kaka wakweli macho yamevimba kwa kulia😢😢

  • @Nuru9568
    @Nuru9568 3 дня назад +14

    Allah atupe mwisho mwema Aminah🤲

  • @YousraSalimMohamad
    @YousraSalimMohamad 3 дня назад +8

    Mashaallah kaka unae,kmaa Allah awape Subirah

  • @manp9091
    @manp9091 3 дня назад +13

    Waandishi bwana kwaiyo mmemsariti kaka wa mwanzo 😂😂😂 lakini mbona maelezo ya kaka wa mwanzo na ya kaka wa pili ndo yaleyale

  • @aminamaulid7371
    @aminamaulid7371 3 дня назад +10

    Inna lillah wainna ilayhi raajiuun ☝, Allah awapengu na Subra zaidi katika kipindi hiki kigumu.

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 3 дня назад +33

    Shida yule wana mkana sababu kamwaga ule ubaya ubwela kaumwaga sasa wanaona bora wamkane 😂😂😂

    • @KhadijaMzuri
      @KhadijaMzuri 3 дня назад +5

      Sasa yule kamwaga ubwela je na mange kimambi mana yy nae katoa siri kubwa kila mtu kashangaa kua dida alikua na ukimwi kaacha kula dawa ndio mana kafa mange unamwambia nn

    • @DianaBright-r2h
      @DianaBright-r2h 3 дня назад +1

      ​@@KhadijaMzurikwani mange si alisema ni ugonjwa wa moyo kwani alisema ukimwi?

    • @storytime1204
      @storytime1204 3 дня назад +1

      ​@@KhadijaMzurimange alisema nini? mange mtu aliyetuma message alimuambia ni ugonjwa wa moyo hayo ya ukimwi wla ajasema

    • @zakiakondo2849
      @zakiakondo2849 3 дня назад +3

      Kabisa sababu anasema yale yale anayosema Hussein kwamba aliacha dawa fungus wakapanda kichwani sijui 😂

    • @devothajonas7917
      @devothajonas7917 2 дня назад

      ​@@KhadijaMzurimange alisema ugonjwa wa moyo

  • @AffectionateCap-fk8tx
    @AffectionateCap-fk8tx 3 дня назад +11

    Pole sana Husein kuondokewa na dada yako.

  • @mwanahkombo9496
    @mwanahkombo9496 3 дня назад +13

    Kaka uko vizuri na mungu akuzidishie imani

  • @reynaaalrawahi4137
    @reynaaalrawahi4137 3 дня назад +12

    Sahihi hussein. Waislm dhambi kumweka mtu mimi baba yangu kafa sijamuona nimefika nimekutwa ameshazikwa

  • @SubiraJohn-v9s
    @SubiraJohn-v9s 2 дня назад +1

    Pole sana Kaka Mwenyezimungu awape Subra! Innallilah wainnaylilah rajiuun!

  • @EmmanuelDastani
    @EmmanuelDastani 3 дня назад +25

    Sasa ao ndugu wanamkataa nini mbona yule mzee kajieleza vizur waache makasiliko bhna😂

    • @gracekenan4665
      @gracekenan4665 День назад

      Kabisa halafu wanafanana nae.....sema alikosea kusema public.mbona nae alisema vidonda vya tumbo pia

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 15 часов назад

    KAKA DIDA KANYOOOKA.KAONGEA VZURI😢😢POLE SANA ALLAH AKUPE SUBRA.

  • @MohadiTv
    @MohadiTv 3 дня назад +31

    Jamani tutafuteni ela ili ukifa kila mtu aseme ni ndugu yako😅

    • @linnerphilip4260
      @linnerphilip4260 3 дня назад

      Hata kama huyu ni mweusi ila kafanama na didda

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 3 дня назад +1

      Yule Mzee alieropoka ni ndugu Yao Kuna mfanano mkubwa tu .. wanamkataa wamekata wakapanga Ili kuukwepa ukweli wa Mzee 😊😊

    • @annamitumba3981
      @annamitumba3981 3 дня назад

      Jau wewe😂😂😂

    • @abbassalum6824
      @abbassalum6824 3 дня назад +1

      Pesa sio tatz unaweza ukawa na pesa lakin kakuna anaekujua pesa pekeyake haitoshi na Umaalufu pia

    • @SiriAmiri
      @SiriAmiri 3 дня назад +2

      Huyu kaka namuelewa,hapa duniani tunapita Fanya ufanyavo ukifa lazima taratibu za dini zifwate

  • @mauakapungila8283
    @mauakapungila8283 3 дня назад +5

    😅😅😅😅😅yulenikakaake awez kuongea uongo wachen mamboyenu umbea tu

  • @Tashmaorg
    @Tashmaorg 3 дня назад +22

    Mbona alijielezea uzur kam ndugu wakushea. Achen. Fitna yule mzee kajielezea. Vizur. Sana

    • @JamesTomas-q7l
      @JamesTomas-q7l 2 дня назад

      Yule anatafuta umaarufu tu

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 2 дня назад

      Kwanza ukimtazama yule aliyejiita kaka wa kwanza anaonekana kama hamnazo kidogo kichwa kimelegea nati. Pole sana kaka Allah awape subra na wepesi katika msiba huu.

  • @robbyman6213
    @robbyman6213 2 дня назад +5

    Kaka wa kwanza alisema vidonda vilipanda kichwani 😂😂 wa pili vilipanda kifuani hawa ndugu wanatuchanganya sasa😂😂😂

    • @JamesTomas-q7l
      @JamesTomas-q7l 2 дня назад

      Haaahaaayee ilipanda kichwan tena

    • @ShaniaKing-o5d
      @ShaniaKing-o5d 6 часов назад

      @@robbyman6213 omba mungu isikutokee kupanda madonda kwenye kifua yani mapafu tulopitia mitihani huo,nakutoboa kwa uwezo wa mungu tunaelewa nini kinaongelewa.

    • @ShaniaKing-o5d
      @ShaniaKing-o5d 6 часов назад

      Nibora usikie kuliko yakukute

  • @kautharyally1729
    @kautharyally1729 3 дня назад +16

    Wameamua tuu kumkanaa 😂😂😂maana yule sio chizi mpaka akurupuke

  • @NamiriNamiri-oz4xs
    @NamiriNamiri-oz4xs 3 дня назад +13

    Polenta sanq kwa msiba mungu Awape.Subra katika kipindi hiki kigumu ndugu yangu haina haja ya kuleta mtafar7ku jambo limeshapita tuseme Al hamdulillah Dawa hata za vidonda usipozitumia jibu linakuja hakunywa dawa haina haja ya mtafaruku wapendwa wangu.

  • @khadijayusuph9316
    @khadijayusuph9316 День назад +2

    Huyu mtangazaji aendekusomea kwanza man anachokifqnya hapa ni maigizo tu,

  • @georgeichinge8599
    @georgeichinge8599 3 дня назад +24

    iyo anamkana ndugu ye. wakato wanafanana hadi sauti

  • @hkk2450
    @hkk2450 3 дня назад +7

    Kaka mashallah kanuni za dini anazijua

  • @salmamakame6439
    @salmamakame6439 2 дня назад +2

    MashaaAllah kaka

  • @miriammbwana2827
    @miriammbwana2827 День назад

    Pole kaka Hussen tajiri yetu wapambanaji tunawapa pole

  • @kassimaliy7343
    @kassimaliy7343 3 дня назад +10

    Upo sahihi kaka sisi dini yetu hatukai na maiti ukifa ni kuzikwa tu

  • @NajahatiAgway
    @NajahatiAgway 3 дня назад +4

    Inalilah waina ilah rojiun,,polen sana dungu wote Allah awape subra kwa kipindi hiki kigumu

  • @nahimanawanjani9865
    @nahimanawanjani9865 3 дня назад +7

    Ndiyo kabisa dula

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 3 дня назад +28

    Alisema ni mtt wa mjomba wake! Sio kaka baba mmoja mama moja😅 yule yuko sahihi wameamua kumkana tu.

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 3 дня назад +2

      Wamemkana kwa kusema ukweli.. 😊😊

    • @storytime1204
      @storytime1204 3 дня назад

      ​@@annasolomon9855mna uhakika gani ni ukweli?

    • @mimazcollectionmimaz8874
      @mimazcollectionmimaz8874 3 дня назад +1

      Wamemkana hawajamkana ww vyakusaidia nini....ama kama wasingekana ndio dada angefufuka ama? Jishkilie ww

    • @ummySheikh72
      @ummySheikh72 3 дня назад

      @@mimazcollectionmimaz8874 kumeanza kuchangamka sasa, haya shusha matusi mengine! Watu wahumu hawana kazi ya kufanya kazi kukoment upuuzi hovyoo! Pyuuu🤧

    • @EmmaPonera
      @EmmaPonera 2 дня назад

      Hata kama alikuwa sahihi lakini wa kutoa taarifa ni msemaj aliyeandaliwa na familia

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 День назад +1

    Sasa alikuwa wapi pindi yule anabwabwaja😂😂 daaa ila mtoto wa mjomba enu jamani msimkane😢😢😢😢

  • @saudaaddey7402
    @saudaaddey7402 3 дня назад +20

    Kwa kweli jitu zima lili ropoka vibaya je ange Kuwa mtoto wake ange thubutu kujieleza vile sisi tupo nje ya nchi tulijua tu yule mlevi kavimbiwa chakula cha msiba ni kwa sababu watoto wa Marehemu da Mariam tunawajua.

  • @JacquelineMahumbe
    @JacquelineMahumbe 2 дня назад

    Hongera kaka yangu kipenzi

  • @Mariam-w9s3b
    @Mariam-w9s3b 3 дня назад +90

    Kwa mwenye akili unajua kabisa yule ndugu Yao umesikia akisema mama Yao mkubwa alisema kuwa mnamjua akili zake ivyo itoshe kuwa ni ndugu Yao sema kalopoka

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 3 дня назад +5

      Kuna mfano yule Mzee wasimkatae, wamekata wakajadili Ili kuja kuukwepa ukweli wa kaka mkubwa.😊😊

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 3 дня назад +6

      Wanamfanano na familia 😅

    • @elizabethchabluma-zw5qz
      @elizabethchabluma-zw5qz 3 дня назад +9

      Yanawahusu nini iwe kweli au si kweli, ya kwenu yanawashinda

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 3 дня назад +3

      @@elizabethchabluma-zw5qz hayatuhusu lakini Mzee keshasema ukweli unaofhihirka Ili wengine wapone.. hujui Kuna kitu kinweza kuja kama kuharibu lakini kikawa fundisho kwa wenye kuumwa Ili wasiache dozi Kuna madhara kama hayo..

    • @Zainab-u9q
      @Zainab-u9q 3 дня назад +4

      Maelezo yanajionyesh ndug yao sema wanamkana hapa na inaonekan yule baba hayupo sawa

  • @HidayaMzima-n8w
    @HidayaMzima-n8w 3 дня назад +10

    Yan MTU hamumjui anapataje nafac ya kumuona dokta na kupewa habari za mgonjwa

  • @vinanimwinyi3163
    @vinanimwinyi3163 2 дня назад +1

    Allah awape subra wana family InshaAllah

  • @AlliMohamed-q2y
    @AlliMohamed-q2y 3 дня назад

    Daah mzee mpiri alitaka ajulikane kwenye midia 😂😂

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 3 дня назад +10

    Mtamgombania kwakuwa mama yake kaacha Mali nyingi,hapo ndio mjomba atasimamia na vinginevyo.😊

  • @zakiakondo2849
    @zakiakondo2849 3 дня назад +2

    Poleni sana kama hamumfahamu mpelekeni mahakamani maana hata juma lokole kasema Anaumwa vidonda vya tumbo 😢

  • @mwananganzi
    @mwananganzi 2 дня назад

    Pole sana kaka

  • @eysherjuma3779
    @eysherjuma3779 18 часов назад +1

    Masikini kafanana kidogo nadida mpakq macho

  • @FaudhiaShabani-y7y
    @FaudhiaShabani-y7y 2 дня назад +2

    Mungu awape subil

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 3 дня назад +2

    Duh! Kumbe yule mwingine alikuwa kaka wa mchongo, ndo maana tulishangaa anaongelea mpaka mambo ya uchaguzi! Pumzika kwa amani Dida!

  • @rahmambugi2322
    @rahmambugi2322 3 дня назад +2

    Mungu amechuma tunda lake waandishi acheni kukuza maneno tumuombee apunguziwe azabu za kaburi, sisi tulimpende mungu alimpenda zaidi.🙏

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 3 дня назад +12

    Mbona anafanana na Yule kaka

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 3 дня назад +2

    Pole sana hayo majamaa hayakosekani kwenye misiba hivyo usijali mungu awape utulivu

  • @dsound255
    @dsound255 3 дня назад +33

    Yule hakusema ni baba mmoja ila shida ni ule UBAYA UBWELA A.K.A UPUPU alio umwaga

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 3 дня назад +1

      🤣🤣🤣ubaya ubwela

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 3 дня назад +2

      Namkumbuka tena hakuongea kwa ubaya, alisema anamshukuru mjomba ake ambaye ni baba ake Dida, labda pale aliposema dida labda hakuwa anatumia dawa vzr ndicho kilichompelekea kifo

    • @chumchum1526
      @chumchum1526 3 дня назад +3

      😂😂😂😂bado tuna msiba ujue

    • @OmaryHussein-e2f
      @OmaryHussein-e2f 3 дня назад +2

      Nimaradhi tu kama maradhi mengine jamaa aliongea ukweli

    • @RabiaSaid-sh1km
      @RabiaSaid-sh1km 3 дня назад +1

      𝐘𝐞𝐲 𝐚𝐥𝐢𝐬𝐞𝐦𝐚 𝐤𝐦 𝐤𝐚𝐜𝐡𝐮𝐤𝐮𝐥𝐢𝐰𝐚 𝐧 𝐁𝐚𝐛 𝐲𝐚𝐤𝐞 𝐝𝐢𝐝𝐚 𝐤𝐮𝐭𝐨𝐤 𝐤𝐢𝐣𝐢𝐣𝐢𝐧𝐢 𝐚𝐤𝐚𝐦𝐥𝐞𝐭𝐚 𝐦𝐣𝐢𝐧𝐢 𝐤𝐰𝐚𝐡𝐢𝐨 𝐤𝐚𝐬𝐞𝐦𝐚 𝐧𝐢 𝐤𝐦 𝐤𝐚𝐤 𝐲𝐚𝐤𝐞

  • @laurentinachristopher6064
    @laurentinachristopher6064 2 дня назад

    Watangazaji wa siku hizi jamani😂😂

  • @alhabsi6430
    @alhabsi6430 3 дня назад +6

    Kweli maneno yako kaka

  • @ReginaUshaky
    @ReginaUshaky 3 дня назад +4

    Mh uongo Kama alikuwa sio ndugu asingekuwa na udhibutu wa kusema yote hayo.kwa nnmsingemshtak tuyaache yamepita mungu ampumzishe kwa aman

  • @noorrajpar3928
    @noorrajpar3928 3 дня назад +3

    Yule baba mnamjua na ni mwanafamilia sema aliyoyaongea katoa siri ndo maana mnamkataa😢

  • @KahambasDaughterTherock
    @KahambasDaughterTherock День назад

    Nimependa hapo mlipkuwa na msimamo wa dini inasemaje...Tunatakiwa tuwe wote hivyo kuheshimu maandiko.Mungu atusaidie

  • @abdullahmuhammadKambona
    @abdullahmuhammadKambona День назад

    Mbwabwabwaji ashafanya yake,,,😂😂😂kaacha UBWELA unaendelea,,huku mtaani

  • @AmirliAmirli-p1z
    @AmirliAmirli-p1z 3 дня назад +4

    Huyu mwandishi emu akasome kwanza yani yupo ovyo sana kwenye kuuliza maswali

  • @itzsnazzyjazzy472
    @itzsnazzyjazzy472 3 дня назад +7

    Lkn yule mfanyikazi wa dida boutique alisema alikuwa na dida na kaka yake dida mdogo aliomba karatasi na kalamu Sasa hiyo karatasi na kalamu aliandika nini kama sio usia jamani

    • @susans4490
      @susans4490 3 дня назад +4

      Ss unataka kila kitu cha familia wakiweke mitandaoni?je ww ungeyasema yote

  • @nelicekelly6289
    @nelicekelly6289 3 дня назад +3

    Ni kwasabab ya umaarufu wake ndomana watu wanaongea wanachojua Ili kupata kiki tu

  • @shabanimadobe972
    @shabanimadobe972 3 дня назад +4

    Alafu mwandishi wa ovyo sana et anasikiliza pembeni ndyo ana hoji kumamae

  • @halimaburhan1952
    @halimaburhan1952 День назад

    Huyu sasa ndio kaka halali wa dida tuliosoma.National housing tunaelewa moaka hiyo

  • @rukyomar1955
    @rukyomar1955 День назад

    nlichogundua ni kwamba uyu mzee anataka amlee mtot apokee hela that's why anasema aichomwambia ni kumuangalia mtoto tu ndo ha muhimu😢

  • @eveliynejoseph7944
    @eveliynejoseph7944 3 дня назад +1

    Huyu ndo kaka yake Dida wa Kwanza,Hussein achaneni na yule mweu, na ndo mwenye uchungu na dada yake

  • @SwediMlaponi
    @SwediMlaponi День назад

    Jamani ee kujaji so ishu tuombe mwisho mwema tyuu hamna anaejua kifochake kitakuaje kwahiyo lamuhimu kuomba mwishomwema

  • @annamussa185
    @annamussa185 3 дня назад +13

    Shikamoo Ukimwi 😢kama mlimpeleka Sinza Parestina Basi ni ukimwi Fangasi zimemuua

    • @bhm675
      @bhm675 3 дня назад +3

      Duh so wote tunaoendaga Palestina tuna ukimwi 😮😮

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 3 дня назад +1

      Jamani nyinyi ha! Tumuwachie mungu tu

    • @AshuraIssa-p7v
      @AshuraIssa-p7v 3 дня назад

      Mhhhhhhhh

    • @sophiamunga4520
      @sophiamunga4520 3 дня назад +2

      Dah,wew nusu niweke na emoj ya kucheka

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 3 дня назад +1

      Kwani Palestina wanatibiwa ukimwi peke yake?

  • @OmmyVingata
    @OmmyVingata 2 дня назад

    Maswali mengine jamani eti!!...Marehemu akuandika hosiha

  • @FaaniAli-jg5zh
    @FaaniAli-jg5zh 3 дня назад +1

    Kiukweli sisi wa islamu tunaoneshana maiti naingekuwa sawa kama walipo mtoa hospitali wangemleta nyumbani kwake hata kama ni masaa kidogo then wampeleke msikitini kwauoshaji wake ilapia ingekuwa vyema kama angeoshwa kwake nyumbani na kupelekwa msikitini kuswaliwa tuu nakwenda kustiriwa katika nyumba yake ya milele 😢😢 mbele yake nyuma yetu Allah ampe kauli thabiti mpendwa wetu 🙏

  • @mukarubegasalma4718
    @mukarubegasalma4718 2 дня назад

    Huyu nae muongo ati alimwambia ati mtoto Wangu asome 😂Mongo mwanzo alisema kwamba hajacha husia wowote

  • @GreatestSwordsman
    @GreatestSwordsman 3 дня назад +1

    Hii dunia jmn kufa isifiwe ishi uonewe, badala waomboleze yaani inakuwa kama content flani hivi😂😂😂 😢😢😢😢😢😢 daah Mungu awarehemu

  • @NasraMrisho-u6u
    @NasraMrisho-u6u 2 дня назад

    Mashallah din ndo ipo ivo

  • @MolingaMusa
    @MolingaMusa День назад

    Watanzania wanapenda kuskia maneno mazuri mazuri tu pengine aliacha kweli dozi mbona mfanyakazi wake alisema anaumwa ugonjwa mkubwa ambao hawezi kuusema

  • @MethodkifokaMethodkifoka
    @MethodkifokaMethodkifoka 2 дня назад +3

    Ukute na huyu nae sio kaka ake

  • @AGNELTENGiA
    @AGNELTENGiA 2 часа назад

    Hivi ujue hawa wanaanza kugombana , hapa ina maana yule wa kwanza ni kakaake dida na hata huyo pia ni kakaake pia tena hata sura zinafanana ila familia nyingi za kiafrika hatuna elimu kwa hiyo ügümü ni mwingi

  • @WahidaHilaly
    @WahidaHilaly 18 часов назад

    😢😢😢😢

  • @GloriaChrisostoms
    @GloriaChrisostoms 2 дня назад

    Wa kwanza alikuwa sahihi mm nilimuelewa sana unajua wahehe hawana konakona ndio maana kanyoosha maelezo wanaficha nini siku hizi-hakuna kificho

  • @stellalaurent1479
    @stellalaurent1479 2 дня назад +1

    Huyo mwandishii naye woiii

  • @shanizuberi7984
    @shanizuberi7984 3 дня назад +2

    Uchawi uyo na mama Yao mkubwa ndo anawamaliza kala mdogo wake wa Zanzibar na watoto wake wa 7 mhuu

  • @KateJones-u7q
    @KateJones-u7q 3 дня назад +2

    Mnakataana Kwa kufikiria mtapata hela za pole😂

  • @hakimameir1766
    @hakimameir1766 2 дня назад

    Basi tena mwacheni apumzike kwa amani yaan imekua hakuna lingine zaid ya kumuomboleza mtu kila siku, Ameshakufa kilobaki ni kumuombea tu

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 2 дня назад +2

    Hivi nyie watangazaji munauliza ugonjwa wa mtu ili iweje? Hata daktari hakubali kuelezea ugonjwa wa mtu ila kwa wahusika tu. Maswali yenu ni uzushi mtupu.

  • @FatumaSalimu-pn4vo
    @FatumaSalimu-pn4vo 3 дня назад +1

    Kabsa kaka naomba ukae nae huyo mtoto usimpe mtu mtunze wewe na mkeo au baba yake mzazi Asalam aleikum

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 2 дня назад

    Vidonda vya tumbo ni hatari.stress inazidisha matatizo hayo😮

  • @MUDIKIDEVU-fl7ii
    @MUDIKIDEVU-fl7ii 3 дня назад +3

    Umekosea we kaka wa Dida ulivokataa kuwayule baba hamumjui hukutakiwa kusema alikuja hosptali

  • @CinnamonCafe-r4p
    @CinnamonCafe-r4p 22 часа назад

    Mbona kama wanafanana na huyu mwamba

  • @AntoniaMathias-n4k
    @AntoniaMathias-n4k 3 дня назад +1

    Safi sana kuhusu mtoto

  • @kiwalepeter4964
    @kiwalepeter4964 2 дня назад

    Wanamkataa kwasababu ameongea siri ambazo sio sahihi kwa jamii lazima namimi ningemkataa huyo mwamba

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 День назад

    Tambo zoote zile sio kaka mtu! Ila watu wa dar jamani! Mtu anaamu kujifanya anamjua marehemu wakati hata marehemu hajawahi kumjua! Dhambi hio!

  • @PeterNyakwiyanga
    @PeterNyakwiyanga 2 дня назад +1

    Yule kaka alieleza vizur ni ndugu yenu msimkatae

  • @OmanSohar-d7z
    @OmanSohar-d7z 3 дня назад +2

    Ankle kaogeya vizury sna😊😊

  • @AllySalum-j9y
    @AllySalum-j9y 3 дня назад +2

    Jamaniiii wacheniii tunguuu wafamiria waturizeee kichwaaa kutwaaa kuwaojiiii mpakaaa wakatahaneee unduguuu tenaaa kwajiriii yenuu yureee kasemaaa nauyuuu anasemaaa akunaaa arichohongezaaa magonjwaaa ndohayooo mnatakaa ninitena

  • @AGNELTENGiA
    @AGNELTENGiA 2 часа назад

    Yule mzee yupo sawa na ni ndugu yake na alichosema kipo sawa ila huyo analeta ugumu

  • @ramadhanimpapalika7131
    @ramadhanimpapalika7131 3 дня назад +2

    Ŵanafanana sana...ila mtoto si maamuzi ya upande wa kiume??? Damu kwa mjomba tena???😂😂😂

    • @ireneshao7950
      @ireneshao7950 3 дня назад +2

      Labda upande wa baba hawaku husika na malezi ya mtoto

  • @wadudi2741
    @wadudi2741 3 дня назад

    Hahahahah jamni kiherehere jamni

  • @rahimaabdallah1089
    @rahimaabdallah1089 3 дня назад

    Hii familia ina sithole fahamu nyingi ila twashkuru amestiriwa salama alhamndulillah

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews 3 дня назад +3

    Kaka wamekuwa wengi😂😂

    • @zainabuabdul7852
      @zainabuabdul7852 3 дня назад

      Huyu ndo kaka yake anaitwa hussein shaibu

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein 3 дня назад

      Pia Mimi ni shangazi 🇰🇪😂😂😂

    • @cdeleo9336
      @cdeleo9336 3 дня назад

      Huyu ndo kakayake tumbo moja

  • @annamitumba3981
    @annamitumba3981 3 дня назад

    😂😂😂😂😂😂😂ila hii dunia vituko ni vingi

  • @MolingaMusa
    @MolingaMusa День назад

    Wee kaka acha uongo umeshaona kuna majumba na magari na biashara zake unataka umkumbatie mtoto umnyonye na mali za mamaake kaka mwenyewe unaonekana mjanja

  • @dunstangeorge3263
    @dunstangeorge3263 2 дня назад

    Mbona sura zenu zinafanana na kaka wa kwanza!! acheni kumnyanyapa ndugu yenu au mnadhan anachkua mirathi🤷‍♂️🤷‍♂️

  • @emanuelathanas6613
    @emanuelathanas6613 2 дня назад

    Hapo ndo utajua kua sio lazima kuzika kwa haraka kama vile mnamtupa diamond najua ameumia sana kutomzika dida

  • @Malaika58
    @Malaika58 День назад

    Vidonda vya tumbo kupanda mpaka kifuani, That's cancer, huwa ina spread like that. Miye nimemuguza ndugu yangu ameumwa ivoirienne and it was cancer

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 3 дня назад +1

    Mbona aliongea vizuri hakusema kama ndugu baba mmoja waandishi na nyie wachonganishi