KAKA HALALI WA DIDA SHAIBU AJITOKEZA NA KUMPA ONYA KALI ALIYEJIFANYA KAKA WA DIDA JANA MSIBANI,
HTML-код
- Опубликовано: 9 окт 2024
- KWA HABARI , SIASA, MICHEZO NA BURUDANI USISAHAU KU SUBSCRIBE RUclips CHANNEL YETU YA LOKOMATV HAPA
Follow Us On:
INSTAGRAM: shorturl.at/wFP67/ || shorturl.at/jwQSU
TWITTER: shorturl.at/luzLZ
FACEBOOK: shorturl.at/rCL12
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 Empire Lokoma Limited . 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#yanga #simba #yangasc #simbasc #simbavsyanga #tff #nbcpremeireleague #mwakinyo #samatta #zuchu #wizkid #Davido #nandy #wasafi #diamondplatnumz #alikiba #harmonize #instalive #youtubelive #mboso #lavalava #beyonce #Mariacare #mwijaku #babalevo #hbaba #kondeboy #afrima #notjustok #exclusive #lokomatv #trending #tanzania #marioo #mrpimbi #rickmedia #millardayo #ayotv #simulizinasauti #utamu #mpenjatv #globaltv #bonatv
Ewaaaa huyo ndiyo kaka halali wa Dida, pole kaka Hussein Allah awape subra wewe na Abdallah 🤲🤲🤲
Hakika
Yaaa huyu ndie bro wake Dida sisi tuliokulia mitaa ya ubungo na urafiki flats tunamfahamu vzr tu
Musemba.
Yule Mzee kayamwaga ndugu wameamua kumkataa😂😂😂
Umeonaee
Tena yule kaka kaongea ukweli
Pole hussein
Kayatimba lazima wamtenge familia😅
Kabisa@@annasolomon9855
Kaka anaonekana kaumia sana walhai poleni sana wafiwa Mungu awape subra lnshallah
familia inabidi imshtaki yule Mzee kwa kumchafua dada yetu kwa maneno ya ovyo na hata kutaja maradhi ya dida bila hata ruhusa ya familia. mtu wa ovyo sana
Pole sana kaka kiukweli ww ndo kaka kamili yule mzee ni chizi kabisa poleni sana
makaka ndio wabaya sana kama ukiwa umemzid akili mali na maarifa
Ayuwa ! Kaka wa marehemu upo sahihi kabisa. Allah SW Akubariki sana !
Huyu ndio kaka wakweli macho yamevimba kwa kulia😢😢
Allah atupe mwisho mwema Aminah🤲
Mashaallah kaka unae,kmaa Allah awape Subirah
Waandishi bwana kwaiyo mmemsariti kaka wa mwanzo 😂😂😂 lakini mbona maelezo ya kaka wa mwanzo na ya kaka wa pili ndo yaleyale
Inna lillah wainna ilayhi raajiuun ☝, Allah awapengu na Subra zaidi katika kipindi hiki kigumu.
Shida yule wana mkana sababu kamwaga ule ubaya ubwela kaumwaga sasa wanaona bora wamkane 😂😂😂
Sasa yule kamwaga ubwela je na mange kimambi mana yy nae katoa siri kubwa kila mtu kashangaa kua dida alikua na ukimwi kaacha kula dawa ndio mana kafa mange unamwambia nn
@@KhadijaMzurikwani mange si alisema ni ugonjwa wa moyo kwani alisema ukimwi?
@@KhadijaMzurimange alisema nini? mange mtu aliyetuma message alimuambia ni ugonjwa wa moyo hayo ya ukimwi wla ajasema
Kabisa sababu anasema yale yale anayosema Hussein kwamba aliacha dawa fungus wakapanda kichwani sijui 😂
@@KhadijaMzurimange alisema ugonjwa wa moyo
Pole sana Husein kuondokewa na dada yako.
Kaka uko vizuri na mungu akuzidishie imani
Sahihi hussein. Waislm dhambi kumweka mtu mimi baba yangu kafa sijamuona nimefika nimekutwa ameshazikwa
Pole sana
Pole san
Pole sana Kaka Mwenyezimungu awape Subra! Innallilah wainnaylilah rajiuun!
Sasa ao ndugu wanamkataa nini mbona yule mzee kajieleza vizur waache makasiliko bhna😂
Kabisa halafu wanafanana nae.....sema alikosea kusema public.mbona nae alisema vidonda vya tumbo pia
KAKA DIDA KANYOOOKA.KAONGEA VZURI😢😢POLE SANA ALLAH AKUPE SUBRA.
Jamani tutafuteni ela ili ukifa kila mtu aseme ni ndugu yako😅
Hata kama huyu ni mweusi ila kafanama na didda
Yule Mzee alieropoka ni ndugu Yao Kuna mfanano mkubwa tu .. wanamkataa wamekata wakapanga Ili kuukwepa ukweli wa Mzee 😊😊
Jau wewe😂😂😂
Pesa sio tatz unaweza ukawa na pesa lakin kakuna anaekujua pesa pekeyake haitoshi na Umaalufu pia
Huyu kaka namuelewa,hapa duniani tunapita Fanya ufanyavo ukifa lazima taratibu za dini zifwate
😅😅😅😅😅yulenikakaake awez kuongea uongo wachen mamboyenu umbea tu
Mbona alijielezea uzur kam ndugu wakushea. Achen. Fitna yule mzee kajielezea. Vizur. Sana
Yule anatafuta umaarufu tu
Kwanza ukimtazama yule aliyejiita kaka wa kwanza anaonekana kama hamnazo kidogo kichwa kimelegea nati. Pole sana kaka Allah awape subra na wepesi katika msiba huu.
Kaka wa kwanza alisema vidonda vilipanda kichwani 😂😂 wa pili vilipanda kifuani hawa ndugu wanatuchanganya sasa😂😂😂
Haaahaaayee ilipanda kichwan tena
@@robbyman6213 omba mungu isikutokee kupanda madonda kwenye kifua yani mapafu tulopitia mitihani huo,nakutoboa kwa uwezo wa mungu tunaelewa nini kinaongelewa.
Nibora usikie kuliko yakukute
Wameamua tuu kumkanaa 😂😂😂maana yule sio chizi mpaka akurupuke
Yule kaonganisha umeme direct 😂😂😂
Polenta sanq kwa msiba mungu Awape.Subra katika kipindi hiki kigumu ndugu yangu haina haja ya kuleta mtafar7ku jambo limeshapita tuseme Al hamdulillah Dawa hata za vidonda usipozitumia jibu linakuja hakunywa dawa haina haja ya mtafaruku wapendwa wangu.
Huyu mtangazaji aendekusomea kwanza man anachokifqnya hapa ni maigizo tu,
iyo anamkana ndugu ye. wakato wanafanana hadi sauti
Kaka mashallah kanuni za dini anazijua
MashaaAllah kaka
Pole kaka Hussen tajiri yetu wapambanaji tunawapa pole
Upo sahihi kaka sisi dini yetu hatukai na maiti ukifa ni kuzikwa tu
Inalilah waina ilah rojiun,,polen sana dungu wote Allah awape subra kwa kipindi hiki kigumu
Ndiyo kabisa dula
Alisema ni mtt wa mjomba wake! Sio kaka baba mmoja mama moja😅 yule yuko sahihi wameamua kumkana tu.
Wamemkana kwa kusema ukweli.. 😊😊
@@annasolomon9855mna uhakika gani ni ukweli?
Wamemkana hawajamkana ww vyakusaidia nini....ama kama wasingekana ndio dada angefufuka ama? Jishkilie ww
@@mimazcollectionmimaz8874 kumeanza kuchangamka sasa, haya shusha matusi mengine! Watu wahumu hawana kazi ya kufanya kazi kukoment upuuzi hovyoo! Pyuuu🤧
Hata kama alikuwa sahihi lakini wa kutoa taarifa ni msemaj aliyeandaliwa na familia
Sasa alikuwa wapi pindi yule anabwabwaja😂😂 daaa ila mtoto wa mjomba enu jamani msimkane😢😢😢😢
Kwa kweli jitu zima lili ropoka vibaya je ange Kuwa mtoto wake ange thubutu kujieleza vile sisi tupo nje ya nchi tulijua tu yule mlevi kavimbiwa chakula cha msiba ni kwa sababu watoto wa Marehemu da Mariam tunawajua.
Who cares Kama upo nje😅?
Mbona alijieleza vizuri tuu...aliropoka wapi jamani..
Hongera kaka yangu kipenzi
Kwa mwenye akili unajua kabisa yule ndugu Yao umesikia akisema mama Yao mkubwa alisema kuwa mnamjua akili zake ivyo itoshe kuwa ni ndugu Yao sema kalopoka
Kuna mfano yule Mzee wasimkatae, wamekata wakajadili Ili kuja kuukwepa ukweli wa kaka mkubwa.😊😊
Wanamfanano na familia 😅
Yanawahusu nini iwe kweli au si kweli, ya kwenu yanawashinda
@@elizabethchabluma-zw5qz hayatuhusu lakini Mzee keshasema ukweli unaofhihirka Ili wengine wapone.. hujui Kuna kitu kinweza kuja kama kuharibu lakini kikawa fundisho kwa wenye kuumwa Ili wasiache dozi Kuna madhara kama hayo..
Maelezo yanajionyesh ndug yao sema wanamkana hapa na inaonekan yule baba hayupo sawa
Yan MTU hamumjui anapataje nafac ya kumuona dokta na kupewa habari za mgonjwa
Allah awape subra wana family InshaAllah
Daah mzee mpiri alitaka ajulikane kwenye midia 😂😂
Mtamgombania kwakuwa mama yake kaacha Mali nyingi,hapo ndio mjomba atasimamia na vinginevyo.😊
Tatizo hizo mali ndio zitaleta shida
Mali gani basi?
@@johnmichaellukindo21 hizo hizo
@@ummySheikh72 dada ummy umeshinda♥️
Poleni sana kama hamumfahamu mpelekeni mahakamani maana hata juma lokole kasema Anaumwa vidonda vya tumbo 😢
Pole sana kaka
Masikini kafanana kidogo nadida mpakq macho
Mungu awape subil
Duh! Kumbe yule mwingine alikuwa kaka wa mchongo, ndo maana tulishangaa anaongelea mpaka mambo ya uchaguzi! Pumzika kwa amani Dida!
Mungu amechuma tunda lake waandishi acheni kukuza maneno tumuombee apunguziwe azabu za kaburi, sisi tulimpende mungu alimpenda zaidi.🙏
Mbona anafanana na Yule kaka
Yule ni ndugu yao ila ni mwehumwehu😂😂
Pole sana hayo majamaa hayakosekani kwenye misiba hivyo usijali mungu awape utulivu
Yule hakusema ni baba mmoja ila shida ni ule UBAYA UBWELA A.K.A UPUPU alio umwaga
🤣🤣🤣ubaya ubwela
Namkumbuka tena hakuongea kwa ubaya, alisema anamshukuru mjomba ake ambaye ni baba ake Dida, labda pale aliposema dida labda hakuwa anatumia dawa vzr ndicho kilichompelekea kifo
😂😂😂😂bado tuna msiba ujue
Nimaradhi tu kama maradhi mengine jamaa aliongea ukweli
𝐘𝐞𝐲 𝐚𝐥𝐢𝐬𝐞𝐦𝐚 𝐤𝐦 𝐤𝐚𝐜𝐡𝐮𝐤𝐮𝐥𝐢𝐰𝐚 𝐧 𝐁𝐚𝐛 𝐲𝐚𝐤𝐞 𝐝𝐢𝐝𝐚 𝐤𝐮𝐭𝐨𝐤 𝐤𝐢𝐣𝐢𝐣𝐢𝐧𝐢 𝐚𝐤𝐚𝐦𝐥𝐞𝐭𝐚 𝐦𝐣𝐢𝐧𝐢 𝐤𝐰𝐚𝐡𝐢𝐨 𝐤𝐚𝐬𝐞𝐦𝐚 𝐧𝐢 𝐤𝐦 𝐤𝐚𝐤 𝐲𝐚𝐤𝐞
Watangazaji wa siku hizi jamani😂😂
Kweli maneno yako kaka
Mh uongo Kama alikuwa sio ndugu asingekuwa na udhibutu wa kusema yote hayo.kwa nnmsingemshtak tuyaache yamepita mungu ampumzishe kwa aman
Yule baba mnamjua na ni mwanafamilia sema aliyoyaongea katoa siri ndo maana mnamkataa😢
Alitumwa aongee
Nimependa hapo mlipkuwa na msimamo wa dini inasemaje...Tunatakiwa tuwe wote hivyo kuheshimu maandiko.Mungu atusaidie
Mbwabwabwaji ashafanya yake,,,😂😂😂kaacha UBWELA unaendelea,,huku mtaani
Huyu mwandishi emu akasome kwanza yani yupo ovyo sana kwenye kuuliza maswali
Lkn yule mfanyikazi wa dida boutique alisema alikuwa na dida na kaka yake dida mdogo aliomba karatasi na kalamu Sasa hiyo karatasi na kalamu aliandika nini kama sio usia jamani
Ss unataka kila kitu cha familia wakiweke mitandaoni?je ww ungeyasema yote
Ni kwasabab ya umaarufu wake ndomana watu wanaongea wanachojua Ili kupata kiki tu
Alafu mwandishi wa ovyo sana et anasikiliza pembeni ndyo ana hoji kumamae
Huyu sasa ndio kaka halali wa dida tuliosoma.National housing tunaelewa moaka hiyo
nlichogundua ni kwamba uyu mzee anataka amlee mtot apokee hela that's why anasema aichomwambia ni kumuangalia mtoto tu ndo ha muhimu😢
Huyu ndo kaka yake Dida wa Kwanza,Hussein achaneni na yule mweu, na ndo mwenye uchungu na dada yake
Jamani ee kujaji so ishu tuombe mwisho mwema tyuu hamna anaejua kifochake kitakuaje kwahiyo lamuhimu kuomba mwishomwema
Shikamoo Ukimwi 😢kama mlimpeleka Sinza Parestina Basi ni ukimwi Fangasi zimemuua
Duh so wote tunaoendaga Palestina tuna ukimwi 😮😮
Jamani nyinyi ha! Tumuwachie mungu tu
Mhhhhhhhh
Dah,wew nusu niweke na emoj ya kucheka
Kwani Palestina wanatibiwa ukimwi peke yake?
Maswali mengine jamani eti!!...Marehemu akuandika hosiha
Kiukweli sisi wa islamu tunaoneshana maiti naingekuwa sawa kama walipo mtoa hospitali wangemleta nyumbani kwake hata kama ni masaa kidogo then wampeleke msikitini kwauoshaji wake ilapia ingekuwa vyema kama angeoshwa kwake nyumbani na kupelekwa msikitini kuswaliwa tuu nakwenda kustiriwa katika nyumba yake ya milele 😢😢 mbele yake nyuma yetu Allah ampe kauli thabiti mpendwa wetu 🙏
Huyu nae muongo ati alimwambia ati mtoto Wangu asome 😂Mongo mwanzo alisema kwamba hajacha husia wowote
Hii dunia jmn kufa isifiwe ishi uonewe, badala waomboleze yaani inakuwa kama content flani hivi😂😂😂 😢😢😢😢😢😢 daah Mungu awarehemu
Mashallah din ndo ipo ivo
Watanzania wanapenda kuskia maneno mazuri mazuri tu pengine aliacha kweli dozi mbona mfanyakazi wake alisema anaumwa ugonjwa mkubwa ambao hawezi kuusema
Ukute na huyu nae sio kaka ake
Uyo kafanan n marehemu kasoro rangi
Hivi ujue hawa wanaanza kugombana , hapa ina maana yule wa kwanza ni kakaake dida na hata huyo pia ni kakaake pia tena hata sura zinafanana ila familia nyingi za kiafrika hatuna elimu kwa hiyo ügümü ni mwingi
😢😢😢😢
Wa kwanza alikuwa sahihi mm nilimuelewa sana unajua wahehe hawana konakona ndio maana kanyoosha maelezo wanaficha nini siku hizi-hakuna kificho
Huyo mwandishii naye woiii
Uchawi uyo na mama Yao mkubwa ndo anawamaliza kala mdogo wake wa Zanzibar na watoto wake wa 7 mhuu
Hee makubwa
Mnakataana Kwa kufikiria mtapata hela za pole😂
Basi tena mwacheni apumzike kwa amani yaan imekua hakuna lingine zaid ya kumuomboleza mtu kila siku, Ameshakufa kilobaki ni kumuombea tu
Hivi nyie watangazaji munauliza ugonjwa wa mtu ili iweje? Hata daktari hakubali kuelezea ugonjwa wa mtu ila kwa wahusika tu. Maswali yenu ni uzushi mtupu.
Kabsa kaka naomba ukae nae huyo mtoto usimpe mtu mtunze wewe na mkeo au baba yake mzazi Asalam aleikum
Vidonda vya tumbo ni hatari.stress inazidisha matatizo hayo😮
Umekosea we kaka wa Dida ulivokataa kuwayule baba hamumjui hukutakiwa kusema alikuja hosptali
Mbona kama wanafanana na huyu mwamba
Safi sana kuhusu mtoto
Wanamkataa kwasababu ameongea siri ambazo sio sahihi kwa jamii lazima namimi ningemkataa huyo mwamba
Tambo zoote zile sio kaka mtu! Ila watu wa dar jamani! Mtu anaamu kujifanya anamjua marehemu wakati hata marehemu hajawahi kumjua! Dhambi hio!
Yule kaka alieleza vizur ni ndugu yenu msimkatae
Ankle kaogeya vizury sna😊😊
Jamaniiii wacheniii tunguuu wafamiria waturizeee kichwaaa kutwaaa kuwaojiiii mpakaaa wakatahaneee unduguuu tenaaa kwajiriii yenuu yureee kasemaaa nauyuuu anasemaaa akunaaa arichohongezaaa magonjwaaa ndohayooo mnatakaa ninitena
Yule mzee yupo sawa na ni ndugu yake na alichosema kipo sawa ila huyo analeta ugumu
Ŵanafanana sana...ila mtoto si maamuzi ya upande wa kiume??? Damu kwa mjomba tena???😂😂😂
Labda upande wa baba hawaku husika na malezi ya mtoto
Hahahahah jamni kiherehere jamni
Hii familia ina sithole fahamu nyingi ila twashkuru amestiriwa salama alhamndulillah
Kaka wamekuwa wengi😂😂
Huyu ndo kaka yake anaitwa hussein shaibu
Pia Mimi ni shangazi 🇰🇪😂😂😂
Huyu ndo kakayake tumbo moja
😂😂😂😂😂😂😂ila hii dunia vituko ni vingi
Wee kaka acha uongo umeshaona kuna majumba na magari na biashara zake unataka umkumbatie mtoto umnyonye na mali za mamaake kaka mwenyewe unaonekana mjanja
Mbona sura zenu zinafanana na kaka wa kwanza!! acheni kumnyanyapa ndugu yenu au mnadhan anachkua mirathi🤷♂️🤷♂️
Hapo ndo utajua kua sio lazima kuzika kwa haraka kama vile mnamtupa diamond najua ameumia sana kutomzika dida
Vidonda vya tumbo kupanda mpaka kifuani, That's cancer, huwa ina spread like that. Miye nimemuguza ndugu yangu ameumwa ivoirienne and it was cancer
Mbona aliongea vizuri hakusema kama ndugu baba mmoja waandishi na nyie wachonganishi