AJIRA_PORTAL_JINSI YA KUOMBA AJIRA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024
  • Jinsi ya kuomba Ajira katika Mfumo wa Ajira Portal

Комментарии • 17

  • @ramadhanichampunga9304
    @ramadhanichampunga9304 Месяц назад

    Asante mkuu , naomba kuuliza ukishafikia hatua hio ya kuomba na masomo na kuweka barua zako ,kuna hatua yoyote ya ku submit au inakuwa ndo umemaliza, na vipi kama ule mstari wa percentage haujafuka 100

  • @elipendohenry4122
    @elipendohenry4122 Месяц назад

    unaaaply kwa ajili ya wengine sh ngap?

  • @jamesmwinami9814
    @jamesmwinami9814 Месяц назад

    Jamani barua inaandikwa kwa mkono au soft copy

  • @sylivesterandasoni6154
    @sylivesterandasoni6154 Месяц назад

    Kuna cheti cha chuo niliwahi kukiweka hakikuwa certified saiv naingia kwenye sehemu ya kuedit naweka ambacho kipo certified lakn hakibadiliki shida ni nini?

  • @georgejoshua8514
    @georgejoshua8514 Месяц назад

    Mbona nikaaply mara ya pili mkoa mwingine naambiwa Already applied

  • @marynziku9332
    @marynziku9332 Месяц назад

    Kuaplod profile picture inagoma jaman inasema internal sever error

  • @SafiaHamadi-vi4xv
    @SafiaHamadi-vi4xv Месяц назад

    Kama umesahau password unafanyaje

  • @ommyly
    @ommyly Месяц назад

    Sehemu ya Verification Certificate unaweka nini?

    • @ushindionlinesolution7804
      @ushindionlinesolution7804  Месяц назад

      Kwa mujibu wa muongozo. Hapo WANAJAZA wale waliosoma nje ya nchi ambao wanapewa verification certificate kulingana na level husika

    • @ommyly
      @ommyly Месяц назад

      @@ushindionlinesolution7804 shukrani

  • @rebecamadaha8934
    @rebecamadaha8934 Месяц назад

    Nisaidie number yako ya Whatsapp unapplie