Sitakufa Bali nitaishi ,uchawi sio fungu langu,magonjwa,mauti mikosi sio fungu langu,,bwana yesu napokea uponyaji kwa jina yesu,napokea baraka kwa jina la yesu, ameen
nilikua nasikiliza lakin nashangaa nilianza kulia mwenyew nakukamaa gafla nina imani mungu amenitendea nashukur mtumish kwa maombi yako mungu akubariri
Ameen 🙏Asante yesu kristo nasubil siku muhim nitabadili dini yesu ananiita kila siku
Tii sauti ya Yesu.
Mwanangu apokee uponyaji kwa jina yesu kwa maombi ya mtu wa Mungu Amen
Barikiwa Mtumishi wa Yehova, hakika sitakufa kwa magonjwa ya manuwizo ya madhabahu za wachawi na vinyago vyao, ln Jesus name
Ameen 🙏Asante yesu sitaki Kufa kwa uchawi sitaki kushindwa kwa uchawi sitaki kuugua kwa uchawi Bali nitashinda na ushindi wa yesu kristo nitaishi
Amina, napokea uponyaji wangu
Ubarikiwe sana Baba Gwajima ...Namshukuru MUNGU kwa maombi haya 🙏🙏🙏 MUNGU azidi kukutumia
Amen ubarikiwe mutumishi wa Mungu
Sitakufa kwa uchawi mapepo wala maradhi katka jina la yesu. Napokea uponyaji in blood of Jesus Christ name.
Sitakufa Bali nitaishi ,uchawi sio fungu langu,magonjwa,mauti mikosi sio fungu langu,,bwana yesu napokea uponyaji kwa jina yesu,napokea baraka kwa jina la yesu, ameen
Sitakufa bali nitaish kwa jina la Yesu. AMEN
Asante kwa neno,nami naomba nibalikiwe.
amen nimepona sitaharibika mimba tena kwa jina la YESU kristo tangu sasa,Amen
Aksante Yesu kwa uponyaji wako🙏🙏🙏
Hongera mtumishi Kwa maombi
Thank you man of God,God bless you so much, nimeumia kwa mda lakini nimekupata na nikapata usaidizi WA Mungu kupitia ww
Amen mtumishi wa mungu nimepona na familia yangu katika jina la yesu kristo
Ubarikiwee mtumishiwamunguu
Mungu umubariki Mutumishi wako milele🙏🙏🙏
Sitakufa kwa uchawi kwa Jina la Yesu Kristo.we are blessed with my children in the Mighty Name of Christ
Amen🙏🏾🙏🏾
Kwa jina la Yesu mtoto wangu atapona kihozi na wala hata kufa bali ataishi milele yote.Amina
Uchawi wao uwarudie katika jina la yesu na pokea uponyaji nikiwa Saudi Arabia Amen.
Emmah Owour amen
Emmah Owour amen
Emmah Owour amen
Uchawi uwarudie kwaoooo amen
Amen dady barikiwa Sana
Amen Amen Baba.
Napokea Uponyaji kwa jina la YESU
ameeeen pastor nimepona kwa jina la bwana
lord gave strength
Amina
Sitakufa Bali nitaishi kwa jina la Yesu..Amen
Sitakufa Bali nitaishi katika jina la yesu
Hii ndo injili ninayoitaka mimi Asante Yesu kwa upendo wako
Nami pia, lakini wengi hawaitaki wanataka zile za njoo upokee gari njoo upokee nyumba,,,,, 😂
Naomba uweze kutembea Kenya hivi karibuni
Napokea uponyaji kwa jina la yesu
Imeandikwa sitakufa bali nitaishi, ili niyasimulie matendo makuu ya Mungu. Amen
nilikua nasikiliza lakin nashangaa nilianza kulia mwenyew nakukamaa gafla nina imani mungu amenitendea nashukur mtumish kwa maombi yako mungu akubariri
Amen
nabarikiwa sana sijuwi nikupate wapi
mungu akubariki
Amina
Naamini Mungu amenitembelea hata nami ..jina LA Yesu linaweka huru na lina Nguvu
Mungu akubarik naakurinde
Amen. Asante YESU KRISTO.
wow wow wow wow wow/ gwajima hakika wewe ni mkombozi wa tz
Mungu ametupa zawadi kwa Wa Tanzania 🇹🇿
Amen nimepona in Jesus name
Ameen nimepokea
Bwana yes asifiwe nabalikiwa sana namaombi yamtumish wamungu
Amen mungu napokea uponyaji wangu magonjwa yanayonitesa mwilini katika jina la Yesu
Hakika Mungu akubariki sana kwa maombi haya, nimefunguliwa kwa imani
Sitakufa kwa uchawi wala mapepo
AMEEN AMEN AMEEN
Amin baba na pokeà upo naji
Sitakufa kwa magonjwa in Jesus name
Napokea muuzaji kwa jina la yesu
Amen na shukuru mungu kwa maombi yameniguza sana Ahsate Sana mchungaji kwa maombi
Baba ubarkiwe Kwa kile ulichopewa na mungu
Niponye Kwa jina la Yesu
Mungu ni ponye
Ameen
Amen mtumishi
Jamani mimi nampenda sana babaangu wa kiroho askofu Gwajima I love more...
Napokea uponyaji wangu
God is great
Ameeen I receive it!
Amen.Maombi haya yameniguza sana I thank God for all he has done for me
Sitakufa kwa uchawi mapepo wala maradhi bali ntaishi kwa jina la Yesu
Ombea kazi yangu
Amen.
Napokea hayo maombi katika jina LA yesu
there is nothing god cant do,but salvation is important than physical healing,we all need healing
absolutely right
Asante Sana kwa maombi yako naamini ntapona
Amen
Amen nipokea uponyaji
amen napona kwa jina la Yesu
Mungu mbariki mtumishi wako
nakukubari sana Mungu akuzidishe zaidi mtumishi wa Mungu
Amiin
Mungu ni Mwema
asante kwa nifunguwa
Mungu saidia Waafrica wanateseka saana na Mapepo inaumiza saana
AMEEEN kubwa
Barikiwa baba
Ndio maana korona umekimbia
Nchi hii Ina upako,watanzania wanampenda Mungu
Naipenda Sana nchi hii
Nitapona kwa Nina LA yesu kristo sita kufa Bali Nitaishi Amen
Wonderful ministry be blessed
👏🇯🇲🇧🇫❤❤
Be blessed
shalom
Ameni
Sitakufa bali nitaishi mimi na mtoto wangu kwa jina la Yesu
Amina mtumishi wa mungu
the whole dar to heaven!
Ameeeen Ameeen
ASKOFU GWAJIMA TUNAOMBA UJE SINGIDA MJINI .TUNAKUHITAJI MTUMISHI WA MUNGU.ASANE BABA.
Ameeen
ameen
Amen Amen
Amina mtumish
Amina baba
Sitakufa kwa uchawi wala mapepo mimi na wanangu kwa jina la yesu
Ameeeeen
ameni
Ameeeeeem
ameeeeeee
@@rehemaradhid5716 dadangu nipo mbali nchi ya uarabuni lakini siku nitakapo fika Kenya nita kuja TZ kumwona baba Askofu
AMEN
Amen 🙏
Naomba baba angu apokee uponyaji kirahisi kuanzia sasaa. Batista apokee uponyaji kwa Jina la yesu
Njoooooooo
bravo...
aameni
jina LA yesu liiniliwe
Ameeen niko saudi Arabia anisaidie kwa kazi
Amen nikiwa saudia
amen