MAADHIMISHO YA MEI MOSI 2024 "USAFIRI WA SGR UKIANZA UNAWEZA KUISHI DAR UKAFANYAKAZI DODMA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 апр 2024

Комментарии • 6

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 16 дней назад

    Kwa Nauli ya shilingi ngapi
    ?? ya kumwezesha Mtanzania wa kipato Cha kawaida kusafiri kila siku kwenda na kurudi kati ya Dar na Dodoma😮😮😮

  • @mustafakimalio9129
    @mustafakimalio9129 16 дней назад

    Lini?

  • @joachimluhamo3042
    @joachimluhamo3042 16 дней назад +1

    mjichanganye muweke nauli zenu kubwa litawadodea hilo

  • @alfredamani3905
    @alfredamani3905 15 дней назад

    Kweli kabisa hilo la kuishi Dar na Kufanya kazi Dodoma litawezenaka kabisa ila tu endepo gharama za usafiri huo wa SGR zitakuwa rafiki na kulingana na vipato vya sasa vya watumiaji, ukizingatia gharama za uendeshaji treni ya umeme ni nafuu na ni usafiri wa haraka. Otherwise hilo litabaki kuwa ndoto.

  • @hassanaloobaidan25
    @hassanaloobaidan25 16 дней назад

    Wacheni ujinga kenge nyie vp mtu atamudu nauli hiyo au ni kupayuka payuka ili mudanganye watu kenge nyie