Kweli kabisa hilo la kuishi Dar na Kufanya kazi Dodoma litawezenaka kabisa ila tu endepo gharama za usafiri huo wa SGR zitakuwa rafiki na kulingana na vipato vya sasa vya watumiaji, ukizingatia gharama za uendeshaji treni ya umeme ni nafuu na ni usafiri wa haraka. Otherwise hilo litabaki kuwa ndoto.
Kwa Nauli ya shilingi ngapi
?? ya kumwezesha Mtanzania wa kipato Cha kawaida kusafiri kila siku kwenda na kurudi kati ya Dar na Dodoma😮😮😮
Lini?
mjichanganye muweke nauli zenu kubwa litawadodea hilo
Kweli kabisa hilo la kuishi Dar na Kufanya kazi Dodoma litawezenaka kabisa ila tu endepo gharama za usafiri huo wa SGR zitakuwa rafiki na kulingana na vipato vya sasa vya watumiaji, ukizingatia gharama za uendeshaji treni ya umeme ni nafuu na ni usafiri wa haraka. Otherwise hilo litabaki kuwa ndoto.
Wacheni ujinga kenge nyie vp mtu atamudu nauli hiyo au ni kupayuka payuka ili mudanganye watu kenge nyie