Hongera sana Rashid kwa kutuletea habari zinazofurahisha mioyo yetu Wazanzibari. Tunapenda kuona maendeleo ya vitu pamoja na ustawi mzuri wa hali za kimaisha za wanachi wote. Allah azidi kumjaalia kheri raisi wetu DR HUSSEIN ALI MWINYI. AMEEN🙏
Ni maendeleo tunayoyaitaji kwa nchi yetu siyo tunayaona kwa nchi nyingine. Japo baada ya haya tunaomba taa zaidi na kamera zitakazo mlika uvunjifu wa sheria barabarani ili kupunguza usumbufu wa tarafiki
dk Husseein hongera sannaa upo vizuri
Hongera sana Rashid kwa kutuletea habari zinazofurahisha mioyo yetu Wazanzibari. Tunapenda kuona maendeleo ya vitu pamoja na ustawi mzuri wa hali za kimaisha za wanachi wote. Allah azidi kumjaalia kheri raisi wetu DR HUSSEIN ALI MWINYI. AMEEN🙏
Hongera Sana Rais Mwinyi
Kwa nin barabara ya bububu kiyongozi ni shida viyongoz kubwa sana
Ni maendeleo tunayoyaitaji kwa nchi yetu siyo tunayaona kwa nchi nyingine. Japo baada ya haya tunaomba taa zaidi na kamera zitakazo mlika uvunjifu wa sheria barabarani ili kupunguza usumbufu wa tarafiki
Suala la kuboresha bara bara zanzibar nampongeza raisi ni suala zuri sana ila mbona wanabiresha tu hawaongezi upana ni ule ule ???
Go go go MWINYI🙌🏼🙌🏼
Pemba jamani mbna haijatajwa hapa
Barabara ya Fuoni Chunga tafadhali
Mm nilitarajia utamhoji wakat yako njiani anakagua barabara kumbe yupo oficini
Muheshimiwa mbona kama lami ziko zaifu kweli ubora upo kweli musikae mahofisini tu kakaguweni na ubora
Sasa jamani ya bububu kwanini msianzie bububu polisi 👮 mpaka hapo ulipo sema kinazini bank 🏦 kwanini muamzie mtoni?au mnaogopa fidia itakua kubwa?
Lazma zimalize hizi za mjini ndio ije bububu
Itajengwa kwa mujibu wa kauli ya raisi
Chake mkoani mumeiyona????
Pemba hajazitaja Bara Bara lkn iyo pia imo kwenye mradi
Yaani mmeacha barabara sumbufu kama BUBUBU
Raisi ashajibu kua iyo pia imo
Ile tunataka kuweka tram(mabasi ya umeme yatakayotumia njia yake pekee)