HIZI NDIO FLYOVER ZINAZOJENGWA ZANZIBAR, MRADI WA BARABARA KILOMITA 109 ZA MJINI HAUJASITA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 май 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 21

  • @Juma-om7ho
    @Juma-om7ho 28 дней назад +3

    dk Husseein hongera sannaa upo vizuri

  • @kassimsaid9316
    @kassimsaid9316 28 дней назад +5

    Hongera sana Rashid kwa kutuletea habari zinazofurahisha mioyo yetu Wazanzibari. Tunapenda kuona maendeleo ya vitu pamoja na ustawi mzuri wa hali za kimaisha za wanachi wote. Allah azidi kumjaalia kheri raisi wetu DR HUSSEIN ALI MWINYI. AMEEN🙏

  • @alhajjkassim2648
    @alhajjkassim2648 26 дней назад +1

    Hongera Sana Rais Mwinyi

  • @fakijecha
    @fakijecha 28 дней назад +2

    Kwa nin barabara ya bububu kiyongozi ni shida viyongoz kubwa sana

  • @nyaganyaga3876
    @nyaganyaga3876 29 дней назад +3

    Ni maendeleo tunayoyaitaji kwa nchi yetu siyo tunayaona kwa nchi nyingine. Japo baada ya haya tunaomba taa zaidi na kamera zitakazo mlika uvunjifu wa sheria barabarani ili kupunguza usumbufu wa tarafiki

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 28 дней назад +2

    Suala la kuboresha bara bara zanzibar nampongeza raisi ni suala zuri sana ila mbona wanabiresha tu hawaongezi upana ni ule ule ???

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 28 дней назад

    Go go go MWINYI🙌🏼🙌🏼

  • @aliabdallah4233
    @aliabdallah4233 25 дней назад +1

    Pemba jamani mbna haijatajwa hapa

  • @iddmohammed1086
    @iddmohammed1086 28 дней назад +1

    Barabara ya Fuoni Chunga tafadhali

  • @saidiomar6642
    @saidiomar6642 26 дней назад

    Mm nilitarajia utamhoji wakat yako njiani anakagua barabara kumbe yupo oficini

  • @seifhabib5987
    @seifhabib5987 26 дней назад

    Muheshimiwa mbona kama lami ziko zaifu kweli ubora upo kweli musikae mahofisini tu kakaguweni na ubora

  • @SiabaFadhili
    @SiabaFadhili 28 дней назад +1

    Sasa jamani ya bububu kwanini msianzie bububu polisi 👮 mpaka hapo ulipo sema kinazini bank 🏦 kwanini muamzie mtoni?au mnaogopa fidia itakua kubwa?

  • @Pemba680
    @Pemba680 28 дней назад +2

    Chake mkoani mumeiyona????

  • @mussachichajr
    @mussachichajr 29 дней назад +2

    Yaani mmeacha barabara sumbufu kama BUBUBU

    • @AbdulRahmanAliy-sr7gw
      @AbdulRahmanAliy-sr7gw 24 дня назад

      Raisi ashajibu kua iyo pia imo

    • @MrKhatibu
      @MrKhatibu 4 дня назад

      Ile tunataka kuweka tram(mabasi ya umeme yatakayotumia njia yake pekee)