WAZIRI BASHUNGWA APIGA KAMBI LINDI - KUHAKIKISHA BARABARA ya DAR - LINDI INAPITIKA NDANI ya SAA 72..
HTML-код
- Опубликовано: 5 май 2024
- WAZIRI BASHUNGWA APIGA KAMBI LINDI - KUHAKIKISHA BARABARA ya DAR - LINDI INAPITIKA NDANI ya SAA 72..
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewatoa hofu na kuwahakikishia wananchi, wasafiri na wasafirishaji kuwa ameweka kambi Mkoa wa Lindi kuhakikisha anasimamia timu ya watalaamu wa Wakala ya Barabara (TANROADS) na makandarasi, kuhakikisha wanakamilisha kazi ya kurejesha mawasiliano ya barabara ya Lindi - Dar es Salaam ndani ya saa 72.
Waziri Bashungwa ameeleza hayo, leo tarehe 6 Mei 2024 Nangurukuru wilayani Kilwa wakati akikagua na kusimamia zoezi la urejeshaji wa mawasiliano ya barabara yaliyokatika kwa kuharibiwa na mvua kubwa zilizonyesha zikiambatana na kimbunga Hidaya.
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Ongera sana waziri wa ujenzi kwa kuchapa kazi''hakika wizara hii unaitendea haki.❤❤❤👍👍🙏🙏 By Mtwara.
Polen sana ndugu zetu wa Lindi Mungu awafaniye wepesi
Ahsante Yani tunateseka
Asante diwani umeongea Kitaalam sana .wengine wote wanalaume Mvua
Waziri wa ujenzi ni jembe sana.Hongera sana.Mama una majembe mazuri sana.
Hongera diwani umeongeya vyema sana milango ya maji iengezwe ili maji yatembee haraka yasiweze kukaliana mda mrefu na kutafta sehem ya kupita kwa kuleta madhara .
Containers siyo ngumu zikishakatwa, una-compromize rigidity yake, yatahitaki kuwa re-enforced kuwa welded, kwa nini msiwaombe wakandarasi wa SGR wakawapa pre-fab calavats.?
Kiukweli hiyo barabara eneo kubwa la barabara limezungukwa na maji. Mkizuia hapo kunauwezekano wa kipenyo kinachohitajika kuwa kidogo na maji kuchimba barabara sehemu nyingine. Me nashauri mkondo kama huo uongezewe urefu kwenda chini ili maji yapate slop kuja kupitia mahali pamoja ambapo kutakuwa na daraja kubwa litakaloruhusu maji mengi kupita. So barabara na huko yanapokwenda baharini yaongezewe speed kwa kuongeza slopes. Maoni yangu ni hayo. Maana nilipita kwakweli niliona hili kuja kutokea na linaweza kuja kusumbua sana.
Hapo 3 Kwa tz niuongo
Waziri lije Jeshi hapo ili paishe haraka'ili watu waweze kupita
Jamani nimewahi kusafiri imetokea lini hiii
Dawa ya hapo ni kuweka mabox karavati mengi,kama vile mto Ruvu ya Bagamoyo
Hapo karavati zingeanzia hapo mlipo simama haya mawe yakizuia maji yana kata pengine
Maji yame kula aisee