Miondoko: Man Behind Merimela
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Wimbo wa Merimela, kwa sasa unavuma katika maeneo ya burudani, kwenye magari, na hata kwenye vituo vya radio, na kuibuka kuwa nambari moja kwenye orodha ya mashindano ya nyimbo. Hata hivyo, ni wachache mno wanaomfahamu mtunzi wa wimbo huo, kwani hajawahi kuoenekana, licha ya video bandia ya wimbo huo kutolewa. Mwanahabari wetu Joab Mwaura alimsaka na kumpata, jekonaya onduru, ukipenda, uncle konias na kumuelezea masaibu yake kwenye makala ya Miondoko.
Merimela ni wimbo mzuri sana unakubalika mno kaka, yaani Jasho la mtu halipotei bure.
pole sana kk,
njoo Tanzania piga kazi huku tunakukubali
Hapo sawa
Kweli wa TZ wanakukubali utatoka haraka sana3
Pole sana uncle never loose hope bado twaisikiza hii song 2015
pole sana,bt ya mungu ni mengi, mwizi atapoteza na wewe utabarikiwa
Nice song nakubaliiiii
I know him he treated me once at Akon hospital and even counsel me when I went there for testing he is really a good guy
When will we ever get it right and stop these bad habits! What a talent to nature ........ I am proud of uncle Konias... he has made Kenya proud little did we know it was from one of us!
Wakenya wako hivo tu usijali
2020 Corona and we here
pole sana God will judge them,,😘😘
Bro where can i find you
pole sana uncie
So how did this dude manage to record such a hit, with such complicated arrangement of instruments from the village and with no connections?
usijali malipo Ni humu duniani tu
this is sad
Miondoko Ya kileo
sorry sudi boy kenyan from coast
Too bad, something should be done,the Music Copyright Society of Kenya is sleeping...why watch as this mans sweat is drained by the Tanzanian Sudi boy
Nimo Kiama soudy boy n mkenya
very bad, Music copyright society of Kenya wake up..this man's sweat should not be drained by the Tanzanian Sudi Boy
Lakini Bwana wee please complain to the copy right comission of Kenya. Please contact me so that I can send you some contacts that might be of assistance. Jamani you must try. tuma e-mail petokeus@yahoo. com even if you go to Kassanga he can assist you even Kanyotu. Fanya bidii jamaa it is bad for other people to steal other people's work. Huyo jamaa wa Citizen can also assist you. He knows the laws and where you can run to.