Miondoko: Man Behind Merimela

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Wimbo wa Merimela, kwa sasa unavuma katika maeneo ya burudani, kwenye magari, na hata kwenye vituo vya radio, na kuibuka kuwa nambari moja kwenye orodha ya mashindano ya nyimbo. Hata hivyo, ni wachache mno wanaomfahamu mtunzi wa wimbo huo, kwani hajawahi kuoenekana, licha ya video bandia ya wimbo huo kutolewa. Mwanahabari wetu Joab Mwaura alimsaka na kumpata, jekonaya onduru, ukipenda, uncle konias na kumuelezea masaibu yake kwenye makala ya Miondoko.

Комментарии • 23

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 4 года назад +2

    Merimela ni wimbo mzuri sana unakubalika mno kaka, yaani Jasho la mtu halipotei bure.

  • @annahockson1427
    @annahockson1427 7 лет назад +3

    pole sana kk,
    njoo Tanzania piga kazi huku tunakukubali

  • @lilianundisa3434
    @lilianundisa3434 9 лет назад +1

    Pole sana uncle never loose hope bado twaisikiza hii song 2015

  • @naomiakothee6502
    @naomiakothee6502 6 лет назад +1

    I know him he treated me once at Akon hospital and even counsel me when I went there for testing he is really a good guy

  • @ILubanga
    @ILubanga 13 лет назад

    When will we ever get it right and stop these bad habits! What a talent to nature ........ I am proud of uncle Konias... he has made Kenya proud little did we know it was from one of us!

  • @abigailminoo9332
    @abigailminoo9332 3 года назад

    Wakenya wako hivo tu usijali

  • @QuickSimpleEffectiveTech
    @QuickSimpleEffectiveTech 4 года назад

    2020 Corona and we here

  • @mitchelleprincess7801
    @mitchelleprincess7801 8 лет назад +2

    pole sana God will judge them,,😘😘

  • @dianaclara3381
    @dianaclara3381 5 лет назад +2

    Bro where can i find you

  • @franciskyalo1819
    @franciskyalo1819 8 лет назад

    pole sana uncie

  • @jimnzau4730
    @jimnzau4730 12 лет назад

    So how did this dude manage to record such a hit, with such complicated arrangement of instruments from the village and with no connections?

  • @remjoy684
    @remjoy684 7 лет назад +1

    usijali malipo Ni humu duniani tu

  • @karuripatrick
    @karuripatrick 3 года назад

    this is sad

  • @12032569
    @12032569 13 лет назад

    Miondoko Ya kileo

  • @shilasaitoti3465
    @shilasaitoti3465 12 лет назад

    sorry sudi boy kenyan from coast

  • @MultiMimo101
    @MultiMimo101 13 лет назад

    Too bad, something should be done,the Music Copyright Society of Kenya is sleeping...why watch as this mans sweat is drained by the Tanzanian Sudi boy

  • @MultiMimo101
    @MultiMimo101 13 лет назад

    very bad, Music copyright society of Kenya wake up..this man's sweat should not be drained by the Tanzanian Sudi Boy

  • @petokeus
    @petokeus 12 лет назад

    Lakini Bwana wee please complain to the copy right comission of Kenya. Please contact me so that I can send you some contacts that might be of assistance. Jamani you must try. tuma e-mail petokeus@yahoo. com even if you go to Kassanga he can assist you even Kanyotu. Fanya bidii jamaa it is bad for other people to steal other people's work. Huyo jamaa wa Citizen can also assist you. He knows the laws and where you can run to.