Asanteni sana kwa wimbo huu, niliuimba kwenye kwaya yangu ya Bikira Maria Malkia wa Rozari Chuo Cha Polisi Moshi mwaka 1989. Mmeuimba vizuri sana hongereni sana.
Hakika tunamshukulu na tutaendelea kumshukulu mungu baba wa mbinguni muweza wa yote kwakuwezesha huu wimbo mbaka kufikia hatua hii hongereni wana kwaya wote wa DON BOSCO parokia ya MONGOLA NDEGE DSM na kanisa lote kwa ujumla.
Ya kale ni dhahabu. Ni vema kuzitumia tungo hizi ambazo haziwezi kuchuja. Hongera kwa uimbaji na unadhifu wenu. Hongera sana Organist Mashamba
Asanteni sana kwa wimbo huu, niliuimba kwenye kwaya yangu ya Bikira Maria Malkia wa Rozari Chuo Cha Polisi Moshi mwaka 1989. Mmeuimba vizuri sana hongereni sana.
Nlibahatisha huu wimbo na nikaupata, Thankyou God🎉
Hongereni kwa kaz nzuri
Mwanache cheza vzr 😉😉😉😉😀😀😀😀
Kazi nzuriiiiii
Kwanini nyimbo za watunzi wazee hazichuji??????
Huu wimbo umenibariki sana naskia uwepo wa mungu ndani yangu🙏🏼🙏🏼
Wimbo mzuri unabariki sana.........mungu awazidishie vipawa mzidi kumtukuza ...hongereni sana.....
Kazi nzuri watu wa Mungu, Kazi ya BWANA iendelee👍
Hakika tunamshukulu na tutaendelea kumshukulu mungu baba wa mbinguni muweza wa yote kwakuwezesha huu wimbo mbaka kufikia hatua hii hongereni wana kwaya wote wa DON BOSCO parokia ya MONGOLA NDEGE DSM na kanisa lote kwa ujumla.
Hongereni sana wana kwaya kwa kazi nzuri mungu azidi kuwabariki mzidi kufanya vizuri zaidi.
Mashamba kwenye instruments 💥💥
Apumzike mahali pema mtunzi wa wimbo huu mwalimu Felician Albert Nyundo (FAN)
Kongore kwa kazi nzuri barikiwa sana
You never dissapoint thanks for this song
Ashukuliwe mungu
Uimbaji ulionoga, hongereni waimbaji 👍
Hongereni Sana Wana Galaxy Pro. Old is Gold
Ongeren sana vijana kazi nzuri congregation
Mungu,na,azidi,kuwabariki,,
Hakika za kale ni dhahabu
Ni Neno njema kumshukuru Bwana,
Nice voice 👌
Nyimbo tamu sana ya maombi🙏
Kazi safi!
Hongeren sanaa
Hongereni sana🥰
Very nice 👍❤️❤️❤️
My everlasting song ever ❤
nice song 🔥🔥🔥🙏
Asante sana
Mwl J.Makoye
Nice 🙂 song.Be blessed.
Hizi nyipo ziliimbwa wakati wa ziara Ya Bab Mtakatifu Tanzania zimenikumbusha mbali Sana Kweli Ya Kale Dhahabu.Kawekamo Mwanza.
Nice
Tumshukuru Mungu
Beautifulll oldie..
Mzuri. Beat sijajua likoje
Nice nice 👌👌👌 Great job👏👏👏
Nice song congratulations.
Hongereni kwa kazi nzuri
💐♥️💚
Hongera sana
Amina
Tumshukuru Mwokozi. Amina
🙏🙏🙏🙏
Very nice song.
Kway yamabint wamaria kiplapla kricto shart atawale
Woooow
Wimbo mmeutendea haki. Ingawa nimeusikia miaka ya 1994 ila mmeuimba kisasa zaidi
🙏🙏😍
🙏🙏🙏
👏👏👏👏
💙💚💕💐
Hakika mpo vzur